HII NDIO SABABU ILIYOFANYA ALMARHUM HAJJAT AKIBA RAMADHAN KUZIKWA MADINA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ค. 2022
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#HabariZaUhakika #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 773 878 523
+255 773 071 409
Zinjibartv Journalists
cc: Safia Hussein
cc: Swaleh Watamaama
Camera Department"
Muarabu Mmadi
Editors:
Ali Hassira
Ramla Haji
Abdillahi Said
Dereva
Ali Mohammed
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
- HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
Innalilahi wainnailaihi rajiuun,
Ni mtu wa peponi huyo Kwa mujibu wa kauli ya Mtume ,Allah ammiminie rema Kwa wingi, amin×100
Amiin
Amiin Yaarabii 🤲🤲Mpe Makazi Mema Pepon
Aaamin
Amiin
Amiin
Mngeamua kumsafirisha msingemfanyia haq. Kwanza kusafirisha maiti kiisilam si nzuri halafu amekufa mji mtakatifu. Allah amjaalie awe miongoni mwa waja wake wema alowaridhia na akukutanisheni nae peponi pamoja na sisi, Amiin.
Amiin Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin
Ni kweli kuwa Madina ni mji mtakatifu, lakini si kweli kila aliyekufa humo kuwa ni mtu wa peponi, Bali vitakavyompeleka mja peponi ni amali zake,,,,,tunamuombea mwenzetu!! Mungu amjaalie awe miongoni mwa waja wake wema!! Na Sisi pia atujaalie mwisho mwema!
Amiin
@@jumakapilima7295 usibishe wewe ardhi ya Madina haipokei wanafiq Wala Masih dajal haingii maka na Madina fitna huku huku tu bongo siyo huko mji mtukufu. hata wakaazi wa Madina ambao si wema ardhi inawakataa watatoka tu waende kufia huko mbali.
@@hassanmfaume4522 Nakubali kuwa Makkah na Medina ni miji mitakatifu, lakini tambua ndugu yangu kufia katika miji hiyo si tiketi ya kwenda peponi, kitakachompeleka mja peponi ni amali zake, Makafiri waliokuwa wakimpinga Mtume SAW kina Abulahab, Abuujahal na wengineo wamezaliwa hukohuko na wamefia hukohuko na wamezikwa hukohuko lakini Kwa mujibu wa maandiko hayohayo sidhani kama wataingia peponi!! Huo ndio ukweli!!
Nilichojifunza kwenye hii familia ni kua ni familia ya watu wenye dini sana na wameshiba tawhiid.
Sana
@@habibakhalfan1065 na ww umeliona Da Habiba? Natamani niwe na familia yenye tawhiid na kuiacha dunia
Hawa ndio wana sifa za urijali alizozitaja Allah walimtaka Allah na Allah akawathibitisha matakwa yao na mie namuomba Allah nifie madina aaamin ya Raab
Amiiiin yaarabih
Ammiin 🤲
Amiin
Amiin Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin
Kufia Madina si tiketi ya kwenda peponi, vitendo vya mja ndio tiketi yake ya peponi,,,,,tunamuombea mwenzetu!!
MashaAllah mashaAllah mtume kasema tamanini kufia madina ili yaumul Qiyyama muwe karibu yangu ni furaha ilioje wallahhi ...haya ni machungu yaliyo nafuraha ....Allah azid mpa kauli thabit na awape subra wafiwa ......Allahhumma amiin
Aameen aameen inasikitisha mnoo😰sote njia yetu moja
Ameeeen Ya Rabbil Aaalamin
Mungu kampenda zaidi, kamaliza hija allahamdulillah, halafu kazikwa Madina,ardhi ambayo Mtume S.A.W. Kazikwa,bahati sana,mama kajaliwa sana.
Alhamdulillah
Yaa Rabbi tunakuomba utupe mwisho mwema kama ulivyompa Bi Akiba!🙏🙏🙏🙏🙏
Ya Allah mrehemu mama huyu, mpitishe njia aliopita mtume Muhammad wakati akiingia pepon
Allah awape subra familia yote dunia tuna pita
Allah amjaalie kila la kheri amsamehe makosa yke ayageuze makosa yke kua mema yake aaminn
Allah amuhifadhi amuondolee adhabu za kaburi na alijaze NURU kaburi la Hajat wetu
Aaaallllah huma amin
INALLILLAH WAINA LILLAH RAJIUNI 😭 ALLAH AMPE KAURI THABITI
SubhanALLAH
Pongezi sana mama yetu kwa kupata mwisho mwema na kuzikwa katika Ardhi tuku ya Mtume Mtukufu MUHAMMAD (SAW)....ALLAH atujaalie na sisi bahati ya kupata mwisho wetu katika mji mtukifu wa MADINA tuwe majirani na HABIBANA MUHAMMAD (SAW)....Kwa upande familia ni uchungu kweli kuondokewa na mama kama huyu na akiwa mbali na familia yake,lakini vile vile ni furaha pia MAMA kupata mwisho wake na kuzikwa katika mji Mwema wa MADINATUL MUNAWARA........Bila Shaka MAMA yuko katika sehemu nzuri sana,ALLAH atukutanishe na yeye peponi pamoja na manabii na waja wema waliotangulia.....Nawaombea Familia yake haswa watoto wake, ALLAH awazidishie subra na imani na washikane zaidi.
Innna Lilah wainaa ilaih rajiuun mama dada mungu akupokee Kwa mikono miili 😭😭😭😭
Allah amrehemu mama huyu...this is testimony she was righteous lady ...you can tell the way she raised her daughter..Maa sha Allah.. what a beautiful way to die....congratulation....May Allah accept from her good deeds and her hajj, May Allah have mercy on her....May Allah grant us husnul khatm....ameeen!!!!!!!!
Allah sw mlaze mahala pema Peponi mama Akiba na utujaalie sisi mwisho mwema. Amin!
Allahumma Amiin
Ameen
Allahumma Amiin 🤲
Allahuma Amiin 🤲🏿🤲🏿🤲🏿
Aaamn
Hiki ni kifo chema mashallah Allah atupe mwisho mema Ammi n
Amiiiin Yaa Rabbi kwa sote in Shaa Allah
Inna lillahi wainna ilayhi rajiun😭😭😭poleni sana familia na jamaa wote,,, ALLAH AMLAZE KWENYE WAJA WEMA PEPONI 👏👏👏👏😭😭 POLENI SANA 🇸🇦🇰🇪
waallahi nimelia kwa kweli ALLAH awape subra jmni wkti huu wa huzni
Innaalillahi wainnaa ilayhi raajiuun, Allah amsamehe makisa yake na majaaliwa kuwa miongoni mwa watu wema. Aamyn yaarabbal alamyn
Aamiin
Amiiiin yaarabih
Innaalillahi winnable ilayhi raajiuun, Ala Assamese makosa yake
Amiin Ya Rabb
Amen thuma amen
Inna Lillah Waina Illah Rajuun amsamehe madhambi zake na amkubalie hija zake. Ampeleke Pepo ya Fardows
Innalilahi wainailaih rajiun poleni sana mungu awape nguvu na subra kwa kipindi hichi kigumu... Allah amfungulie kitabu chake kwa mkono wa kulia 😭😭😭😭
Inna Lilah waina ilah rajium .ee mwezimungu mhifadhi mahala pema mja wako .mbele yake nyuma yetu.inshaalah.
Mungu Atupe Mwisho
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin ampe kauli thabit yaarab ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia allahumma ameen yaarabil Aalamiin. Poleni sana wafiwa
Inna lillah wainna ilayhir raajiuun
Allah amsameh alipokosea, amraham na kumlaza pema penye wema peponi hajjat. Poleni sana wafiwa, Allah awazidishieni subra njema. Maa shaa Allah nimejifunza vitu kutokana na maelezo yenu 👏🏽 Allah Akbar
Amiin
Allah ampe kauli thabit Amin 🤲 ampe kitabu chake Kwa mkono wa kulia Amin
Amiin
Allahumma Amiin
Wajina wangu pole saaana Allah akupe subra kwa wingi
May Allah open every door of Jannah for her and may she be raised as a Sabiqoon - ameen ya rabbi🙏
Ameen ya Thul'jalili wal ikram
Ammin
@@Idysalim BarakAllahu feek
@@ukhtywaa6545 BarakAllahu feeki ya Ukhty
Mwandishi tuandalie toleo la maisha ya Hajat Akiba siku zijazo.
InshaAllah
Innalillahi wa inna ilayhi raj'uun..... Mwenyezi Mungu awape wa subira... Sote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake ni marejeo yetu.
Innalilahi wainna ileih Rajiun poleni Sana mauti ni mlango kila mmoja ataupita kikubwa maandalizi Allah amjalie qawli Thabit amjaalie pepo ya juu Kabisa iwe sababu ya Yy wazazi wake kuingia peponi
لااله إلا الله محمد رسول الله
يارب كلنا عبادك إنا مقرونا بذنوبنا فاغفرلنا يارب
اللهم اغفرلها وارحمها وجعلها من المتقبلين
واجعلها من عبادك المؤمنين الذين يرثون الفردوس هم فيها خالدون
Subhana allah
Lahaulawalakuwata ila biallah
Allahuma ruzkuna husn lkhatima
YARABI atujaaliye nasi Mwisho mwema amin amin YARABI amin.
Amiin Ya Rabb
Allahumma Amiin
Amiiin ya Rabbi
Allahu Akbar!! Allah ampe makazi mema
Allahumma Amiin
Innalilah waina illah rajiun Allah amsamehe dhambi zakeza siri na dhahir, ampe kaul dhabit... 🤲
THUMMA AMEEN na ss ALLAH atupe mwisho mwema AMEEN
@@faizanassor6336 amiiiin
Allwah amsameh makosa yke nasisi atupe mwisho mwema
AMIIN
اللهم غفرلها ورهمها وعفونها وأكرم نزلها وودخل مدخلها. اللهم ثبتها بلقول ثابت فى هذه لهياة دنيا وفلأخرة.
Allahumma Amiin
Dua umeandika Makosa NDUGU YANGU,
Afadhali ungeandika kwa Lugha Yako.
Mashallah mashallah mashallah very strong ukhty
Maashaa Allah sijui age yako lakin una hikma sana zaid ya umri wako unaoonekana nao, subhanallah Allah anijaalie mtoto mwema kama wewe au zaid ya wewe muda wangu ukiwadia amin...ur parents must be so proud of u.....poleni. Sana na msiba Allah awape subra juu ya hili, Allah ampe pepo yenye darja bora zaid amin amin...
Nakuombea Allah aijibu dua yako hii. Amin
Poleni Allah amlaze mahala pema peponi nasi atupe mwisho mwema, amiin.
Amiin
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
Allah marehem amkabidhii kitubu chake mkono WA kulia aminee
Innalilahi wainna ilayhi rajiun Allah amlaze mahali pema peponi Ameen Yaa Rabbi
Aamiin
Mungu amsamehe na amuingize peponi .AMIN
Amiin Ya Rabb
Kifo kinauma jaman dah lalakwa amani mumewangu 😭
Mungu amuangazie pepo
Allah amlipe kheir na sisi atujaalie mwisho mwema pia awape moyo wa subra familia wote
Amiin
Innallillah wa innallilah rajiuun, ALLAH(SW) amuhifadhi na adhabu za kabri, kwani amepata mwisho mwema na ameacha watoto wachamungu, Alhamdullillaha
Amiin
Inn lillah wa inna ilayhi rajiun allah ampe qauli dhaabiti amlaze mahali pema peponi
Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 😭🤲 Allahkila siku na Mimi anijaalie Nipate kwenda kuhij Makkah Kwa hicho kidogo ninachokitafuta yarabii.kwani kiasi Gani kwani kwenda kuhij jaman?!
milioni kumi naaaa zaid
@@mwanaidiawesu221 kuazia m 20
Milion 15na laki 3 dola 6500 zipo pia taasis za chini ya iyo
@@fifo262 haifiki 20 M
Ni 15 plus kiduchu
@@muddymuzungu4357 usiseme haifiki uu mwaka uu wapo waliokwenda kwa 22m na wapo waliokwenda kwa 24 na wapo ambao walishindwa kwenda sababu ya ongezeko la izo m , la msingi allaha atuwezeshe kwa nia zetu
Nyie ni vigumu sanaah wallah ni vigumu sanaah Tena mnoo😭😭 Allah ampe kauli dhabit mbele yake nyuma yetu hakuna kitakacho dumu milele
غفر الله لها وأدخلها فسيح جناته
Ila kaondoka vizur Allah ampe makazi mema kwenye Pepo ya firdaus
Allah ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia. Amiiiin
🤔🤲Mungu ailaze roho ya marehemu pahali pema peponi amin. Ndio safari sote tuna muda wetu na tuko njiani..
Wivu wangu kwa waliojaaliwa kufiwa madina, umaut wake umeacha faraja kwa ndugu hawana mashaka na aendako kila mmoja wetu apendae kheri huu mwisho anautamani ungelikuwa wake, ila tusiache kumuomba Allah atujaalie na sisi tuliobakia khatma njema wenye masimulizi mema ndani yake , ewe mola warehemu maiti wetu waislamu popote walipolala
Kufia Madina au Makkah si tiketi ya kwenda peponi, kitakachompekeka mja peponi ni amali zake, uthibitisho wa Hilo kina Abulahab, Abuujahali, ubayyi bin sululu n.k wote ni watu wa huko huko Kwa kuzaliwa na wamefia huko huko lakini si katika watu wa peponi!!! insha'Allah tumuombee mwenzetu na Sisi tuombe tupate mwisho mwema, insha'Allah!!
Allahumma Amiiina
Allah ampe kauli thabiti amueke peponi Amyn🤲
Mbona hizo sauti za miziki ziko juu sana kuliko maelezo?
Tena zina kelele sana kwanza habari za huzuni miziki ya nn? Hata mtu hupati utulivu kusikiliza habar zenu
Allah ampe jannat Firdaus mamaetu, innalilahi wainnailaihi rajiun,polenisana familia kwaujumla Allah awapesubra
Allahumma Amiin
INNALILLAHI WAINA ILEHI RAJIUN
Masha Allah....hii famili ni wakweli
Mahojiano ya watu wote hayatfautiani
Inna lilahi wainna ilaiyhi rajiun Allah ampe safari ya kheri tupoweni kwa msiba tuweni pole
Mwanga wa milele umuangazie we bwana.
Nimelia sana, na nimekumbuka mengi mno.allah nijalie mwisho mwema.
Innalilah wanna ilah lajihun
Mashallah Imani ya mwanamke huyu si ya mchezo
Wallah kabarikiwa huyu dada
Mwanaadam yyte baada ya kifo chake anabakia history.. Wallah hapa Mama huyu kaacha history yenye athari kubwa katika jamii yake,, Na kwamba tumejifunza mengi lakin lililokubwa ni kuupata mwisho ulo mwema... Tuombeni mwisho mwema kwa kujikurubisha sana kwa Allah dahh..
اللهم غفرلها ورحمها ومسكنها في اللجنة..🤲🤲
Ni kweli kuwa miji ya Makkah na Madina ni miji mitakatifu, lakini kufia katika miji hiyo si tiketi ya kwenda peponi, tiketi ya kwenda peponi ni Amali za mja,,,,tunamuombea mwenzetu, Allah amsamehe makosa yake!!
Kwa kupitiya kauli ya marehemu na duwa zake ina onesha ishara ya mtu wa peponi insha allah kwana kafa kwenye ibada ni kitu ambaco kukipata nikujaaliwa tena sehemu ilio tiwa baraka na mtume na allah hakuna ubishi
Innalilahi Wainnailayhi Rajiun, ni bahati kubwa sana kwake kufia huko pahala pa tukufu kuzikwa pamoja na watu watukufu. Tumshukuru Mungu kumuwezesha kukamilisha hija yake.
Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun MaashaAllah amekufa baada ya kukamilisha hajj Mungu amlipe ujira wake na atujaalie na sisi mwisho mwema ya rabbi.
Wallahhi huyu mama yupo salama kwa baraka zake mtume nataman na twapaswa sote tutaman
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
Ss sote ni wa Allah na kwake tutarejea.
Allah ampe kaul thabit na sisi atupe mwisho mwema enshallh 😭😭😭😭
Inna lillah wainna ileihi rajiun 🥺 Allah anijalie mimi mwisho mwema 🥺🥺🥺
Inna lillah wainn ilaih rajiun MashaAllah Allah atujalie na sisi tufike kwenda na atupe kauli thabit
Inalillah wainailahi rajiun mngu ampe kauli thabit ameen
Pole Baba ,poleni familia, poleni watanzania mungu awape subira,na mungu amuhifathi Mahali Pema peponi ameen,,,,, YaAllah mrehemu Baba yangu mzazi na wazazi wote waliotangulia akhera na Uma jamia limsilimina,,ameeen ameen yarabi
Wote ni Maiti watarajiwa tufanyeni ibada kwawingi na kumtaja Allah kwawingi , na tumswalieni Mtume Mohammad (S.A.W ) Tuliobaki ni Ss tujiulize tutakufa tukiwa wapi na tutakuwa kwahali zipi ? Allah Atujslie Mwisho Mwema
Innalillah waina illah rajuon Allah amsamehe makosa yake na aipe subra familia yake inshaallah
انا لله وانا إليه راجعون
اللهم اغفر لها وارحمها
وعافها واعف عنها
وأكرم نزلها
ووسع مدخلها
واغسلها بالماء والثلج والبرد
Innalilah Wainna Ilaihi Rajuun. Ewe Mola Mlaze Pema Bibi Huyu.
Allah amor kauli thabit
Inna li llah wainna ilaih raajiun, poleni sana wafiwa, yote ni ya mungu alhamdulillah.
Innalillah wainna illayh rajiuuun ss sote niwaja wa m/mungu kwahakika tutarejea "mwenyezimungu ailaze roho yake mahala Pema pepon AAMIIIN*
Allah ghfir laha, wa rhamha wa skanha fil Jannat!
Inna Lillahy waiyyina Ilayyhi Raji-oon Pole sana Mzee Mwenzangu ni mazito ingawa ya halali InshaAALLAH M/Mungu ampe Kaul thabiti amsamehe Makosa yake ya Kibinaadam na Amuingize katika Pepo ya Firdaus Li Jannah
Inna lillahi wainna ilayhi raajiun Allah amjaalie miongoni mwa waja wema
Innallilah wainna ilaih rajiun hakika ya matendo huzingatiwa ule mwisho anaoondokea mtu duniani
Ma shallh Allahuma ina nasaluka husnulkhatima amin
lnnalillahi wainnaa ilayhi raajiuun, mashaa الله
Inna Lillah Waina Illah Rajiun...Mwenyezi Mungu ampe kaul Thabit, Poleni sana wafiwa, Mwenyezi Mungu awape Subra Inshaallah 🤲
Innalillah wainnailaihirajiun Allah amsameh makosa yake amin
Amiin
ASALAM ALAYKUM. SISTER UNADITHIA MAELEZO YA BI MKUBWA MACHOZI YANANTOKA LA MUIMU NI DUA KWA MAMA. MWENYEZI MUNNGU AMLAZE MAHALI PEMA PEPON AMEEN. POLEN SANA NA MWENYEZI MUNGU AWAPE MOYO WASUBIRA AMEEN
Innalillahi wainnaileihi rajioun.poleni sana.mungu awape subra na imani inshaallah
Innalillahi Wainna Ilayhi Rajiuun, Allah atujaalie nasi husnul hatma
Allahumma Amiin
Mashaaallah familihii nimeipenda licha msiba tuuuu
Innaalillah wainnaailyhi raajiun.
MUNGU amlaze mahali pema peponi🙏
Hakika sisi ni allah na kwake tutarejea allah amswameh makosa yake , ajaalie kabr lake liwe nuru ktk nuru za waja wema wa pepon na sisi atujalie tuwe na mwisho mwema atusameh makosa yetu amiin allahuma hauwy alayna sakaratmaut 🙏🙏🙏
Allah ampe kauli thaabiit amlaze mahala pema peponi aamiin..
Allahuma ghufirllaha warhamha waaskinaha filjanat 🤲🏼
Inna lillah wa inna ilaih rajiuna
Masha Allah hakika kazikwa katika mji mtukufu
poleni sana familia....
Pole baba yangu ALLAH akupe subra kwa woote wafiwa
اللهم اغفر لها وارحمها واسكنها في الجنة الفردوس الأعلى يارب
Huzuni haiachi lkn mwenzetu kafuzu الحمد الله na huku alikuwa anajijua harudi
tena
Allah atupe mwisho mwema atukutanishe na mtume wetu
امين يارب العالمين
Innalillah wainna ileihi Raaji’uun,,poleni sana Allah Amjaalie Jannatul Firdaws 😭🤲
Inna lillahi wainnaa ileihi rajiun.Allah amueke mahali pema peponi .Amghufirie dhambi zake.Amjaalie Jannatul firdaus.
Innalillah wainna ilaih rajiuun. Ni kheri kubwa kwa huyu mama kufia madina. Mnafki mgeni hawezi kufia mji wa madina kwa mnafiki yoyote madina lazima imtapike hawezi kufia madina rrasulillah kasema yoyote atakae toka hukooo kwa shughuli za ibada akafia madina kamdhamini pepo ni neeghma kubwa kwa huyu mama. Allahummathabbituhuh bilqaul thaabit Amiin.
Inna lillah wainna ilaihi rajiunnn...Allah atujalie mwisho mwema
Innalillahi ya Allah mjalie mamaetu kaul thabit na jannat firdaus iwe makaazi yake amin
InshAllah allah amuhifadhi
Innallillah Waina Ilayhi Rajiun. MASHALLAH TABARAKALLAH. KHUSUNUL HATIMA
Innalillah waina ilayh rajiiun..allah atujaalie nasi khatmaç njema
Allahumma Amiin
Amiiin yaa Rabbi
inlillah wa inna ilaihrajiuun Kwakwel allah yupo pamoja na wakwel na wenye kusubir Allah amjaalie nuru katika kabri lake