Askofu KILAINI awaliza watu kanisani/aeleza sababu za Mdomo wake Kupinda mbele ya Makamu wa RAISI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 มี.ค. 2022
  • Maadhimisho ya Jubilei ya Dhahabu ( Miaka 50 ) ya Upadre wa Mhashamu Askofu Method Kilaini
    ORIGIONAL SOURCE:TUMAINI MEDIA
    #BreezOnlineTv​​​​​​​​​​​​​ #Jubilei
    S.L.P 38655
    Dar Es Salaam Tanzania
    Phone No: +255 756494796
    Barua pepe: izackbreez11@gmail.com
    Mitandao Mingine ya Kijamii:
    Facebook: breez online Tv
    Facebook Link: / breez-online. .
    Instagram:Breez Online Tv

ความคิดเห็น • 46

  • @korentinisilayo8125
    @korentinisilayo8125 2 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuogoza kiroho baba asikofu amina

  • @genovevakato3409
    @genovevakato3409 2 ปีที่แล้ว +8

    Hongera Sana Baba Askofu kwa Mungu kukujalia kuinjilisha katika kipindi cha miaka 50. Mungu akubariki uwe na afya njema, hekima na busara🙏🙏🙏

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 ปีที่แล้ว +5

    Dr M ana unyenyekevu Sana katika Mambo ya Imani. Hajikwezi

  • @sofiaoman5901
    @sofiaoman5901 2 ปีที่แล้ว +5

    Atanishika mkono tuu Nitaamka tuu Mungu akulinde

  • @andrewmunishi8484
    @andrewmunishi8484 2 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akupe maisha marefu nayaishi yote uliyotufundisha katika semina za uchumba na ndoa makuburi baba

  • @marthakimalila4268
    @marthakimalila4268 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akulinde

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 ปีที่แล้ว +6

    Mungu aendelee kukutia nguvu na uzee mwema.

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akutunze Baba Askofu wetu!

  • @amanimakombe7141
    @amanimakombe7141 2 ปีที่แล้ว +5

    Ubarikuwe baba askofu kwa utume mwema

  • @meckymethy9225
    @meckymethy9225 2 ปีที่แล้ว +7

    Mungu azidi kukupa nguvu na afya njema Baba

  • @urumtewele9693
    @urumtewele9693 2 ปีที่แล้ว +6

    Hongera sana BABA Mungu azidi kukushushia baraka zake

  • @FrolenceRogath-fv6ku
    @FrolenceRogath-fv6ku ปีที่แล้ว +2

    Baba mwenyezi mungu ahenderee kukupigania . Kwel din yetu unaijua vizur

  • @wilbrodtungaraza6204
    @wilbrodtungaraza6204 2 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana baba askofu kwa kumbukizi ya miaka hamsini ya upadre

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau2585 2 ปีที่แล้ว +5

    Mungu aendelee kukutunza Baba.

  • @rwelamira
    @rwelamira 11 หลายเดือนก่อน +2

    Proud of you Baba Askofu

  • @benny4345
    @benny4345 2 ปีที่แล้ว +7

    Askofu Methodius Kilaini ni tunu kwa Kanisa Katoliki Tanzania na Ulimwengu.

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 ปีที่แล้ว +5

    Si atanishika mkono nitaamka tu!.Usikate tamaa.

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 2 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana baba

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 2 ปีที่แล้ว +5

    Heri sana baba Askofu. Pension yako ipo miguuni pako.

  • @ibel4lf
    @ibel4lf 2 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akuwekee tunakupenda sana

  • @respiciusjoseph2293
    @respiciusjoseph2293 2 ปีที่แล้ว +5

    our Father...

  • @chazyshadrack2558
    @chazyshadrack2558 2 ปีที่แล้ว +4

    Amina baba 🔥🔥🔥

  • @robertigohe7477
    @robertigohe7477 7 หลายเดือนก่อน

    Bwana Yesu ni wa rehema mno na anaponya udhaifu wote.
    Zaburi 103:3-5

  • @luciansanga5195
    @luciansanga5195 ปีที่แล้ว +2

    Muna Bebana sana Sisi hapa tuna jua Hata Waovu wapo kwa kusudi la MUNGU
    HIVYO Hata Ninyi Mpo kwa kusudi lake

  • @user-bw2gm7pt5q
    @user-bw2gm7pt5q 11 หลายเดือนก่อน +2

    jamani mbona anatulazimisha atuachie bandali yetu aende zanziba kaweke mkataba sis hattaki

  • @hildambielmasawe9467
    @hildambielmasawe9467 2 ปีที่แล้ว +5

    Niseme nini mimi kwa zawadi ya baba askofu kilaini. Tunakupenda baba tunakuombea.

  • @magdalenasanga6378
    @magdalenasanga6378 2 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akuzidishie neema na baraka baba yetu. We missed you in DSM

    • @andrewmunishi8484
      @andrewmunishi8484 2 ปีที่แล้ว +2

      Tunamshukuru mungu kwa zawadi ya uhai kwako tulikufaidi sana ulipokuwa dar na mafundisho yako na semina zako za vijana Jimbo kuu la daresalaamu

    • @rafaellamba6724
      @rafaellamba6724 2 ปีที่แล้ว +1

      Hongeara sana baba kilain wew ni chachu katika kanisa la Tanzania na kanisa la Mungu hapa dunian

  • @ponsianamataka4607
    @ponsianamataka4607 2 ปีที่แล้ว +6

    Asante Mungu kwa zawadi ya Askofu Kilaini. Baba Kilaini umekuwa zawadi na chachu nzuri kwa Kanisa la Tanzania na ulimwengu mzima. Nimefurahishwa na hotuba yako 🤣

    • @user-rq1ld8wy3t
      @user-rq1ld8wy3t 11 หลายเดือนก่อน

      nakule kusini mwa Tanzania tunataka kujitenga atuoni faida gas yetu kusini kama maasikofu wachukia kuwekezwa bandali kusini tunaibiwa gassi bila yawatu wakusini kunufaika

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 ปีที่แล้ว +6

    Makuzi yao ya upendo. Neno kubwa sana.

  • @maryjoseph6973
    @maryjoseph6973 11 หลายเดือนก่อน

    Amina🙏🙏

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t 11 หลายเดือนก่อน

    kama kila kinacho semwa na wengi tunataka selikali tatu ndio tunasema muungano utakua umefika mwisho

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t 11 หลายเดือนก่อน

    kama tutaongozwa na maasikofu basi muungano ndio mwisho wake umefika

  • @dativafidelis388
    @dativafidelis388 ปีที่แล้ว +1

    Ila BABA ETI DAISALAMU🤭🤭🤭. NIMEFURAHI TUNAKUPENDA SANA

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 ปีที่แล้ว +2

    Tunae Rais na Mama. Nani Kama Mama?

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 ปีที่แล้ว +3

    bukoba tunakupenda baba askofu wewe uwe askofu wa jimbo letu

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t 11 หลายเดือนก่อน

    mbona amtoi tamko kuhusu gasi mtwara imeporwa na wananchi wame kufa mbona hamkutoa tamko kwakua kanisa lina hisa yake

  • @EutropiaMinja-rx8sv
    @EutropiaMinja-rx8sv 11 หลายเดือนก่อน

    Mijitu mingine haina akili kama hili linalojiita user. Hili user halina akili kabisa sijui ni chizi hili!!!

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t 11 หลายเดือนก่อน

    tunasubili kuona selikali au maasikofu ndio wataiongoza Tanzania

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t 11 หลายเดือนก่อน

    biashara chafu mtakosa kufanya ndio maana mlimchukia magufuri akujali udini halikua muwazi

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t 11 หลายเดือนก่อน

    kanisa limeiba madini ndanda kue masasi rondo chidia namtumbo mbona selikali imekaa kimya nyie maasikofu ndio wala rushwa sugu hamlipi kodi mnaonaselikali ikiwekeza mtatakiwa mlipie na biashala zenu za pembe za ndovu zitakwama

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 ปีที่แล้ว

    Tumebebana