GUMZO! WAZIRI MKUU AACHIA MADARAKA na KUONDOKA na BAISKELI TU BILA MSAFARA wa MAGARI ya KIFAHARI...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- GUMZO! WAZIRI MKUU AACHIA MADARAKA na KUONDOKA na BAISKELI TU BILA MSAFARA wa MAGARI ya KIFAHARI...
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uholanzi, Mark Rutte ameondoka madarakani baada ya kushika wadhifa huo kwa miaka 14 tangu 2010 hadi 2024.
Kuhusu kumaliza kwake madaraka, kilichoibua gumzo ni namna ambavyo ameondoka kwenye jingo la Waziri Mkuu baada ya kukabidhi rasmi madaraka kwa mrithi wake, Dick Schoof.
Kiongozi huyo hakuondoka kwenye jengo hilo akiwa na umri wa miaka tisini, wala hakuondoka kwenda kaburini, wala hakuondoka kwenda jela baada ya mapinduzi ya umwagaji damu.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Kazi iendelee lets Work continue
Mzalendo ❤
Safi sana huyu mzalendo kweli kweli, huku kwetu mpaka ifanyike kama Bukinafaso ndo sawa
Duh Hii kali
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Safi sana
Hakika Huyu ni aina ya Kiongozi asiye penda makuu Huyu ni Kiongozi kutoka Nchi zilizoendelea kiuchumi tofauti na Afrika lakini alikabidhi madaraka na kuondoka ofisini kwa kutumia Baiskeli VIONGOZI wengi Duniani wajifunze kutoka kwake
Apo saw
nice work well african people learn kwang
Wangekua hawa mahetan weus wasinge weza
Turudi bongo sasa
Walio lizika na dunia
Hawa washamba wa kwetu wanajali sana magari hahahahaha utawauuaaaaa!!!!!!!!!!
Waafrika watang'oka kwa bunduki na mabomu😂😂😂😂
Kabisa
Kwa hiyo ndio tuamini nn sasa
Daah uku kwetu kwaza izo V8 ana amsha nazo zinakuwa zake na account lazima zijae kibunda
Waafrika wajifunze
Kwetu unabadirishiwa gari lenye hadhi ya chini ya hilo la waziri.
Duuu nilifikira ni watanzania ningesherekea kumbe kwinginehuko
Huku haachii na haondoki
Like am freeee now😂😂😂😂
Tanzania baiskeli mtapanda ninyi wakuu wanamipango yao