Wabunge wengi wanachangia hoja za siku zote japo ni muhimu kama( barabara, maji, afya ) na mambo mengine yaliozoeleka. Lakini ukija upande wa kuisimamia serikali na kuishauri hawatimizi majukumu yao sijui kwakua ni ccm au uwezo wa kuchambua mambo kitaalamu ni mdogo. Mfano mzuri wa kuisimamia serikali ni kuhoji vitu kama anavofanya Mpina, na ndipo tunaweza kuona madudu mengi lakini kwa kunyamaza tu kwakua waziri ni ccm mwenzangu ndio hayo Bunge lijayo tunanza kujadili hoja zilezile za Bunge lililopita kwakua wabunge hawachimbi vizuri mambo mengi wanachangia kihoyahoya tu.
Acha sababu xa kitoto izo,.kwani ulipoingia bungeni ulikuwa unatoka katika familia ya kitajiri hata leo ufukuzwe kwa umaskini, weka wazi sababu za kufukuzwa usidanganye umma.
Huna lolote unashindwa kuona mchango wa huyu mwamba unazani godfather wa mwiguru ni nani kama sio samia uwe na akili ya kuona mbali huyu jamaa ni jembe yupo tayari kumwaga ugari Kwa ajili ya wapiga kula
Ndio shida yako ww ni mbinafsi na kiburi mbona ulipokuwa waziri haukutushitakia eti unatoka familia masikini miaka 20 bungeni njoo kitaa uone familiar masikini lofa sana ww
Shida yake huyu mtu hana nidhamu ikiwa ni pamoja na kufuata utaratibu, alitakiwa asubiri hukumu ya tuhuma zake dhidi ya waziri lakini hakufuata utaratibu huo. Kwakawaida huwezi kupeleka kesi mahakamani halafu kabla ya hukumu wewe huku ushaanza kushughulika nayo.
Hongera sana mwamba kwa kututetea! Mungu azidi kukulinda
Mpina, Yote kwa yote jikabizi mikononi mwa Mungu, nae atakujibu kila hitaki lako
Hii ni mashine ya kazi haogopi ki2
Pole sana wananchi tunaoña ipo siku watapata majibu
Wapuuzi nyie mnaomkashifu mpina The strongest man is that who stand alone mpina piga kazi kijana
Huyo tulia asubiri 2025 atatulia mbeya tutalinda kula mpaka mwisho asijaribu chochote Wala hana ujanja jimbo aliachie tu
CCM NDIO WANAYOFANYA NA WIZI MAJAMBAZI CCM
Hii ndo TZ
The bestfetty imekuwaje hapo
Hahaha wameitrack na kuiiba sehemu
Wabunge wengi wanachangia hoja za siku zote japo ni muhimu kama( barabara, maji, afya ) na mambo mengine yaliozoeleka. Lakini ukija upande wa kuisimamia serikali na kuishauri hawatimizi majukumu yao sijui kwakua ni ccm au uwezo wa kuchambua mambo kitaalamu ni mdogo. Mfano mzuri wa kuisimamia serikali ni kuhoji vitu kama anavofanya Mpina, na ndipo tunaweza kuona madudu mengi lakini kwa kunyamaza tu kwakua waziri ni ccm mwenzangu ndio hayo Bunge lijayo tunanza kujadili hoja zilezile za Bunge lililopita kwakua wabunge hawachimbi vizuri mambo mengi wanachangia kihoyahoya tu.
Oya haijalishi huyu mwamba yupo chama gani ila nahisi ana roho yauchungu na wananchi kw namna flan mwamba wee ndio mfano wa viongozi wengine
Angekuwa anaroho njema na nchi asingepinga serikali kuingiza
Kwa njia ipi
Mpina ndio mbunge wetu watanzania tuko pamoja nae
NDUGU YANGU UNATAFUNWA NA JEURI YAKO ULIYOWAFANYIA WAVUVI WA NCHI HII. NA BADO UTARUDI ULIPOANZIA
Ww kenge
Mbeya watanzania tunawalaumu ninyi mnatuletea mini bungeni
Bunge ni la majuha watupu mpina mwamba
😢😢😢
Kuwa na discipline kwanza
Do know meaning of discipline?
Mfundishe discipline kwanza rafiki ako, akagombee ubunge chadema next year
WEWE MPINA AJAKUWA MBUNGE KWA NGUVU ZA JPM
@@danielmgalla558 poor 🧠
Acha sababu xa kitoto izo,.kwani ulipoingia bungeni ulikuwa unatoka katika familia ya kitajiri hata leo ufukuzwe kwa umaskini, weka wazi sababu za kufukuzwa usidanganye umma.
Hivi akili yako ina akili
😮
Una umaskini Gani?
UNATAFUTA KIKI WEWE UNAJUWA VIZURI SHERIA ZA BUNGE
Huna lolote unashindwa kuona mchango wa huyu mwamba unazani godfather wa mwiguru ni nani kama sio samia uwe na akili ya kuona mbali huyu jamaa ni jembe yupo tayari kumwaga ugari Kwa ajili ya wapiga kula
@@shijandobehe4953 KIKI HIZO ATAPEWA UDIWANI 🤪🤪🤪
Mpumbavu sana wewe huna lolote.
@@JesusJesus-ny1sm ASANTE PALOKO UJUE HAKUNA MIUJIZA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Ndio shida yako ww ni mbinafsi na kiburi mbona ulipokuwa waziri haukutushitakia eti unatoka familia masikini miaka 20 bungeni njoo kitaa uone familiar masikini lofa sana ww
Unajitetea kitoto kama vile sio msomi. Ulitumwa kwenda kusema nje ya Bunge? Hapo ulitereza Mr waziri Mustaafu.
Hauna Story
Mwongo na anatafuta huruma kwa watu wasiofikiri. Huyu ni kibaraka wa viwanda vya sukari
Saws kwahiyo viwanda vyasukali vife mwambieni raid avifunge ndio utawala bora
Na mashamba ya miwa wapewe nguruwe usitetee watenda dhambi kaka waache wajitetee wenyewe
Akili yako ndogo ndugu
Shida yake huyu mtu hana nidhamu ikiwa ni pamoja na kufuata utaratibu, alitakiwa asubiri hukumu ya tuhuma zake dhidi ya waziri lakini hakufuata utaratibu huo. Kwakawaida huwezi kupeleka kesi mahakamani halafu kabla ya hukumu wewe huku ushaanza kushughulika nayo.
Mpina tuko na wewe
😅bado haijaisha
Mpuuzi wewe...chuki zako na kutaka sifa sasa unalialia nn...pumbavu sana
Ulikuwa unyamaze tu kimya utafute ugali umejitia kimbele mbele kutafuta umaarufu sasa yamekukuta nyamaza kimya! Mwanakulitafuta mwana kulipata.
HII NCHI INAHARIBIWA NA WATU KAMA WEWE ,HUWAHURUMII WATANZANIA WENZIO UNATAKA ZURUMA ZIENDELEE NCHI HII
korona
Ongea kiswahili vzr hujuw hata kuongea unataka uwaziri siulipewa lkn ulikushinda nenda kalime kijijin kwenu huko
USITAFUTE HURUMA
Kwani uganga ni kashfa
Pumbavuu
Saw mtoto wa mbashe
Kichwa chako kina kamasi tupu
Mpina unatafuta nini? Hauna jipya wewe ulikuwa waziri je ulifanya nini? Kaa kimya mzee.