Amin nawaambia mimi ni alfa na omega mwanzo na mwisho mtu haji kwa baba ila kwa njia ya kiroho,, nakuombea kwa baba uishi paka utakavyo nibadlisha mimi kwa injili hii alafu hubiri ukijua waliokaribu nawe hawakupatii vema kama sisi tulio mbali na nimekana mwili wa uwasherati, ulevi,na unafiki,tamaa,hasira sarau kwa wakubwa kwa wadgo mpka nitakapopokea maji ya uzima
Hakika ananja nihazina kwa taifa.... nivema wanahabari Mtengeneze utalatibu hata malatatu kwa mwezi kumuona Huyu ananja kulingana na wakati tulio nao kwa sasa ndani ya jamii tukumbuke kwa sasa taifa limebaki na wazee wachache wenyekusema Ukweli ili wanadam watambue wakati tulio nao nahuko tuendako
Wewe Mzee ndio hujaonana na Mungu aliyetumwa kazi ameonana nae tofauti ni hiyo Ufunuo wa Yohana 22:3 [3]Wala hapatakuwa na laana yo yote tena. Na kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo kitakuwamo ndani yake. Na watumwa wake watamtumikia; And there shall be no more curse: but the throne of God and of the Lamb shall be in it; and his servants shall serve him:
I'm Muslim.. I really admire you, Hnnanja, really talk well done
Unaongeya ukweli mtupu baba Mungu akubariki sana muchungaji
HAHAHA ukosahihisana mzee wapumbavu ndohawakuelewa hongera sana
Sema Mtumishi asikar wa yesu
msema kweli mungu akubariki sana
Usiogope kusema ukweli, hakumuona Yesu Mzee wa Arusha.
Kila mwezi fanya interview hananja
Msema kweli hananja
Amin nawaambia mimi ni alfa na omega mwanzo na mwisho mtu haji kwa baba ila kwa njia ya kiroho,, nakuombea kwa baba uishi paka utakavyo nibadlisha mimi kwa injili hii alafu hubiri ukijua waliokaribu nawe hawakupatii vema kama sisi tulio mbali na nimekana mwili wa uwasherati, ulevi,na unafiki,tamaa,hasira sarau kwa wakubwa kwa wadgo mpka nitakapopokea maji ya uzima
Naenda kulala
Mi naenda kuosha vyombo
Veronica unawazimu kidogo nafikiri
😂😂😂 amesema ndoto saa zingine ni shughuli za mchana, kuota nikuota tu siyo kila ndoto ni ukweli, hatuwez kumuona Mungu kwa nyama na chipsi
🤣🤣
Badilikeni na nyie.. enzi za kupokezana maiki moja zishaisha... Vaeni zile mic ndogo za shingoni.. hizi zinamboa mtazamaji na hata muhojiwa
Hakika ananja nihazina kwa taifa.... nivema wanahabari Mtengeneze utalatibu hata malatatu kwa mwezi kumuona Huyu ananja kulingana na wakati tulio nao kwa sasa ndani ya jamii tukumbuke kwa sasa taifa limebaki na wazee wachache wenyekusema Ukweli ili wanadam watambue wakati tulio nao nahuko tuendako
Wewe Mzee ndio hujaonana na Mungu aliyetumwa kazi ameonana nae tofauti ni hiyo
Ufunuo wa Yohana 22:3
[3]Wala hapatakuwa na laana yo yote tena. Na kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo kitakuwamo ndani yake. Na watumwa wake watamtumikia;
And there shall be no more curse: but the throne of God and of the Lamb shall be in it; and his servants shall serve him:
Jifunze maana ya ufunuo na Acha kusoma mstari mmoja mmoja kutafsiri Biblia
Kwahiyo iyo uliowwka picha yake ni Mungu huyo ni muigizaji robat pooo
ZUMARIDI amethubutu jaribu na wewe tuone kama utawakusanya hivyo
Mbona kafanikiwa kuliko zumaridi huyu anawafuasi wengi
WAJINGA NDIO WALIWAO ........MTAAMINISHWA KILA AINA YA COMEDY
Sasa wakati Yohana anaona.maono.aliona akiwa duniani kiroho au mbinguni? Tufafanulie hananja
Acha ujinga, soma biblia
@@thomsanga7956 hiyo niliyoweka ni andiko langu au