Hapo sijaelewa amejificha ,sasa angetakiwa wamkamate na kujua kwnn yupo pale sio kumshushia kipigo mpaka kupelekea kifo,tthat doesn't make sense at all,come on man!
Walinzi hawana elimu ya kumkamata MTU na kumhoji ni wapumbavu tyu na hapo hao walinzi wahame la sivyo nao lazima wamfate pumbavu Sana ,kumpiga MTU bila sababu ni ufala sana
Huyu mlinzi atakuwa amemkamata na kumpiga kwanza kisha kumfungia kwenye banda la mbwa na kuwasubiri wengine waje wamtoe bandani na kisha wakaendelea kumpiga hadi kaumia vibaya mno...that's my assessment of what I read and hear online....
😮mshaanza kuwatetea watu wa kanisani sio mnasema wamemdhibiti na wakamkabidhi polisi kwahiyo mnataka kusema alipigwa na polisi sio mpaka kifo kilichomkuta haki itendeke
@@jeremiahcharles6027 eti walinzi wa kanisa na waumini...wanamshushia mtu kipigo kwa sababu amejificha kwenye Banda la mbwa! Kweli???!hao wakamatwe aisee
@@shabanborondi6526siku hizi romani catholic,Shetani ameshawavaa kabisa,walianza na MTOTO ASIMWE LEO NA MANDOJO YAANI😢,WAROMAN CATHOLIC TUJITAFAKARI SANA,ROHO YA MTOTO ASIMWE ITALITESA SANA HILI KANISA LETU,YATUPASA TUOMBE TOBA AISE.😢
Serikali kuweni chapu cc huyo ni mtu wetu wa karibu hakunaga kumdhibiti mtu kwa kumuua walipaswa wamuweke chini ya ulinzi kama mtu alilewa kwann wampigeee?? Huko ni kujichukulia maamuzi mikononi hatutaki maelezo zaid yakuskia waliompiga wamekamatwa , yan unavyoelezea ni kanakwamba ni jambo lakawaida kanakwamba kakutwa na kidhibity kua amekutwa anaiba em fanyeni kama mnavyofanyaga mkikamata watu wasio na hatia maan mmezoea kutoa comand za ajabu kwenye masuala yakawaida ila hili suala linalogusa nchi nzima nyie mnachukulia kawaida kwanza hakunaga mtu alie juu ya sheria kwahivyo kuweni serious kidogo
R.i.p Man dojo, Kanisani ni sehemu salama sasa mbona sio salama? Mtu amekuja kanisan ahojiwe kilicho mleta sio kumshambulia mithili ya jambaz labda alikuja kutubu zambi zake ss simtazibeba nyie! Hpo mmejires sana.
Sipendi kuongea maneno makali ila TZ kuna matukio yanaumiza na polisi mnatoa taarifa yani hata hazieleweki . Kuna matukio yanazimwa tu juu juu kuna yule dogo alotaja mpaka kituo cha pilice mpaka leo hatujui ile kesi imeendaje . Hata ile ya binti alobakwa itaisha ivo ivo tu juu kwa juu .. Naumia mimi yani basi tu.
Tanzania ni nchi ya kubalance mambo tukienda kwa marefa wa michezo tunawapa lawama kila siku haya hapa polisi mkubwa tu wa mkoa tena anatoa taarifa hizi 🤦♂️🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
Mtu akishakufa ndo bc tena.angekuwepo angetueleza kilichopelekea aingie bandani. Siamini waumini wote wangeweza kumshambulia asiwepo hata mmoja wa kutoa wazo la kumhoji. Ina maana hafahamiki hapo kwenye huo mtaa! Maana ni kama alikuwa anatembea kwa miguu. Nyuma ya pazia kuna kitu.
Mimi nalaani kitendo cha kumuua binadamu mwingine haijalishi sababu ni nini lakini jamani ni mbaya kufananisha mnaweza kuta jamaa alikua na kale katabia , mimi rafiki yangu ni mkenya mdogo wake alikuja kuiba benki arusha na wakaua sema ndugu wote walikua hawajui kwamba alikua jambazi tena kenya alikua na kazi nzuri tuu
Only God Knows What Really Happened. So jamaa aliona home hapafai kwenda, bora aende kanisani akalale banda la mbwa, why? Pengine nyumbani kwa moto. Wanawake zetu wanamchango mkubwa sana kwenye afya zeti za akili. Tulindeni jamanai
hawa wanawake nao ni sumu tu kwetu sisi wanaume.anaweza akakuchanganya hadi ukapoleza mwelekeo kabisa.yaan banda la mbwa ukawa unaliona kama banda la binadamu tu.
Yan sijaelewa kabisaaa mana mtu kajifungia kwenye Banda kwanini asifunge kwa nje Hadi polisi waje? Na kumzibiti walimzibiti vipi wakati hajapigana wala kupinga chochote na kajificha kwani alikuwa anatafutwa au kukimbizwa?
Waumini waliua wakarudi kanisani Kutubu kwa Padri siku ikaendelea..Umeuliwa Kanisani hata kama kwenye banda la Padri sio Poa..Waumini wamemuchia msala Mlinzi..Nyoosheni rula
Jaman ni mlinzi.wa kanisa akishirikiana na waumini polis walimsaidia kumpeleka hospital watanzania Mungu ameweka hukumu.duniani hukumu zipo mnahubiliwa hamtaki mkichoka mnakimbilia makanisani Yeah sio shimo la takataka na saizi mnaopenda kutengeneza midhambi na kulifanya msifikili yupo mtu.hajachoka kama wewe umechoka jua watanzania wenzio.wamechoka zaidi.yako
Yani watu wana mashida yao na matatizo yao,wanaona bora wakimbilie kanisani,huenda ndio sehemu salama kuliko zote, lakini matokeo yake wanaonekana kama wezi,wanashushiwa vipigo mpka umauti.😢 Lilikuwa ni suala la kumtoa huko kwenye banda na kumuhoji shida nini?Na sio kumjaji moja kwa moja kuwa ni mwizi na kujichukulia sheria mkononi kwa kumshushia kipigo.😢 Rest easy bro💔🕊️
Kama mlinzi analinda getini hakumuona marehemu akipita? Na kama ni jumapili alienda kanisani si alitakiwa awe ndani ya kanisa?!!huko nje ilikuwaje mpk waumini watoke nje waje kumshambulia?na hlo banda la mbwa lilikuwa eneo gani kwenye kanisa ?kuna kitu hakipo sawa hapo!!familia na kanisa viweke vitu sawa ili jeshi la police litoe taarifa inayo eleweka.
Hii nchi kuna mambo yannatia sana hasira qmmke, yaani unamsikiliza mtu huku umekunja ngumi, yaani mtu akajifiche kwenye banda la mbwa? Banda la mbwa?? Nyie hebu acheni ujinga bwana!! Sasa kanisani ni sehemu salama how wamuue? Hilo kanisa nalo sio sehemu salama aise, ee Mungu jmn
Jamani please ambae kaelewa moja alikua kwenye kibanda cha mmbwa alipitaje kwenye uzio hadi kuingia kwenye kibanda cha mmbwa na mbwa na mlizi walikua wapi tena mkidai kazibitiwa inamaana ni jambazi au kasaidiwa eee jamani hv vtu vingine msiposti
Afinywe mapumbu na pliers huyu mlinzi mbele ya wanafamlia waliompoteza ndugu yaonataongea tu kama haongei mkateni pumbu yaani gololi mmoja ataongea kama kasuku
Wambieni hao askari wawe na majibu mazuri tunashukuru kwa kazi yenu lakin how come mtu apite getin na walinzi wapo mpka banda la mbwa na pia how come akae banda la mbwa na Mbwa wapo?
Kwahyo alienda kudokoa mabenchi au mbwa huko kanisani??? Hivi angekuwa ndugu yako ungeongea haya??Au ni vile humfahamu ndo unasema hivyo??Dojo hana historia ya udokozi,na alikuwa na biashara zake Kariakoo.Tuache tumlilie mfu wetu kwa amani bro.
Acheni kutuona sisi ni wasenge, mwizi atajifichaje kwenye banda la mbwa? tunamtaka mandojo wetu😢 hiyo ilikua ni #MISAYAMAUAJI😢😢😢
𝕨𝕒𝕤𝕖𝕞𝕖 𝕥𝕦𝕦 𝕨𝕒𝕞𝕖𝕞𝕦𝕒
Hapo sijaelewa amejificha ,sasa angetakiwa wamkamate na kujua kwnn yupo pale sio kumshushia kipigo mpaka kupelekea kifo,tthat doesn't make sense at all,come on man!
Walinzi hawana elimu ya kumkamata MTU na kumhoji ni wapumbavu tyu na hapo hao walinzi wahame la sivyo nao lazima wamfate pumbavu Sana ,kumpiga MTU bila sababu ni ufala sana
Hii nchi kila kitu kimekaa ovyo
😂😂😂😂
Kwan mbwa walikua wapi? Maana hao mbwa wasinge nyamaza
Huyu mlinzi atakuwa amemkamata na kumpiga kwanza kisha kumfungia kwenye banda la mbwa na kuwasubiri wengine waje wamtoe bandani na kisha wakaendelea kumpiga hadi kaumia vibaya mno...that's my assessment of what I read and hear online....
waafrika Yani sijivunii kuwa muafrika kabisa ya sio Afrika ya now days mmejaa ujinga tu
😮mshaanza kuwatetea watu wa kanisani sio mnasema wamemdhibiti na wakamkabidhi polisi kwahiyo mnataka kusema alipigwa na polisi sio mpaka kifo kilichomkuta haki itendeke
Na hiyo video iliyoonekana akipigwa na walinzi je sio ushahidi tosha?
Duuuh😢
Yani Kumdhibiti ndo Kumuua? Mbona Taarifa Yenu Haieleweki ? Tena Maeneo Ya Kanisan? Kama Mlimkuta kajificha si mngemhoji Na Sio Kumshambulian
Yaani sioni hata sababu ya kuwaita hao watu eti ni waumini hao ni wauaji wanaenda kanisan kuja tu makanisa ila roho ya kumwabudu mungu ni ziro
Pumzika kwa aman bro
Kwahyo Hadi kanisani ,, duh,, unaweza enda sehem ukazani kuna usalama kumbe lahasha
@@jeremiahcharles6027 eti walinzi wa kanisa na waumini...wanamshushia mtu kipigo kwa sababu amejificha kwenye Banda la mbwa! Kweli???!hao wakamatwe aisee
@@shabanborondi6526siku hizi romani catholic,Shetani ameshawavaa kabisa,walianza na MTOTO ASIMWE LEO NA MANDOJO YAANI😢,WAROMAN CATHOLIC TUJITAFAKARI SANA,ROHO YA MTOTO ASIMWE ITALITESA SANA HILI KANISA LETU,YATUPASA TUOMBE TOBA AISE.😢
Koma wewe me sio mkatoriki lakini huwezi kukishambulia kanisa Kwa kosa la mtu Mmoja ,we huko kwenye nyumba zenu za ibada hakuna wakosaji?
@@emmadora7848 Mimi MKATOLIKI original ndo maana nimejisema Mimi na wakatoliki wenzangu,Kwa hiyo wewe kaa Kwa kutulia,tuliza kinembe kikunwe.
Hata km.ndio mumpige mpk kifo mngemshika apelekwe police
Na police wana kosa Mt kapigwa mnarudisha selo? Na inaoneiana alizidiwa hakuweza kutoa taarifa kw ndg zake.
Polisi wa bongo acheni ukuma
Serikali kuweni chapu cc huyo ni mtu wetu wa karibu hakunaga kumdhibiti mtu kwa kumuua walipaswa wamuweke chini ya ulinzi kama mtu alilewa kwann wampigeee?? Huko ni kujichukulia maamuzi mikononi hatutaki maelezo zaid yakuskia waliompiga wamekamatwa , yan unavyoelezea ni kanakwamba ni jambo lakawaida kanakwamba kakutwa na kidhibity kua amekutwa anaiba em fanyeni kama mnavyofanyaga mkikamata watu wasio na hatia maan mmezoea kutoa comand za ajabu kwenye masuala yakawaida ila hili suala linalogusa nchi nzima nyie mnachukulia kawaida kwanza hakunaga mtu alie juu ya sheria kwahivyo kuweni serious kidogo
sasa ameshakufa unatka nn zaidi
Kwavile amekua maarufu, wangepiga Mlala hoi ungesikia ni mwizi
R.i.p Man dojo, Kanisani ni sehemu salama sasa mbona sio salama? Mtu amekuja kanisan ahojiwe kilicho mleta sio kumshambulia mithili ya jambaz labda alikuja kutubu zambi zake ss simtazibeba nyie! Hpo mmejires sana.
Sipendi kuongea maneno makali ila TZ kuna matukio yanaumiza na polisi mnatoa taarifa yani hata hazieleweki .
Kuna matukio yanazimwa tu juu juu kuna yule dogo alotaja mpaka kituo cha pilice mpaka leo hatujui ile kesi imeendaje .
Hata ile ya binti alobakwa itaisha ivo ivo tu juu kwa juu ..
Naumia mimi yani basi tu.
Hujatembea bora Tz hujawahi toka nje ya nchi y'ako Tz mbona iko vizuri kuna viloja kwenye nchi zingine tembea uone
@@festinamwakipale3919Sijawahi kutoka nje ya nchi yangu wewe unajua mimi niko wapi unanijua mimi nani unajua kazi ninofanya ?
Eti huyu nae ni kamanda wa polisi du!!
Mtu anajifichaje kwenye banda la mbwa? hapo kuna kitu kinafichwa
Tanzania ni nchi ya kubalance mambo tukienda kwa marefa wa michezo tunawapa lawama kila siku haya hapa polisi mkubwa tu wa mkoa tena anatoa taarifa hizi 🤦♂️🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
Sasa mtu kajificha unapiga badala ya kumuuliza vizuri kwanin kajificha.....
Si ndiyo hapo sasa! Mtu amejificha ndani ya banda halafu mnamshambilia hadi kifo ? So sad..
Daaaa inauma sanaaa
HII TAARIFA HATA HAIELEWEKI
Mtu akishakufa ndo bc tena.angekuwepo angetueleza kilichopelekea aingie bandani.
Siamini waumini wote wangeweza kumshambulia asiwepo hata mmoja wa kutoa wazo la kumhoji.
Ina maana hafahamiki hapo kwenye huo mtaa! Maana ni kama alikuwa anatembea kwa miguu.
Nyuma ya pazia kuna kitu.
Mimi nalaani kitendo cha kumuua binadamu mwingine haijalishi sababu ni nini lakini jamani ni mbaya kufananisha mnaweza kuta jamaa alikua na kale katabia , mimi rafiki yangu ni mkenya mdogo wake alikuja kuiba benki arusha na wakaua sema ndugu wote walikua hawajui kwamba alikua jambazi tena kenya alikua na kazi nzuri tuu
Jamani kwani hawa walinzi kwa nn wanajichukulia sheria mkononi wangemhoji kwanza ila tumuombee upumzike salama machung ni meng sana😢
Nadhani alihisi ni teja anataka kumdhuru. Sasa kwa kujihami ndo kumpiga. Alimwogopesha mlinzi
Alikua anatafuta nn bandani jamani??
Taaarifaaa yenyewe hata haieleweki
Only God Knows What Really Happened. So jamaa aliona home hapafai kwenda, bora aende kanisani akalale banda la mbwa, why? Pengine nyumbani kwa moto. Wanawake zetu wanamchango mkubwa sana kwenye afya zeti za akili. Tulindeni jamanai
hawa wanawake nao ni sumu tu kwetu sisi wanaume.anaweza akakuchanganya hadi ukapoleza mwelekeo kabisa.yaan banda la mbwa ukawa unaliona kama banda la binadamu tu.
Kumdhibiti na waumini wengine Au Kumpiga? RIP Mwamba..
Kumdhibiti au kumpa kipondo. Ila Tanzania! Ss km alikuwa na Hali mbaya mlimrudishaje police?
Habar zinaleta mkanganyiko,nahc kuna kitu hakijakaa sawa hapo
Mmmmh kumdhibiti au kumshambulia?
Bdo sijawaekewa lkn bc mungu alipanga tu kl kt
Yan sijaelewa kabisaaa mana mtu kajifungia kwenye Banda kwanini asifunge kwa nje Hadi polisi waje? Na kumzibiti walimzibiti vipi wakati hajapigana wala kupinga chochote na kajificha kwani alikuwa anatafutwa au kukimbizwa?
Na hilo kanisa kunawatu bado wanasali pamoja na mauwaji kufanywa na wao wenyew
Waumini waliua wakarudi kanisani Kutubu kwa Padri siku ikaendelea..Umeuliwa Kanisani hata kama kwenye banda la Padri sio Poa..Waumini wamemuchia msala Mlinzi..Nyoosheni rula
Ndio maana polisi siwapendi ,kumbe kanisani wa wafuga mbwa,tuonyesheni hiko kibanda,acheni upimbi
Jaman ni mlinzi.wa kanisa akishirikiana na waumini polis walimsaidia kumpeleka hospital watanzania Mungu ameweka hukumu.duniani hukumu zipo mnahubiliwa hamtaki mkichoka mnakimbilia makanisani Yeah sio shimo la takataka na saizi mnaopenda kutengeneza midhambi na kulifanya msifikili yupo mtu.hajachoka kama wewe umechoka jua watanzania wenzio.wamechoka zaidi.yako
Kweli Dunia imekwisha jamani yaani kumpiga mtu hata hujamuuliza shida yake. Duuu
Mbwa nae alikua wapi
Kudhibiti maana yake nini?
Sasa kujifugia Kwa banda la mbwa ndio kisa na maana kumpiga rubbish
Rip MANDOJO
Kumdhibiti kwani yeye alileta Mapambano yoyote? Mnasema mlinzi amemkuta amejifungia kwenye banda ,hii haijakaa sawa.
Watu wanasali means ni wakosefu, na watu Hao Hao ndo wameua mtu, Tena kanisani...naichukia hii nchi hakyamungu
Alikuwa ameiba au.?
Yani watu wana mashida yao na matatizo yao,wanaona bora wakimbilie kanisani,huenda ndio sehemu salama kuliko zote, lakini matokeo yake wanaonekana kama wezi,wanashushiwa vipigo mpka umauti.😢
Lilikuwa ni suala la kumtoa huko kwenye banda na kumuhoji shida nini?Na sio kumjaji moja kwa moja kuwa ni mwizi na kujichukulia sheria mkononi kwa kumshushia kipigo.😢
Rest easy bro💔🕊️
Kama mlinzi analinda getini hakumuona marehemu akipita? Na kama ni jumapili alienda kanisani si alitakiwa awe ndani ya kanisa?!!huko nje ilikuwaje mpk waumini watoke nje waje kumshambulia?na hlo banda la mbwa lilikuwa eneo gani kwenye kanisa ?kuna kitu hakipo sawa hapo!!familia na kanisa viweke vitu sawa ili jeshi la police litoe taarifa inayo eleweka.
Kumdhibit ndo nin ? Talk straight
kwahio alikuwa anaiba mbwa?
Hii nchi kuna mambo yannatia sana hasira qmmke, yaani unamsikiliza mtu huku umekunja ngumi, yaani mtu akajifiche kwenye banda la mbwa? Banda la mbwa?? Nyie hebu acheni ujinga bwana!! Sasa kanisani ni sehemu salama how wamuue? Hilo kanisa nalo sio sehemu salama aise, ee Mungu jmn
Kumzibiti ndio nini semeni mulimpoga
Semeni walimpiga
Cjaelewa kitu
Mbwa walikuwa wanabweka inamaana alikuwa anawaogopa ndo maana nlikataa kusali makanisa ya Roma ni yakihuni tuu
We naye mwehu kweli ,ukienda Kwa watu wanafuga mbwa na wale mbwa hawakujui unadhani watakuchekea ? Punguza unga
Jamani please ambae kaelewa moja alikua kwenye kibanda cha mmbwa alipitaje kwenye uzio hadi kuingia kwenye kibanda cha mmbwa na mbwa na mlizi walikua wapi tena mkidai kazibitiwa inamaana ni jambazi au kasaidiwa eee jamani hv vtu vingine msiposti
Yani hii nchi. Ni uongo tu ata haiingii akilini maelezo hayaeleweki waseme tu ukweli kanisani ni sehemu ya ibada
kumdhibiti?
Kumdhibiti kwani alikuwa a akimbo au alikuwa anawazuru??
Wamemkuta ktk banda la mbwa na kuita waumin kumpeleka hospital.
Eeeh asee kwaiyo mtu akiwa kwenye banda anadhibitiwa hadi kufa
Mbwaa hakuwepo
Kumbe uchunguzi Bado unaendelea
Nyie Waumini wa hilo kanisa hamuendi mbinguni.
NambonguZitatowekaWatajuwapakushika
Lafaeli umeua mtakuja kumuua ata yesu maana walisema atakuja kama mwizi.. ehe bwana ulimdhibiti alikua na siraha gani muuaji mkubwa ww
Kumdhiti?
Kwahiyo Mandojo kapigwa na waumini wa kanisani?
Au watu na baadhi ya waumini wa kanisa?
Au ambavyo sielewi?
SEE NO EVIL HEAR NO EVIL
Kuna kipindi ilitoka taarifa ya kuvunjwa nyumba yake jamaa ana mkosi kweli
sawa ss kaiba nn mpaka aigweee
Afinywe mapumbu na pliers huyu mlinzi mbele ya wanafamlia waliompoteza ndugu yaonataongea tu kama haongei mkateni pumbu yaani gololi mmoja ataongea kama kasuku
Hahaha nmecheka kama mazur vile dah
Kumdhibiti kwa kosa gani? Acheni upuuzi bas
Amejifungiaje sasa inamaana walikuwa hawajafunga na kufuli hayo mabanda ya Mbwa?
Bangi ukizivuta sana unaweza changanyikiwa
Hata kama alikutwa huko.kumuuwa haikupaswa
Parokia ya watakatifu wote nzuguni B wasengelema wakubwa
Tena ni mbwa kabisa, japo na mimi ni mkatoliki lkn wamenikera hawa wahumini
@@berthandollo3227 Hata mm ni mkatoliki tena nimekulia misheni na nimesoma seminari
Haingii akilini
Iyo ndio bongo land au bongo longo longo. Uongo mtupu shenzi nyie selikali ya bongo kila siku inapokea tahalifa bila kuhufanya uchunguzi kwa kina
Walimdhibiti au walimpiga matako wew na suti yako
𝕕𝕦𝕙.... 𝕜𝕦𝕞𝕓𝕖 𝕒𝕝𝕚𝕛𝕚𝕡𝕒𝕥𝕪𝕒 𝕞𝕤𝕒𝕒𝕕𝕒 𝕨𝕒𝕜𝕦𝕛𝕚𝕗𝕚𝕔𝕙𝕒 𝕜𝕒𝕟𝕚𝕤𝕒𝕟𝕚. 𝕝𝕜𝕟 𝕓𝕕𝕠 𝕨𝕒𝕦𝕞𝕚𝕟𝕚 𝕨𝕒𝕜𝕒𝕞𝕦𝕦𝕒.... 𝕤𝕨𝕒𝕝𝕚 𝕨𝕒𝕦𝕞𝕚𝕟𝕚 𝕨𝕒𝕝𝕚𝕟𝕘𝕚𝕒 𝕜𝕒𝕟𝕚𝕤𝕒𝕟𝕚 𝕟𝕒𝕜𝕦𝕖𝕟𝕕𝕖𝕝𝕖𝕒 𝕟𝕒 𝕚𝕓𝕒𝕕𝕒?
Wakristo ni wauwaji wanamisa za mauaji walimuua Yesu haijatosha tuuh
Marehemu nae alikuwa mkristo
Umechanganyikiwa na maisha wewe si bure 😂😂😂😂😂
Ingekuwa kapigwa msikitini ungeona coment za chuki za baadhi ya wakristo ndo mjue kua kuna mambo ni bahati mbaya tu haihusiani na dini
Wambieni hao askari wawe na majibu mazuri tunashukuru kwa kazi yenu lakin how come mtu apite getin na walinzi wapo mpka banda la mbwa na pia how come akae banda la mbwa na Mbwa wapo?
Mmmnh
Wamemzibiti au wamempiga
Bullishit
Hao walinzi ni watoto wa 2000 sio bure, wakamatwe.
Hizi story za ndeshao hazieleweki
Utata
Wasanii wa zamani wengi wao ni wazururaji tu pia hawajafanikiwa, ko wengi wao ni vidokozi sana
Ww umefanikiwa mzee kunyamaza ni vizur pia
Huyu naskia alikuwa na tatizo la kiakili
Kwahyo alienda kudokoa mabenchi au mbwa huko kanisani???
Hivi angekuwa ndugu yako ungeongea haya??Au ni vile humfahamu ndo unasema hivyo??Dojo hana historia ya udokozi,na alikuwa na biashara zake Kariakoo.Tuache tumlilie mfu wetu kwa amani bro.
Kuna kipindi ilitoka taarifa nyumba yake inavunjwa jamaa ana mkosi kweli