Amina mtumishi wa BWANA YESU, Ujumbe wako ni mzuri sana tena ni injiri ya kweli na ulivyoanza sivyo ulivyo sasa, nakuombea neema kwa BWANA YESU uendelee kunyenyekea mbele za YEHOVA.
HAKIKA YESU aendelee kukunoa nmeipenda hii sifa na utukufu ni kwa Mungu Emanuel endelea kukaa barazan kwa Mungu tuendelee kupokea damu ya YESU iendelee kukutunza
nimeikubali injili hii,Mungu akupe kudumu katika kweli yake,isipokuwa kanisa limepotoka kwa kiwango kikubwa mno,cku hizi wachungaji wanaajiri hadi watu wafanye vituko kwa jina la miujiza,kizazi kilicholaaniwa,watoto wa majoka.watu wamekataa garama ya kumtafuta Mungu wanakimbilia undanganyifu wa shetani.
To be honestly....Naelewa Sana Mahubiri ya Mtumishi anahubiri Kwa lugha nyepesi na inaeleweka vzr Sana. Sasaiv ni postor namba Moja Kwangu Kwa kumskiliza na kunisaidia kumjua Mungu
Hongera Sana Mtumishi. "Hizi shuhuda zinaua Kanisa la Kiroho na kujenga Kanisa la mwili" Maana yake tunaua Kiroho ambacho ndilo Kanisa la kweli la Kiroho na tunatoa shuhuda za uongo kujenga Kanisa la mwili yaani kujaza majengo yamakanisa yetu kupata sadaka nyingi na kupata sifa za wingi wa Watu katika madhehebu yetu.
Amen Mtumishi ubarikiwe sana kwa neno zuri hayo maigizo yanayoendelea yanaua mioyo ya watu wanaompenda Mungu. Kutokana Mtu anampenda Mungu vile alivyo na anatarajia kupokea lolote kutoka kwa Bwana na ndilo litakuwa sahihi kwakua Mungu anajibu kwa wakati wake na ndio sahihi lakini watumishi wasiowaaminifu hudanganya wengi kanakwamba wana ratiba ya Mungu matokeo yake watu wanaanza kutangatanga miaka hadi miaka hawajibiwi wengine mpaka wanakufa kwa udanganyifu.
aisee umetisha sana big point watu wanamchezea sana mungu makanisa yamekuwa nalamli zauganga wachungaji wanekuwa matapeli tu wanatafuta pesa kwakutapeli wajinga wanao jiita waumini wenye akili ndogo watu duniani wanaangamia kwakukosa maalifa
Siuondoke hapo kwenye hiyo madhabahu ndugu?, Yaani umeshajua kuna shida bado upo hapo?,utakuwa umefungwa,hapo siyo pa kukaa kimbia na naamini dodoma hapo kuna madhabahu nyingi za kweli.
Safi sana somo limesomeka wenye sikio wamesikia
Amina.Hiyo ndio injili ya kweli Mtumishi.Barikiwa
Ameen barikiwa San mtumishi
Amina mtumishi wa BWANA YESU, Ujumbe wako ni mzuri sana tena ni injiri ya kweli na ulivyoanza sivyo ulivyo sasa, nakuombea neema kwa BWANA YESU uendelee kunyenyekea mbele za YEHOVA.
Unasema ukweli Mtumish wa mungu
Hongela masanja uko sawa hao watumishi waongo wapigwe kwa Nina la yesu
Amen ni kweli
HAKIKA YESU aendelee kukunoa nmeipenda hii sifa na utukufu ni kwa Mungu Emanuel endelea kukaa barazan kwa Mungu tuendelee kupokea damu ya YESU iendelee kukutunza
Ninampa Mungu utukufu kwa ujumbe huu. Mwenye dhamira ya mbingu ataelewa
nimeikubali injili hii,Mungu akupe kudumu katika kweli yake,isipokuwa kanisa limepotoka kwa kiwango kikubwa mno,cku hizi wachungaji wanaajiri hadi watu wafanye vituko kwa jina la miujiza,kizazi kilicholaaniwa,watoto wa majoka.watu wamekataa garama ya kumtafuta Mungu wanakimbilia undanganyifu wa shetani.
Hakika huu ni ujumbe mzuri Sana, MUNGU ambariki mtumishi wake❤❤
Barikiwa Dady Mungu Akuinue
Very very unique leason
To be honestly....Naelewa Sana Mahubiri ya Mtumishi anahubiri Kwa lugha nyepesi na inaeleweka vzr Sana. Sasaiv ni postor namba Moja Kwangu Kwa kumskiliza na kunisaidia kumjua Mungu
Hongera Sana Mtumishi. "Hizi shuhuda zinaua Kanisa la Kiroho na kujenga Kanisa la mwili" Maana yake tunaua Kiroho ambacho ndilo Kanisa la kweli la Kiroho na tunatoa shuhuda za uongo kujenga Kanisa la mwili yaani kujaza majengo yamakanisa yetu kupata sadaka nyingi na kupata sifa za wingi wa Watu katika madhehebu yetu.
Asante kwa ujumbe mnzuri umenisaidia mengi
Balikiwa sana Mutumishi na kufatiliya toka Congo Butembo 🎉🎉🎉
Amina mtumishi
Endelea masanja na injili ya kweli mungu akutie nguvu
Amen pastor very true Mungu hasaidiwi kazi
Safi sanaaaaaa God bless you
Amen ubarikiwe mtumish wa Mungu
da! nimecheka sana naa nimebarikiwa yan nimebarikiwa huku na enjoy asanteee my pastor
Amen Mtumishi ubarikiwe sana kwa neno zuri hayo maigizo yanayoendelea yanaua mioyo ya watu wanaompenda Mungu.
Kutokana Mtu anampenda Mungu vile alivyo na anatarajia kupokea lolote kutoka kwa Bwana na ndilo litakuwa sahihi kwakua Mungu anajibu kwa wakati wake na ndio sahihi lakini watumishi wasiowaaminifu hudanganya wengi kanakwamba wana ratiba ya Mungu matokeo yake watu wanaanza kutangatanga miaka hadi miaka hawajibiwi wengine mpaka wanakufa kwa udanganyifu.
Ooh yes 💪, Mtumishi hana mbingu yakunipeleka,na hili swala la uongo Mungu ingilia kati maana uongo umezidi🙏
Chuma la JEHOVA 🙏
Glory Glory to God🙏
aisee umetisha sana big point watu wanamchezea sana mungu makanisa yamekuwa nalamli zauganga wachungaji wanekuwa matapeli tu wanatafuta pesa kwakutapeli wajinga wanao jiita waumini wenye akili ndogo watu duniani wanaangamia kwakukosa maalifa
God bless you❤
Safi sana Emmanuel, wewe siyo Masanja Mkandamizaji tena, Mungu amekubadilisha jina, Wewe ni Emmanuel Mungu pamoja nasi
Ni wakati wa kusema ukweli
Masanja wewe nikomidiani lakini unachakifanya hapo kanisani mungu atakulipa kwa hiyo elimi unayoitoa binafsi nimekuelewa sana❤
Saafi mtumishi
Umenena baba
Nimekuelewa sana mtumishi waambie hao wataka sifa na wapiga hela.
Glory to God leo nmepata kitu kikubwa Sana kwamba Mungu asaidiwi we need to live with the truth God bless you pastor
Masanja kagusa maeneo ya watu Mungu akulinde
neno zuri mno, sikutarajia kama ungefundisha hivi.. Mungu akubariki mno
Amina amina
Barkiwa mtumishi wa mungu
Ujumbe ulionyooka kama rula ni ukweli mtupu
Uzidi kubarikiwa mtumishi kwa Jina la Yesu Kristo
Safiii Mtumishi Ubarikiwee saaaaana Masanja Nimekubarii Ubarikiwee mtumishiiii
Hakika Mungu anakutumia, Aman of God
Ameen
Mwanangu uko vizuri
Amen
Amen Amen
Mungu akuinue Mtumishi wa Mungu.
Asante mtumishi wa Mungu, uko juu
Safy ❤
Sawa mtumishi ila ila hayo mavazi uliyo vaa sina uhakika kama kama unauelewa nayoo!!
Kuna watumishi Mungu anawatumia kwa viwango vya juu Sana na hao hawana muda wa kuongea Mambo ya wengine
Hii ya Leo kwinini. Imenikaa kisawa sawa. Umeningezea maarifa pastor masanja. Umenipa wimbo hapo nanitakuja nayo huko redio kwako. Amen😅
Seja abençoado pastor
Yani sisi tunamchungaji mwongo kweli natamani hata ungekuwa na kanisa Dodoma ,ubarikiwe sana,🙏
Siuondoke hapo kwenye hiyo madhabahu ndugu?,
Yaani umeshajua kuna shida bado upo hapo?,utakuwa umefungwa,hapo siyo pa kukaa kimbia na naamini dodoma hapo kuna madhabahu nyingi za kweli.
Kandamija Ng'wanawaneee
Amina sana baba umenitoa mahali Amen 🙏🙏
Amina mtumishi MUNGU akubariki.
Sijawahi kuchoka kukusikiliza, Mungu aendelee kukupandisha juu zaidi, unabariki wengi.
Ameeeeeeen
Ubarikiwe sana kwa mahubiri ya kweli
Ameeen Ameeen Pastor.....
Pastor masanja nimekuelewa waambie Baba waache ukanjanja"
Injiri Hii Imenyoka Mtumishi Haijachakachuliwa Mungu Akutunze Saana Mtumishi
Nimekuelewa sana pastor
Ubarikiwe sana
Hiyo baba nakupa zote miamia ,wape neno
Ubarikiwe sana mchungaji
Baba ubarikiwe sana
Masanja leoooooo...... Umefurumushaaaa
Toka rwanda hapa tunawapata vizuri , tupe tu ukweli japo mchungu
Amen amen barikiwa MTUMISHI
Yes yes.. Amen.. man of God, hiz ndio nondo zinazotakiwa kwa kizazi cha leo
Mungu akubariki kwa kweli maan unaongea ukweli kabisa
Ameeen baba 🙏🙏🙏
Preach preach pastor
Amina Mtumishi Sema Kweli
Amen.
Aminaaaaa
Umenikumbusha mengi....iwe heri Kwa wengi
Amen kubwa
Huyu anaweza kuwa mchungaji wangu,
Emmanuel
😂😂😂😂safiiiiii sanaaaaaaaaaa
UTUKUFU KWA BWANA ,,AMINA LEO NIMEPATA kikubwa Sana kwamba Mungu asaidiwi ,UONGO MBAYA SANA
Kaa Imara unatangaza vita .
Ameen, ameen
Nakuelewa.baba
Well said
Waongo hawaendi mbinguni
Ila hapa rafiki yangu hongera sana sana huyu ni Mungu amekutuma
Ni kweli kwa mahubili haya ni mungu anamtuma
Umenena mtumishi.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Afu we masanja ni comedian kanisani 😂😂😂😂
Ahsante
Bishop tenaa???
Ameni wewe nichuma vunja nondo mshua
Amen kaka
Kandamiza mkuu
Nguruvi aghukyinighake mlongovangu
❤❤
Kama uongo wa kiislamu