masumbuko joseph ,yani sijui watu mnatumia nini kufikiria!!!uongozi ni talent kusoma ni ziada acha upuuzi WEWE,si kila aliesoma anaweza kuwa kiongozii!!
clever tz tv mbunge, mwanasheria, mnazim mkuu, mwasheria mkuu was chama, kiongoz wa kambi ya upnzan bngn, wakil was kla kes, mala urais unataka. hv tz wasom wameisha?
mungu akusimamie lisu
uongozi ni kazi mungu atawazalilisha hao ccm kaza mungu akujarie moyo huohuo
I love Tanzania country
Lawrence masha
lisu noma anaelewa mambo Sana big up kaka
one law mind controlling the rest. respect #LISSU!
lisu nakupendaga sana ongea yako tu
respect u!
Uongozi wataka Moyo
It seems to be one sided law.
lisu uko sawa
Sure!!!
wataendelea kukuogopa hivyo hivyo lisu watanyoka tu hao tuko nyuma yako mh lisu
Hii nchi ni fujoni kila mahali,hatuwezi kwenda kwenye maendeleo kwa vitimbi hivi,tatizo tunataka kuongozwa na watu ambao hawana "sense of direction"
Nchi yangu Tanzania imepatwa na Nini, Mbona uonevu Kila siku?
winfred canaan
mwakobela
winfred canaan ndg vip jamaa yako kla kofia anataka? vp huna ndg aliesoma?
masumbuko joseph ,yani sijui watu mnatumia nini kufikiria!!!uongozi ni talent kusoma ni ziada acha upuuzi WEWE,si kila aliesoma anaweza kuwa kiongozii!!
masumbuko joseph we jamaa jinga kabisa kwani lisu sio mwanasheria mpaka asigombee au ulisikia yeye ni nesi
Nakukubali sana jembe letu
ni mkalii
mercy michael jamaa tamaa mbele, kla kofia anataka
Wangapi wanakofia kibao na bado wanataka zingine
+mercy michael exactly,no more coment
wasiyo kuwelewa watakuwelewa tu kwani unacho pigamiya ni maslii ya tz
Lisu human sifa hata kidogo , wewe ni mnafiki
lissu
watawala wamekwa waoga mno
Mohamed
Lissu Lisu na ndio utashinda usijali
Tindu. Lisu
huchokagi kuongea ww lisu.
pascalina john nawe huchokagi kukoment
+Hami mungu yupo nawe ktk maisha marefu
jitahidi kuwa imara kaka yetu tupo pa1 na wewe Mungu yupo nasi
nchi lazima isonge watanzania hatuna Amani sema tu
Credo Lessons
mhh lisu,makonda,gwajima,jokate&alikiba,mvua,bashite,madawa jamani tz bdo mimi 2!!!mkwawa
clever tz tv mbunge, mwanasheria, mnazim mkuu, mwasheria mkuu was chama, kiongoz wa kambi ya upnzan bngn, wakil was kla kes, mala urais unataka. hv tz wasom wameisha?
masumbuko joseph hatari ndugu nishida et
lissu