PUTIN amkarimu Narendra MODI kwa tende, matunda na karanga kwenye makazi yake ya NOVO-OGARYOVO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 96

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 3 หลายเดือนก่อน +27

    Tukifika hapa Tz itakuwa safi sana hakuna muda wa kupoteza kusoma kiingereza ni wanasoma wachache wengine kujenga uchumi, nguvu nyingi sana inatumika kusoma kiingereza,kuliko kufunza uchumi,huu ni utumwa wa kifikra.

    • @ZuhuraNassoro
      @ZuhuraNassoro 3 หลายเดือนก่อน +2

      Utumwa wa fikra ndio unaliangamiza taifa letu

    • @HamzaMbasha-xs2ky
      @HamzaMbasha-xs2ky 3 หลายเดือนก่อน +4

      Wanapewa mikopo ya masharti wanapangiwa hadi cha kufundisha mashuleni hatuwezi kufika...

    • @mohdmohd8428
      @mohdmohd8428 3 หลายเดือนก่อน +3

      Isipochukuliwa kisiasa comment yako ni fact moja kubwa sana

    • @maniamba.tz_
      @maniamba.tz_ 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli vipaji vingi vinaishia uko

  • @johnmajondokitulla
    @johnmajondokitulla 3 หลายเดือนก่อน +3

    I love 💕💕💕 them much more

  • @cocotz1892
    @cocotz1892 3 หลายเดือนก่อน +6

    Ni 🔥 sana

  • @ShabaniSudi-d1x
    @ShabaniSudi-d1x 3 หลายเดือนก่อน +4

    This man Putin I appreciate him. Hapo bhana no retreat no surrender, forever forward 🪓☠️🪓🌹🌹

  • @antonymathias8219
    @antonymathias8219 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mm naomba mnaotoa habari za urusi nawapenda sana tumekuwa gizani mda mrefu sana

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 3 หลายเดือนก่อน +4

    Bora mara nyingine bro sky umetuletea haya makala mwenyewe sababu kaka Dj smaa na Ally wakituambia ukweli kuhusu Russia 🇷🇺 kuna comments mbili tatu zinapenda kuwatukana watu bila sababu.I love ❤️ Russia 🇷🇺

  • @bensonscott3491
    @bensonscott3491 3 หลายเดือนก่อน +5

    Quality voice 🎉🎉🎉

    • @aminaali792
      @aminaali792 3 หลายเดือนก่อน +2

      💯😍

  • @MustaphaManole
    @MustaphaManole 3 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @SalmaKhamis-io4ei
    @SalmaKhamis-io4ei 3 หลายเดือนก่อน +3

    Pamoja sana.

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 3 หลายเดือนก่อน +13

    Hiyo ndio nchi ya kushirikiana nayo sio America

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 3 หลายเดือนก่อน

      Umejuaje

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 3 หลายเดือนก่อน

      India inashirikiana na pande zote mbili

    • @dn.n4983
      @dn.n4983 3 หลายเดือนก่อน

      Safi sana

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 3 หลายเดือนก่อน +2

    Modi kaipenda memory ya Putin na korea kaskazini ❤

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safi Sana ❤

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 3 หลายเดือนก่อน +2

    Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
    Free Palestinian❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪

  • @enocksitta6350
    @enocksitta6350 3 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @georgedaniel4962
    @georgedaniel4962 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mm kwa uelewa wangu NATO mwisho wao upo karibu.

  • @kamazima11
    @kamazima11 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hawa jamaa sio kama awajui kiingereza wa najua vizuri tu lakin wanathamini lugha Zao, alikuwa akifanya TAnzania MAgufuli kutumia Kiswahili watu wakasema hajui kiingereza 😊 ( akili za kushikiwa ni mbaya sana unakuwa mtumwa wa fikra 😂)

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa, Magufuli alikuwa na PHD na amesomea England sasa Nani alimfanyia research? Watu wanapenda utumwa. Hata kama unajua kiingereza haina haja iwe ndo lugha yako na kuacha Kiswahili chetu

    • @giztony2009
      @giztony2009 2 หลายเดือนก่อน

      Tulimsikia mara nyingi jamaa yule hakuwa anajua English ni kweli kabisaa

  • @jamesmethusela1148
    @jamesmethusela1148 3 หลายเดือนก่อน

    Putin smart sana.

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 3 หลายเดือนก่อน +5

    Hapo English haitakiwi kbs huu ni uzarendo ama hakika💯🙌

    • @eyanlenjorin4566
      @eyanlenjorin4566 3 หลายเดือนก่อน

      Hawa si wa English ni mhindi na mrusi wataongea vipi English.

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 3 หลายเดือนก่อน

      Kwasababu wana thamini vyakwao ss wa Africa ndo tunashobokea lugha za wenyewe.usipo ongea kingeleza vizuri ao kifaransa unachekwa sanaaa.watu weusi ss tuna ujinga

  • @PlatnamMogo
    @PlatnamMogo 3 หลายเดือนก่อน +7

    Tanzania sijui ina feli wapi !? Wanasiasa wa Tanzania wame kazana na Marekani na Europe huku ku mtegemea Mwigulu avushe nchi kwenye uchumi.

    • @pascalntandu1217
      @pascalntandu1217 3 หลายเดือนก่อน

      Hatari sana; watu wanakimbia wezi wa magharibi sisi tunawakaribisha na kuwakumbatia;nyuki hakumbatiwi jamani;heri kwa mali;BurkinaFaso na niger maana sasa wanajitambua.

    • @farajiissa560
      @farajiissa560 3 หลายเดือนก่อน

      Cc tunatawaliwa na magenge si viongoz

  • @mohamedrashid6578
    @mohamedrashid6578 3 หลายเดือนก่อน +6

    Amesahau pilipili tu hapo kwa mgeni

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf 3 หลายเดือนก่อน

    always great thinkers plant ther croups on good fertile soil to allow them to grow better do you know the better government

  • @KilonzoGodson
    @KilonzoGodson 3 หลายเดือนก่อน +6

    Nataka wale wanaosema Kiingereza ni elimu na ndio ujanja.
    Miamba 2 hii inabidi wakae na mkalmani maana mmoja hajui kiingereza na ni Raisi wa taifa kubwa duniani

    • @musasaidi7193
      @musasaidi7193 3 หลายเดือนก่อน

      Putin anaogopa kijerumani na kingereza. Kumbuka alikuwa nani kabla ya siasa.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wote wanajua kiingereza ila Putin hapendi kuonekana mtumwa WA nchi za America na Uingereza. Miaka ya nyuma raisi WA America alienda Urusi wakawa wenyewe tu walikuwa waliongea kiingereza na ndipo magazeti yakaanza kuuliza na kuhoji Putin alikuwa anaongea lugha gani kama sio kiingereza pia Putin alikuwa mjasusi wa Urusi haiwekani afanye hiyo kazi bila kujua kizungu.

  • @HappyatHome-bn8wm
    @HappyatHome-bn8wm 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akurinde putin

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 3 หลายเดือนก่อน

    Safi sana putin

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 3 หลายเดือนก่อน

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @abdallahathuman9493
    @abdallahathuman9493 3 หลายเดือนก่อน

    Putin nampenda sana mungu ampe maixha malef

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 หลายเดือนก่อน +2

    America kwisha

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wetu wa afrika wanafikiri kuongea lugha zao za nchi mfano kiswahili, kiganda, kirundi, kijaluo... Wanapokuwa katika mataifa ya nje ....eti kama vile ni kukoswa elimu.....viva JPM....ULIONGEA KISWAHILI DAIMA.....tuige jamani....kiswahili chetu kina radha nzuri....mi nakipenda

  • @giztony2009
    @giztony2009 2 หลายเดือนก่อน

    Kwenye swala la usalama lipoje hapo maana chai mgeni ameikuta imeshamiminwa! Hii ni hatari sana

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mnangagwa ajifunze kutafuta nguvu ya uchumi

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 หลายเดือนก่อน

    Ok sawa.
    Ila kupiga stori na wakalimani hainogi😂

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 3 หลายเดือนก่อน

    Walau hawa viongozi wanaweza kutembea wenyewe,sio kama lile lizee linalotembea kwa kushikiliwa

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 3 หลายเดือนก่อน

    Uraaaa

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 3 หลายเดือนก่อน

    Mangaribi wanaumia Sana master plan Putin amechagua watu wa mhimu tu

  • @mapundarajabu5416
    @mapundarajabu5416 3 หลายเดือนก่อน

    DUH jamaa wame wachukia wazungu adi runga yai

  • @aminaali792
    @aminaali792 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mhindi nae siwakumuamini maana wa Europe wanamtumia vile vile 🙄🤦🏽‍♀️pengine wamemtuma 😒

    • @Rakim-y2z
      @Rakim-y2z 3 หลายเดือนก่อน

      Hapa ni ngumu sio Africa hiyo ni Russia

    • @aminaali792
      @aminaali792 3 หลายเดือนก่อน

      @R1Lifestyle-f6nmmmmh kwa kweli tuendelee kuwaombea wazalendo wanajielewa 🤲🏼😃

    • @aminaali792
      @aminaali792 3 หลายเดือนก่อน

      @@Rakim-y2z tuzidi kuomba kheri kwa Rasia na wanampa support maana anajielewa sio kama wale wa Europe wanaotafuta vita kila siku 🤦🏽‍♀️😒

    • @aminaali792
      @aminaali792 3 หลายเดือนก่อน

      @R1Lifestyle-f6n hasa kwa waliokuwa hawana dini ndani ya mioyo yao hawana kukinai🤦🏽‍♀️

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 หลายเดือนก่อน

    Bas huku kwetu ukitafsiriw unaonekan hujasoma...Kwann tusitumie lugha yetu na sisi unatak unambie hawajui kiingereza...Mama Samia ww ndio unatakiw uwe kiongoz ktk hili yan watafutwe wakaliman watakao tafsir kiswahili kwend kwa hao wazungumz lugha ingin

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa wanao tafsiri lugha za viongozi kazi wanayo wako makini Sana vyakula hapo baga hamna

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ni zaidi ya upendo .lakini naomba kuuliza bwana sky kwanini leo VLADIMIR PUTIN hajavaa tai?

    • @abuukajembe-to6sd
      @abuukajembe-to6sd 3 หลายเดือนก่อน +1

      Putin ni mjanja sana kajishusha

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwana mama asije akawa Mkaliman km yuleee wa Magufuli

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 หลายเดือนก่อน

    Asije akawa kama mkalimani wetu hapa bongo anaweka na maneno yake

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 3 หลายเดือนก่อน

    putin ni mkarimu sana mwaka jana tulienda kumtembelea jamaa alitubless had makaa ya mawe, mshikaji ni mtu na nusu

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wenzetu wanazipa nguvu laugha zao Sisi tupo busy na kingereza cha wenyewe😢,

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 3 หลายเดือนก่อน

      Lakini wote wanajua kiingereza ila wanataka kuionyesha dunia kama they don't give a sh........na kiingereza.

    • @Oboss_billharvester
      @Oboss_billharvester 3 หลายเดือนก่อน

      @@MsAggie5 and that's a reason why God gave everyone his or her own language so that when he or she speaks his or her language nobody understand, Great God with marvellous action

  • @filmsx6484
    @filmsx6484 3 หลายเดือนก่อน

    SKy young killer katoa nyimbo kakudiss 😂😂😂😂😂😂😂😂 sema tusimfananishe na kizazi cha gen z yuko mbele ya muda kama kendrick lamar

  • @goodluckmsoka3660
    @goodluckmsoka3660 3 หลายเดือนก่อน

    Unaona Sasa kutokujuwa lugha Fulani sio kwambia wewe ni mjinga tujifunze

  • @kaittheleast
    @kaittheleast 3 หลายเดือนก่อน

    .......🏃

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 3 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 3 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂❤ Putin

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 3 หลายเดือนก่อน

    Ukraine babalao

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa hapingiki duniani raisi wa kenya alijalibu tu chamoto anakiona kivumbi chake

    • @saidsalum3475
      @saidsalum3475 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @hajimlaponi1900
    @hajimlaponi1900 3 หลายเดือนก่อน

    Kwann mkaliman? Hakai kwenye kiti😢😅

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 3 หลายเดือนก่อน

    Ivi India wanaongozwa na waziri mkuu au....mbona simsikii rais wao...

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 3 หลายเดือนก่อน

    Putin anaishi kiisilam sana huyu mwamba

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 3 หลายเดือนก่อน

    Tena chori chori

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee tembea yake kama chalii

  • @djdeprince3266
    @djdeprince3266 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamposa katajwa alie sikia kama mmi like apa

  • @WilsonMushi-u1n
    @WilsonMushi-u1n 3 หลายเดือนก่อน

    Putin lazima awashukuru sana India na china.la sivyo urusi sa wangekua wanabeba ela na Marlboro..😅😅😅😅😅

    • @Awatee
      @Awatee 3 หลายเดือนก่อน +1

      Binaadam kusaidiana Mungu mkubwa hawezi kuwakosesha ridhiki waja wak alizo wapangia

    • @Muharram-c5n
      @Muharram-c5n 3 หลายเดือนก่อน

      Umepongea kitu kikubwa sana,binaadamu tunategemeana,huo ndio mpango wa M'mungu ​@@Awatee

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 3 หลายเดือนก่อน

    kwani Putin hajui English??!

    • @jut1161
      @jut1161 3 หลายเดือนก่อน

      Anajua ila hapendi kuongea hata dakika moja

    • @RamadhaniMohamedi-de2vc
      @RamadhaniMohamedi-de2vc 3 หลายเดือนก่อน

      Anajua ila akiwa kwenye taifa lake aongei kingereza anajitambua mana watu wake wanao msikiliza ni warusi kwaiyo lazima aongee kirusi.

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 3 หลายเดือนก่อน

    Wakalimani wako wa wili

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 3 หลายเดือนก่อน

    Mnangagwa ajifunze kutafuta nguvu ya uchumi