Mfalme Zumaridi apewa onyo kuhusu kuonana na Mungu apewa somo zito na Mch Hananja

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 มี.ค. 2023

ความคิดเห็น • 23

  • @humoudseyd7310
    @humoudseyd7310 ปีที่แล้ว +3

    I'm Muslim.. I really admire you, Hnnanja, really talk well done

  • @nadinemiruho4530
    @nadinemiruho4530 ปีที่แล้ว +3

    Unaongeya ukweli mtupu baba Mungu akubariki sana muchungaji

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 ปีที่แล้ว +1

    HAHAHA ukosahihisana mzee wapumbavu ndohawakuelewa hongera sana

  • @AnneSampegete
    @AnneSampegete ปีที่แล้ว +1

    msema kweli mungu akubariki sana

  • @yohanamorisi1802
    @yohanamorisi1802 ปีที่แล้ว

    Usiogope kusema ukweli, hakumuona Yesu Mzee wa Arusha.

  • @mohamedally-nx8mk
    @mohamedally-nx8mk ปีที่แล้ว +1

    Msema kweli hananja

  • @FrolabathoromeoBinanyehe
    @FrolabathoromeoBinanyehe ปีที่แล้ว

    Sema Mtumishi asikar wa yesu

  • @mohamedally-nx8mk
    @mohamedally-nx8mk ปีที่แล้ว

    Kila mwezi fanya interview hananja

  • @ramadhanisalum8702
    @ramadhanisalum8702 ปีที่แล้ว +1

    Hakika ananja nihazina kwa taifa.... nivema wanahabari Mtengeneze utalatibu hata malatatu kwa mwezi kumuona Huyu ananja kulingana na wakati tulio nao kwa sasa ndani ya jamii tukumbuke kwa sasa taifa limebaki na wazee wachache wenyekusema Ukweli ili wanadam watambue wakati tulio nao nahuko tuendako

  • @user-cq5rs5in2y
    @user-cq5rs5in2y ปีที่แล้ว

    Veronica unawazimu kidogo nafikiri

  • @joykachwele2638
    @joykachwele2638 ปีที่แล้ว +1

    Mi naenda kuosha vyombo

  • @luizerndayanse6214
    @luizerndayanse6214 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂 amesema ndoto saa zingine ni shughuli za mchana, kuota nikuota tu siyo kila ndoto ni ukweli, hatuwez kumuona Mungu kwa nyama na chipsi

  • @siwemamohamedi2119
    @siwemamohamedi2119 ปีที่แล้ว

    Kwahiyo iyo uliowwka picha yake ni Mungu huyo ni muigizaji robat pooo

  • @roselyimo3676
    @roselyimo3676 ปีที่แล้ว

    Wewe Mzee ndio hujaonana na Mungu aliyetumwa kazi ameonana nae tofauti ni hiyo
    Ufunuo wa Yohana 22:3
    [3]Wala hapatakuwa na laana yo yote tena. Na kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo kitakuwamo ndani yake. Na watumwa wake watamtumikia;
    And there shall be no more curse: but the throne of God and of the Lamb shall be in it; and his servants shall serve him:

    • @Mrs-sh4fx
      @Mrs-sh4fx ปีที่แล้ว

      Jifunze maana ya ufunuo na Acha kusoma mstari mmoja mmoja kutafsiri Biblia

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 ปีที่แล้ว +1

    WAJINGA NDIO WALIWAO ........MTAAMINISHWA KILA AINA YA COMEDY

  • @user-ue1wz3yx5k
    @user-ue1wz3yx5k 10 หลายเดือนก่อน

    Amin nawaambia mimi ni alfa na omega mwanzo na mwisho mtu haji kwa baba ila kwa njia ya kiroho,, nakuombea kwa baba uishi paka utakavyo nibadlisha mimi kwa injili hii alafu hubiri ukijua waliokaribu nawe hawakupatii vema kama sisi tulio mbali na nimekana mwili wa uwasherati, ulevi,na unafiki,tamaa,hasira sarau kwa wakubwa kwa wadgo mpka nitakapopokea maji ya uzima

  • @Veni584
    @Veni584 ปีที่แล้ว

    ZUMARIDI amethubutu jaribu na wewe tuone kama utawakusanya hivyo

    • @luganojacob
      @luganojacob 10 หลายเดือนก่อน

      Mbona kafanikiwa kuliko zumaridi huyu anawafuasi wengi

  • @roselyimo3676
    @roselyimo3676 ปีที่แล้ว +1

    Sasa wakati Yohana anaona.maono.aliona akiwa duniani kiroho au mbinguni? Tufafanulie hananja

    • @thomsanga7956
      @thomsanga7956 ปีที่แล้ว

      Acha ujinga, soma biblia

    • @roselyimo3676
      @roselyimo3676 ปีที่แล้ว

      @@thomsanga7956 hiyo niliyoweka ni andiko langu au