Askofu KILAINI awaliza watu kanisani/aeleza sababu za Mdomo wake Kupinda mbele ya Makamu wa RAISI.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 มี.ค. 2022
- Maadhimisho ya Jubilei ya Dhahabu ( Miaka 50 ) ya Upadre wa Mhashamu Askofu Method Kilaini
ORIGIONAL SOURCE:TUMAINI MEDIA
#BreezOnlineTv #Jubilei
S.L.P 38655
Dar Es Salaam Tanzania
Phone No: +255 756494796
Barua pepe: izackbreez11@gmail.com
Mitandao Mingine ya Kijamii:
Facebook: breez online Tv
Facebook Link: / breez-online. .
Instagram:Breez Online Tv
Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuogoza kiroho baba asikofu amina
Hongera Sana Baba Askofu kwa Mungu kukujalia kuinjilisha katika kipindi cha miaka 50. Mungu akubariki uwe na afya njema, hekima na busara🙏🙏🙏
Dr M ana unyenyekevu Sana katika Mambo ya Imani. Hajikwezi
Atanishika mkono tuu Nitaamka tuu Mungu akulinde
Mungu akupe maisha marefu nayaishi yote uliyotufundisha katika semina za uchumba na ndoa makuburi baba
Mungu akulinde
Mungu aendelee kukutia nguvu na uzee mwema.
Mungu akutunze Baba Askofu wetu!
Ubarikuwe baba askofu kwa utume mwema
Mungu azidi kukupa nguvu na afya njema Baba
Hongera sana BABA Mungu azidi kukushushia baraka zake
Baba mwenyezi mungu ahenderee kukupigania . Kwel din yetu unaijua vizur
Hongera sana baba askofu kwa kumbukizi ya miaka hamsini ya upadre
Mungu aendelee kukutunza Baba.
Proud of you Baba Askofu
Askofu Methodius Kilaini ni tunu kwa Kanisa Katoliki Tanzania na Ulimwengu.
Si atanishika mkono nitaamka tu!.Usikate tamaa.
Hongera sana baba
Heri sana baba Askofu. Pension yako ipo miguuni pako.
Mungu akuwekee tunakupenda sana
our Father...
Amina baba 🔥🔥🔥
Bwana Yesu ni wa rehema mno na anaponya udhaifu wote.
Zaburi 103:3-5
Muna Bebana sana Sisi hapa tuna jua Hata Waovu wapo kwa kusudi la MUNGU
HIVYO Hata Ninyi Mpo kwa kusudi lake
jamani mbona anatulazimisha atuachie bandali yetu aende zanziba kaweke mkataba sis hattaki
Niseme nini mimi kwa zawadi ya baba askofu kilaini. Tunakupenda baba tunakuombea.
Thanks
Mungu akuzidishie neema na baraka baba yetu. We missed you in DSM
Tunamshukuru mungu kwa zawadi ya uhai kwako tulikufaidi sana ulipokuwa dar na mafundisho yako na semina zako za vijana Jimbo kuu la daresalaamu
Hongeara sana baba kilain wew ni chachu katika kanisa la Tanzania na kanisa la Mungu hapa dunian
Asante Mungu kwa zawadi ya Askofu Kilaini. Baba Kilaini umekuwa zawadi na chachu nzuri kwa Kanisa la Tanzania na ulimwengu mzima. Nimefurahishwa na hotuba yako 🤣
nakule kusini mwa Tanzania tunataka kujitenga atuoni faida gas yetu kusini kama maasikofu wachukia kuwekezwa bandali kusini tunaibiwa gassi bila yawatu wakusini kunufaika
Makuzi yao ya upendo. Neno kubwa sana.
Amina🙏🙏
kama kila kinacho semwa na wengi tunataka selikali tatu ndio tunasema muungano utakua umefika mwisho
kama tutaongozwa na maasikofu basi muungano ndio mwisho wake umefika
Ila BABA ETI DAISALAMU🤭🤭🤭. NIMEFURAHI TUNAKUPENDA SANA
Tunae Rais na Mama. Nani Kama Mama?
bukoba tunakupenda baba askofu wewe uwe askofu wa jimbo letu
mbona amtoi tamko kuhusu gasi mtwara imeporwa na wananchi wame kufa mbona hamkutoa tamko kwakua kanisa lina hisa yake
Mijitu mingine haina akili kama hili linalojiita user. Hili user halina akili kabisa sijui ni chizi hili!!!
tunasubili kuona selikali au maasikofu ndio wataiongoza Tanzania
biashara chafu mtakosa kufanya ndio maana mlimchukia magufuri akujali udini halikua muwazi
kanisa limeiba madini ndanda kue masasi rondo chidia namtumbo mbona selikali imekaa kimya nyie maasikofu ndio wala rushwa sugu hamlipi kodi mnaonaselikali ikiwekeza mtatakiwa mlipie na biashala zenu za pembe za ndovu zitakwama
Tumebebana