DAKIKA 52 ZA JERRY SILAA ATUMA SALAMU KWA JAJI WA MAHAKAMA ANAYETAJWA KUSAIDIA MATAPELI WA ARDHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 57

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t หลายเดือนก่อน +9

    Jelly Silaa na Makonda pia na Mbunge Mpina Utendaji kazi wao nimzur Mungu awaongoze

    • @msafirimaulidi5054
      @msafirimaulidi5054 25 วันที่ผ่านมา +2

      Mpina mchumia tumbo

    • @shabanikitula645
      @shabanikitula645 21 วันที่ผ่านมา

      Mpina hamna kitu

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 19 วันที่ผ่านมา

      @@msafirimaulidi5054Mpina ni Mbunge safi. Ni mbunge yuko upande wa watanzania. Mpina si muchumia tumbo. Wachumia tumbo wanajulikana. Katika wabunge Mpina ni namba one,

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 19 วันที่ผ่านมา

      @@shabanikitula645Mpaka uwe na elimu ya kutosha, kuelewa Mpina anazungumuza nini.

  • @user-pw9ir4fg7x
    @user-pw9ir4fg7x 25 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda na Slaaa majembe asantee mama kwakutuletea wanaich zawad yenye hof ya mungu

  • @user-tm5ls1ml6d
    @user-tm5ls1ml6d 24 วันที่ผ่านมา

    Nawapongeza sana viongozi wetu p makonda jery sillah kwakazi mnayo fanya nimakubwa ssna hafu nzinto mno hongereni

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 27 วันที่ผ่านมา +1

    WAZIRI pekee mwenye uzalendo na utu kwakweli mungu akuweke mh JERRY slaa huna baya kakangu

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 21 วันที่ผ่านมา

    Muheshimiwa mwenyez mungu akuhifadhi inshallah 🙏 mtetezi wa wanyonge

  • @mohamedimuhinga9064
    @mohamedimuhinga9064 16 วันที่ผ่านมา

    Haya mazao ya magufuli niliyatarajia na Bado wanakuja mungu awabariki sana jury slaa na p makonda nawengine tunao watarajia

  • @feruzyjuma
    @feruzyjuma หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ni rais wetu WA future....Tanzania needs you more than you need us.

  • @ombeninnko1800
    @ombeninnko1800 26 วันที่ผ่านมา +1

    Big up MH
    .Slaaa

  • @endwardntandu3736
    @endwardntandu3736 29 วันที่ผ่านมา +1

    Mh,Silaa mungu wetu wambunguni akulinde akusimamie uendelee kutenda haki ya kuwatetea wanyonge

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 25 วันที่ผ่านมา

    Jelly Silaa ni baraka ilishushwa na Mwenyezi Mungu aliye hai. Asante sana Watanzania hatuna maneo ya kutosha ya kutoa shukrani zako kwako. Tunakuombea baraka tele kwa Mwenyezi Mungu wewe pamoja na familia yako.

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda and salaa mungu awalinde ❤

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 27 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana Mhe Waziri wa Ardhi kwa Hotuba hiyo nzuri na Mungu akubariki sana.

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm 3 วันที่ผ่านมา

    Mungu akurinde waziri wetu

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula หลายเดือนก่อน +4

    Slaha Rais 2030.apewe ulinzi. Mkali. Rais.msomi.mtukivu.ana heshima mpole.

  • @rajatially8628
    @rajatially8628 3 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde

  • @rajatially8628
    @rajatially8628 3 วันที่ผ่านมา

    Mungu akutangulie

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 21 วันที่ผ่านมา

    Hiyo sauti yako waziri inanguvu ya Mungu ya kuiponya Tanzania

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 21 วันที่ผ่านมา

    Hiii kichwa Mungu ailinde

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 หลายเดือนก่อน +2

    jmi mwenzenu huyu mtu daah Mungu wetu amtunze jmni

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 หลายเดือนก่อน

      huyu mtu amepania kufanya kazi..tumuombeeni jmni

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 24 วันที่ผ่านมา +1

    HIZI NDIO INJIN ZA MHE RAIS DKT SAMIA (AK) MAMA KIZIMKAZI # TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA MAMA NANI KAMA MAMA🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤ ?...

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu หลายเดือนก่อน +2

    Kiongozi wangu Bora kabisa slaaa and makonda

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 หลายเดือนก่อน

    I love this man my god bless him

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s หลายเดือนก่อน +1

    Mungu wenu Samia mnamsahau ata muumba wa vitu vyote mnamsujudia mtu duuuuuu

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q หลายเดือนก่อน

    Piga kazi silahaa Mungu akulinde

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b หลายเดือนก่อน +1

    Yuko wapi wasila hatuja wahi kusikia kazi yake laisi anazidi kupewa kazi anadawa sana

  • @AlistidiusKagyabukama
    @AlistidiusKagyabukama 28 วันที่ผ่านมา

    Ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q หลายเดือนก่อน +1

    Kunambi anakupiga vita silahaa piga kazi

  • @user-er5to1ko1y
    @user-er5to1ko1y หลายเดือนก่อน

    Ameen kubwa Sana,hakuna mkamilifu

  • @CizaDangote
    @CizaDangote หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Waziri Slaa iwapo atapewa urais uwenda viato vyamagufuli vikamtosha au akawa zaidi ya Magufuli.

    • @HanafiRamadhani-vf4de
      @HanafiRamadhani-vf4de หลายเดือนก่อน

      Ndugu yangu hataapewe ulais viatu vyamagufuli nivikubwa mno

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 27 วันที่ผ่านมา

    Kuna mtu humo ndani huwa ana vita na mawaziri wa ardhi kila wakiingia.Ilikuwa aliyepita.Na sasa huyu.Piga Kazi Mheshimiwa Slaa. Mungu yuko upande wako.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 18 วันที่ผ่านมา

    Je huyu Jaji ataendelea kuwa jaji? Nchi za kiafrica tutabakia masikini ikiwa matapeli na wezi wa mabilioni wanainunuwa sheria

  • @user-vf5gs7ik7w
    @user-vf5gs7ik7w 27 วันที่ผ่านมา

    Wizara imepata mwenyewe kafiti Kila kona

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 28 วันที่ผ่านมา

    Kungekuwa na ugombeaji wa urais 2025 ukaweka majina haya Mh. Mpina, Jerry slaa , H. Bashe na akaja P. Makonda ingekuwa ngoma ngumu. LAKINI kwa mizengwe ya CCM wamebana nafasi kwa makusudi. 2025 wanamwachia xxxx

  • @EsterEdward-eo6ds
    @EsterEdward-eo6ds หลายเดือนก่อน

    SAFI SANA NIMEIPENDA HIYO NI KWELI KABISA WANAFANYA UDHAMINI KISHA WANAPOTEA WAKIRUDI WANARUDI NA MBINU NYINGINE YA KUWAPA WANACNHI NOTSI HII SIYO HAKI KABISA NI KUWAONEA WANYONGE

  • @michaelmwaiteleke9488
    @michaelmwaiteleke9488 หลายเดือนก่อน

    Brother jer piga kazi achana na akina kanyasu hao wanataka kukuondoa kwenye mstar

  • @EsterEdward-eo6ds
    @EsterEdward-eo6ds หลายเดือนก่อน

    DAWA YA DENI NI KULIPA .

  • @user-er5to1ko1y
    @user-er5to1ko1y หลายเดือนก่อน

    Mahakamani ni wengi waovu

  • @user-qg1tr8ub5p
    @user-qg1tr8ub5p หลายเดือนก่อน

    Gip

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 หลายเดือนก่อน

    Nyoosha wale wanapora aridhi za wanyonge

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx หลายเดือนก่อน

    Kuna Makonda na Slaa hawa watu ni wachapakazi

  • @Don_Saleh_
    @Don_Saleh_ หลายเดือนก่อน +2

    Kila tukija kwako unatupiga miezi mpaka watu tunaamua kumtafuta milady ayo labda tutasikika .

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 หลายเดือนก่อน

      Kwahy usaidiweje huku mtandaoni

    • @jacksonpriva7664
      @jacksonpriva7664 หลายเดือนก่อน

      Usichoke vumilia ipo siku yatakwisha

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 หลายเดือนก่อน

      Nenda chuma No 303 ghorofa ya 3 iliyokuwa Wizara ya Ardhi kwa Bwana Jacob Ngowi atakusikiliza suala lako litafanyiwa kazi !

    • @Don_Saleh_
      @Don_Saleh_ หลายเดือนก่อน

      @@syliviakente9460 sio kwenda kwake tuu nishaonananae mara nyingi na mpaka namba yake ninayo mpaka kukutana na waziri mwenyewe tayari lakini kilichobaki ni ninapewa kalenda tuu swala lishafikia mwisho lakini bado nazungushwa tuu .

    • @ZaycargoMovers-vx6lf
      @ZaycargoMovers-vx6lf หลายเดือนก่อน

      Bado hakuna haki

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 หลายเดือนก่อน

    Hawa vijana Wana busara na akili sana wapeni vijana kazi mm

  • @dr.sendeuonlinetv2916
    @dr.sendeuonlinetv2916 28 วันที่ผ่านมา

    Rais wetu wabadae mashaallah 🙏🙏🙏

  • @rajatially8628
    @rajatially8628 3 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde