MBWADUKE: STRATEGIC SIGNING! DUBE ATUA YANGA KUIPA MAKALI LIGI KUU, CAF CL/PACOME, KI, MAXI, CHAMA..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • Usisahau kusubscribe, ku-comment na ku-like...

ความคิดเห็น • 56

  • @Stevmwamba2090
    @Stevmwamba2090 3 หลายเดือนก่อน +14

    Mbwaduke king of football statistics ,, talks by data and facts 🎉🎉

  • @User255tv
    @User255tv 3 หลายเดือนก่อน +16

    Huyu ndiye mrithi halisi wa Mayele. Apewe jezi namba 9.

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 3 หลายเดือนก่อน +6

    Yaani kwa shot accuracy hizi za Baleke na Dube. Dhuu ni balaaa tupu!

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 3 หลายเดือนก่อน +6

    Yani guede ❤❤❤ akiondoka😂😂

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 3 หลายเดือนก่อน +4

    Toa shule🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MartinMgogo
    @MartinMgogo 3 หลายเดือนก่อน +6

    Yes dube ni mtu na nusu

  • @ZainabuIddi-t6o
    @ZainabuIddi-t6o 2 หลายเดือนก่อน

    💚💚Yang aaaaa

  • @LawyerKalikumbi
    @LawyerKalikumbi 3 หลายเดือนก่อน

    Prince Dube ni mtu sahihi kwa Yanga kwenye eneo la ushambuliaji na ufungaji , congrats to Young Africans

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 3 หลายเดือนก่อน +6

    A a dube atakuwa bora zaidi ya mayele

  • @BedictoPetroKazumba
    @BedictoPetroKazumba 3 หลายเดือนก่อน

    #Mwaduke respect sana Mzee wangu hunaga mambo mengi na uko making sana na kazi Yako. Allah aendelee kukujalia na kukulinda Mzee wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @charlesroswe
    @charlesroswe 3 หลายเดือนก่อน

    dube yupo vzr👍👍👍👍👍

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 3 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu ndiye mchambuzi halisi sio wengine mifuzi tu

  • @raikamsela
    @raikamsela 3 หลายเดือนก่อน +2

    Young African 💛💚🔰💪

  • @jacksontanda5431
    @jacksontanda5431 3 หลายเดือนก่อน +3

    Welcome at House of cups DUBE

  • @ImanuelMwaipaja-wf7xq
    @ImanuelMwaipaja-wf7xq 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kwaiyo una watishia makolo

  • @AsajileMichael
    @AsajileMichael 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi watu kama Jemedari na Jeff Leah Huwa wakisikia hizi Nondo sijui kama wanajifunza ,hivi Huyu Mbwaduke unaanzaje kumkosoa na hizi data😂😂

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 3 หลายเดือนก่อน +3

    mimi nimefurahi usajil wa dube akibaki na aziz ki inshallah tutakua tymemaliza kazi ila baleke mm walai sitaki aje yanga

  • @JacksonKadwela-cb6sq
    @JacksonKadwela-cb6sq 2 หลายเดือนก่อน

    ❤yanga tuna chukua vikombe vyote ata vya chai

  • @emanuelsamwel999
    @emanuelsamwel999 3 หลายเดือนก่อน

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 3 หลายเดือนก่อน

    Mbeduke mchambuzi bola kwenye nchi hii 🎉🎉🎉

  • @michaelnkobi2201
    @michaelnkobi2201 3 หลายเดือนก่อน +2

    Saaaafiii

  • @jacksontanda5431
    @jacksontanda5431 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ngoja 2one

  • @FettySalim-f8g
    @FettySalim-f8g 3 หลายเดือนก่อน +3

    Vizuriiiiiy

  • @gasperelasto8842
    @gasperelasto8842 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka hivi namba zlzoandikwa kwny jezi za wachezaj huwa wanazipataje, ni nani huzipendekeza, kw kigezo gani?

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  2 หลายเดือนก่อน

      Yeye mchezaji na timu anayohamia. Ikiwa haina mtu inakuwa rahisi zaidi kuipata. Vinginevyo mchezaji hulazimika kutaja chaguo la pili, la tatu...alimradi kupata namba isiyokluwa na mwenyewe,

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ngoja tuone mara baleke mzuri mara chama mara dube mara mayele mmechanganyikiwa mtaipoteza timu na mwaha huu mtafanya vibaya zaidi mpaka ligikuu kwa sababu ya over confidence

    • @Mobmob2013
      @Mobmob2013 3 หลายเดือนก่อน +2

      Kolo unateseka Ukiwa wapi

    • @RashidKaoneka-bj8mm
      @RashidKaoneka-bj8mm 3 หลายเดือนก่อน +2

      Kolo unawivu usije ukajinyonga

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 3 หลายเดือนก่อน +5

      Kijana wala haihitaji nguvu kubwa Usajili wa Yanga Ni hatari sana hasa ukizingatia waliotupiga 5 wakageuka wakatupiga 2 bado wapo. Tunajifariji tuu ila Yanga gari likishika njia ni hatari sana msimu huu kuliko uliopita

    • @NeemaAkyoo-s4s
      @NeemaAkyoo-s4s 3 หลายเดือนก่อน +3

      Maana uliskia kocha anapanga kikosi kwa kusikiliza sifa za wachezaji kwa wachambuz na mashabik et??? Ukweli ndo huo ni wazuri kweli ila kocha ndo anajua namn ya kuwachezesha

    • @fredyjunior6961
      @fredyjunior6961 3 หลายเดือนก่อน

      DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa Dube yeye hakuna tumesajiri jina. Dogo hapambani majeruhi sana.

  • @EdgarAlphonce
    @EdgarAlphonce 3 หลายเดือนก่อน

    Hapa kwenye asilimia ni 36% na siyo 26%

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  2 หลายเดือนก่อน

      Okeee. Shukrani kwa kugundua kama kuna mahala Mzee wa Data kateleza. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono!

  • @Ba63828
    @Ba63828 2 หลายเดือนก่อน

    Can you explain to me sir kwanini wamempa byebye Guede?

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  2 หลายเดือนก่อน

      Pengine yeye ndiye ameipa Yanga byebye baada ya mkataba wake mfupi kumalizika na kisha kupata sehemu yenye malisho mazuri zaidi kwake!

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 3 หลายเดือนก่อน

    Safi 🎉🎉🎉

  • @AndrewFilemon
    @AndrewFilemon 3 หลายเดือนก่อน +1

    Baleke wanini? bhn, mshambuliaj gani anafunga magoli ya piga nikupige

  • @FabianDasson
    @FabianDasson 3 หลายเดือนก่อน

    Akiwa fiti tutafrahi sana ila shida ni utimam wa afya yake
    7:40

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 3 หลายเดือนก่อน

      Kwa kuwa yupo yanga uyu n fit

  • @juliusejulius6704
    @juliusejulius6704 3 หลายเดือนก่อน +2

    mchambuzi uliyemkweli Tanzania umebakia wewe tu

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyu si alikua azam kipi kikubwa alichofanya ama kweli mfamaji heshi kutapatapa.

    • @omarydaudy3744
      @omarydaudy3744 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hata mudathiri alikuwa azam

    • @Mobmob2013
      @Mobmob2013 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@omarydaudy3744 umemjibu kolo vizuri

    • @NeemaAkyoo-s4s
      @NeemaAkyoo-s4s 3 หลายเดือนก่อน +3

      Alikuwa anazungukwa na nani kwanza akiwa azam alikuwa hana furah tim ilikuwa haina malengo ndo unambiwa ukifunga tim flani viongozi wanakukasirikia na si ajabu maan mfadhili wa azam ni mwanachama hai wa makolo

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂 unakufa ukiwa wapi

    • @mrishojuma4695
      @mrishojuma4695 3 หลายเดือนก่อน

      Roho mbaya inajulikana tu sasa nyie mnanini?