Mungu akubariki sana mchg Daniel nimekufaham nikiwa binti ninakupenda na ninaheshimu sana kazi yako na huduma yako, ninaimani utafanikiwa zaidi sana na huwa nakumbuka mahubiri yako na ipo siku nitafika kanisan kwako naridia tena ninakupenda maana una injili iliyonyooka, na umeitwa kweli, Mungu hawezi kukuacha kama usipo muacha, nasikitika tu watu wachache wameshindwa kutambua ulichonacho ,Mungu anakupenda sana wewe songa mbele na injili na wito ulioitiwa ,nabarikiwa sana na huduma yako, Mungu akukumbuke tokea utoto hadi sasa unapoelekea uzee.
Mungu akubariki sana mchg Daniel nimekufaham nikiwa binti ninakupenda na ninaheshimu sana kazi yako na huduma yako, ninaimani utafanikiwa zaidi sana na huwa nakumbuka mahubiri yako na ipo siku nitafika kanisan kwako naridia tena ninakupenda maana una injili iliyonyooka, na umeitwa kweli, Mungu hawezi kukuacha kama usipo muacha, nasikitika tu watu wachache wameshindwa kutambua ulichonacho ,Mungu anakupenda sana wewe songa mbele na injili na wito ulioitiwa ,nabarikiwa sana na huduma yako, Mungu akukumbuke tokea utoto hadi sasa unapoelekea uzee.
Watching from kenya I wish you are our pastor here in nairobi
Umenibariki sana Pastor Kulola. Wewe ni mtumishi wa kweli wa Mungu na mwenye Mamlaka ya Kristo Yesu.
Ongera sana ubarikiwe zaidi na zaidi mungu yupo nasi kaza mwendo pastor mungu hakuzidishie nguvu ya kuokoa waliopotea
Hongera kwa kazi ya Bwana.
Mungu akusaidie sana
Congratulations Pastor....Big vision 👏
Very true pastor more grace.
Bwana akutie nguvu mtumishi nyumba ya Mungu itasimama tu
Amen 🙏
Huko Congo nasikia mpaka watoto wadogo wana tabiri
Hapana szan
Shalom nilikuwa nahitaji number yake yasim ya WhatsApp