Aiseeee yaan wewe ni jibu na baraka haswa kwa vijana kama Mimi, kweli kabisa nilisha fanyiwaga hivi tena na ndugu za wa tatu nabmiaka imepita lakn walivo shangilia tu nikashituka na matokeo nilikuja kuyaona badae ila mpaka sasa sjawai sahau, Nanauka I don't stay in Tanzania but u encourage me beyond description in that I nolonger call u inspirational speaker but a brother n my role model 🙏🙏🙏🙏❤️
Watu wote nishawaona ila namba Tisa ilinikumbuka mwenyewe,nimeamua kufanya kitu na sikua na uzoefu nacho,nilikua na mtu wa karibu yeye alikua anakijiua na amesomea ila hakutaka kunielekeza na alikua anajua kama nakosea ila ananisifia. Baadae alivyoona kimeniyumbisha sanaaa ndo akaanza kuniambia hiki kitu mm nakijua na nilijua upivyoanza ulianza sio 🙆🙆na wakati yeye mwenyewe alikua ananisifia mwanzon Daaahhh. Ila nashukuru niliyumba sanaaa ila sikuanguka moja kwa moja.Nitaendelea kusimama na sasa video zako zimenifunza mengi sanaaaa.Hata nikitaka kuanzisha kitu kipya najua nianze vip.🙏🙏🙏🙏Barikiwa
Asante sana Brother Leo nimekuona Kabwe nikafurah sana japo nilikuwa kwenye gari ila nilifurahi wew ni moja ya mtu muhimu sana Duniani Mungu akupe maisha marefu
Safi sana, hawa watu wako na usishangilie yeyote na umpe moyo wako kama rafiki. Napenda nyimbo ya Goodluck gozbert " KUMBE NI HAO HAO". Never mind about them💁♀️
Mwenyezi ameruhusu yasionekane mengine;vinginevyo tungekimbiana ila ashukuliwe kwa kuruhusu manabii kuona kila hatua njema na ovu,Kibali cha Mungu kikisimama na anayependwa na Mungu hakuna awezaye pinga,kinacho subiriwa ni mda ufike,good news
Wallah hii imenigusa kuliko zoote Sikomi kukusikilza bro.. Kaz nzuri Mungu akulinde.. Wewe ulitakiwa kupewa kaz maalum ya kusaidia watanzani.. Maana %kubwa ni wagonjwa Wa fikra
Kaka joeli yani uku ninapo fanya kazi ao wqtu wapooo Wazungu yani wanakulipa wao mshaharaa alafu wanaumia wakikuona unapendeza, wanapenda sanaaa kusifia mara nimependa kiatu chako mara umenunua shingapiii, mara ukiwa off uwaunafanya nn nyumbani yani wana matabia mabaya mnoo tukiwa kazini wanaingia kwenye vyumba vyetuu na kuangali tunaela kiasia gani, Nachukia mnoooo mtu kunipekua chumba changuuu
Mimi nimeona zote ,,, dah mwalimu ! Umeamua kusema ukweli kabisa .. Yaani natamani kila mtu angeona hili somo . watanzania wengi hawapo kwenye social networks ... Yaani hii nitampa jamaa mmoja ananisifiaga sana lakini akienda kwa watu yeye ndo mbaya wangu .. Tena nilipanga kumdunda ngumi kabisa ..
Aisee ni kweli me nimekutana na huyo wa 2alikuwa ananisifia hadi mwenyewe nachukia kumbe akitoka kwangu ananisema vibaya mno,namshukuru Mungu nikamjua mapema nilimfukuzia mbali sana
Dah kaka nimejifunza Sana barikiwa Swali langu NI hili ukishawajua ufanye Nini mfano Mimi huwa wanaonisifia wanatamani Sana wafanye vitu navyofanya yaani wawe Kama mimi
Daaah ßrother asante sana kwa Topic yako nzuri na hawa watu huwa tunakutana nao mara kwa mara na wengine tunaishi noa kabisaa,#Joel_Nanauka hawa watu tunaepukana nao vip!!?maana naona kila kona wapo Asey,
Utakuta mtu anakua karib na mimi ananiiuliza nguo fulan ulinunua wapi au ulishona wapi nikawa nawaambia naona swal la kawaida kapenda nae kuwa kama mimi
Naitwa Hemed muna naishi tandale kwa mtogole nimekuelewa vizuli sana broo..kwaupande wangu nimeshakutana na watu wenye tabia yakunisifia kila ninapo fanya jambo baya hawa watu nipo nao kila siku.
Ahsante docta joel yaani nahisi mimi kwenye hii dunia nlikua nadhani nimelala kabisa leo ndio nimefunua macho😳
Aiseeee yaan wewe ni jibu na baraka haswa kwa vijana kama Mimi, kweli kabisa nilisha fanyiwaga hivi tena na ndugu za wa tatu nabmiaka imepita lakn walivo shangilia tu nikashituka na matokeo nilikuja kuyaona badae ila mpaka sasa sjawai sahau, Nanauka I don't stay in Tanzania but u encourage me beyond description in that I nolonger call u inspirational speaker but a brother n my role model 🙏🙏🙏🙏❤️
Watu wote nishawaona ila namba Tisa ilinikumbuka mwenyewe,nimeamua kufanya kitu na sikua na uzoefu nacho,nilikua na mtu wa karibu yeye alikua anakijiua na amesomea ila hakutaka kunielekeza na alikua anajua kama nakosea ila ananisifia. Baadae alivyoona kimeniyumbisha sanaaa ndo akaanza kuniambia hiki kitu mm nakijua na nilijua upivyoanza ulianza sio 🙆🙆na wakati yeye mwenyewe alikua ananisifia mwanzon Daaahhh.
Ila nashukuru niliyumba sanaaa ila sikuanguka moja kwa moja.Nitaendelea kusimama na sasa video zako zimenifunza mengi sanaaaa.Hata nikitaka kuanzisha kitu kipya najua nianze vip.🙏🙏🙏🙏Barikiwa
Ahsante kaka Joel...umenena vyema sanaaa....umenifungua akili, Mungu akubariki sanaaaaaa
Nakuerewa Sana thomasi toka songwe
Iko vizuri sana hii yamenikuta Asante sana kaka
Asante sana Brother Leo nimekuona Kabwe nikafurah sana japo nilikuwa kwenye gari ila nilifurahi wew ni moja ya mtu muhimu sana Duniani Mungu akupe maisha marefu
Am so happy for ur teaching Man of God.
Thanks Much My Brother, See you at the Top🤝
nashukuru sana kaka unabadilisha sana maisha yangu siku baada ya ya siku
Achana na zote hii ya kukusifia ili upotee ni mbaya sanaaa..badae utasikia"Mi nilijuaa tu hili litatokea"😊
M/mungu Akuzidishie Elimu na Ufahamu Inshaallah
Ahsante sana kaka. Nimejifunza jambo zuri sana hapa
Hongera kaka Joel hakika ww ni mwalimu kwetu umetupa darsa zuri sana na tutalifanyia kazi
Ujumbe mzito sana Bro Ahsante
Mungu azidi kukulinda na kukupigania.Mungu azidi kukupa maarifa
Ahsante kaka nafurahia jinc kila cku napata hatua sababu yako Mungu akuinue zaidi
Aisee we ni bonge la mwalimu
Kweli kaka sikila mtu ni mzuri wako wengi ni wanafki!
Yani bro mungu akubariki🙏
upo sahihi brother somo Nzur Kabixa heshima kwako watu hao wapo Kabixa na tunaishi nao
Safi sana, hawa watu wako na usishangilie yeyote na umpe moyo wako kama rafiki. Napenda nyimbo ya Goodluck gozbert " KUMBE NI HAO HAO". Never mind about them💁♀️
kwel kbsaaaaaaaa
We jamaa mungu anakutumia
Mwalimu . . . umeamsha hisia zangu na kuiona Kesho yangu ikiwa Bora zaidi, nimekumbana na watu wote hao kwa kweli.
Kweli kabisaa mm wananisifia niache kazi nisirudi tena lkn niligundua sababu.shukran kaka
Asante kwa kunifanya nakua makini
Mwenyezi ameruhusu yasionekane mengine;vinginevyo tungekimbiana ila ashukuliwe kwa kuruhusu manabii kuona kila hatua njema na ovu,Kibali cha Mungu kikisimama na anayependwa na Mungu hakuna awezaye pinga,kinacho subiriwa ni mda ufike,good news
Asante Kaka Joel nimejifunza
Hii Ni hatari sana😢'Ki Ukweli Hata Mimi ninasifa sana watu lakin sio wote ninawasifia Kwa dhati'😢.Ee Mungu ponya nafasi yangu🤲🙏
Ubarikiwe sana kaka
Nimekupata brothe daah kama zotee zipoo
Thanks God bless you
4,7,9 Ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri
Nashukuru sana kaka
Asante bro kwa mafundisho yako mungu akupganie ili utufungue tulio fungwa me kwa upande wangu n iyo ya 5 na ya 10
Wallah hii imenigusa kuliko zoote
Sikomi kukusikilza bro..
Kaz nzuri Mungu akulinde..
Wewe ulitakiwa kupewa kaz maalum ya kusaidia watanzani..
Maana %kubwa ni wagonjwa Wa fikra
Thanks Mr Joel Kadri cku zinavyozdi nabdlika kimawazo kutkna Na Elimu yko
Ubarikiwe kaka
Kaka joeli yani uku ninapo fanya kazi ao wqtu wapooo Wazungu yani wanakulipa wao mshaharaa alafu wanaumia wakikuona unapendeza, wanapenda sanaaa kusifia mara nimependa kiatu chako mara umenunua shingapiii, mara ukiwa off uwaunafanya nn nyumbani yani wana matabia mabaya mnoo tukiwa kazini wanaingia kwenye vyumba vyetuu na kuangali tunaela kiasia gani, Nachukia mnoooo mtu kunipekua chumba changuuu
Asante sana mi Nimejionea watu wa hivyo wabaya sana
Naiga vyingi kutokeya kwako, Mungu akubariki.
Swadaktaaa
Kaka watu kama hao nimekutananao sana
Kweli kabisa kaka Joel
Dah Kwangu n Aina zote. Mm hulewa sifa na Kibwatuka my strategiez. Kama unanisema hivi. Am Very Thankful Mr Jn
Daaah mle mle kila kitu ambacho umeongea nikweli hapa nimejifunza kitu juu ya watu
Mimi nimeona zote ,,, dah mwalimu ! Umeamua kusema ukweli kabisa .. Yaani natamani kila mtu angeona hili somo . watanzania wengi hawapo kwenye social networks ...
Yaani hii nitampa jamaa mmoja ananisifiaga sana lakini akienda kwa watu yeye ndo mbaya wangu ..
Tena nilipanga kumdunda ngumi kabisa ..
Laizer Koipapi Peter watanzania wapo kwenye social network... Lkn wakat we unaangalia motivated speech... Wenzako wanaangalia Baikoko
Asante brother
Shukraan teacher Joel, hiyo no 8 nishawai kukutana nayo! Baada yakuona hawajafanikiwa na mawasiliano waka kata .
Great lesson
Kaka unazungumza mambo ya msingi sanaaa... Mungu akubarikiii mnoo
kaka nanauka hakika nimekutana nao wengi sana
Aisee ni kweli me nimekutana na huyo wa 2alikuwa ananisifia hadi mwenyewe nachukia kumbe akitoka kwangu ananisema vibaya mno,namshukuru Mungu nikamjua mapema nilimfukuzia mbali sana
SHIKAMOO BRO.
Uko sahihi kabisa
Nikwelikabisa sisi watu Siyo wote wenye mpendeteya mwezako mazuri tuombepe mungu atuongoze
Asante ana8. Ili nipata lakini nashuku mungu walishindwa umakini muhimu
Brother joel , Asant sana kunavitu nimejifunza, GOD bless you
Asante sana bro, tunazidi kuchukua point za msingi za kimaisha
Bomba
Shukraan sana brother yaani hiyo ya 5, 7 na 8 ni shida
Good
Dah kaka nimejifunza Sana barikiwa
Swali langu NI hili ukishawajua ufanye Nini mfano Mimi huwa wanaonisifia wanatamani Sana wafanye vitu navyofanya yaani wawe Kama mimi
BARIKIWA KAKA JOEL.
Shukurani sana kaka ao watu kila cku na kukutana nao karibia sifa zote Apo
Asante sana kaka Joel, yani mimi karibia wote nimeshakutana nao, asante kwa elimu nzuri, nitakuwa makini sana na watu hao!
Dah! Somo zri sna limenigusa haswaaa.
Asante sana kaka no 7 na 8
Namba Saba ninao wengi sana
Asante buda
Asante..nitawatambuaje hao watu
uko vizur kaka ila nahitaji kujifunza zaidi katika mahusiano ya kimapenzi
nakuelewaga sana.
Daaah ßrother asante sana kwa Topic yako nzuri na hawa watu huwa tunakutana nao mara kwa mara na wengine tunaishi noa kabisaa,#Joel_Nanauka hawa watu tunaepukana nao vip!!?maana naona kila kona wapo Asey,
Asant sana mimi nilijua kawaid tu nilikuanaigwa hadi nguo za kuvaa
Utakuta mtu anakua karib na mimi ananiiuliza nguo fulan ulinunua wapi au ulishona wapi nikawa nawaambia naona swal la kawaida kapenda nae kuwa kama mimi
Shida ipo kwenye kuwatambua hawa watu!
Hivi unajua wabongo wanavyojua ku act! Wanaishi kama wanarecord muvi,tena aweza kua ndugu kabisa!
Good education bro
Uko vzr sana Jnanauka, unaezafundisha na nimepata mambo mazr bro!
watu wanakusifia ili kuficha maovu yao. i have vivid example happened to me. thank you for sharing
Mungu akubariki
Nice inspiration speach, thx bro
Daah asante,barikiwa
Kweli Joel.... GOD bless
Umenena kwel yameshawai kunikuta nawaogopa wanadam
Umeongea vizur Sana
Kweli kikulacho ki nguoni mwako.!
Kwel
Kweliii nimekuwa mtu wakusifiwa Sana'a na kujikuta nikitoa baadhi ya Plani zanguuu, kumbe ni hilaa dhidhi yanguuu? Duuuuuu
9 ni mbaya zaidi
Honest mm binafsi sipendi kusifiwa kwasababu hizo
Thx bro
Assent san najifunza vitu vingi kupitia wew
Nikweli kaka mambo yote uliyo sema yapo
I get you brother but the problem starts how to know such kind of people
Kuna dogo alivyojua nina nyumba baadae alinigeka mpaka Leo ninauadui nae alivyoiona alinisifia sana
Ndio blz
Naitwa Hemed muna naishi tandale kwa mtogole nimekuelewa vizuli sana broo..kwaupande wangu nimeshakutana na watu wenye tabia yakunisifia kila ninapo fanya jambo baya hawa watu nipo nao kila siku.
Kweli kabisa yote naona Yamenigusa watu ss tupo wahajapo sana
Ndio hiyo nimesha kutananayo .
Thank you so much.. and bless you!!!
Hakika kabisa kaka umesema ukweli
Sasa Joel nafanyaje mtu wa Mungu
Masomo yako yanajenga balaa lkn nilitamani nipate kitabu chako.
Kweli kabisa kaka
Hahahaaa,nishakutana nao sana ujakosea bro
Kwelii kakaa