HII NDIO SABABU ILIYOFANYA ALMARHUM HAJJAT AKIBA RAMADHAN KUZIKWA MADINA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ค. 2022
  • fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #HabariZaUhakika #Zinjibartv
    Follow Zinjibartv
    Facebook | Zinjibartv
    INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 773 878 523
    +255 773 071 409
    Zinjibartv Journalists
    cc: Safia Hussein
    cc: Swaleh Watamaama
    Camera Department"
    Muarabu Mmadi
    Editors:
    Ali Hassira
    Ramla Haji
    Abdillahi Said
    Dereva
    Ali Mohammed
    Video Zingine:
    Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
    - HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
    • MTOTO WA TURKY AJITOSA...
    • HIZI NDIO TEZO ZA KICH...

ความคิดเห็น • 519

  • @muhamadhusein5260
    @muhamadhusein5260 ปีที่แล้ว +109

    Innalilahi wainnailaihi rajiuun,
    Ni mtu wa peponi huyo Kwa mujibu wa kauli ya Mtume ,Allah ammiminie rema Kwa wingi, amin×100

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 ปีที่แล้ว +41

    Mngeamua kumsafirisha msingemfanyia haq. Kwanza kusafirisha maiti kiisilam si nzuri halafu amekufa mji mtakatifu. Allah amjaalie awe miongoni mwa waja wake wema alowaridhia na akukutanisheni nae peponi pamoja na sisi, Amiin.

    • @eshasalim5496
      @eshasalim5496 ปีที่แล้ว +1

      Amiin Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว +5

      Ni kweli kuwa Madina ni mji mtakatifu, lakini si kweli kila aliyekufa humo kuwa ni mtu wa peponi, Bali vitakavyompeleka mja peponi ni amali zake,,,,,tunamuombea mwenzetu!! Mungu amjaalie awe miongoni mwa waja wake wema!! Na Sisi pia atujaalie mwisho mwema!

    • @husna34562
      @husna34562 ปีที่แล้ว

      Amiin

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 ปีที่แล้ว +1

      @@jumakapilima7295 usibishe wewe ardhi ya Madina haipokei wanafiq Wala Masih dajal haingii maka na Madina fitna huku huku tu bongo siyo huko mji mtukufu. hata wakaazi wa Madina ambao si wema ardhi inawakataa watatoka tu waende kufia huko mbali.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว

      @@hassanmfaume4522 Nakubali kuwa Makkah na Medina ni miji mitakatifu, lakini tambua ndugu yangu kufia katika miji hiyo si tiketi ya kwenda peponi, kitakachompeleka mja peponi ni amali zake, Makafiri waliokuwa wakimpinga Mtume SAW kina Abulahab, Abuujahal na wengineo wamezaliwa hukohuko na wamefia hukohuko na wamezikwa hukohuko lakini Kwa mujibu wa maandiko hayohayo sidhani kama wataingia peponi!! Huo ndio ukweli!!

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 ปีที่แล้ว +10

    Nilichojifunza kwenye hii familia ni kua ni familia ya watu wenye dini sana na wameshiba tawhiid.

    • @habibakhalfan1065
      @habibakhalfan1065 ปีที่แล้ว

      Sana

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 ปีที่แล้ว

      @@habibakhalfan1065 na ww umeliona Da Habiba? Natamani niwe na familia yenye tawhiid na kuiacha dunia

  • @issamohammednassor8688
    @issamohammednassor8688 ปีที่แล้ว +26

    Hawa ndio wana sifa za urijali alizozitaja Allah walimtaka Allah na Allah akawathibitisha matakwa yao na mie namuomba Allah nifie madina aaamin ya Raab

    • @halimahalima1488
      @halimahalima1488 ปีที่แล้ว

      Amiiiin yaarabih

    • @hidayaomar2798
      @hidayaomar2798 ปีที่แล้ว +1

      Ammiin 🤲

    • @thamani5842
      @thamani5842 ปีที่แล้ว

      Amiin

    • @eshasalim5496
      @eshasalim5496 ปีที่แล้ว

      Amiin Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว +2

      Kufia Madina si tiketi ya kwenda peponi, vitendo vya mja ndio tiketi yake ya peponi,,,,,tunamuombea mwenzetu!!

  • @adammgana3633
    @adammgana3633 ปีที่แล้ว +15

    MashaAllah mashaAllah mtume kasema tamanini kufia madina ili yaumul Qiyyama muwe karibu yangu ni furaha ilioje wallahhi ...haya ni machungu yaliyo nafuraha ....Allah azid mpa kauli thabit na awape subra wafiwa ......Allahhumma amiin

    • @najianajia9955
      @najianajia9955 ปีที่แล้ว +1

      Aameen aameen inasikitisha mnoo😰sote njia yetu moja

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 ปีที่แล้ว

      Ameeeen Ya Rabbil Aaalamin

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 ปีที่แล้ว +10

    Mungu kampenda zaidi, kamaliza hija allahamdulillah, halafu kazikwa Madina,ardhi ambayo Mtume S.A.W. Kazikwa,bahati sana,mama kajaliwa sana.

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 6 หลายเดือนก่อน +1

    Yaa Rabbi tunakuomba utupe mwisho mwema kama ulivyompa Bi Akiba!🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 ปีที่แล้ว +19

    Ya Allah mrehemu mama huyu, mpitishe njia aliopita mtume Muhammad wakati akiingia pepon
    Allah awape subra familia yote dunia tuna pita

  • @rayaali83
    @rayaali83 ปีที่แล้ว +6

    Allah amjaalie kila la kheri amsamehe makosa yke ayageuze makosa yke kua mema yake aaminn

  • @chiefalferous
    @chiefalferous ปีที่แล้ว +5

    Allah amuhifadhi amuondolee adhabu za kaburi na alijaze NURU kaburi la Hajat wetu

    • @omanmct135
      @omanmct135 ปีที่แล้ว

      Aaaallllah huma amin

    • @mrutumussa5143
      @mrutumussa5143 ปีที่แล้ว

      INALLILLAH WAINA LILLAH RAJIUNI 😭 ALLAH AMPE KAURI THABITI

  • @AhmadBaalawy1
    @AhmadBaalawy1 ปีที่แล้ว +3

    SubhanALLAH
    Pongezi sana mama yetu kwa kupata mwisho mwema na kuzikwa katika Ardhi tuku ya Mtume Mtukufu MUHAMMAD (SAW)....ALLAH atujaalie na sisi bahati ya kupata mwisho wetu katika mji mtukifu wa MADINA tuwe majirani na HABIBANA MUHAMMAD (SAW)....Kwa upande familia ni uchungu kweli kuondokewa na mama kama huyu na akiwa mbali na familia yake,lakini vile vile ni furaha pia MAMA kupata mwisho wake na kuzikwa katika mji Mwema wa MADINATUL MUNAWARA........Bila Shaka MAMA yuko katika sehemu nzuri sana,ALLAH atukutanishe na yeye peponi pamoja na manabii na waja wema waliotangulia.....Nawaombea Familia yake haswa watoto wake, ALLAH awazidishie subra na imani na washikane zaidi.

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 ปีที่แล้ว +25

    Innna Lilah wainaa ilaih rajiuun mama dada mungu akupokee Kwa mikono miili 😭😭😭😭

  • @ummesaniyah
    @ummesaniyah ปีที่แล้ว +8

    Allah amrehemu mama huyu...this is testimony she was righteous lady ...you can tell the way she raised her daughter..Maa sha Allah.. what a beautiful way to die....congratulation....May Allah accept from her good deeds and her hajj, May Allah have mercy on her....May Allah grant us husnul khatm....ameeen!!!!!!!!

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 ปีที่แล้ว +41

    Allah sw mlaze mahala pema Peponi mama Akiba na utujaalie sisi mwisho mwema. Amin!

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y ปีที่แล้ว +15

    Hiki ni kifo chema mashallah Allah atupe mwisho mema Ammi n

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 ปีที่แล้ว +1

      Amiiiin Yaa Rabbi kwa sote in Shaa Allah

  • @jaymwinyi6957
    @jaymwinyi6957 ปีที่แล้ว +17

    Inna lillahi wainna ilayhi rajiun😭😭😭poleni sana familia na jamaa wote,,, ALLAH AMLAZE KWENYE WAJA WEMA PEPONI 👏👏👏👏😭😭 POLENI SANA 🇸🇦🇰🇪

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 ปีที่แล้ว

      waallahi nimelia kwa kweli ALLAH awape subra jmni wkti huu wa huzni

  • @nureyna629
    @nureyna629 ปีที่แล้ว +40

    Innaalillahi wainnaa ilayhi raajiuun, Allah amsamehe makisa yake na majaaliwa kuwa miongoni mwa watu wema. Aamyn yaarabbal alamyn

  • @rosemery542
    @rosemery542 ปีที่แล้ว +11

    Inna Lillah Waina Illah Rajuun amsamehe madhambi zake na amkubalie hija zake. Ampeleke Pepo ya Fardows

  • @maryamathman8917
    @maryamathman8917 ปีที่แล้ว +9

    Innalilahi wainailaih rajiun poleni sana mungu awape nguvu na subra kwa kipindi hichi kigumu... Allah amfungulie kitabu chake kwa mkono wa kulia 😭😭😭😭

  • @alidaizan4706
    @alidaizan4706 ปีที่แล้ว +18

    Inna Lilah waina ilah rajium .ee mwezimungu mhifadhi mahala pema mja wako .mbele yake nyuma yetu.inshaalah.

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 ปีที่แล้ว +28

    Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin ampe kauli thabit yaarab ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia allahumma ameen yaarabil Aalamiin. Poleni sana wafiwa

  • @Faith-n6u
    @Faith-n6u ปีที่แล้ว +19

    Inna lillah wainna ilayhir raajiuun
    Allah amsameh alipokosea, amraham na kumlaza pema penye wema peponi hajjat. Poleni sana wafiwa, Allah awazidishieni subra njema. Maa shaa Allah nimejifunza vitu kutokana na maelezo yenu 👏🏽 Allah Akbar

  • @mwanaishakhamis8069
    @mwanaishakhamis8069 ปีที่แล้ว +7

    Allah ampe kauli thabit Amin 🤲 ampe kitabu chake Kwa mkono wa kulia Amin

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 ปีที่แล้ว +4

    Wajina wangu pole saaana Allah akupe subra kwa wingi

  • @jamalahmed5922
    @jamalahmed5922 ปีที่แล้ว +26

    May Allah open every door of Jannah for her and may she be raised as a Sabiqoon - ameen ya rabbi🙏

    • @Idysalim
      @Idysalim ปีที่แล้ว

      Ameen ya Thul'jalili wal ikram

    • @ukhtywaa6545
      @ukhtywaa6545 ปีที่แล้ว +1

      Ammin

    • @jamalahmed5922
      @jamalahmed5922 ปีที่แล้ว

      @@Idysalim BarakAllahu feek

    • @jamalahmed5922
      @jamalahmed5922 ปีที่แล้ว

      @@ukhtywaa6545 BarakAllahu feeki ya Ukhty

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 ปีที่แล้ว +9

    Mwandishi tuandalie toleo la maisha ya Hajat Akiba siku zijazo.

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 ปีที่แล้ว +6

    Innalillahi wa inna ilayhi raj'uun..... Mwenyezi Mungu awape wa subira... Sote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake ni marejeo yetu.

  • @aminabalamamnyawasatz3385
    @aminabalamamnyawasatz3385 ปีที่แล้ว +7

    Innalilahi wainna ileih Rajiun poleni Sana mauti ni mlango kila mmoja ataupita kikubwa maandalizi Allah amjalie qawli Thabit amjaalie pepo ya juu Kabisa iwe sababu ya Yy wazazi wake kuingia peponi

  • @abdulfattaah4510
    @abdulfattaah4510 ปีที่แล้ว +4

    لااله إلا الله محمد رسول الله
    يارب كلنا عبادك إنا مقرونا بذنوبنا فاغفرلنا يارب
    اللهم اغفرلها وارحمها وجعلها من المتقبلين
    واجعلها من عبادك المؤمنين الذين يرثون الفردوس هم فيها خالدون

  • @ummohammed8380
    @ummohammed8380 ปีที่แล้ว +5

    Subhana allah
    Lahaulawalakuwata ila biallah
    Allahuma ruzkuna husn lkhatima

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 ปีที่แล้ว +11

    YARABI atujaaliye nasi Mwisho mwema amin amin YARABI amin.

  • @maxmody
    @maxmody ปีที่แล้ว +8

    Allahu Akbar!! Allah ampe makazi mema

  • @rukiabari9431
    @rukiabari9431 ปีที่แล้ว +5

    Innalilah waina illah rajiun Allah amsamehe dhambi zakeza siri na dhahir, ampe kaul dhabit... 🤲

    • @faizanassor6336
      @faizanassor6336 ปีที่แล้ว +1

      THUMMA AMEEN na ss ALLAH atupe mwisho mwema AMEEN

    • @halimahalima1488
      @halimahalima1488 ปีที่แล้ว

      @@faizanassor6336 amiiiin

  • @mundhiribrahim6292
    @mundhiribrahim6292 ปีที่แล้ว +6

    Allwah amsameh makosa yke nasisi atupe mwisho mwema

  • @issaali7669
    @issaali7669 ปีที่แล้ว +15

    اللهم غفرلها ورهمها وعفونها وأكرم نزلها وودخل مدخلها. اللهم ثبتها بلقول ثابت فى هذه لهياة دنيا وفلأخرة.

    • @eshasalim5496
      @eshasalim5496 ปีที่แล้ว

      Allahumma Amiin

    • @allyrabbany4538
      @allyrabbany4538 ปีที่แล้ว

      Dua umeandika Makosa NDUGU YANGU,
      Afadhali ungeandika kwa Lugha Yako.

  • @babuudullahmunisi4753
    @babuudullahmunisi4753 ปีที่แล้ว +8

    Mashallah mashallah mashallah very strong ukhty

  • @faeshanoor4129
    @faeshanoor4129 ปีที่แล้ว +2

    Maashaa Allah sijui age yako lakin una hikma sana zaid ya umri wako unaoonekana nao, subhanallah Allah anijaalie mtoto mwema kama wewe au zaid ya wewe muda wangu ukiwadia amin...ur parents must be so proud of u.....poleni. Sana na msiba Allah awape subra juu ya hili, Allah ampe pepo yenye darja bora zaid amin amin...

    • @zuluikaji9987
      @zuluikaji9987 ปีที่แล้ว

      Nakuombea Allah aijibu dua yako hii. Amin

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 ปีที่แล้ว +16

    Poleni Allah amlaze mahala pema peponi nasi atupe mwisho mwema, amiin.

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily9099 ปีที่แล้ว +2

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ

  • @fatmaalhabs6939
    @fatmaalhabs6939 ปีที่แล้ว

    Allah marehem amkabidhii kitubu chake mkono WA kulia aminee

  • @huss668
    @huss668 ปีที่แล้ว +10

    Innalilahi wainna ilayhi rajiun Allah amlaze mahali pema peponi Ameen Yaa Rabbi

  • @khalfanshahabakar7439
    @khalfanshahabakar7439 ปีที่แล้ว +6

    Mungu amsamehe na amuingize peponi .AMIN

  • @hijahamad4625
    @hijahamad4625 ปีที่แล้ว +6

    Allah amlipe kheir na sisi atujaalie mwisho mwema pia awape moyo wa subra familia wote

    • @thamani5842
      @thamani5842 ปีที่แล้ว

      Amiin

    • @ayubujuma8346
      @ayubujuma8346 ปีที่แล้ว

      Innallillah wa innallilah rajiuun, ALLAH(SW) amuhifadhi na adhabu za kabri, kwani amepata mwisho mwema na ameacha watoto wachamungu, Alhamdullillaha

    • @salamabakari8384
      @salamabakari8384 7 วันที่ผ่านมา

      Amiin

  • @kusagaonlinetv3983
    @kusagaonlinetv3983 ปีที่แล้ว +4

    Inn lillah wa inna ilayhi rajiun allah ampe qauli dhaabiti amlaze mahali pema peponi

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g ปีที่แล้ว +11

    Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 😭🤲 Allahkila siku na Mimi anijaalie Nipate kwenda kuhij Makkah Kwa hicho kidogo ninachokitafuta yarabii.kwani kiasi Gani kwani kwenda kuhij jaman?!

    • @mwanaidiawesu221
      @mwanaidiawesu221 ปีที่แล้ว

      milioni kumi naaaa zaid

    • @fifo262
      @fifo262 ปีที่แล้ว

      @@mwanaidiawesu221 kuazia m 20

    • @salhaismail2231
      @salhaismail2231 ปีที่แล้ว +1

      Milion 15na laki 3 dola 6500 zipo pia taasis za chini ya iyo

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 ปีที่แล้ว

      @@fifo262 haifiki 20 M
      Ni 15 plus kiduchu

    • @fifo262
      @fifo262 ปีที่แล้ว

      @@muddymuzungu4357 usiseme haifiki uu mwaka uu wapo waliokwenda kwa 22m na wapo waliokwenda kwa 24 na wapo ambao walishindwa kwenda sababu ya ongezeko la izo m , la msingi allaha atuwezeshe kwa nia zetu

  • @midaahlove4168
    @midaahlove4168 ปีที่แล้ว +12

    Nyie ni vigumu sanaah wallah ni vigumu sanaah Tena mnoo😭😭 Allah ampe kauli dhabit mbele yake nyuma yetu hakuna kitakacho dumu milele

  • @user-rq4cj1ds6r
    @user-rq4cj1ds6r ปีที่แล้ว +2

    غفر الله لها وأدخلها فسيح جناته
    Ila kaondoka vizur Allah ampe makazi mema kwenye Pepo ya firdaus

  • @luciakiponda1790
    @luciakiponda1790 ปีที่แล้ว +2

    Allah ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia. Amiiiin

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 ปีที่แล้ว +1

    🤔🤲Mungu ailaze roho ya marehemu pahali pema peponi amin. Ndio safari sote tuna muda wetu na tuko njiani..

  • @ummyproductnatural4512
    @ummyproductnatural4512 ปีที่แล้ว +8

    Wivu wangu kwa waliojaaliwa kufiwa madina, umaut wake umeacha faraja kwa ndugu hawana mashaka na aendako kila mmoja wetu apendae kheri huu mwisho anautamani ungelikuwa wake, ila tusiache kumuomba Allah atujaalie na sisi tuliobakia khatma njema wenye masimulizi mema ndani yake , ewe mola warehemu maiti wetu waislamu popote walipolala

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว

      Kufia Madina au Makkah si tiketi ya kwenda peponi, kitakachompekeka mja peponi ni amali zake, uthibitisho wa Hilo kina Abulahab, Abuujahali, ubayyi bin sululu n.k wote ni watu wa huko huko Kwa kuzaliwa na wamefia huko huko lakini si katika watu wa peponi!!! insha'Allah tumuombee mwenzetu na Sisi tuombe tupate mwisho mwema, insha'Allah!!

    • @husnamtitiko9312
      @husnamtitiko9312 ปีที่แล้ว

      Allahumma Amiiina

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 ปีที่แล้ว +3

    Allah ampe kauli thabiti amueke peponi Amyn🤲

  • @Faith-n6u
    @Faith-n6u ปีที่แล้ว +26

    Mbona hizo sauti za miziki ziko juu sana kuliko maelezo?

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 ปีที่แล้ว +1

      Tena zina kelele sana kwanza habari za huzuni miziki ya nn? Hata mtu hupati utulivu kusikiliza habar zenu

  • @mariamhamad4171
    @mariamhamad4171 ปีที่แล้ว +9

    Allah ampe jannat Firdaus mamaetu, innalilahi wainnailaihi rajiun,polenisana familia kwaujumla Allah awapesubra

  • @saadaburhan1340
    @saadaburhan1340 ปีที่แล้ว

    Masha Allah....hii famili ni wakweli
    Mahojiano ya watu wote hayatfautiani

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 ปีที่แล้ว +7

    Inna lilahi wainna ilaiyhi rajiun Allah ampe safari ya kheri tupoweni kwa msiba tuweni pole

    • @salmahabibu3994
      @salmahabibu3994 ปีที่แล้ว

      Mwanga wa milele umuangazie we bwana.

    • @salmahabibu3994
      @salmahabibu3994 ปีที่แล้ว

      Nimelia sana, na nimekumbuka mengi mno.allah nijalie mwisho mwema.

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 ปีที่แล้ว +6

    Innalilah wanna ilah lajihun

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y ปีที่แล้ว +1

    Mashallah Imani ya mwanamke huyu si ya mchezo

  • @salumabuu6074
    @salumabuu6074 ปีที่แล้ว

    Mwanaadam yyte baada ya kifo chake anabakia history.. Wallah hapa Mama huyu kaacha history yenye athari kubwa katika jamii yake,, Na kwamba tumejifunza mengi lakin lililokubwa ni kuupata mwisho ulo mwema... Tuombeni mwisho mwema kwa kujikurubisha sana kwa Allah dahh..
    اللهم غفرلها ورحمها ومسكنها في اللجنة..🤲🤲

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว +2

    Ni kweli kuwa miji ya Makkah na Madina ni miji mitakatifu, lakini kufia katika miji hiyo si tiketi ya kwenda peponi, tiketi ya kwenda peponi ni Amali za mja,,,,tunamuombea mwenzetu, Allah amsamehe makosa yake!!

    • @guhgghhg8592
      @guhgghhg8592 ปีที่แล้ว

      Kwa kupitiya kauli ya marehemu na duwa zake ina onesha ishara ya mtu wa peponi insha allah kwana kafa kwenye ibada ni kitu ambaco kukipata nikujaaliwa tena sehemu ilio tiwa baraka na mtume na allah hakuna ubishi

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 ปีที่แล้ว +1

    Innalilahi Wainnailayhi Rajiun, ni bahati kubwa sana kwake kufia huko pahala pa tukufu kuzikwa pamoja na watu watukufu. Tumshukuru Mungu kumuwezesha kukamilisha hija yake.

  • @sweetmeena5970
    @sweetmeena5970 ปีที่แล้ว

    Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun MaashaAllah amekufa baada ya kukamilisha hajj Mungu amlipe ujira wake na atujaalie na sisi mwisho mwema ya rabbi.

  • @adammgana3633
    @adammgana3633 ปีที่แล้ว +1

    Wallahhi huyu mama yupo salama kwa baraka zake mtume nataman na twapaswa sote tutaman

  • @zainabujahshi6587
    @zainabujahshi6587 ปีที่แล้ว +1

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
    Ss sote ni wa Allah na kwake tutarejea.

    • @mwanakheribrahim1418
      @mwanakheribrahim1418 ปีที่แล้ว

      Allah ampe kaul thabit na sisi atupe mwisho mwema enshallh 😭😭😭😭

  • @firstlady9848
    @firstlady9848 ปีที่แล้ว +4

    Inna lillah wainna ileihi rajiun 🥺 Allah anijalie mimi mwisho mwema 🥺🥺🥺

  • @maryamkhamis9493
    @maryamkhamis9493 ปีที่แล้ว

    Inna lillah wainn ilaih rajiun MashaAllah Allah atujalie na sisi tufike kwenda na atupe kauli thabit

  • @asmaafamau9293
    @asmaafamau9293 ปีที่แล้ว +2

    Inalillah wainailahi rajiun mngu ampe kauli thabit ameen

  • @aminahamisi2837
    @aminahamisi2837 ปีที่แล้ว

    Pole Baba ,poleni familia, poleni watanzania mungu awape subira,na mungu amuhifathi Mahali Pema peponi ameen,,,,, YaAllah mrehemu Baba yangu mzazi na wazazi wote waliotangulia akhera na Uma jamia limsilimina,,ameeen ameen yarabi

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 ปีที่แล้ว

    Wote ni Maiti watarajiwa tufanyeni ibada kwawingi na kumtaja Allah kwawingi , na tumswalieni Mtume Mohammad (S.A.W ) Tuliobaki ni Ss tujiulize tutakufa tukiwa wapi na tutakuwa kwahali zipi ? Allah Atujslie Mwisho Mwema

  • @halimaprecious3811
    @halimaprecious3811 ปีที่แล้ว +2

    Innalillah waina illah rajuon Allah amsamehe makosa yake na aipe subra familia yake inshaallah

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 ปีที่แล้ว +11

    انا لله وانا إليه راجعون
    اللهم اغفر لها وارحمها
    وعافها واعف عنها
    وأكرم نزلها
    ووسع مدخلها
    واغسلها بالماء والثلج والبرد

    • @aminapoyo6452
      @aminapoyo6452 ปีที่แล้ว

      Innalilah Wainna Ilaihi Rajuun. Ewe Mola Mlaze Pema Bibi Huyu.

    • @AbdulWahab-lg9xc
      @AbdulWahab-lg9xc ปีที่แล้ว

      Allah amor kauli thabit

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 ปีที่แล้ว +4

    Inna li llah wainna ilaih raajiun, poleni sana wafiwa, yote ni ya mungu alhamdulillah.

    • @zulfabakari6404
      @zulfabakari6404 ปีที่แล้ว

      Innalillah wainna illayh rajiuuun ss sote niwaja wa m/mungu kwahakika tutarejea "mwenyezimungu ailaze roho yake mahala Pema pepon AAMIIIN*

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q ปีที่แล้ว +3

    Allah ghfir laha, wa rhamha wa skanha fil Jannat!

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 ปีที่แล้ว

    Inna Lillahy waiyyina Ilayyhi Raji-oon Pole sana Mzee Mwenzangu ni mazito ingawa ya halali InshaAALLAH M/Mungu ampe Kaul thabiti amsamehe Makosa yake ya Kibinaadam na Amuingize katika Pepo ya Firdaus Li Jannah

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 ปีที่แล้ว +3

    Inna lillahi wainna ilayhi raajiun Allah amjaalie miongoni mwa waja wema

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 ปีที่แล้ว

    Innallilah wainna ilaih rajiun hakika ya matendo huzingatiwa ule mwisho anaoondokea mtu duniani

  • @ummukhansaa5701
    @ummukhansaa5701 ปีที่แล้ว

    Ma shallh Allahuma ina nasaluka husnulkhatima amin

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 ปีที่แล้ว +3

    lnnalillahi wainnaa ilayhi raajiuun, mashaa الله

  • @faridasaidpondeza8552
    @faridasaidpondeza8552 ปีที่แล้ว

    Inna Lillah Waina Illah Rajiun...Mwenyezi Mungu ampe kaul Thabit, Poleni sana wafiwa, Mwenyezi Mungu awape Subra Inshaallah 🤲

  • @mapishiyakwetu
    @mapishiyakwetu ปีที่แล้ว +4

    Innalillah wainnailaihirajiun Allah amsameh makosa yake amin

  • @mohamedally6992
    @mohamedally6992 ปีที่แล้ว

    ASALAM ALAYKUM. SISTER UNADITHIA MAELEZO YA BI MKUBWA MACHOZI YANANTOKA LA MUIMU NI DUA KWA MAMA. MWENYEZI MUNNGU AMLAZE MAHALI PEMA PEPON AMEEN. POLEN SANA NA MWENYEZI MUNGU AWAPE MOYO WASUBIRA AMEEN

  • @khadijaabdallah3337
    @khadijaabdallah3337 ปีที่แล้ว +1

    Innalillahi wainnaileihi rajioun.poleni sana.mungu awape subra na imani inshaallah

  • @asiaa6573
    @asiaa6573 ปีที่แล้ว +3

    Innalillahi Wainna Ilayhi Rajiuun, Allah atujaalie nasi husnul hatma

  • @musahugo
    @musahugo ปีที่แล้ว +3

    Mashaaallah familihii nimeipenda licha msiba tuuuu

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 ปีที่แล้ว +6

    Innaalillah wainnaailyhi raajiun.

  • @jelistinajoel5888
    @jelistinajoel5888 ปีที่แล้ว

    MUNGU amlaze mahali pema peponi🙏

  • @ashrunaomar4882
    @ashrunaomar4882 ปีที่แล้ว

    Hakika sisi ni allah na kwake tutarejea allah amswameh makosa yake , ajaalie kabr lake liwe nuru ktk nuru za waja wema wa pepon na sisi atujalie tuwe na mwisho mwema atusameh makosa yetu amiin allahuma hauwy alayna sakaratmaut 🙏🙏🙏

  • @kurshidsaleh1499
    @kurshidsaleh1499 ปีที่แล้ว

    Allah ampe kauli thaabiit amlaze mahala pema peponi aamiin..

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 ปีที่แล้ว +1

    Allahuma ghufirllaha warhamha waaskinaha filjanat 🤲🏼

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 ปีที่แล้ว +6

    Inna lillah wa inna ilaih rajiuna
    Masha Allah hakika kazikwa katika mji mtukufu
    poleni sana familia....

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 ปีที่แล้ว

    Pole baba yangu ALLAH akupe subra kwa woote wafiwa

  • @user-vj6qs8sv8i
    @user-vj6qs8sv8i ปีที่แล้ว

    اللهم اغفر لها وارحمها واسكنها في الجنة الفردوس الأعلى يارب
    Huzuni haiachi lkn mwenzetu kafuzu الحمد الله na huku alikuwa anajijua harudi
    tena
    Allah atupe mwisho mwema atukutanishe na mtume wetu
    امين يارب العالمين

  • @camillas.edrees6155
    @camillas.edrees6155 ปีที่แล้ว

    Innalillah wainna ileihi Raaji’uun,,poleni sana Allah Amjaalie Jannatul Firdaws 😭🤲

  • @fatmehfaraj5188
    @fatmehfaraj5188 ปีที่แล้ว

    Inna lillahi wainnaa ileihi rajiun.Allah amueke mahali pema peponi .Amghufirie dhambi zake.Amjaalie Jannatul firdaus.

  • @allymtungunyu2425
    @allymtungunyu2425 ปีที่แล้ว

    Innalillah wainna ilaih rajiuun. Ni kheri kubwa kwa huyu mama kufia madina. Mnafki mgeni hawezi kufia mji wa madina kwa mnafiki yoyote madina lazima imtapike hawezi kufia madina rrasulillah kasema yoyote atakae toka hukooo kwa shughuli za ibada akafia madina kamdhamini pepo ni neeghma kubwa kwa huyu mama. Allahummathabbituhuh bilqaul thaabit Amiin.

  • @rashidsaid1092
    @rashidsaid1092 ปีที่แล้ว +3

    Inna lillah wainna ilaihi rajiunnn...Allah atujalie mwisho mwema

  • @abdulhalim3840
    @abdulhalim3840 ปีที่แล้ว

    Innalillahi ya Allah mjalie mamaetu kaul thabit na jannat firdaus iwe makaazi yake amin

  • @kibelaame5178
    @kibelaame5178 ปีที่แล้ว +1

    InshAllah allah amuhifadhi

  • @mozuusuleiman4702
    @mozuusuleiman4702 ปีที่แล้ว

    Innallillah Waina Ilayhi Rajiun. MASHALLAH TABARAKALLAH. KHUSUNUL HATIMA

  • @muniraally3580
    @muniraally3580 ปีที่แล้ว +5

    Innalillah waina ilayh rajiiun..allah atujaalie nasi khatmaç njema

  • @rahmaalbert888
    @rahmaalbert888 ปีที่แล้ว

    inlillah wa inna ilaihrajiuun Kwakwel allah yupo pamoja na wakwel na wenye kusubir Allah amjaalie nuru katika kabri lake