@@msafirimaulidi5054Mpina ni Mbunge safi. Ni mbunge yuko upande wa watanzania. Mpina si muchumia tumbo. Wachumia tumbo wanajulikana. Katika wabunge Mpina ni namba one,
Jelly Silaa ni baraka ilishushwa na Mwenyezi Mungu aliye hai. Asante sana Watanzania hatuna maneo ya kutosha ya kutoa shukrani zako kwako. Tunakuombea baraka tele kwa Mwenyezi Mungu wewe pamoja na familia yako.
Kuna mtu humo ndani huwa ana vita na mawaziri wa ardhi kila wakiingia.Ilikuwa aliyepita.Na sasa huyu.Piga Kazi Mheshimiwa Slaa. Mungu yuko upande wako.
Kungekuwa na ugombeaji wa urais 2025 ukaweka majina haya Mh. Mpina, Jerry slaa , H. Bashe na akaja P. Makonda ingekuwa ngoma ngumu. LAKINI kwa mizengwe ya CCM wamebana nafasi kwa makusudi. 2025 wanamwachia xxxx
SAFI SANA NIMEIPENDA HIYO NI KWELI KABISA WANAFANYA UDHAMINI KISHA WANAPOTEA WAKIRUDI WANARUDI NA MBINU NYINGINE YA KUWAPA WANACNHI NOTSI HII SIYO HAKI KABISA NI KUWAONEA WANYONGE
@@syliviakente9460 sio kwenda kwake tuu nishaonananae mara nyingi na mpaka namba yake ninayo mpaka kukutana na waziri mwenyewe tayari lakini kilichobaki ni ninapewa kalenda tuu swala lishafikia mwisho lakini bado nazungushwa tuu .
Jelly Silaa na Makonda pia na Mbunge Mpina Utendaji kazi wao nimzur Mungu awaongoze
Mpina mchumia tumbo
Mpina hamna kitu
@@msafirimaulidi5054Mpina ni Mbunge safi. Ni mbunge yuko upande wa watanzania. Mpina si muchumia tumbo. Wachumia tumbo wanajulikana. Katika wabunge Mpina ni namba one,
@@shabanikitula645Mpaka uwe na elimu ya kutosha, kuelewa Mpina anazungumuza nini.
Makonda na Slaaa majembe asantee mama kwakutuletea wanaich zawad yenye hof ya mungu
Nawapongeza sana viongozi wetu p makonda jery sillah kwakazi mnayo fanya nimakubwa ssna hafu nzinto mno hongereni
WAZIRI pekee mwenye uzalendo na utu kwakweli mungu akuweke mh JERRY slaa huna baya kakangu
Muheshimiwa mwenyez mungu akuhifadhi inshallah 🙏 mtetezi wa wanyonge
Haya mazao ya magufuli niliyatarajia na Bado wanakuja mungu awabariki sana jury slaa na p makonda nawengine tunao watarajia
Wewe ni rais wetu WA future....Tanzania needs you more than you need us.
Big up MH
.Slaaa
Mh,Silaa mungu wetu wambunguni akulinde akusimamie uendelee kutenda haki ya kuwatetea wanyonge
Jelly Silaa ni baraka ilishushwa na Mwenyezi Mungu aliye hai. Asante sana Watanzania hatuna maneo ya kutosha ya kutoa shukrani zako kwako. Tunakuombea baraka tele kwa Mwenyezi Mungu wewe pamoja na familia yako.
Makonda and salaa mungu awalinde ❤
Hongera sana Mhe Waziri wa Ardhi kwa Hotuba hiyo nzuri na Mungu akubariki sana.
Mungu akurinde waziri wetu
Slaha Rais 2030.apewe ulinzi. Mkali. Rais.msomi.mtukivu.ana heshima mpole.
Mungu akulinde
Mungu akutangulie
Hiyo sauti yako waziri inanguvu ya Mungu ya kuiponya Tanzania
Hiii kichwa Mungu ailinde
jmi mwenzenu huyu mtu daah Mungu wetu amtunze jmni
huyu mtu amepania kufanya kazi..tumuombeeni jmni
HIZI NDIO INJIN ZA MHE RAIS DKT SAMIA (AK) MAMA KIZIMKAZI # TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA MAMA NANI KAMA MAMA🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤ ?...
Kiongozi wangu Bora kabisa slaaa and makonda
I love this man my god bless him
Mungu wenu Samia mnamsahau ata muumba wa vitu vyote mnamsujudia mtu duuuuuu
Piga kazi silahaa Mungu akulinde
Yuko wapi wasila hatuja wahi kusikia kazi yake laisi anazidi kupewa kazi anadawa sana
Ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu
Wewe na makonda na mpinq ndee mbarkiwa
Kunambi anakupiga vita silahaa piga kazi
Ameen kubwa Sana,hakuna mkamilifu
Huyu Waziri Slaa iwapo atapewa urais uwenda viato vyamagufuli vikamtosha au akawa zaidi ya Magufuli.
Ndugu yangu hataapewe ulais viatu vyamagufuli nivikubwa mno
Kuna mtu humo ndani huwa ana vita na mawaziri wa ardhi kila wakiingia.Ilikuwa aliyepita.Na sasa huyu.Piga Kazi Mheshimiwa Slaa. Mungu yuko upande wako.
Je huyu Jaji ataendelea kuwa jaji? Nchi za kiafrica tutabakia masikini ikiwa matapeli na wezi wa mabilioni wanainunuwa sheria
Wizara imepata mwenyewe kafiti Kila kona
Kungekuwa na ugombeaji wa urais 2025 ukaweka majina haya Mh. Mpina, Jerry slaa , H. Bashe na akaja P. Makonda ingekuwa ngoma ngumu. LAKINI kwa mizengwe ya CCM wamebana nafasi kwa makusudi. 2025 wanamwachia xxxx
SAFI SANA NIMEIPENDA HIYO NI KWELI KABISA WANAFANYA UDHAMINI KISHA WANAPOTEA WAKIRUDI WANARUDI NA MBINU NYINGINE YA KUWAPA WANACNHI NOTSI HII SIYO HAKI KABISA NI KUWAONEA WANYONGE
Brother jer piga kazi achana na akina kanyasu hao wanataka kukuondoa kwenye mstar
DAWA YA DENI NI KULIPA .
Mahakamani ni wengi waovu
Gip
Nyoosha wale wanapora aridhi za wanyonge
Kuna Makonda na Slaa hawa watu ni wachapakazi
Kila tukija kwako unatupiga miezi mpaka watu tunaamua kumtafuta milady ayo labda tutasikika .
Kwahy usaidiweje huku mtandaoni
Usichoke vumilia ipo siku yatakwisha
Nenda chuma No 303 ghorofa ya 3 iliyokuwa Wizara ya Ardhi kwa Bwana Jacob Ngowi atakusikiliza suala lako litafanyiwa kazi !
@@syliviakente9460 sio kwenda kwake tuu nishaonananae mara nyingi na mpaka namba yake ninayo mpaka kukutana na waziri mwenyewe tayari lakini kilichobaki ni ninapewa kalenda tuu swala lishafikia mwisho lakini bado nazungushwa tuu .
Bado hakuna haki
Hawa vijana Wana busara na akili sana wapeni vijana kazi mm
Rais wetu wabadae mashaallah 🙏🙏🙏
Mungu akulinde