ALIKIBA ATANGAZA RASMI KURUDI YANGA KISA CHAMA/NITAIMBA YANGA DAY/KWA USAJILI HUU YANGA BINGWA TENA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024
  • #alikamwe #azizki #msuva #yanga #yangasc #yangatv #hersisaid #live_ #mayele #yangaleo
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 123

  • @praizmwabukusi3452
    @praizmwabukusi3452 14 วันที่ผ่านมา +9

    Apo kiba mm nimekukubar zaid bro, ww sio mnafiki bro kiba❤❤❤ Umeongea reality kumuhusu mond

  • @alfanimwakipesile19
    @alfanimwakipesile19 12 วันที่ผ่านมา +7

    Kaba WEWE ni MTU nzuri sana HUNA chuki na wasanii wenzako HONGERA SANA kaka MWENYEZI MUNGU atakulia zaidi

  • @shikuhata
    @shikuhata 12 วันที่ผ่านมา +13

    Moja ya interview yenye majibu ya kisomi na heshma yake.
    Hongera sana King

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er 18 วันที่ผ่านมา +44

    Kiba umeanza kuonesha kukua sio mwanzo kila utakachohojiwa kuhusu chibu ulikua na majibu ya kitoto sasa umekua wale ni wadogo zako majibu ya busara kama hayo ndio fans wakutosha utapata maisha yanasonga safi

    • @Rumbakweka
      @Rumbakweka 10 วันที่ผ่านมา

      Sabb n kuwa na media

  • @user-qu4wz1wo2f
    @user-qu4wz1wo2f 16 วันที่ผ่านมา +18

    Simba nguvu moja❤

  • @mariamnchimbi7866
    @mariamnchimbi7866 16 วันที่ผ่านมา +16

    Karibu Tena Yanga Bro, Ulituchanganya sana kwenda Simba.

    • @user-habarinamichezo
      @user-habarinamichezo 7 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂unachangnywa na mtu alokuw humpi mia yko Pole xna

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 17 วันที่ผ่านมา +8

    Safi kiba nakupendaga saaana una busara sana

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi5046 18 วันที่ผ่านมา +12

    Utafika mbali sana Kiba karibu sana Yanga utapata follower wengi huku nyumbani kumenoga

  • @NelbatKasekwa
    @NelbatKasekwa 18 วันที่ผ่านมา +11

    Alikiba wewe nimsani mkubwa na mkongwe na unabisara🎉🎉🎉

    • @EliusGamanywa
      @EliusGamanywa 12 วันที่ผ่านมา

      Aya bana mwanabisara😂

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 4 วันที่ผ่านมา +1

    Uko vizuri sana bro

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo 18 วันที่ผ่านมา +7

    king kiba salute kwako tusiwadiis value wasanii wetu

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 18 วันที่ผ่านมา +7

    Nice king kiba

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary1262 18 วันที่ผ่านมา +6

    Jielewa bro safi sana sema watangazaji wetu baazi yao wanafiki anataka umbea

    • @user-rf7ni6tr2o
      @user-rf7ni6tr2o 18 วันที่ผ่านมา +1

      Mijtuuuu miongoooo keshooo motoniii mboniii cjackiaaa ariposemaaa narudiii yangaaa kisaaaa chama

    • @CatherineAmos-zw8dx
      @CatherineAmos-zw8dx 18 วันที่ผ่านมา +1

      Kichwa cha habari kingine na Maongezi ni mengine jaman

  • @cessianthony2644
    @cessianthony2644 5 วันที่ผ่านมา +1

    Kisa chama...kachoka kuugulia maumivu...😂😂😂😂 abaki huko huko

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 18 วันที่ผ่านมา +10

    Kiba sasa umekomaa safi sana dogo

    • @RashidiTwalibu
      @RashidiTwalibu 12 วันที่ผ่านมา

      Oya dogo nakuku bali sana mungu akulinde na akupambanie sana

  • @habibukhatib2615
    @habibukhatib2615 7 วันที่ผ่านมา +1

    Busara ndio nguvu ya majibu ya maswali yote hongera sana king 🤴 nakukubali sana

  • @NeemaValentina
    @NeemaValentina 16 วันที่ผ่านมา +3

    Asante kwa kjitambua

  • @Broken_Beats__23
    @Broken_Beats__23 8 วันที่ผ่านมา

    Huyu mtoto wa Iringa anapaswa apewe uwaziri kabisa kulingana na tasnia yake❤

  • @SukaDmGuy
    @SukaDmGuy 16 วันที่ผ่านมา +3

    Bro Kiba nikipewa uongozi mbinguni una nafasi yako kwa interview uliyoifanya umetisha sana

  • @KondoNgoma
    @KondoNgoma 18 วันที่ผ่านมา +4

    Utafika mbari sana

  • @malikebumoshiselemani440
    @malikebumoshiselemani440 18 วันที่ผ่านมา +3

    Alikiba anaHEKIMA hata katika ongea yake maneno yake ni yenye busara pia
    hujibu swali kwa hekima na si Kwa madaa au kujionyesha waSanii wengine wahige mfano kwa ALIKIBA

  • @thobiassamwel4077
    @thobiassamwel4077 7 วันที่ผ่านมา +1

    Ukiona mtu hana msimamo kwenye timu anayoshabikia basi hata maisha yake hayana msimamo😮

  • @SanuraMnaziru
    @SanuraMnaziru 2 วันที่ผ่านมา

    Mmmmmmh jaman karibu sana yanga

  • @masudiitembele7036
    @masudiitembele7036 12 วันที่ผ่านมา +7

    mbona hamna sehemu alipo ongea kuhusu kuhamia yanga CHANNEL HII YA KISENGE ndio maana AYO anawacha mbali.

    • @sostenvictor4764
      @sostenvictor4764 9 วันที่ผ่านมา +1

      Ni kwel media imezngua

    • @festokizinga-px2fn
      @festokizinga-px2fn 7 วันที่ผ่านมา

      Kichwa na content haviendani 😅

    • @yohanaeliazary6942
      @yohanaeliazary6942 5 วันที่ผ่านมา

      Umeona mm nilikua nafatilia ilo neno wamejula mb za bule mbwa hawa

    • @gracekatawa1990
      @gracekatawa1990 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅ndo nashangaaaa hata mimi

  • @gastomponji
    @gastomponji 3 วันที่ผ่านมา

    huo ndo usani bora kukubali anachofanya mwenzako❤❤❤❤

  • @rajabukamis9411
    @rajabukamis9411 16 วันที่ผ่านมา +1

    Bro kiba kwa sasa upo vzr na umekuwa kimuziki

  • @UpendoJackson-pf4kq
    @UpendoJackson-pf4kq 5 วันที่ผ่านมา

    Nimekupenda sanaa

  • @Pachaboy-k2b
    @Pachaboy-k2b 16 วันที่ผ่านมา +1

    Safi Sana' mtuwa watuupovzuli nakukubali Sana hunabaya mdogowangu

  • @IsackOppa
    @IsackOppa 3 วันที่ผ่านมา

    Kiba kiba kiba nmekuita mara 3 bro unajua sana.....big up bro! Ila kuhusu muandishi wa hii page mshenz kinoma unaandika heading tofaut na yaliyomo fala wew

  • @winfredmasheyo2477
    @winfredmasheyo2477 18 วันที่ผ่านมา +3

    Chaaaamaaaaaaa

  • @ShabaniSelemani-k7n
    @ShabaniSelemani-k7n 16 วันที่ผ่านมา +4

    Safi sana king kuludi yanga

  • @user-hw8bb9jo9j
    @user-hw8bb9jo9j 18 วันที่ผ่านมา

    Kwer kaka

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary1262 18 วันที่ผ่านมา +1

    Duuuuuuh

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary1262 18 วันที่ผ่านมา +2

    Duuuuh

  • @MwilikwaNgongo
    @MwilikwaNgongo 16 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe hunataka hama yangatena kwenda kumkomowa diamond alkiba wewe hahuna akili sawa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 18 วันที่ผ่านมา +2

    KIBA KAKA ULE WIMBO WA SIYO LEO LOO HATA KM NANI LAZIMA TUUCHEZE. NI WIMBO BORA NA MZURI SAAAAANA. TUTUNGIE MWINGINE SIMBA DAY KIBA NI MWAMBA HONGERA SAAANA MWAMBA

  • @NehemiaMagori
    @NehemiaMagori 10 วันที่ผ่านมา

    Dah kumbe shabik mandaz😅😅

  • @user-ci6em5kr8g
    @user-ci6em5kr8g 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kiba Big up

  • @ZachariaDottoz
    @ZachariaDottoz 5 วันที่ผ่านมา

    nimesikiliza hadi mwisho sijaona alipo zungumzia mambo ya simba au yanga ila waandishi wa bongo khaa 😂😂😅

  • @MituniIssa
    @MituniIssa 13 วันที่ผ่านมา +1

    Nyie ni wasenge kwann mnahusisha yanga na viroja vyenu nikipande gani alikiba alichoizungumzia yanga?

  • @AsiaKidunu-nm2ik
    @AsiaKidunu-nm2ik 16 วันที่ผ่านมา

    Ndumila kuwili 😂😂😮Ogmore ndiyo hiyo

  • @aminihamisi3551
    @aminihamisi3551 11 วันที่ผ่านมา +1

    Sijasikia akisema kurudi yanga

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 18 วันที่ผ่านมา +2

    Bado Haji kurudi alikotoka

  • @tariknassoraucho5814
    @tariknassoraucho5814 3 วันที่ผ่านมา

    Aloandika Caption n mas...ge

  • @user-rq8go6cf8l
    @user-rq8go6cf8l 14 วันที่ผ่านมา

    Yow

  • @technology.0508
    @technology.0508 13 วันที่ผ่านมา +1

    Unamjua simba mnyama

  • @Hellena-ds3bp
    @Hellena-ds3bp 17 วันที่ผ่านมา +1

    Broo haoo niwanafki wishing uwezavyo

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 18 วันที่ผ่านมา +2

    KIBA TUNAKUTEGEMEA SIMBA DAY. WEWENIMWAMBA

  • @glorysilayo1034
    @glorysilayo1034 2 วันที่ผ่านมา

    Hata km mnataka viewers sio ushenz huo

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 6 วันที่ผ่านมา

    Mnyama mnyama anaumwa anaupiga 😅😅

  • @eliadausen3025
    @eliadausen3025 14 วันที่ผ่านมา +1

    Poa kaka karibu ila kiba naomba namba yako

  • @alakomba6830
    @alakomba6830 14 วันที่ผ่านมา

    Yaani kiba ujanja wote huo ulikuwa upande ule😢

  • @FeristaPaulo-v7d
    @FeristaPaulo-v7d 7 วันที่ผ่านมา +1

    Karibu sana nyumbani mwana mpotevu. Kule hapakuwa sehemu sahihi ugali na sukari ndio zao.

  • @user-pc5uw7qo1x
    @user-pc5uw7qo1x 18 วันที่ผ่านมา +4

    Wamesha kushauli sasa usimponde chibu maana utakosa wateja wa kusikiliza radio yenu

  • @yohanayohanaadamu6483
    @yohanayohanaadamu6483 16 วันที่ผ่านมา

    Hamuna k2 hapo amefuata ela2 😂😂😂😂😂😂

  • @HusseinShuga-e3g
    @HusseinShuga-e3g 16 วันที่ผ่านมา +3

    Acheni uongo wapi kasema amerud yanga?

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de 13 วันที่ผ่านมา

      Ila media zingine ni zakisenge wap wameongelea yanga hiv mtakuja kukua lin

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de 13 วันที่ผ่านมา

      Wajinga kumbe na ww umeona

  • @kaluaabdallah6506
    @kaluaabdallah6506 6 วันที่ผ่านมา

    Anafosi yanga day lazima aimbe yeye kama alivyoimba Simba Ili mradi tu sifa ziwe upande wake katika timu zote mbili

  • @FabianSanga-d2i
    @FabianSanga-d2i 18 วันที่ผ่านมา

    Sawa

  • @dicksonjanuary1262
    @dicksonjanuary1262 18 วันที่ผ่านมา +4

    Kb anajielewa sana

  • @lucylameck4589
    @lucylameck4589 วันที่ผ่านมา

    Kule ulikuwa umeenda kujaribu naona umerudi nyumbani kumenoga

  • @MirroAsinaly
    @MirroAsinaly 7 วันที่ผ่านมา

    Leo umeulizwa swali umejibu point mnah ulikuwa ni mtu wa mjungu tu

  • @salumchoma8731
    @salumchoma8731 18 วันที่ผ่านมา +3

    Nikitema unashibaaa,bwana mdogoooo. Bwana mdogox2
    K/njaro,napanda miye, bwana mdogooo, Bwana mdogooox2

  • @muthefuture
    @muthefuture 2 วันที่ผ่านมา

    Siku akili zikikuludia kalibu tena Simba

  • @ancyblix
    @ancyblix 7 วันที่ผ่านมา

    Kilichopo kwenye headline na content ya kwenye video haviendani kabisa channel ya hovyo hii

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 18 วันที่ผ่านมา +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @paulinakiria7918
    @paulinakiria7918 9 วันที่ผ่านมา

    Ivi ameongelea wapi kuhusu kurudi yanga Fala nyinyi

  • @Wish_Tv
    @Wish_Tv 14 วันที่ผ่านมา

    Atuwataki kaama chama wewe bakiki uko uko uwaimbia na jimbo lako la mnyama anampinzani akawa wa 3 uko 😅usitutie nuksi

  • @Kadeslersoap
    @Kadeslersoap 15 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂

  • @user-gf9uw1zz3d
    @user-gf9uw1zz3d 17 วันที่ผ่านมา

    Niandike Tanzania the best Kwan mm mwiz😂😂

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 15 วันที่ผ่านมา

    Waandishi bana mnafeli xana kwahiyo ili muziki wa bongo ukue ni lazima uchezwe na wasanii wa nje kiba hamtomuweza kamwe

  • @ChegeChigunda-v2g
    @ChegeChigunda-v2g 12 วันที่ผ่านมา +1

    Msenge ww hauelewek xhabik gan choko Kama ww mchicha miba

  • @lightnesshassan5814
    @lightnesshassan5814 17 วันที่ผ่านมา

    Nyie wanahabari mnakewewa kila siku kuhusu habari zenu mbovu mnazo riport Sasa angaliena Sana

  • @geraldkirenga7159
    @geraldkirenga7159 16 วันที่ผ่านมา

    Nimependa unavyojibu maswali ya waandishi kwa kutulia, busara na umakini

  • @CastorOmmy
    @CastorOmmy 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona sjaskia anaposema ameridi yanga

    • @dansimpasa7440
      @dansimpasa7440 11 วันที่ผ่านมา

      Hata Mimi sijasikia

  • @JacksonKaloli-du7vq
    @JacksonKaloli-du7vq 18 วันที่ผ่านมา

    kiba sio poa kaka nikweli kuna kunsnchi saa3 usiku nchi nyingine kweupe

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 14 วันที่ผ่านมา +1

    Ninavyomjua kiba anamsimamo xana hawez kurud utopolo

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 13 วันที่ผ่านมา

      Wewe wasema,kiba nimyanga yanga Toka makuzi yake Ila kwakua wewe upo ukolokoloni ndio unamsemea king

  • @TheRobertCK
    @TheRobertCK 4 วันที่ผ่านมา

    Pumbav nyie ndo maana hamfiki mbali jinga kabisa

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 14 วันที่ผ่านมา

    Pumbav ndo maana hamuendelei 😠

  • @innosentmolel8057
    @innosentmolel8057 16 วันที่ผ่านมา

    mtoa post bhana ulicho andika na mahojiano yako na king ni vitu viwili tofauti wapi ameongea kua anarudi yanga kisa mwamba walusaka

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 17 วันที่ผ่านมา +1

    Kila la eri Kiba kurudi yanga na Mondi tunamkatibisha kurud nyumban kwake Simba kama jina lake simba Dangote.

    • @SalaSaid-xv4wf
      @SalaSaid-xv4wf 15 วันที่ผ่านมา

      Yes ❤❤

    • @HadijaAdam-ct6wf
      @HadijaAdam-ct6wf 10 วันที่ผ่านมา

      Sijasikia mbona akisema kurud yanga😢

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 13 วันที่ผ่านมา

    Acheni uzwazwa

  • @AhmedAbdallah-cv6rn
    @AhmedAbdallah-cv6rn 18 วันที่ผ่านมา

    Simba wabovu Sanaa 😂😂

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 14 วันที่ผ่านมา

    Usirud yanga kiba cmba kumenoga baki huku huku

  • @AdamGeorge-i3m
    @AdamGeorge-i3m 14 วันที่ผ่านมา

  • @christinanyalusi6341
    @christinanyalusi6341 2 วันที่ผ่านมา

    Shabik mandazi

  • @user-cs1im9pc2u
    @user-cs1im9pc2u 18 วันที่ผ่านมา

    shida akina ashura chuchu akili zao hakina akili , mtu anaongelea kazi wanawaza kurudi yanga

  • @allysunday8614
    @allysunday8614 17 วันที่ผ่านมา

    Yaani kichwa cha habari na kilichoongelewa havifanani....hamna weledi.....

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de 13 วันที่ผ่านมา

      😂😂 yan nimeikalili hi media nikiiona siiangalii maana ni waongo wakubwa wamenimalizia mb zang

  • @BrayMark-d3z
    @BrayMark-d3z 12 วันที่ผ่านมา

    Hi nimupya

  • @lundimbekelu8866
    @lundimbekelu8866 12 วันที่ผ่านมา

    Mamluki hao

  • @MashakaMakamba
    @MashakaMakamba 12 วันที่ผ่านมา

    Ondoka kwani wewe nani unatoa mchango wako kwenye simba

  • @bundalahamza8902
    @bundalahamza8902 14 วันที่ผ่านมา

    Ukuwahi kuwa Simba wewe

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 17 วันที่ผ่านมา

    Xavi mtupu

  • @patrickilambona5042
    @patrickilambona5042 14 วันที่ผ่านมา

    Sijaona aliposema kurudi yanga mwaandishi kumanyoko zako

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de 13 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 yan yanaboa balaa nataman hata nilipwe fidia

  • @zahorhemed1045
    @zahorhemed1045 17 วันที่ผ่านมา

    Kiki huna jemgine

  • @user-hs7um1rf8s
    @user-hs7um1rf8s 8 วันที่ผ่านมา

    utoopolo wote ni washamba sana hata club yao wanaindesha kiuni kitapeli

  • @JoyceDaniel-g3e
    @JoyceDaniel-g3e 16 วันที่ผ่านมา

    Ujinga tu ulichoandika ni sawa na alichozungumz?

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 18 วันที่ผ่านมา +6

    Yanga bingwa adi 230😁

    • @user-kr2qr8vx1x
      @user-kr2qr8vx1x 12 วันที่ผ่านมา

      Umetisha kiba wewe kiwango ulicho fikia mwanangu ni kikubwa sana sana ujui kifupi umefika mbali sana kimaendelo na upendo misifa.ninacho kushauri kama mama Yako..kama ulivyo sema hapo ni nyumbani jitaidi usiwe na kinyongo na mtu yoyote baba samee yote hili mungu aachilie baraka kwako..pambana na kazi Yako mwanangu Mimi mwenyewe nakupenda mwanangu Kwa maneno ya hekima na busara Kwa kibu mungu akubariki na kukufungulia milango ktk kazi.

    • @user-kr2qr8vx1x
      @user-kr2qr8vx1x 12 วันที่ผ่านมา

      Usijari watu wanasema nini..jari kesho mungu atanipa nini..tutayashindia hayo yote.

    • @camilomassao8971
      @camilomassao8971 2 วันที่ผ่านมา

      😮😮umesikia wapi