TAHARUKI MTWARA | VITU VYA AJABU VYAJITOKEZA BAHARINI NA KUHARIBU MAKAZI KIJIJI CHA NAUMBU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Alasili ya Julai 17 2024 kumetokea hali ya Taharuki katika Pwani ya Kijiji cha Naumbu Wilaya na Mkoa wa Mtwara baada ya kutokea vitu vya ajabu Baharini kama Upepo ulioambatana na Moto na ulipofika Nchikavu vitu hivyo vilimvamia Mama mmoja aitwae Bi. Rukia Muwanya mkazi wa Kijiji hicho ambae alikuwa amembeba Mtoto wake.
    Mama huyo alikimbilia kwenye nyumba yake ambapo baadae nyumba hiyo iliezuliwa Paa lake na kutupwa pembezoni mwa Bahari ya hindi. Hata hivyo Vitu hivyo pia vilivunja Mtumbwi wa Baba mwenye nyumba hiyo Ndugu Fadhili Ismaili na kuvuruga Choo cha Makuti cha nyumba hiyo.
    SUBCRIBE TH-cam CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV ILI KUPATA HABARI ZETU

ความคิดเห็น • 273

  • @AishaSulutan
    @AishaSulutan 6 หลายเดือนก่อน +8

    Maeneo ayo ni atali wako kalibu sana na bahali lolote linaweza kutokea waondoke maeneo ayo

  • @MARIAMUKAEMBE
    @MARIAMUKAEMBE หลายเดือนก่อน

    Duh namjua huyo kaka polen sana jaman

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 6 หลายเดือนก่อน +4

    Watu Hawajui kama baharini kuna majini sana. Watu wajenge mbali. Pole sana dada.

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 6 หลายเดือนก่อน +2

    SubhanAllah, Mungu ndie anaejua zaidi

  • @khadijamohanani6476
    @khadijamohanani6476 6 หลายเดือนก่อน +21

    Dah mumejenga karibu sana na bahari,sasa hiyo ni tahadhari mumeonyeshwa ondokeni hapo

  • @advelatandika6313
    @advelatandika6313 6 หลายเดือนก่อน +8

    Poleni saana ndugu zetu,
    Ila mko na haja ya kumpokea Yesu ili muwe huru , Mungu awasaidie saana

    • @JumaaKibungo
      @JumaaKibungo 5 หลายเดือนก่อน

      Sio mko na haja sema tupo na haja ya kumpokea yesu iIi tuwe huru sema mungu atusaidie sana

    • @LuluAquai
      @LuluAquai หลายเดือนก่อน

      Acha upumbavu ww

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 6 หลายเดือนก่อน +8

    Kimbunga hicho
    Tunamshukuru Mungu mko salama

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 6 หลายเดือนก่อน +13

    Alhamndulilah kwa Imani yenu Allah akujaalienu moyo wa Subra

    • @mulaomary
      @mulaomary 6 หลายเดือนก่อน

      😊😊😊😊😊😊

  • @MariamuJuma-t8z
    @MariamuJuma-t8z หลายเดือนก่อน +1

    Mumekazana kuwambia kwaniniwamejengq karibu nabahari wakati ndomaeneoyaondoyalipo nakamahawanamaeneo mengine asawaendewapi serikali iwajengee

  • @SuleimanKheleiff
    @SuleimanKheleiff 5 หลายเดือนก่อน +1

    Duuh pole jamaniiiiii mwenyezi mungu awalinde msidhurike

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340 6 หลายเดือนก่อน +6

    Pole sana dada Allah amekuhifadhi kwa hili na akuhifadhi na jingine

  • @nelsonnikodem1100
    @nelsonnikodem1100 6 หลายเดือนก่อน +3

    Poleni sana mwenyezi munguu awasimamie

  • @suleimanmohd-kw5be
    @suleimanmohd-kw5be 2 หลายเดือนก่อน

    polen

  • @HellenaMky
    @HellenaMky 6 หลายเดือนก่อน +9

    Matukio ya sku zamwisho. Yote yametabiliwa yatatikea haya YESU yupo mlangoni. Anakuja Dunia inaanguka😭😭😭 tumombe mungu. Atupe Akili yakusinama. Na Imani imala

    • @salimanguzo5553
      @salimanguzo5553 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂utamskia uyo yesu hutaeza muona utakufa na hadithi ya yesu

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 6 หลายเดือนก่อน

    Allahu.Akbaru.SubhanaAllha.Poleni.mnatetemaNywiiiii.Allahu.Akbaru

  • @NdakiDoyi
    @NdakiDoyi 6 หลายเดือนก่อน

    poleni sana kwanini msitoke mazingira hayo

  • @SmilingPhoenix-td1rz
    @SmilingPhoenix-td1rz 6 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni sana

  • @donathmrema4519
    @donathmrema4519 6 หลายเดือนก่อน +8

    Ishara tata za muumba wetu, tujue bila .ungu hatuwezi chochote

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 6 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 6 หลายเดือนก่อน +28

    Wamejenga bahatini kabisaaa! Mmm wasogee mbali kidogo. Bahari ina mambo mengi saana

    • @MahdouMomba
      @MahdouMomba 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @MahdouMomba
      @MahdouMomba 6 หลายเดือนก่อน

      Aiseeeeeeeeeee

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 6 หลายเดือนก่อน +10

    Mimi na nimeanza kusadiki sara za wakatoliki kuna kipindi waatoliki wanaamini hivi.nasadiki kwa mungu moja muumba vitu vyote vinavyo onekana na visivyo onekana hivo dunia ni pana sana bado kuna vitu ambavyo hatujafikia kuviona ni kiasi kidogo sana tunavyo vijuwa.

    • @abduljuma7807
      @abduljuma7807 6 หลายเดือนก่อน

      Sasa wewe unawaamini katoliki kwalipi sasa

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 6 หลายเดือนก่อน

      Kwa kusadiki😊​@@abduljuma7807

    • @zanzibamjimpya17
      @zanzibamjimpya17 6 หลายเดือนก่อน +2

      kama huamini bas tafakali huyo kajieleza kuwa tutambue kuna viumbe vinavyoonekana na visivyo onekan

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 6 หลายเดือนก่อน +13

    Tornado Kimbunga hicho. Huwa kinajizungusha na kuja kwa nguvu.kinatikea mini michache ya Marekani. Kinaezua nyumba. Tornado. Kinaweza kukuzoa na kukutupa huko.

  • @Sidik-d7e
    @Sidik-d7e 6 หลายเดือนก่อน +5

    POLE SANA MY MOTHER MY ALLAH WILL PROTECT FROM SHATAN AND JINN INSHALLAH AMEEN SUMA AMEEN 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @alphayomogunde7828
    @alphayomogunde7828 5 หลายเดือนก่อน

    Majini za shetani aaki!.

  • @AnnahChibwana
    @AnnahChibwana 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu awalinde

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd 6 หลายเดือนก่อน +4

    Hatariiii duh poleni ndugu zangu

  • @DARUBINIYAUNABII538
    @DARUBINIYAUNABII538 6 หลายเดือนก่อน +5

    Mikoa za kusini hasa hasa MTWARA NA LINDI, wamezidi sana kwa USHIRIKINA.

    • @SULEIMAN-l8v
      @SULEIMAN-l8v 6 หลายเดือนก่อน

      No hicho ni kimbunga

    • @MustafaChinanda
      @MustafaChinanda 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 nakuona mwezetu kweny cyo wachawi

  • @SamsunGalaxy-e5k
    @SamsunGalaxy-e5k 6 หลายเดือนก่อน +9

    Nimingu tu mama zangu kimubwa fanyeni ibada muwahimize na wtt wenu dunia iko mwishoni

  • @UddahBoss
    @UddahBoss 2 หลายเดือนก่อน

    Polen Wanatwara

  • @Mayasa-o2w
    @Mayasa-o2w 6 หลายเดือนก่อน

    mungu.kawaokoa. hicho.nikimbunga cha.bahari nachakumshukuru mungu.kimetembea.chenyewe hakija.fuatiwa na.maji.nyuma.hio ndio.ponya.ponya.yenu.hapo.mngezolewa.wote.kijiji kizima

  • @abdulaisha4145
    @abdulaisha4145 6 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mama alie vaa njano ndio amenipa picha kamili sasa mm kimenitikea nikiwa baharini nikikumbuka vizuri wallah kulikua na mmoja wetu ni bubu basi mashua mzima yy ndie asemae sisi tusio KUA mabubu ndio tulikua mabubu .. Allah awanusuru

    • @MonaAlmqbali
      @MonaAlmqbali 6 หลายเดือนก่อน

      Weee subhanallah

  • @ThulaythatMustafa
    @ThulaythatMustafa 6 หลายเดือนก่อน +1

    Allah atuswameh waja wake

  • @NdakiDoyi
    @NdakiDoyi 6 หลายเดือนก่อน

    poleni

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 6 หลายเดือนก่อน +4

    Duhh aisee hatari sana, pole yao sana mwenyezi mungu awape nguvu na moyo wa subra ktk kipindi iki kigumu

  • @19764662
    @19764662 6 หลายเดือนก่อน

    Dah poleni sana jamani, tutubu tu kwa sasa .

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 6 หลายเดือนก่อน

    Mengine msimsingizie Mungu.mengine ya Mila

  • @AbasiJuma-vc5vw
    @AbasiJuma-vc5vw 6 หลายเดือนก่อน

    yesu hana nafasi hapo koz ameshindwa kujiokoa yeye mwenyewe ataweza kumsaidia mwengine hapo ni Allwah tu

  • @mumking8985
    @mumking8985 6 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah yaa Rabbi Allah Kareem pole ndugu

  • @MozesPaul-h6i
    @MozesPaul-h6i 6 หลายเดือนก่อน

    Duhhh naiheshimu bahari vibaya mno poleni sana

  • @FilbertRobert-e4u
    @FilbertRobert-e4u 6 หลายเดือนก่อน

    Ni hatari sana Mungu atusimamie 😢

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 5 หลายเดือนก่อน

    Hakuna ushirikina hapo hicho ni kimbunga tornado 🌪 hicho kikija kinasomba kila kitu kikikuacha salama shukuru Mungu na kikikudhuru shukuru mungu pia ndio mitihani ya Binaadam

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo7779 6 หลายเดือนก่อน

    Majini hayo.

  • @moviekaa
    @moviekaa 6 หลายเดือนก่อน

    Wamejenga baharini sana asee. Polen sana

  • @yonasimion3130
    @yonasimion3130 6 หลายเดือนก่อน +2

    Tubuni mkabatizwe kurudi kwake yesu kumekaribia

  • @solomonjackson3827
    @solomonjackson3827 6 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mama hiyo ni ishala ya kwamba mnatakiwa kuhama hayo maeneo ni dalili ya hatari ijayo haijalishi ni mda gani

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 6 หลายเดือนก่อน +1

    Majini bahari hao

  • @florangido202
    @florangido202 6 หลายเดือนก่อน +18

    Ondokeni hiyo ni Tahadhari
    Kuna MAMBO mengi baharini.
    Majini yanaishi baharini.
    Hiko siku Itawafukuza kwa Mawimbi, mmejenga sana Baharini

  • @SamsunGalaxy-e5k
    @SamsunGalaxy-e5k 6 หลายเดือนก่อน +14

    Kikubwa ushauri wangu fanyeni duwa kila baada ya mda kijiji kizima kwasababu yatarudi hayo

  • @joycelucas405
    @joycelucas405 6 หลายเดือนก่อน

    Majini hayo ondokeni

  • @emmanuelbayi4640
    @emmanuelbayi4640 6 หลายเดือนก่อน +5

    Majini hao wamemtokea mama

    • @MahdouMomba
      @MahdouMomba 6 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣

    • @worldhappiness1181
      @worldhappiness1181 6 หลายเดือนก่อน +1

      Sivyo Allien, maana NASA walisema huenda wapo miingoni mwetu

  • @PetronilaFabian-od6jt
    @PetronilaFabian-od6jt 6 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni sana wahanga wa janga hilo😢

  • @barkanassir2528
    @barkanassir2528 6 หลายเดือนก่อน

    Subhana Allah

  • @mohamedimustafa
    @mohamedimustafa 6 หลายเดือนก่อน

    Subuhanalah

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mbona mmejenga karibu Sana na bahari!!!!hata kuwa na kujaa kwa maji kwenu ni hatari!! na huo ujenzi wenu sio rafiki

    • @gorettimtungwe9011
      @gorettimtungwe9011 6 หลายเดือนก่อน +1

      wapo karibu pia wanaogopa kuchimba vyoo. Hata viongozi wameruhusu kujenga namna hii ni hatari

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 6 หลายเดือนก่อน

    Chwaa chaa shwaa😊poleni sana

  • @AshaMwamba-g3l
    @AshaMwamba-g3l 6 หลายเดือนก่อน

    Afuu mbo jitani Sana ma majii hawaogopiii

  • @TexnoNames
    @TexnoNames 2 หลายเดือนก่อน

    Majini hayo ya baharin Kwan lazima ujenge hapo dah mh

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 6 หลายเดือนก่อน +6

    Hii dunia hatuijui hata robo.kuna ulimwengu mkubwa saana ambao hatujawahi kuuona.Mungu atujalie kuona yasiyoonekana.

    • @hammerQ954
      @hammerQ954 6 หลายเดือนก่อน

      Kabisa ndugu yangu dunia ina vitu vingi

    • @Muhammedramadhan-xl6yg
      @Muhammedramadhan-xl6yg 6 หลายเดือนก่อน

      Sahihi kabsaa dunia hii sii hii tunayoiona kunamengi
      Sana hatutajui

  • @DotoS12
    @DotoS12 6 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana hicho ni kimbunga

    • @Theironrod9373
      @Theironrod9373 6 หลายเดือนก่อน

      Sio kimbunga wewe !! Mwenyewe anakwambia anaona ni viumbe .. sasa kama ni kimbuga unaweza kungalia katikati ya vumbi!!

    • @tuzonyava8306
      @tuzonyava8306 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kimbunga kinatoa miale ya moto

  • @SalumMzee-cw8do
    @SalumMzee-cw8do 6 หลายเดือนก่อน +2

    Madhambi mengi hayo Allah anatukumbusha tunapo elekea sipo turudi kwa Allah watu wanazini km Wanyama,Wanaume wafanya lawiti tumuombe Allah atujaliye khatima njema na vizazi vyema ila mitihan mikubwa dunia imeisha

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 6 หลายเดือนก่อน

    Ila nyumba zipo karibu sana na bahari kawaida ya bahari kunakuwa na vimbwanga

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 6 หลายเดือนก่อน +4

    Poleni sana kwa hilo ila kwa ushauri mngetoka huko kandokando ya bahari, maana bahar ina mambo mengi sana na hapo ni karbu sana sana na bahari

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen 6 หลายเดือนก่อน +7

    🤔🤔Turnado limepita dah! Kimbunga cha bahari nimeshaelewa.✍🏽👍

    • @totonata5384
      @totonata5384 6 หลายเดือนก่อน +2

      Mbona nyumba zingine hazikuguswa?

    • @VedianaNyamka
      @VedianaNyamka 5 หลายเดือนก่อน

      Mbona nyumba zingine zipo imekuwaje hii Mimi naamini ni majini hayo

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 5 หลายเดือนก่อน

      @@VedianaNyamka 🤔🤔kunawakati mwengine muache kuamini ushirikina ndio mnaishia kutapeliwa Na waumini wakongo 🫵🏾kwa kushiriki kila kitu ni ushirikina jaribu kusoma sayansi Na kuelewa mathara ya kuishi karibu Na ufukwe wa mito au bahari Na jaribu kucheki hali ya hewa kwenye simu yako kabla ya kulala kujua kesho kutakuwa Na hali gani ya hewa kabla hujaamka ✍🏽👍🫵🏾mengine ni mipango ya mungu hiki ni kipunga cha kupita 🤔

  • @HusnaNandonde
    @HusnaNandonde 6 หลายเดือนก่อน +1

    Duh pole sana mama 😢

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 6 หลายเดือนก่อน

    Aisee !!

  • @ShafiiDauda-mh9ju
    @ShafiiDauda-mh9ju 6 หลายเดือนก่อน

    Mtihani kweli majini ayo

  • @FatumaMsuya-j5u
    @FatumaMsuya-j5u 9 วันที่ผ่านมา

    Nikimbunga bwana

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg 6 หลายเดือนก่อน +3

    Huo ni upepo wa. Kisulisuli huwa unatokea haya ni matendo makuu ya mungu msiogope mkiona hivyo itieni damu ya yesu kristo

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 6 หลายเดือนก่อน +2

    Sema wana raha, kumbe kuna watu wanamiliki had kingo za bahari bana, yan wanaona maji yalee, hao ndio wanafaidi nchi. Wawekezaji washawaona, fursa tayari. Soon watahamishwa.

  • @ZuberiSamuina
    @ZuberiSamuina หลายเดือนก่อน

    Wandoke.maeneoayo.simazuri

  • @salimwanga
    @salimwanga 6 หลายเดือนก่อน

    Majabu❤🎉❤

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk 6 หลายเดือนก่อน +1

    ALLAH anatukumbusha uwezowake tutubuni kabla ya mauti. tuache madhambi tupende kheri.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 6 หลายเดือนก่อน

      Hivi allah ndiyo nini,mimi sielewi

  • @isayarevelian9698
    @isayarevelian9698 5 หลายเดือนก่อน

    Hatari hiyo nyumba igeuzwe kanisa majini hawatasogea tena

  • @jamilahali-jg8er
    @jamilahali-jg8er 6 หลายเดือนก่อน +2

    N Hali y kawaida hivyo vtu tokea Bahraini nkikigusa chini chaacha alma kubwa ss huku kutu Uwa twaita nyono yuko kama pweza yuja kwa kujivuta n wingu zito poleni Sana hata ss tushaptza watoto wawili kwa huyo kiumbe wallah😢

    • @Gracedori
      @Gracedori 6 หลายเดือนก่อน

      Assnte kwa kutuelimisha , kwahi NYONO alikuwa anapita zake! Asili ni asili. Pole sana mama , lakini mmejenga karibu sana na Bahari si salama 😢

  • @alexchiwenda9540
    @alexchiwenda9540 6 หลายเดือนก่อน

    Huo ni upepo tu wa kisulisuli (kinandenga, kama mnavyokiita). Hapo hakuna uchawi wala mauzauza. Chukueni tu tafadhari kama walivyoshauri wengine), msijenge karibu sana na bahari.

  • @MasoudChigona
    @MasoudChigona 5 หลายเดือนก่อน +2

    Waende wap jaman,mbon mahotel makubw yako huk hio n mitihan Allah awavushe salaam 2

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu 6 หลายเดือนก่อน +3

    Polesana mama Allah akupe subra

  • @lsacklsack
    @lsacklsack 6 หลายเดือนก่อน

    Polen sana jaman mung nimuweza ndiyo maana mpo salama ila hamen hapo sisalama jaman baharin kuna meng

  • @SeifJuma-yt1pk
    @SeifJuma-yt1pk 6 หลายเดือนก่อน

    Mnaishije karibu na bahari

  • @HildaKiwasila
    @HildaKiwasila 6 หลายเดือนก่อน

    Nyumba ipo kando Sana ya bahari na kimbunga kimetokea huenda kinatafsiriwa vingine. Upepo unarusha maji ya bahari na vyombo vya baharini kama mitumbwi. Kimbunga kutokea baharini si Kitu cha ajabu kila baada ya miaka 20, 50, 100 ndio balaa. Nilikiona 1961 nikakiona cha balsaa 2009. Kikajaza maji Jangwani DSM

  • @AbuuKaka
    @AbuuKaka 6 หลายเดือนก่อน

    Wasiame sisi kwetu pia nyumba zetu ziko bahari dua ziwe ngingi

  • @AbdilahiHassan-xg4vp
    @AbdilahiHassan-xg4vp 6 หลายเดือนก่อน +1

    Salamu alikum baba mwenye nyumba labdaa huko baharini kuna kitu kafanya

  • @petermasanilo732
    @petermasanilo732 6 หลายเดือนก่อน

    Ushauri wangu hameni mnajenga karibu na bahari jamani hata hivyo mna roho ngumu nendeni mkajenge msomela hayo ya hivyo hayapo

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 6 หลายเดือนก่อน

    Uganga huo mama watanzania tumche saba Mungu

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 6 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana kwa nini ujenge Bahari uondoke araka Sana

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 6 หลายเดือนก่อน +1

    Majini Ayataki Bati Au Mizimu Iyo

  • @gpo6823
    @gpo6823 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ni Tornado.

  • @DivaMsukuma
    @DivaMsukuma 6 หลายเดือนก่อน

    Iz nidakika zamwisho yesu anakuja

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 6 หลายเดือนก่อน

    Upepo

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nikanchukua ntoto ila wamakonde sasa wanavyoongea

    • @mimiummie
      @mimiummie 4 หลายเดือนก่อน

      Relaxx na wapemba bipi

  • @IddiMkwazu
    @IddiMkwazu 6 หลายเดือนก่อน

    Ngoja uone hivyo unaishije baharin ww wamakonde bwana

  • @JofreyDamson-nm6ec
    @JofreyDamson-nm6ec 6 หลายเดือนก่อน

    Pole mwaya

  • @MusheheMohamedi
    @MusheheMohamedi 6 หลายเดือนก่อน +1

    Tunawapole Sana alafu tuwe Malini Sana kukaa kando na mito au bahari

  • @ChristianKiponda-d7e
    @ChristianKiponda-d7e 6 หลายเดือนก่อน +1

    Upepo mkali wa Baharini ni hatari sana, Vimbunga vya Baharini hungoa Miti, Majengo, Kwa hiyo ni vitu nadra sana kutokea.

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 6 หลายเดือนก่อน

    Mbn umejenga karibu na bahari

  • @changanataliforlife3760
    @changanataliforlife3760 6 หลายเดือนก่อน +1

    Predators😳

  • @FloraNgoma
    @FloraNgoma 6 หลายเดือนก่อน

    🌪 tonardo

  • @mshua337
    @mshua337 6 หลายเดือนก่อน

    Hiki Kijiji kimejengwa Beach kabisa ni hatari sana aiseee

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 6 หลายเดือนก่อน

    Km kulikua na moto pia. Hio itakua ni volcano. Sbb baharini kuna volcano pia. Ila Mungu amewasaidia saana. Bora muhame kutoka hapo. Kwa usalama wenu. Sbb bahari ina mengi. Poleni saana ndugu zetu.

  • @hassanbilali1697
    @hassanbilali1697 6 หลายเดือนก่อน +3

    Acha kulia toa maelezo vizuri Watu wapate kujua namna ya kukusaidia😂 nimesikia hiyo nywiiiiii 😂

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 6 หลายเดือนก่อน

      Ila watu 😳