Maajabu ya Mochwari // wanaotaka maji ya kuoshea maiti kuchapwa viboko

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ค. 2021
  • Mtoa Huduma katika Chumba cha Kuhifadhia Maiti Mount Meru Arusha Bwana Fransis Costa Mkebezi Maarufu Rasta amesema kuwa wanawake wengi kwasasa wanaomba kufanya kazi ya mochwari kutokana na changamoto ya ajira huku akisema kuwa kwa wanaotaka maji ya kuoshea maiti kwa ajili ya mambo yao ya ushirikina wanawakubalia kuja na wanapofika wanawacharaza viboko kwasababu ni jambo ambalo halipendezi

ความคิดเห็น •