REV. DR. ELIONA KIMARO: KUNGOJA KWENYE KIMYA/ TO WAIT IN SILENCE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA JUMAPILI YA PASAKA
31/ 03/ 2024
UJUMBE WA LEO: KUNGOJA KWENYE KIMYA/TO WAIT IN SILENCE
Mathayo 20 : 1 - 18
1 Kwa maana ufalme wa mbinguni umefanana na mtu mwenye nyumba aliyetoka alfajiri kwenda kuajiri wakulima awapeleke katika shamba lake la mizabibu.
2 Naye alipokwisha kupatana na wakulima kuwapa kutwa dinari, aliwapeleka katika shamba lake la mizabibu.
3 Akatoka mnamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasiokuwa na kazi;
4 na hao nao akawaambia, Enendeni nanyi katika shamba langu la mizabibu, na iliyo haki nitawapa. Wakaenda.
5 Akatoka tena mnamo saa sita na saa kenda, akafanya vile vile.
6 Hata kama saa kumi na moja akatoka, akakuta wengine wamesimama, akawaambia, Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?
7 Wakamwambia, Kwa sababu hakuna mtu aliyetuajiri. Akawaambia, enendeni nanyi katika shamba la mizabibu.
8 Kulipokuchwa, yule bwana wa shamba akamwambia msimamizi wake, Waite wakulima, uwalipe ujira wao, ukianzia wa mwisho hata wa kwanza.
9 Na walipokuja wale wa saa kumi na moja, walipokea kila mtu dinari.
10 Na wale wa kwanza walipokuja, walidhani kwamba watapokea zaidi; na hao pia wakapokea kila mtu dinari.
11 Basi wakiisha kuipokea, wakamnung'unikia mwenye nyumba,
12 wakisema, Hao wa mwisho wametenda kazi saa moja tu, nawe umewasawazisha na sisi tuliostahimili taabu na hari za mchana kutwa.
13 Naye akamjibu mmoja wao, akamwambia, Rafiki, sikudhulumu; hukupatana nami kwa dinari?
14 Chukua iliyo yako, uende zako; napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.
15 Si halali yangu kutumia vilivyo vyangu kama nipendavyo? Au jicho lako limekuwa ovu kwa sababu ya mimi kuwa mwema?
16 Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.
17 Hata Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani; na njiani akawaambia,
18 Angalieni, tunapanda kwenda Yerusalemu; na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi; nao watamhukumu afe;
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Powerful message indeed, unatupa nguvu wanawake ambao tunafanya kazi uarabuni kusomesha watoto wetu, kama uko gulf na unaona hii comment mpe huyu mchungaji like.
Naam Baba , ndivyo ilivyompendeza Mungu utuambie haya. Mungu akubariki tena na tena.
Mafundisho haya yanaingiia ndan ya moyo Yan ni Moto ulao❤❤
Ktk teso langu la kutokupata mtoto ninamgoja bwana kwa ukimya, nae atafuta machozi nakunipa kicheko ktk jina la Yesu
Amen , Mungu akupe haja ya moyo wako dear
Yesu akutendee miujiza ya Hanna na Sara...nawe utaitwa kicheko.
Utapata in Jesus name
Keep trusting in GOD....will be called the mother of children very soon....in JESUS NAME 🙏
Amen 🙏 🙏 nimebarikiwa sana tena sana 👏
Mungu aendelee kukuinua kwaviwango vya juu sana neno lako linaponya mioyo iliyokata tamaa😢😢😢🙏
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah ipo siku ya Bwana 🗣️🗣️🗣️🗣️🥰🥰
Mungu wa mbinguni azidi kukubariki, roho wa Mungu akae ndani yako uzidi kutulisha neno la Mungu, ili tupone mioyo yetu.
Amen baba mchungaji.
Nakupata kwa kuzuri nikiwa Texas.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwani mafundisho yako yananibariki mnooo Mungu azidi kukubariki ili tuzidi kuona uso wa Mungu Amina na amina
Haleluya Baba, Mungu akutumie tena Na tena ili kuifariji mioyo yetu
Mungu akubariki Sana Man of God Kwa fundisho hili umenena Nami I'll never be the same again
Mungu ananibariki kupitia mafundisho yako
Asante sana mtumshi mungu akutunze
Ubarikiwe sanaa mchungaji kula mara nasikiliza huu ujumbe Mungu akufiche kwenye mbawa zake tuzidi kupata mafundisho yanayokaa mioyoni mwetu
Ameen
Ameen
Ubarikiwe mtumishi nazidi kuimarika kila iitwapo leo ameen
Eeeenjiwa fikishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa salaams zimefikaaa sasa!!!!!!
Amen amen mtumishi mungu akubariki ah somo zurii
Amen neno hili likawe kwangu katika jina la Yesu
Wah Mungu akubarik mchungaji umekua ukinibarik kila itwapo leo
Mwenyezi Mungu akubariki sana mtumishi
Kuna siku ya bwana ,, familia yangu inakuja AMEN
Mungu akubariki baba
Thanks mchungaji God bless
Ubarikiwe muchungaji Violet Babati
Ujumbe mzuri sanaaaa
Asante mama mchungaji 😢😢😢❤
Kuna siku ya bwana,NAMI nitakumbukwa
Thanks Mchungaji
Hakika nimestailishwa na Bwana Yesu
Kweli Kuna siku ya Bwana
Umenena vema mtumishi wa Bwana
Naitarajia siku ya Bwana
Ngojaaa kwenye see kimyaaaa
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Jamani maombi mna kata kwanin
Eeeenjiwa fikisha salaammmmsss Kwa keyssssss Jokesters anything okaysssssssssssssssssssssssssss ndo ndoaa of ours Mr Jerald Lazaro Based mkulimaaaaaaa kutoka and ms Jerald as wellsssssssssssszssssss SD cards for meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerreeeeeeee VB vibe ex Dar Es Salaams zimefikaaa Kwako keyssssss Jokesters
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Ni kweli Dada Zawadi Madawali tulisoma naye Chuo cha utumishi wa Serkali CSTC DSM 1971.BAADAYE 1972 AKAINGIA JESHINI JWTZ
Mchungaji mafundisho yako ni ya hali ya kipekee
Nifundishe Mfalme nipo tayari
Nimebarikiwa san a namahubiri ya leo mudguard kumuinua mchungaji na apate Maisha marefu
Kusubiri kwenye kimya Cha umaskini
Hakika mungu atukuzwe na tumbo la mama alie kuzaa
Niko kenya naweza pata aje huyu muchungaji nani ana number zake
Mchungaji nashida na ww naomba ujibu sms zangu wasph
Wasap hawez kukujibu labda tafuta njia nyingine wasiliana kwakupiga.
🧏
Ameen
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen