Utacheka! Maneno ya Makongoro Nyerere mbele ya Rais Samia | amsimamisha Kikwete "Watoto wa Rais..."
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 พ.ย. 2022
- Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5 - แนวปฏิบัติและการใช้ชีวิต
Safi sana kaka yetu makongoro
mtoto wa mzee #juriusnyerere
muasisi wa taifa letu la tanzania 🇹🇿
Makongoro kuwa serious unapopata fursa ya kuongea mbele ya mheshiwa Rais wa nchi. Vitu unavyoongea haviendani na nafasi uliyonayo kama mkuu wa mkoa. Unapoteza muda kuongea vitu ambavyo havina maana kwa wanachi unao waongoza. Unatumia muda wako mwingi kwenye utambulisho, kusifu na kufanya usanii badala ya kuzungumzia matatizo ya wananchi. BADILIKA TAFADHALI!!
Huyu hafai kuwa kiongozi Masifa mengi.
Hawa special hii nchi Ngumu Sana
Kama ulitega shule huwezi kuambulia kitu kutoka kwa huyu mwamba, alicho kiongea ni kitu muhimu Sana kuwa kwenye nchi za watu wengine raisi akisha staff huwa wana kimbia nchi zao ila kwakua Tanzania uhuru upo ndio maana mpaka na watoto wa maraisi Bado wanaendelea kushika madaraka 🙌🙌👏👏👏😄😃
Nimecheka kwa furaha... unajua kukaribisha wageni mheshimiwa... Tz raha sana... hata kama umenuna utacheka.😂😂
Nchi imepoteza mvuto siasa nyingi matendo 0 msilushe kila habari maana viongozi wanakosa hata maadili katika kuongea hii ni aibu sana
"Aahiii! Aaahaaaa!"
Kaka Salum unahitaji like ngapi ???
Maana tumechoka vituko vya jinsi wanasifiana tu wao kw wao. Wakati uku wananchi tunapigika
Kwani mwanzo wakati wa magu ndio misifa ilizidi zaidi madaraja flyover yalifanywa kama ndio siasa nimejenga nimejenga mambo ya ajabu sana..!
@@hassanmfaume4522
Tafauti Ya mwanzo na sasa ni kwasabu Magufuli alisifiwa na wananchi wakupato cha chini maana aliwaunga mkono moja kwa moja mfano kuwatengenezeya mazingira rahisi Ya kufanya kazi machinga, mama lishe na kadhalika ila tofauti Ya sasa utawala unasifiwa na MATAJIRI, MAKAMPUNI, ULAYA NA MAREKANI. Kama na wewe ni tajiri sana basi ruksa kusifiya. Mie mkubwa wangu alikuwa anafanya biashara Ya Machinga na ndio alikua akinilipia ada Ya chuo na pia kutuma pesa Ya matumizi kijijini kumsaidia bibi.
Inasikitisha!
Huyu anafaa kuwa KIONGOZI kwasababu KIONGOZI anapaswa kuwa karibu na jamii.
Haya buana
Alicho zungumza apa ni zero plus
Huyu mzeee asiwe anaongea,,manake ni pumba nyingi sana
Wacha ww bac ongea ww
😁😁😁😁😁
Nonsense
Watu wachachee
Hii ndo tatizo kuweka mkuu wamkoa aliye toka katika familia za kishua yeye hajali ata wakimwambia acha kazi laiti agekua mkuu wamkoa aliye toka katika familia nduni agechukua mda uho kusema matatizo ya wananchi.
Mungu Akutunze😘😘😘
Wewe acha kumsafisha huyo jamaa, baba yake ana tumaliza watanganyika, hii Awamu ya sita ufisadi uendelee tanzanie
Makongoro nimekuelewa! Pale ulipotaja kuwa Marais wastaafu kukimbia nchi na familia zao
babaake mzazi mwalim nyerere,mwinyi,mkapa,kikwete na magufuli"waliahajua huyu hafai kuwa kiongozi na ndo maana hakupewa nafasi katika uongozi"ni huruma tu za mh.samia
Chini ya Utawala wa kikwete alikua mbunge wa bunge la Africa Mashariki.
🥺🥺🥺Mzee kichwa kikubwa alaf unaongea pumba 😏umenikera
Dawa ya deni.
th-cam.com/video/uU3ff3MXIHU/w-d-xo.html
Dah jinsi viongozi wa ccm walivokua mazuzu hata mazungumzo yao ni ya kijinga jinga tu
Huyu jamaa pumba