SOMO: "MAMBO SABA (7) YALIYONISAIDIA KUFANIKIWA MAISHANI" Muendelezo wa Sehemu ya 1 - GeorDavie TV

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

ความคิดเห็น • 66

  • @gilbertjuma6838
    @gilbertjuma6838 ปีที่แล้ว +1

    Wewe ni nabii wa kweli duniani umeyabariki maisha yangu Gilbert kutoka Kenya

  • @davidmaheke3383
    @davidmaheke3383 ปีที่แล้ว +2

    Greetings major prophet, I am blessed with your teaching, from now on , I will start to practice your teaching, I am pastor, I live in south Africa, I have the same heart to help people, sometimes it's hard to help when you don't have enough for yourself,but God will help us . Thank you for your words of wisdom. May God continue to use you mightly

  • @wemalusweti7057
    @wemalusweti7057 2 ปีที่แล้ว +5

    Mtumishi WA Mungu Umekuwa wa Baraka zaidi kwa maisha yangu Wema lusweti from Kenya but Sai niko saudi Arabia kazi

  • @mollel5011
    @mollel5011 ปีที่แล้ว +2

    Ameni baba na mimi ninaomba niwe na roho kama wewe baba nakuomba ufunguo kama wa kwako baba nakupenda sana baba hakika hakuna linaloweza kushindikana kwako baba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @damarisnjerunjeru399
    @damarisnjerunjeru399 ปีที่แล้ว +2

    Thank you Jesus

  • @shakukawele9959
    @shakukawele9959 ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kukubariki Nabii Mkuu Geordevi mafundisho yako yamenigusa sana wewe ni baba mwenye Roho ya upendo wa mungu 🙏🏽🙏🏽Bless youw🙏🏽🙏🏽😭😭

  • @antoineamani3911
    @antoineamani3911 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana maneno yako yamenijenga kweli nipo USA Kentucky Louisville Amen

  • @elizambise8504
    @elizambise8504 ปีที่แล้ว

    Baba shkamoo.naomba niombee nimeteswa sana nawachawi,ninavifungo vingi sana nimekimbia nchi Bado .sema neno Moja kwangu naomba juu ya uyu mama mtesi wangu

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 ปีที่แล้ว +1

    Nalia kwa maneno ya Nabii🙏🙏🙏🙏🙏

  • @leonardkajuna1213
    @leonardkajuna1213 2 ปีที่แล้ว

    Amina nabii mkuu,mimi nakuelewa sana,wasiokuelewa hawanihusu!

  • @renathamgeni3869
    @renathamgeni3869 ปีที่แล้ว

    Asante. Baba. Kwa. Mafundisho. Nimepokea. Mungu Anisaidie.sana.niyaishi.

  • @jenniferandmwakikono4960
    @jenniferandmwakikono4960 2 ปีที่แล้ว

    Shalom baba ukweli nayaishi yote mafundisho uliyonifundisha.nipo mtwara ck moja Mungu anipe kibali nifike madhabahu itoayo moto na ngurumo

  • @pascalhwago2881
    @pascalhwago2881 2 ปีที่แล้ว

    Baba Ñabii mkuu Ta zania ubarikiwe sana kwa mafundisho yako mazuri

  • @dailantz4073
    @dailantz4073 9 หลายเดือนก่อน +1

    Dunia inajiuliza nabii mkuu hamekua ni wamijiza kila siku kuwadumia watu kiro nauwapa mitaji magali namazuli.mengi nanimijiza kila wakati wakati dunia na wengi kutafuta hata wanenewe baraka na mafanikio.kuna. wanafiki hapendi nabii mkuu hana vosaidia watu ote wana umia sana kwa chukizao lakini mungu hanazidi kubariki bb NABII MKUU

  • @tsoundonlinetv
    @tsoundonlinetv 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen My Dad

  • @maryann6241
    @maryann6241 2 ปีที่แล้ว +1

    This is my day thank Jesus

  • @violethsaro8097
    @violethsaro8097 2 ปีที่แล้ว

    Umenifundisha pakubwa sana,Barikiwa Mtumishi

  • @ezekielyohana6826
    @ezekielyohana6826 2 ปีที่แล้ว +1

    Poweful massage.

  • @leonardmisana9061
    @leonardmisana9061 2 ปีที่แล้ว

    Fundisho zuri sana ,limenibariki mno,barikiwa sana Mtumishi wa Mungu Nabii mkuu Dr Geodavie

  • @teddyjohn7054
    @teddyjohn7054 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏

  • @LivingKiwelu
    @LivingKiwelu 11 หลายเดือนก่อน

    Baba unazidi kunibariki asante baba

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtumishi miaka 1000 yote kwako🙏

  • @kenyanewsalert5337
    @kenyanewsalert5337 ปีที่แล้ว

    Napenda sana Mafundisho Yako Baba

  • @DAZIZUbeàutysalon
    @DAZIZUbeàutysalon 2 ปีที่แล้ว

    Ameni baba Mungu akuinue zaidi na zaidi

  • @aronabed3988
    @aronabed3988 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaan umenifanya nijue kwann mungu alinionyesha nikitembea naww hatua nyingi na ukanipa sir ambayo had sasa sijapata kuilewa najua ipo siku nitafika ngurumo ya upako na utanipa kile ulicho nipa katika ulimwengu wa roho

  • @shukuruelijoseph7076
    @shukuruelijoseph7076 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Sana baba

  • @adelshawa7417
    @adelshawa7417 2 ปีที่แล้ว

    This is the details 👌

  • @kknlghfblblanakere5946
    @kknlghfblblanakere5946 2 ปีที่แล้ว

    Amen mungu akubariki pia nami nmebarikiwa thanks mtumishi

  • @lwitikoasa6899
    @lwitikoasa6899 2 ปีที่แล้ว

    Thanks Prophet for good sms

  • @nashnguyaine1457
    @nashnguyaine1457 2 ปีที่แล้ว

    So sweet ur voice dad

  • @magrethlwaga955
    @magrethlwaga955 2 ปีที่แล้ว

    Asante kwamaneno yako

  • @SamweliEzekiel-ks7sl
    @SamweliEzekiel-ks7sl ปีที่แล้ว

    Amina

  • @magrethchiwango644
    @magrethchiwango644 2 ปีที่แล้ว

    Nami napita katika moyo huo baba nisaidie watu baki ,,mungu nisaidie ,mungu nipe nguvu kupitia madhabahu hi nikafanikiwe niweze saidia wengine

  • @damasjoseph76
    @damasjoseph76 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe

  • @EmmanuelSanare-bc7si
    @EmmanuelSanare-bc7si ปีที่แล้ว

    Amen🤝

  • @NeemaMinga-pl8ty
    @NeemaMinga-pl8ty ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa sana, tamaa yangu nije nikanyage hapo nikuone tu! Ntafunguliwa kupitia ww baba.

  • @josephkiondo4934
    @josephkiondo4934 2 ปีที่แล้ว

    Kwa mar ya kwanz nimeelew Yes alivyosem mtawatambua kwa matund yao bab nabi Leo nimeujuw moy wak usemach ndich ufanyacho Ulindwe na Mungu Baba

  • @neemadickson3975
    @neemadickson3975 2 ปีที่แล้ว

    Haleyuya nakupata baba, nabarikiwa Mungu anipe uzima nije niguse tu kiachu chako,

  • @abdumsuya9266
    @abdumsuya9266 2 ปีที่แล้ว

    Amen mtumishi

  • @janetkaingu7038
    @janetkaingu7038 2 ปีที่แล้ว

    Eeeeeeemen,shida zangu Zote zimefutwa zote aamina asante Babà Nabii Mkuu

  • @marympemba2137
    @marympemba2137 2 ปีที่แล้ว

    Amina baba 🙏🙏

  • @siphaeljoseph2156
    @siphaeljoseph2156 2 ปีที่แล้ว

    AMENIII

  • @waziritz5273
    @waziritz5273 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @timothybilato3960
    @timothybilato3960 2 ปีที่แล้ว

    Emeee Baba nimepokea NATAMANI nifike

  • @lissajosey1089
    @lissajosey1089 2 ปีที่แล้ว

    Hallelujah hallelujah,,sijutii wewe kua baba yangu Bali ni faida tupu,,nasema ni faidaaaa Kila hatua love you ma dadyyy,,eeeh moyo wangu tunza hekima kuu hii ya baba

  • @ufufuowarohoni5330
    @ufufuowarohoni5330 2 ปีที่แล้ว

    Penda sana daddy kichwa cha manabii

  • @emmanuelemmanuel3047
    @emmanuelemmanuel3047 2 ปีที่แล้ว

    kweli baba

  • @lwitikoasa6899
    @lwitikoasa6899 2 ปีที่แล้ว

    Nabii mkuu nabii mtoto nimeona wazungu wengi wengi wanakujia uwaudumie vikundi vywa wazungu wanakujia

  • @timothybilato3960
    @timothybilato3960 2 ปีที่แล้ว

    ipo siku TU tafika ulipo

  • @manirambonaemeryhasta3739
    @manirambonaemeryhasta3739 2 ปีที่แล้ว

    AMEN TENA AMEN DR GEODAVIE NABII MKUU😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @bjcjdghj117
      @bjcjdghj117 2 ปีที่แล้ว

      asante sana baba kwamaneno mazuri kama Mungu azidi kukuongezeya nguvu . ni ISSA wa RDC

    • @bjcjdghj117
      @bjcjdghj117 2 ปีที่แล้ว +1

      Tumejengwa vema kabisa. Amen amen ameeeeen

  • @mteulefaini
    @mteulefaini ปีที่แล้ว

    Kwa mafundisho Yako yausuyp uchumi na mafanikio ubalikiwe.NAPENDA KUKUFAHAMISHA MAONO KUTOKA KWA MUNGU NA SIRI JINSI MBINGU ZINAVYOKWENDA KUKAMATA UCHUMI WOTE WA DUNIANI.Jina langu ni MTEULE.:Amani kwako.

  • @janestephen8511
    @janestephen8511 ปีที่แล้ว

    Nabii tuna ujenzi wa kanisa tunaomba ufadhili wako baba mch

  • @abdumsuya9266
    @abdumsuya9266 2 ปีที่แล้ว

    Maneno Yako yananipa funzo

  • @anglephiripo
    @anglephiripo ปีที่แล้ว

    Baba matamko yako yana nguvu uishi miaka mingi

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 ปีที่แล้ว

    Baba Nabii hata baadhi yandugu ukiwasaidia badowataakuumiza

  • @jumaalex3942
    @jumaalex3942 2 ปีที่แล้ว

    Yani unajitambua kupita kawaida lakini kunamtuamevunja watumoyo kusema mtuanaepandambegu bilalakiasije kwako kunamtu anambegu ya lakikunamwingine uwezo wake nikumi hivyo ubaguzi haufai wewe nimtumwenyeupendo wa MUNGU

  • @jumaalex3942
    @jumaalex3942 2 ปีที่แล้ว

    Akika wewe ni mtu wa MUNGU nakuongeakwako akunamuubiri afrca mwenyebusara

  • @deusmallya6932
    @deusmallya6932 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen
    🙏🙏🙏🙏

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 ปีที่แล้ว +1

    Ameeen

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 ปีที่แล้ว

    Ameeen

    • @dorysomangiza4122
      @dorysomangiza4122 ปีที่แล้ว

      Sharom mtumishi baba mpendwa Nime barikiwa na mahubiri ya monika mungu am barikiwa sana kama kanihubiria mm saaizi nisaa nane Usiku sijalala nafuatia mahubiri Nalia tu😭 nikizani yesu Ameni acha ila monika mahubiri yake Ameni ngusa sana ila najua ikosiku nitfika tu yesu nisaidi🙏🙏