TUNDA MAN AMUWASHIA MOTO RAYVANNY | DIAMOND | 'ALIKULA KWANGU LEO KASAHAU'| AMTAJA HARMONZE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#tundaman #harountambwe
Bg up tunda
Hata kampuni kubwa ikupe hela mwisho wa siku kuna wasanii watapewa kidogo. Ni biashara bro. Ofisini kuna watu mia lakini kila mtu analipwa tofauti. Kizazi kipya hiki audience ni watoto wadogo hawamjui Juma nature wala wewe tundaman. Muda wenu umeisha mwenzenu diamond hata mziki ukimshinda ana makampuni yake na wasanii wake sidhani kama atalalamika kama nyie. Kila kukicha Diamond hivi na vile ndiyo maana matonya alikuacha Unashangaa kenya. Pole kaka
Ukweli lazima usemwe
Kweli bro unaongea kweli, Tunda man bangi ilisha mubeba sauti
Nikweli hata ofisini hatuangalii umri runaangalia unakitu gani kwa wakati huu
Tenda wema.... uende zako usingoje shukran..!!
Mimi nipo southa Africa tatizo nimindia zinawashindanisha
Mondi kamtengeneza harmo ndo umepata matunda kwa wajukuu
Hajamtengeza matako ww, Diamond kamchukua harmonize tayar anaimba na ile hit yake ya Aiyola ndio iliyomvutia wakaenda kuirudia wte, kamchukua kibiashara kila mmoja kanufaika kwa nafasi yake
Kwahio ayiola wameimba wote??😅😅@@SilaMinanda
@@strong8534 wakaenda kuirudia akiwa chini ya wasafi kipochi manyoya unataka niandke kila kitu
Umezaliw mwaka gan 😅😅😅@@SilaMinanda
Ite wakaimba wote wew hujui kitu nyamaza
we tunda mwehu kweli,😂😂😂
Auna mishe ww tunda,mond washa mzee
Kaka bado upo oazuli em mludishe spc kama zamani huono tnc? Mludishe spaki nyinyi bado mna kijiji chenu toka nipe lipoti
Wasanii big brother's hiv mnafeli wap mbn Diamond ashawapag Elimu kua Digital markets inalipa apa unakuta kam huyu analia ap zen hana account kweny jukwaa lolote la kidijitali either Spotify, youtbe, apple, n. K ila kapiga collabo n msanii na viewers en streams wakutosh miaka kadhaa mbele atalalamika halipwi 😂😂😂
Ww una bifu na mondi kakuzidi kila jambo hata kuimba diamond Platnumz humpati ata robo kwenye mafanikio ndo kabisaaaaa huku wala nisifike, akili pia kakuzidi huyo Adam juma unamsema diamond alikua hamtaki uongo kaahafany kazi na diamond nyimbo za mwanzo kama zote mondi kashawagaragaza
wewe tunda man umezidisha kubet tena mikeka ya jero jero punguzaa 😂😂😂😂
Kila siku mond umekua kama demu huna kaba ww
Sasa huo uendazimu yaan mtu akutumie wewe kumlipaa msaani
Tunda...Wewe ni Msanii Mkongwe....hizi hisia zako ..
Usiweke ktk midia ......unafeli parefu...Utafute ..? Wewe unawatafuta Kaka...Fanya kujitafakari...
Tatizo ni wivu unasumbuwa wasanii wa zamani Diamond kaanza nyuma yao na wanaona haana kipaji ila Diamond akili kubwa kuwashinda wote uwekezaji ameuweka wakutosha ili asitegemee tu mziki Diamond anaweza acha mziki na ataendelea na media so wivu wa maendeleo unawatesa, Harmonize Diamond kamtengeneza shukuru kwa hiyo
@@svt3 Nakubali.
Sasa harmo anapewa sifa kwa lipi? Basi ndio matumda ya diamond hayo ukala
@@nashnene6326 yaani TUNDAMAN huwa anadhindwa kuficha wivu alio nawo kwa mafanikio ya DIAMOND utafikiria ni DIAMOND ndiye alisababisha asiwekeze, ama DIAMOND ndie anamuzuia kuingia Studio na kutowa nyimbo anajisumbua saana, DIAMOND ana akili ya Biashara waimbaji wa zamani wengi wamebakilia tu wivu na ubabaikaji pole kwao na bado wanajisifia wao ndio wanajuwa mziki kama wanajuwa watoe kazi waache kulalamika DIAMOND DIAMOND
huyu nae na sauti yake mbaya ya luku kila siku mond, mond, tafuta hela acha kuchosha watu na chuki zako, sauti yenyewe ya kuimba huna, tupishe huko