"Nazidi kushangazwa na haya mambo yanaouendelea Kuhusu BANDARI, Hili ni suala la Ki-Nchi na Sio kidini kwa Nini Ninyamaze" #mashallah #allahakbar #subscribe #trending
Maaskofu hupitisha mali za wafanya biashara kwa tiketi ya kanisa ziitoka wanawapa wafanya biashara na kuziuza.haya majitu yanatetea yanatetea matumbo yao haya muogopi Mungu ndo maana yanahofu akija Dpw ujanja kwisha kabiisa.
Wewe shekhe una lako jambo ningekuelewa vizuri ungekuwa unatupa elimu kuhusu mkataba huu wa bandari kati ya Tz na Falme za Uarbu unaweza kuleta manufaa kwa nchi yetu.Lakini umejikita sana katika kuhamasisha chuki ya dini hilo ni kosa Watanzania hawahitaji hiyo sumu yako
Mziwanda wewe usioneshe udhaifu, uislam utukanwe tukae kimyaa ? Hatuwezi, sisi wakitukana uislam ni kuwafata huko huko kanisani walipotukania tukawape mvugivigi wa nguvu ili wapate adabu ambayo wataikumbuka maisha yao, na hawatarudia.
Mfumo sio JK , Waislam wana jitambua, wanavyo Amini hata Rais awe nani mfumo ndio mbaya, matamshi ya dr Slaa sio kukaa ndani siku tatu, wanalilia mfumo
Katoliki ni taasisi kweli sio dini najifunza kuheshimu mahitaji ya maboss wenu sio dini Ukitaka kujua hilo jiulize katika tuliyojifunza kanisani lipi lipo katika kitabu chenu cha dini
Faza kitime angekuja na waraka juu ya kauli ya pope alilosema to be a gay is not a crime worldwide" haya ya bandari angeachana nayo maana yeye hajasoma investment law yeye ni kiongozi wa kiroho na sehemu anayoweza kutoa waraka ni juu ya kiongozi wake wa kiroho ,je kauli ya kiongozi wake ni sahihi au sio sahihi .ningemuomba sana angejiegemeza huko na sio kwenye bandari.
Yaani Mziwanda ungejitambua ungekaa kimya. Hao unaowasema wenyewe kukicha kukichwa wanawaza wajenge shule ngapi za Msingi, za Sekondari na vyuo vikuu. Wawe na Zahanati ngapi, vituo vya afya vingapi na Hospitali ngapi. Wanawaza namna ya kulinda raslimali za Taifa na maendeleo ya jamii kwa ujumla. Wewe ukilala, ukiamka unawaza Leo uwajaze chuki gani waumini wa kiislamu. Unawaza udini. Unatia aibu Uislamu. Unaeneza chuki. Kanisa lenyewe unalolishutumu, Halina habari na wewe. Nawaonea tu huruma hao unaowajaza chuki ya udini. Poleni ndugu zangu Waislamu kwa kuwa na mtu Kama huyu. Wale wenye akili watanielewa.
Wangewaelewa wa Katolic ,kiundani,mngenyamaza tu.Hamuwawezi Katolic,nyie ,hiyo Marekani unayoiona,inaelekezwa tu kanisa,inakuja inajipigia nyie kama inavyotaka.Mkumbukeni historia ya Iraq,wakati wanawazuia wakurudi wasiende makanisani.Marekani ilimfanya nini Saddam Ndg.zangu msipoteze muda kubishana na Katolic,hamtawafanya chochote,tuombe tusifike hiyo hatua lakini mkifika huko,utaona Marekani ataingia mzigoni na washirika wake wa Ulaya magharibi
nyie waisilamu tueleweshane tuelimishane tutapata faida gani mkataba una muda gani usalama wetu hapo bandarini tutawapaje bandari zote za maziwa na bahari wenzenu tec wamechambuwa mkataba acheni unafiki
Yani nyie waislam hata hatui mnalalamika nini kwa.cni nyie mbona humjitambui hv hao wakristo kwani wanatetea nini na kwa manufaaa y nani acheni ujingaa endeleeni tu kuchokonoa wakristo kipumbavu afu muone watu wana haisira na rasilimali za nchi nanyi mnaogea utumbo
ALLAH AKUZIDISHIE KHERI KWAKUZUNGUMZA HAQI
Nakuelewa San shekh mziwanda,, allah akupe umri mrefu wenye furaha na amani,,
Hakika Baraqa llhahu fiy umrih shekh muharram mziwanda
Fact
Safi sana sheikh
Point mashallah
Safi sana sh mziwanda endelea kuliamsha taifa tuko pamoja
Limelala lini taifa wakati mnasema mna fikra mgando nani kawapa hizofikra. Tusome Alana za nyakati.
sawa sheikh uko vizuri .tunaomba uje mikoanii ili uammushe waliolala usingizi usingizi wwa kudumu.masheikh wengine wanapaswa kukuiga usulubu wa daawa.
Tanganyika ni nchi yenye majority Waislam lakini Makafiri wame dominat uendeshaji wa nchi Waislam m'melala wake up!🏇🏻
Huyu Shehe nampenda Sababu Moja Tuu unafiki anauweka wazi na siku zote nimemuona ni mtu ambae Mzuri sana Sababu Hazungukizunguki ktk kuusema Ukweli
Ni kweli baadhi yetu waislam akili zimeganda hatujui historia ya nchi ilipotokea
Na ukatoloki wangu lakini Kitima ni mwanasiasa zaidi kuliko dini, na anakera for sure
Maaskofu hupitisha mali za wafanya biashara kwa tiketi ya kanisa ziitoka wanawapa wafanya biashara na kuziuza.haya majitu yanatetea yanatetea matumbo yao haya muogopi Mungu ndo maana yanahofu akija Dpw ujanja kwisha kabiisa.
Ayo mambo unayo yasema shekh ilunga ameyazungumza zamani sana mkamuona mjinga
Sasa mmeona mfumo kristo unavo watesa
Wewe shekhe una lako jambo ningekuelewa vizuri ungekuwa unatupa elimu kuhusu mkataba huu wa bandari kati ya Tz na Falme za Uarbu unaweza kuleta manufaa kwa nchi yetu.Lakini umejikita sana katika kuhamasisha chuki ya dini hilo ni kosa Watanzania hawahitaji hiyo sumu yako
Kanisa katoliki ni taasisi kubwa sana hamtaweza kushindana nao
Ww unazungumzia wapiii usitutanie bana
Kanisa katoliki mmekwisha mwaka huu mmeyakanyaka
Mziwanda wewe usioneshe udhaifu, uislam utukanwe tukae kimyaa ? Hatuwezi, sisi wakitukana uislam ni kuwafata huko huko kanisani walipotukania tukawape mvugivigi wa nguvu ili wapate adabu ambayo wataikumbuka maisha yao, na hawatarudia.
Mziwanda safi sana
Mtetee mama ili wajuwe hawa wakatoliki kuwa waislmu pia wana kubwa zaidi yao
Baba utashangaaaa xana kwani wewe unaliongelea wapi musitini au kiinchi
Sheikh KIKWETE NA DR.SHENI NDIO WALO WAWEKA MASHEIKH JELA KUA MKWELI ,AKABARIKI MAGUFURI MBONA HUKUSEMA WALA BARAZA LA AMANI !!!
Mfumo sio JK , Waislam wana jitambua, wanavyo Amini hata Rais awe nani mfumo ndio mbaya, matamshi ya dr Slaa sio kukaa ndani siku tatu, wanalilia mfumo
Wafundishe waislamumafundisho ya imani yao sheeh katoliki ni tasisi kubwa sana
Katoliki ni taasisi kweli sio dini najifunza kuheshimu mahitaji ya maboss wenu sio dini
Ukitaka kujua hilo jiulize katika tuliyojifunza kanisani lipi lipo katika kitabu chenu cha dini
Faza kitime angekuja na waraka juu ya kauli ya pope alilosema to be a gay is not a crime worldwide" haya ya bandari angeachana nayo maana yeye hajasoma investment law yeye ni kiongozi wa kiroho na sehemu anayoweza kutoa waraka ni juu ya kiongozi wake wa kiroho ,je kauli ya kiongozi wake ni sahihi au sio sahihi .ningemuomba sana angejiegemeza huko na sio kwenye bandari.
@@ismailmsangule1380sadakta
Mkubwa ni Mungu pekee
Waislam Tusomeni dini Na shule tuende. Bila hvyo tutaishia kupiga kelele zisizo na maaana
Hakuna kelele zisizo na maana
ndiyo maana tunachekwa atuna elimu
Sio tuna,we nae muislam?
Kwani uongo? Ni kweli hamna ,hata Kuna kiongozi Mmoja wa dini yenu alisema muende shule mkasome
shekhe unalalamika unafeli chukua hatua juu ya taifa lakoo
Uisimfundishe Cha kufanya
Shekhe unalalamika ww ni kiongozi wa dini kwa ivo na ninyi mnatakiwa mtoe waraka wenuu acha kulalamika shekhee
Akili yako betri low
Usitupangie
Msenge mkubwa wewe
Yaani Mziwanda ungejitambua ungekaa kimya. Hao unaowasema wenyewe kukicha kukichwa wanawaza wajenge shule ngapi za Msingi, za Sekondari na vyuo vikuu. Wawe na Zahanati ngapi, vituo vya afya vingapi na Hospitali ngapi. Wanawaza namna ya kulinda raslimali za Taifa na maendeleo ya jamii kwa ujumla.
Wewe ukilala, ukiamka unawaza Leo uwajaze chuki gani waumini wa kiislamu. Unawaza udini. Unatia aibu Uislamu. Unaeneza chuki. Kanisa lenyewe unalolishutumu, Halina habari na wewe. Nawaonea tu huruma hao unaowajaza chuki ya udini. Poleni ndugu zangu Waislamu kwa kuwa na mtu Kama huyu. Wale wenye akili watanielewa.
Hamna lolote tushawajua nyinyi hatupangiki
Unalidondoshea Kanisa Katoliki mate utachanganyikiwa Mzee Wakatoliki tunazungumzia Kanisani na Wala hamna lakutufanyaaa tuko juuuuu endeleeni kupayukaaaaa!!!!
Kanisa la mchongo haliwezi kuwa juu na ndo tunalishusha ivyo
Aliye juu ni Mungu pekee
HAMUWEZI KUSHINDANA NANKANISA KATIKIKI NI KUBWA SAAANA ... 😅
Kwani kanisa ni Mungu?
Wangewaelewa wa Katolic ,kiundani,mngenyamaza tu.Hamuwawezi Katolic,nyie ,hiyo Marekani unayoiona,inaelekezwa tu kanisa,inakuja inajipigia nyie kama inavyotaka.Mkumbukeni historia ya Iraq,wakati wanawazuia wakurudi wasiende makanisani.Marekani ilimfanya nini Saddam Ndg.zangu msipoteze muda kubishana na Katolic,hamtawafanya chochote,tuombe tusifike hiyo hatua lakini mkifika huko,utaona Marekani ataingia mzigoni na washirika wake wa Ulaya magharibi
Mbona anajichanganya? Mara lizungumzwe kinchi, wakati huo analaumu TEC. Nonsense!
Ww ndo unachanganyikiwa
Hujielewi, huu mkataba haufai labda kama ninyi mlimtuma kwenda kusaini. Hizi ni propaganda za kujaribu kuleta udini kwenye hakuna.
We unaejielewa huku unafata Nini?
Rais mwislamu amewapa fungu la mauzo ya bandari mnafuraia mmeshiba leo tuone kesho cha mtume kitariwa?????
Nonesense
Kanisa katoliki ni serkali ndiyo maana ina balozi kila nchi hivyo tafakari ilo,maendeleo na uchumi wa nchi ni matokeo ya kanisa katoliki
Stupid
Nyie Dunia ndio babayenu
Elimu yako sifuri
Sasa mbona unaongea UMEKAZA MISHIPA ya shingo , unatisha watu?
Ndo m/mme unataka aongee km dada yako
Na wewe kaza yako
Hamna Cha maana Cha Kufanya Zaidi ya kukaza shingo ? Tutajibizana mpaka umalize kamusi yako
@@epimackjohn461 Mazingatio ni hoja sio shingo acha kuongea pumba ww dogo
HOJA yako izingatie , ishikilie mwenyewe hoja za kuzingatia hazilazimishwi zingatia hoja zako ACHA wengine NAO wazingatie zao .SAWA?
nyie waisilamu tueleweshane tuelimishane tutapata faida gani mkataba una muda gani usalama wetu hapo bandarini tutawapaje bandari zote za maziwa na bahari wenzenu tec wamechambuwa mkataba acheni unafiki
We nae usijijumuishe na waislamu,tuache
Yani nyie waislam hata hatui mnalalamika nini kwa.cni nyie mbona humjitambui hv hao wakristo kwani wanatetea nini na kwa manufaaa y nani acheni ujingaa endeleeni tu kuchokonoa wakristo kipumbavu afu muone watu wana haisira na rasilimali za nchi nanyi mnaogea utumbo
unaongea nn ww cjakuelewa
Sijaona kijicristo kipumbavu km ww
Mtafanya Nini?
Unapamdikiza chuki wazi wazi. Maaskofu wametaja waislamu????
Wanataja vizuri tu