MWANAMKE MWENYE SIFA HIZI MWACHE AENDE - SHEIKH OTHMAN MICHAEL

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 30

  • @khadijanjuki9935
    @khadijanjuki9935 หลายเดือนก่อน +1

    Mashalla

  • @alhajrahassan89
    @alhajrahassan89 8 หลายเดือนก่อน +2

    Umeongea maneno mazima kabisa sheikh Othman Michael ❤

  • @nurudinihamisi-le3lq
    @nurudinihamisi-le3lq 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shukrani skheh wangu apo nimekupata vizure 🙏🙏

  • @HadinanKimimbi
    @HadinanKimimbi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Alhamdulilahi

  • @rukaiyalema7966
    @rukaiyalema7966 ปีที่แล้ว +7

    Shee kupenda kubaya utatamani kiama kifike ufe nae uwezi acha kirahisi hvyo usiombee upendwe usipopedwa utosema hvyo shee Athumani michael

    • @saudahussen375
      @saudahussen375 ปีที่แล้ว

      She's mom jamani ndoayangu inama tatizo nielimishe niwezetulia katikandoayangu

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 11 หลายเดือนก่อน

      @@saudahussen375 we muombe tu mungu na uwe mvumilivu. na kama bado ndoa yako haitulii hakuna nikujiweka pembeni hata kama inauma . kwasababu maisha hayajawahi kuja na karatasi yanini chakufanya vingi vinavyoumiza huja ghafla

  • @rehemamallya1136
    @rehemamallya1136 4 หลายเดือนก่อน +1

    Assalam Aleykum Sheikh, vipi kuhusu kumpenda mwanaume asiyekupenda, kila kitu nafanya mimi yeye ametulia, hana msaada wowote kwangu

  • @AminaSaid-z7k
    @AminaSaid-z7k 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kwel shekhe kpenz Cha allah

  • @GloryEmanuel-gf2vm
    @GloryEmanuel-gf2vm 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaa Allah

  • @khanysanzungu
    @khanysanzungu ปีที่แล้ว +1

    Naomba.nambazako.shekh.nikwandikie.ao.nikupigie

  • @miishhassn
    @miishhassn ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂kwel huyo aachwe tu aende😂❤

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 ปีที่แล้ว +2

    Kweli kabisa Sheikh wangu. Kuna mke hta akinunua peremende arudishiwe pesa yake.

  • @athumanizaidi8560
    @athumanizaidi8560 ปีที่แล้ว +1

    Nakuunga mkono sheikh Othman wanaume ni wachunga Kwa wanawake, mwanaume lazima uwe strong na msimamo sio kuyumbishwa na wanawake Hadi tunashindwa kusimamia mambo ya msingi.

  • @user-ck2wv1lt2r
    @user-ck2wv1lt2r ปีที่แล้ว +2

    Wanaume jeee

  • @SalmaUwamahoro
    @SalmaUwamahoro 8 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran

  • @NaimaSalim-hv6bd
    @NaimaSalim-hv6bd 11 หลายเดือนก่อน +1

    Shekhe je akiwa mume hatimizi mahitaji yamke muke afanye nni

  • @RhodaEdith-zr3bd
    @RhodaEdith-zr3bd ปีที่แล้ว +1

    Inshallah

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 ปีที่แล้ว +1

    Kweli watu wapo wanapenda pasipopendeka hata kaka zangu wapo huko kwetu chake hata dada zangu wapo😮😅

  • @bahatikatanga
    @bahatikatanga ปีที่แล้ว

    Namimi nakuunga kuhusu ili shekhe wangu❤❤❤

  • @saudahussen375
    @saudahussen375 ปีที่แล้ว +2

    Shehee mwenyezimu akujalie uzidikutelimisha natuwenasubra.ktk.ndoa zetu

  • @chokandahaza3565
    @chokandahaza3565 ปีที่แล้ว +1

    ❤❤❤❤❤

  • @RakhmanHassan-ei3kn
    @RakhmanHassan-ei3kn 6 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran ,sheikh,sasaikiwa wewe mwanamke unafanya kilakitu kwamume wako ila yy hajaonesha kukujali ufanyeje?

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 ปีที่แล้ว +1

    Ngumu kumeza

  • @SARAHKAMAMI
    @SARAHKAMAMI 10 หลายเดือนก่อน +1

    Na mume akikutukania mamako ata kufika mahali pa kudhalilisha familia yenu nifanyeje?

  • @angle3600
    @angle3600 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa sheik

  • @MwanashaMaguno
    @MwanashaMaguno ปีที่แล้ว +1

    Kwaiyo shekheee kama jee izo tabia ulizozsema kama Anazo mwanaume.yaani MUME ndio anamfanyia mkewe tabia hizo afanyeje mke huyo?

  • @rashdabdulazizi4193
    @rashdabdulazizi4193 ปีที่แล้ว +3

    Wengi wanayafanya hayo kwamaksudi ili anatukana ndugu na mzazi ili iwechanzo Cha kumuacha akimbilie mahakamani apewe mali,hili nalo Ni vp shekh tusaidie kimawazo

    • @ShariffaMohammed-r6y
      @ShariffaMohammed-r6y ปีที่แล้ว

      Mali yote muandikie mama alaf sasa atajua hajui kufanya maksudi