Nikitazama fikra nyingi za wanawake huwa wanapenda wanaume wanao jiamini kama wewe na wanamsimamo,I'm proud of you,unalimisha vizuri sana na unauelewa wakutosha,
Kwa kipindi kifupi sana kukufuatilia, lakini marafiki zangu sasa wananiita professor kwa kuapply your lesson brother Joel, big up keep it up! SeeYouAtTheTop
Hey my brother discipline its all about "do right thing at right place" as student what you're advice to me towards success? Can you help us.. Also if l am study and I think to be entrepreneur do you think Doe's it feasible to manage two things at the same time if impossible what possible...?
Kaka yani huwa unagusa maisha yangu. Sina la kusema zaidi naomba uanze kuandaa madarasa mikoan like kwetu dodoma tunakukaribisha sanaa
Napenda jinsi unavyojibu maswali na mtangazaji nae ametulia na anajua kazi yak💯
Hi joel wewe ni mwl wangu mkubwa sana umenifanya nibadili maisha yang kwa ukubwa Mungu akutunze.
Joel nimejifunza mengi sana kaka kutoka kiukweli mungu akupe maisha marefu, ila naulizia upatikanaji wa kitabu chako kwa mfano Mimi niko msoma
Asante sana mwalimu Joel
Somo hili litakuwa mpya kila mwaka..wakati site
Download the message and save in your daily play list👌👏
Nikitazama fikra nyingi za wanawake huwa wanapenda wanaume wanao jiamini kama wewe na wanamsimamo,I'm proud of you,unalimisha vizuri sana na unauelewa wakutosha,
Best interview ever
Kwa kipindi kifupi sana kukufuatilia, lakini marafiki zangu sasa wananiita professor kwa kuapply your lesson brother Joel, big up keep it up! SeeYouAtTheTop
Naam Kaka mfano mzuri Sana, wa Nyuki na inzi. "Nyuki hawakwenda shule,lakini kazi yao yapendeza wengi kuliko wasomi na viongozi wasiyo na faida"
Kaka Pascal kabisa
mungu akuweke kaka joeli hutuhuwerimishe tujikwamue naumasikini asante sana kwamafundisho nahiman tutafikia marengo yetu
Ubarikiwe zaid my broo
Kaka l like your teaching may Almighty God bless you.😀
nakubali sana kak mm nina malengo mengi katika maixha yangu
Tafadhali Coach Joel, nakusihi uniambie nitanunua kitabu chako wapi, kitabu cha Timiza malengo yako; Mimi Niko Kenya
mungu ameweka vitu kwa huyu jamaa nahisi tutajifunza kupitia yeye
Ntakufatilia kaka mafunzo yako mazuri sana god bless you
safiya safiya ameen
Nakukubali sana nanauka your my everything in ma future god b wid u ol de tym
jozue rwetabula nashukuru sana pamoja
Thank you bro, tusiwe na tabia kama za nzi.
shukrani kaka, nina amini kwa uliyoyazungumza ...! nitafika mbali. wacha niweke ktk uhalisia.
Mansour Ahmed kabisaa
Congraturation kaka
IMEKUWA KUBWA HIO ASANTE KWA MAFUNZO YAKO MR. NANAUKA.
Shohamu Wokovu Kamili. Nashukuru sana pamoja sana
Thank you Joel
UMENIBADIKISHA SANA KIMTAZAMO NA SASA NIMEONA NURU MBELE YANGU
Asante sana mungu kakutumia
Shari Kala VP una mafundisho Kwan njia y'all cd
hi brother Jo vitabu vyako vinapatikana wapi
Big up brother
Nimekuelewa kaka
hongera nanauka kila laa her kwako
جزجز شكطا nashukuru sana
Joel Nanauka kaka kitabu chako kinapatikanaje mie niko msoma
Thanks sana bro
Nimependa ghafla, na ninakukubali kwa mafunzo
Ali M1966 karibu sana
thanks brother
naomba kaka unipe ushauri juu suala la mahusiano nipo kwenye changamoto
Hallelujah
Asante kaka kwa elim nzur
Thanks brother may I have communication of you.
thanks hro for your advice
Hey my brother discipline its all about "do right thing at right place" as student what you're advice to me towards success? Can you help us.. Also if l am study and I think to be entrepreneur do you think Doe's it feasible to manage two things at the same time if impossible what possible...?
Jaman nampendaga huyu kijana waah
Husna Shariff Nashukuru husna
Yako vizur kwel husna katk maisha
Ana push vijana kutoka katika hatua moja kwenda nyingine
@@hassanmsuya9057 kweli kabisa. Ata mimi nashkuru amenipush pia
Asante Sana bro
nakubali mtuangu
nataka vitabu vyako ntavipataje
personal log book inapatikana wap
Natafuta kitabu cha timiza malengo yako sijakipata
Am blessed
Kunamradi ninaotaka kufanya nitaomba ushauri wako kwanza ili nipate mwangaza please
safiya safiya karibu sana
Nauru xana kaja noel how can I get ur's books
Tafakari na uchukea hatua saf sana bro J nanauka
Be blasseb br Joel m nahitaji soft copy ya kitabu chako cha timiza malengo msaada please nifuate procedure gan ili nikipate?
Sounds or sauti is not perfect. Try to collect
Thank you brother
Ninamengi ya kujuazaidi sasa nitakupataje?
Ali M1966 tuwasiliane 0655720197
Ahsante sana kaka JOEL NANAUKA.... Hv nitapataje kitabu chako cha TIMIZA MALENGO YAKO? Namba yangu ni 0689102157.... Na pia nijulishe bei yake
Ok
Kaka vitabu vyako vinapatikana wap maana mimi nipo Mozambique namba yangu wasapi 0682445585
BRO. NAKUKUBAL SANA, VITABU VYAKO VINAPATIKANA WAPI? NAMBA YANGU NI 0715-770760
Elisha Mushi sawa Elisha tutakutafuta kukupatia
Asante sana bro