Tukifika hapa Tz itakuwa safi sana hakuna muda wa kupoteza kusoma kiingereza ni wanasoma wachache wengine kujenga uchumi, nguvu nyingi sana inatumika kusoma kiingereza,kuliko kufunza uchumi,huu ni utumwa wa kifikra.
Bora mara nyingine bro sky umetuletea haya makala mwenyewe sababu kaka Dj smaa na Ally wakituambia ukweli kuhusu Russia 🇷🇺 kuna comments mbili tatu zinapenda kuwatukana watu bila sababu.I love ❤️ Russia 🇷🇺
Hawa jamaa sio kama awajui kiingereza wa najua vizuri tu lakin wanathamini lugha Zao, alikuwa akifanya TAnzania MAgufuli kutumia Kiswahili watu wakasema hajui kiingereza 😊 ( akili za kushikiwa ni mbaya sana unakuwa mtumwa wa fikra 😂)
Kweli kabisa, Magufuli alikuwa na PHD na amesomea England sasa Nani alimfanyia research? Watu wanapenda utumwa. Hata kama unajua kiingereza haina haja iwe ndo lugha yako na kuacha Kiswahili chetu
Kwasababu wana thamini vyakwao ss wa Africa ndo tunashobokea lugha za wenyewe.usipo ongea kingeleza vizuri ao kifaransa unachekwa sanaaa.watu weusi ss tuna ujinga
Hatari sana; watu wanakimbia wezi wa magharibi sisi tunawakaribisha na kuwakumbatia;nyuki hakumbatiwi jamani;heri kwa mali;BurkinaFaso na niger maana sasa wanajitambua.
Nataka wale wanaosema Kiingereza ni elimu na ndio ujanja. Miamba 2 hii inabidi wakae na mkalmani maana mmoja hajui kiingereza na ni Raisi wa taifa kubwa duniani
Wote wanajua kiingereza ila Putin hapendi kuonekana mtumwa WA nchi za America na Uingereza. Miaka ya nyuma raisi WA America alienda Urusi wakawa wenyewe tu walikuwa waliongea kiingereza na ndipo magazeti yakaanza kuuliza na kuhoji Putin alikuwa anaongea lugha gani kama sio kiingereza pia Putin alikuwa mjasusi wa Urusi haiwekani afanye hiyo kazi bila kujua kizungu.
Viongozi wetu wa afrika wanafikiri kuongea lugha zao za nchi mfano kiswahili, kiganda, kirundi, kijaluo... Wanapokuwa katika mataifa ya nje ....eti kama vile ni kukoswa elimu.....viva JPM....ULIONGEA KISWAHILI DAIMA.....tuige jamani....kiswahili chetu kina radha nzuri....mi nakipenda
Bas huku kwetu ukitafsiriw unaonekan hujasoma...Kwann tusitumie lugha yetu na sisi unatak unambie hawajui kiingereza...Mama Samia ww ndio unatakiw uwe kiongoz ktk hili yan watafutwe wakaliman watakao tafsir kiswahili kwend kwa hao wazungumz lugha ingin
@@MsAggie5 and that's a reason why God gave everyone his or her own language so that when he or she speaks his or her language nobody understand, Great God with marvellous action
Tukifika hapa Tz itakuwa safi sana hakuna muda wa kupoteza kusoma kiingereza ni wanasoma wachache wengine kujenga uchumi, nguvu nyingi sana inatumika kusoma kiingereza,kuliko kufunza uchumi,huu ni utumwa wa kifikra.
Utumwa wa fikra ndio unaliangamiza taifa letu
Wanapewa mikopo ya masharti wanapangiwa hadi cha kufundisha mashuleni hatuwezi kufika...
Isipochukuliwa kisiasa comment yako ni fact moja kubwa sana
Kweli vipaji vingi vinaishia uko
I love 💕💕💕 them much more
Ni 🔥 sana
This man Putin I appreciate him. Hapo bhana no retreat no surrender, forever forward 🪓☠️🪓🌹🌹
Mm naomba mnaotoa habari za urusi nawapenda sana tumekuwa gizani mda mrefu sana
Bora mara nyingine bro sky umetuletea haya makala mwenyewe sababu kaka Dj smaa na Ally wakituambia ukweli kuhusu Russia 🇷🇺 kuna comments mbili tatu zinapenda kuwatukana watu bila sababu.I love ❤️ Russia 🇷🇺
Quality voice 🎉🎉🎉
💯😍
Good
Pamoja sana.
Hiyo ndio nchi ya kushirikiana nayo sio America
Umejuaje
India inashirikiana na pande zote mbili
Safi sana
Modi kaipenda memory ya Putin na korea kaskazini ❤
Safi Sana ❤
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Free Palestinian❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
Safi sana
Mm kwa uelewa wangu NATO mwisho wao upo karibu.
Hawa jamaa sio kama awajui kiingereza wa najua vizuri tu lakin wanathamini lugha Zao, alikuwa akifanya TAnzania MAgufuli kutumia Kiswahili watu wakasema hajui kiingereza 😊 ( akili za kushikiwa ni mbaya sana unakuwa mtumwa wa fikra 😂)
Kweli kabisa, Magufuli alikuwa na PHD na amesomea England sasa Nani alimfanyia research? Watu wanapenda utumwa. Hata kama unajua kiingereza haina haja iwe ndo lugha yako na kuacha Kiswahili chetu
Tulimsikia mara nyingi jamaa yule hakuwa anajua English ni kweli kabisaa
Putin smart sana.
Hapo English haitakiwi kbs huu ni uzarendo ama hakika💯🙌
Hawa si wa English ni mhindi na mrusi wataongea vipi English.
Kwasababu wana thamini vyakwao ss wa Africa ndo tunashobokea lugha za wenyewe.usipo ongea kingeleza vizuri ao kifaransa unachekwa sanaaa.watu weusi ss tuna ujinga
Tanzania sijui ina feli wapi !? Wanasiasa wa Tanzania wame kazana na Marekani na Europe huku ku mtegemea Mwigulu avushe nchi kwenye uchumi.
Hatari sana; watu wanakimbia wezi wa magharibi sisi tunawakaribisha na kuwakumbatia;nyuki hakumbatiwi jamani;heri kwa mali;BurkinaFaso na niger maana sasa wanajitambua.
Cc tunatawaliwa na magenge si viongoz
Amesahau pilipili tu hapo kwa mgeni
😀😀
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
Aff kweli ..
always great thinkers plant ther croups on good fertile soil to allow them to grow better do you know the better government
Nataka wale wanaosema Kiingereza ni elimu na ndio ujanja.
Miamba 2 hii inabidi wakae na mkalmani maana mmoja hajui kiingereza na ni Raisi wa taifa kubwa duniani
Putin anaogopa kijerumani na kingereza. Kumbuka alikuwa nani kabla ya siasa.
Wote wanajua kiingereza ila Putin hapendi kuonekana mtumwa WA nchi za America na Uingereza. Miaka ya nyuma raisi WA America alienda Urusi wakawa wenyewe tu walikuwa waliongea kiingereza na ndipo magazeti yakaanza kuuliza na kuhoji Putin alikuwa anaongea lugha gani kama sio kiingereza pia Putin alikuwa mjasusi wa Urusi haiwekani afanye hiyo kazi bila kujua kizungu.
Mungu akurinde putin
Safi sana putin
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Putin nampenda sana mungu ampe maixha malef
America kwisha
Viongozi wetu wa afrika wanafikiri kuongea lugha zao za nchi mfano kiswahili, kiganda, kirundi, kijaluo... Wanapokuwa katika mataifa ya nje ....eti kama vile ni kukoswa elimu.....viva JPM....ULIONGEA KISWAHILI DAIMA.....tuige jamani....kiswahili chetu kina radha nzuri....mi nakipenda
Kwenye swala la usalama lipoje hapo maana chai mgeni ameikuta imeshamiminwa! Hii ni hatari sana
Mnangagwa ajifunze kutafuta nguvu ya uchumi
Ok sawa.
Ila kupiga stori na wakalimani hainogi😂
Walau hawa viongozi wanaweza kutembea wenyewe,sio kama lile lizee linalotembea kwa kushikiliwa
Uraaaa
Mangaribi wanaumia Sana master plan Putin amechagua watu wa mhimu tu
DUH jamaa wame wachukia wazungu adi runga yai
Huyu mhindi nae siwakumuamini maana wa Europe wanamtumia vile vile 🙄🤦🏽♀️pengine wamemtuma 😒
Hapa ni ngumu sio Africa hiyo ni Russia
@R1Lifestyle-f6nmmmmh kwa kweli tuendelee kuwaombea wazalendo wanajielewa 🤲🏼😃
@@Rakim-y2z tuzidi kuomba kheri kwa Rasia na wanampa support maana anajielewa sio kama wale wa Europe wanaotafuta vita kila siku 🤦🏽♀️😒
@R1Lifestyle-f6n hasa kwa waliokuwa hawana dini ndani ya mioyo yao hawana kukinai🤦🏽♀️
Bas huku kwetu ukitafsiriw unaonekan hujasoma...Kwann tusitumie lugha yetu na sisi unatak unambie hawajui kiingereza...Mama Samia ww ndio unatakiw uwe kiongoz ktk hili yan watafutwe wakaliman watakao tafsir kiswahili kwend kwa hao wazungumz lugha ingin
Hawa wanao tafsiri lugha za viongozi kazi wanayo wako makini Sana vyakula hapo baga hamna
Ni zaidi ya upendo .lakini naomba kuuliza bwana sky kwanini leo VLADIMIR PUTIN hajavaa tai?
Putin ni mjanja sana kajishusha
Huyu mwana mama asije akawa Mkaliman km yuleee wa Magufuli
Asije akawa kama mkalimani wetu hapa bongo anaweka na maneno yake
😂😂😂
putin ni mkarimu sana mwaka jana tulienda kumtembelea jamaa alitubless had makaa ya mawe, mshikaji ni mtu na nusu
Wenzetu wanazipa nguvu laugha zao Sisi tupo busy na kingereza cha wenyewe😢,
Lakini wote wanajua kiingereza ila wanataka kuionyesha dunia kama they don't give a sh........na kiingereza.
@@MsAggie5 and that's a reason why God gave everyone his or her own language so that when he or she speaks his or her language nobody understand, Great God with marvellous action
SKy young killer katoa nyimbo kakudiss 😂😂😂😂😂😂😂😂 sema tusimfananishe na kizazi cha gen z yuko mbele ya muda kama kendrick lamar
Unaona Sasa kutokujuwa lugha Fulani sio kwambia wewe ni mjinga tujifunze
.......🏃
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂❤ Putin
Ukraine babalao
Huyu jamaa hapingiki duniani raisi wa kenya alijalibu tu chamoto anakiona kivumbi chake
😂😂😂
Kwann mkaliman? Hakai kwenye kiti😢😅
Ivi India wanaongozwa na waziri mkuu au....mbona simsikii rais wao...
System ya india waziri mkuu ndo mtendaji mkuu wa serikali,
Putin anaishi kiisilam sana huyu mwamba
Tena chori chori
Mzee tembea yake kama chalii
Mwamposa katajwa alie sikia kama mmi like apa
Peleka huko mwaposa wako
Putin lazima awashukuru sana India na china.la sivyo urusi sa wangekua wanabeba ela na Marlboro..😅😅😅😅😅
Binaadam kusaidiana Mungu mkubwa hawezi kuwakosesha ridhiki waja wak alizo wapangia
Umepongea kitu kikubwa sana,binaadamu tunategemeana,huo ndio mpango wa M'mungu @@Awatee
kwani Putin hajui English??!
Anajua ila hapendi kuongea hata dakika moja
Anajua ila akiwa kwenye taifa lake aongei kingereza anajitambua mana watu wake wanao msikiliza ni warusi kwaiyo lazima aongee kirusi.
Wakalimani wako wa wili
Mnangagwa ajifunze kutafuta nguvu ya uchumi