@@saudahussen375 we muombe tu mungu na uwe mvumilivu. na kama bado ndoa yako haitulii hakuna nikujiweka pembeni hata kama inauma . kwasababu maisha hayajawahi kuja na karatasi yanini chakufanya vingi vinavyoumiza huja ghafla
Nakuunga mkono sheikh Othman wanaume ni wachunga Kwa wanawake, mwanaume lazima uwe strong na msimamo sio kuyumbishwa na wanawake Hadi tunashindwa kusimamia mambo ya msingi.
Wengi wanayafanya hayo kwamaksudi ili anatukana ndugu na mzazi ili iwechanzo Cha kumuacha akimbilie mahakamani apewe mali,hili nalo Ni vp shekh tusaidie kimawazo
Mashalla
Umeongea maneno mazima kabisa sheikh Othman Michael ❤
Shukrani skheh wangu apo nimekupata vizure 🙏🙏
Alhamdulilahi
Shee kupenda kubaya utatamani kiama kifike ufe nae uwezi acha kirahisi hvyo usiombee upendwe usipopedwa utosema hvyo shee Athumani michael
She's mom jamani ndoayangu inama tatizo nielimishe niwezetulia katikandoayangu
@@saudahussen375 we muombe tu mungu na uwe mvumilivu. na kama bado ndoa yako haitulii hakuna nikujiweka pembeni hata kama inauma . kwasababu maisha hayajawahi kuja na karatasi yanini chakufanya vingi vinavyoumiza huja ghafla
Assalam Aleykum Sheikh, vipi kuhusu kumpenda mwanaume asiyekupenda, kila kitu nafanya mimi yeye ametulia, hana msaada wowote kwangu
Kwel shekhe kpenz Cha allah
Mashaa Allah
Naomba.nambazako.shekh.nikwandikie.ao.nikupigie
😂😂😂kwel huyo aachwe tu aende😂❤
Kweli kabisa Sheikh wangu. Kuna mke hta akinunua peremende arudishiwe pesa yake.
Nakuunga mkono sheikh Othman wanaume ni wachunga Kwa wanawake, mwanaume lazima uwe strong na msimamo sio kuyumbishwa na wanawake Hadi tunashindwa kusimamia mambo ya msingi.
Wanaume jeee
Shukran
Shekhe je akiwa mume hatimizi mahitaji yamke muke afanye nni
Inshallah
Kweli watu wapo wanapenda pasipopendeka hata kaka zangu wapo huko kwetu chake hata dada zangu wapo😮😅
Namimi nakuunga kuhusu ili shekhe wangu❤❤❤
Shehee mwenyezimu akujalie uzidikutelimisha natuwenasubra.ktk.ndoa zetu
❤❤❤❤❤
Shukran ,sheikh,sasaikiwa wewe mwanamke unafanya kilakitu kwamume wako ila yy hajaonesha kukujali ufanyeje?
Ngumu kumeza
Na mume akikutukania mamako ata kufika mahali pa kudhalilisha familia yenu nifanyeje?
Kweli kabisa sheik
Kwaiyo shekheee kama jee izo tabia ulizozsema kama Anazo mwanaume.yaani MUME ndio anamfanyia mkewe tabia hizo afanyeje mke huyo?
Apa sasa😅
Wengi wanayafanya hayo kwamaksudi ili anatukana ndugu na mzazi ili iwechanzo Cha kumuacha akimbilie mahakamani apewe mali,hili nalo Ni vp shekh tusaidie kimawazo
Mali yote muandikie mama alaf sasa atajua hajui kufanya maksudi