JINSI YA KUISHI MAISHA YAKO BILA KUJALI MANENO YA WATU - Dr. GeorDavie
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2020
- Kati ya mambo yanayochosha akili maishani ni kutoishi maisha yako, yani mtu unaishi kwa kuogopa watu watasemaje kukuhusu...! Tazama video hii ujifunze mambo yatakayokusaidia juu ya hili suala.
NIFUATILIE
☞ Facebook: / geordaviemaarifa
☞ Instagram: / geordavie_maarifa
Kweli baba hii ndio huduma,Napenda sana mafunzo yako ya hekima ya Hali ya juuu,wewe baba wewee akiamungu umenitoa mbali mungu azidi kukupa maisha marefu ,
Baba nakuelewa Sanaa na umenitowa mbalii Sina Cha kusema zaidi baba Mungu akutunze Sanaa😍
Baba nakubaliana sana. Hata Mimi nachukia mtu mnafiki.
Àsante sana Baba yangu
Ubarikiwe Mno Nabii Mkuu, Ongeza zaidi kuisema kweli ya Kristo na Yamaisha haya Katika Kanisa Mungu Akubariki Mno, Ukiwepo na Hata Baada Yako tupo tutakaoendeleza kweli na Kristo na Nguvu na Ukuu wa Mungu Duniani Kote. Ubarikiwe Mno.
Baba nakupenda
Amina Savi Sana baba
Yesu ameweka msingi sasa ni jukumu la kila mmoja kujipambanua ni majenzi gani anajenga juu ya msingi huo kama ni lulu,goldi,matope au manyasi kila kazi itapimwa na Yesu kwa moto
Ana heri mtu anae kufatilia na kushika maneno yako kwa makini katu hatopata madhara ya gafla
Baba naitaji maombi yako mimi ninatatizo kubwa nilikuwa muimbaji nyota nilikuwa nabiashara lakini nimefilisika madeni yamekuwa mengi hata kodi ya nyumba inanichanganya nibada ya kupigwa chake ya kichawi nasali ngurumo mwanza Kanyama lani hata nauli ya kwenda huko sina nimehalibikiwa kabisa maisha watoto wangu wamefukuzwa shule mambo magumu sana kwangu naitaji maombi yako
Naomba mawasiliano yako mtumishi
Naomba mwenye no za CM za nabii anisaidie tafadhali
Mungu akisema neno akuna wa kupinga amahakika mungu kakupa baraka nawewe unazitumia kuombea watu na wanapona na kubarikiwa
Niko mbali Sana nae namwelewa Sana anasaidia watu
Amina safi sana
Beautiful Man of God nimecheka sana
Dah! Umenijua aisee
Nimeamini mambo yangu yatanyuoka amen
Nabii mkuu mwene mamlaka.yakweli hakuna kama wewe wanao kusema wakati wao hata tone.hawa kufiki kwamiujiza yakwe mimi mwenyewe ni meshudiha kwangu waje wajifuze kwako kwanza manabii ote na na viongozi wadini kwa sababu wao hawa wezi ndomana wateseka
Nakupenda sana baba namaliza mb kwajili yako baba
Aaah! Haki ya Mungu baba nakupenda sana
Amina baba
Mimi ndio kabisaa sitoki hapa hapa maali ni sahihi patakatifu sana✍️✍️🙏🤲🙏
Nikweli baba
Kweli baba
Baba naomba uniombee nipate mke huu ni mwaka wa nne Sina mke Wala mchumba jamani😢😢😢😢😢😢😢
🔥🔥🔥
Amen
Ombi 2 mtoto wangu ametoloka leo wiki ya 3 anaitwa anastzia amemaliza kidato cha nne anasubiri kwenda chuo lakini sijui aliko hadi muda huu niombe sema neno nitapona atakudi
Kabisa baba hauna
Nabii mkuu natamani unitamkie neno kabla mtu kama wewe hujatoweka duniani maana shetani amenizuia miaka mingi nashindwa kufika ngurumo ya upako nifungue hata huku nilipo niweze kufika
Watu tuko wanafiki Kweri. Indyarya. Wengi wanachungulia kama hawaoni Na wanaona
Namimi nakuja baba
Baba unafundisha mpaka mtu anaelewa
Baba naomba baraka zangu niweza kupona magonjwa yanyonisumbua
Asande baba mkuu
Nakupenda Sana baba yangu maana huna unafiki.
He is a false prophet and telling women they are Apostles. That is a male role and title. He is wrong
Nitapataje namba ya Nabii
Tupo njiani baba tunakuja mda si mrefu
A
Job 31:1 "I have made an agreement with my eyes. Then how can I look with lust at a woman? " #LustOfTheEyes #LustOfTheFlesh #PrideOfLife
Haki wewe ni nabii wa ukweli kabisa
🔥🔥🔥
Amen