Kiba umeanza kuonesha kukua sio mwanzo kila utakachohojiwa kuhusu chibu ulikua na majibu ya kitoto sasa umekua wale ni wadogo zako majibu ya busara kama hayo ndio fans wakutosha utapata maisha yanasonga safi
Alikiba anaHEKIMA hata katika ongea yake maneno yake ni yenye busara pia hujibu swali kwa hekima na si Kwa madaa au kujionyesha waSanii wengine wahige mfano kwa ALIKIBA
Kiba kiba kiba nmekuita mara 3 bro unajua sana.....big up bro! Ila kuhusu muandishi wa hii page mshenz kinoma unaandika heading tofaut na yaliyomo fala wew
KIBA KAKA ULE WIMBO WA SIYO LEO LOO HATA KM NANI LAZIMA TUUCHEZE. NI WIMBO BORA NA MZURI SAAAAANA. TUTUNGIE MWINGINE SIMBA DAY KIBA NI MWAMBA HONGERA SAAANA MWAMBA
Umetisha kiba wewe kiwango ulicho fikia mwanangu ni kikubwa sana sana ujui kifupi umefika mbali sana kimaendelo na upendo misifa.ninacho kushauri kama mama Yako..kama ulivyo sema hapo ni nyumbani jitaidi usiwe na kinyongo na mtu yoyote baba samee yote hili mungu aachilie baraka kwako..pambana na kazi Yako mwanangu Mimi mwenyewe nakupenda mwanangu Kwa maneno ya hekima na busara Kwa kibu mungu akubariki na kukufungulia milango ktk kazi.
Apo kiba mm nimekukubar zaid bro, ww sio mnafiki bro kiba❤❤❤ Umeongea reality kumuhusu mond
Kaba WEWE ni MTU nzuri sana HUNA chuki na wasanii wenzako HONGERA SANA kaka MWENYEZI MUNGU atakulia zaidi
Moja ya interview yenye majibu ya kisomi na heshma yake.
Hongera sana King
Kiba umeanza kuonesha kukua sio mwanzo kila utakachohojiwa kuhusu chibu ulikua na majibu ya kitoto sasa umekua wale ni wadogo zako majibu ya busara kama hayo ndio fans wakutosha utapata maisha yanasonga safi
Sabb n kuwa na media
Simba nguvu moja❤
Karibu Tena Yanga Bro, Ulituchanganya sana kwenda Simba.
😂😂😂unachangnywa na mtu alokuw humpi mia yko Pole xna
Safi kiba nakupendaga saaana una busara sana
Utafika mbali sana Kiba karibu sana Yanga utapata follower wengi huku nyumbani kumenoga
Alikiba wewe nimsani mkubwa na mkongwe na unabisara🎉🎉🎉
Aya bana mwanabisara😂
Uko vizuri sana bro
king kiba salute kwako tusiwadiis value wasanii wetu
Nice king kiba
Jielewa bro safi sana sema watangazaji wetu baazi yao wanafiki anataka umbea
Mijtuuuu miongoooo keshooo motoniii mboniii cjackiaaa ariposemaaa narudiii yangaaa kisaaaa chama
Kichwa cha habari kingine na Maongezi ni mengine jaman
Kisa chama...kachoka kuugulia maumivu...😂😂😂😂 abaki huko huko
Kiba sasa umekomaa safi sana dogo
Oya dogo nakuku bali sana mungu akulinde na akupambanie sana
Busara ndio nguvu ya majibu ya maswali yote hongera sana king 🤴 nakukubali sana
Asante kwa kjitambua
Huyu mtoto wa Iringa anapaswa apewe uwaziri kabisa kulingana na tasnia yake❤
Bro Kiba nikipewa uongozi mbinguni una nafasi yako kwa interview uliyoifanya umetisha sana
Utafika mbari sana
Alikiba anaHEKIMA hata katika ongea yake maneno yake ni yenye busara pia
hujibu swali kwa hekima na si Kwa madaa au kujionyesha waSanii wengine wahige mfano kwa ALIKIBA
Ukiona mtu hana msimamo kwenye timu anayoshabikia basi hata maisha yake hayana msimamo😮
Mmmmmmh jaman karibu sana yanga
mbona hamna sehemu alipo ongea kuhusu kuhamia yanga CHANNEL HII YA KISENGE ndio maana AYO anawacha mbali.
Ni kwel media imezngua
Kichwa na content haviendani 😅
Umeona mm nilikua nafatilia ilo neno wamejula mb za bule mbwa hawa
😅😅😅😅ndo nashangaaaa hata mimi
huo ndo usani bora kukubali anachofanya mwenzako❤❤❤❤
Bro kiba kwa sasa upo vzr na umekuwa kimuziki
Nimekupenda sanaa
Safi Sana' mtuwa watuupovzuli nakukubali Sana hunabaya mdogowangu
Kiba kiba kiba nmekuita mara 3 bro unajua sana.....big up bro! Ila kuhusu muandishi wa hii page mshenz kinoma unaandika heading tofaut na yaliyomo fala wew
Chaaaamaaaaaaa
Safi sana king kuludi yanga
Kwer kaka
Duuuuuuh
Duuuuh
Wewe hunataka hama yangatena kwenda kumkomowa diamond alkiba wewe hahuna akili sawa
KIBA KAKA ULE WIMBO WA SIYO LEO LOO HATA KM NANI LAZIMA TUUCHEZE. NI WIMBO BORA NA MZURI SAAAAANA. TUTUNGIE MWINGINE SIMBA DAY KIBA NI MWAMBA HONGERA SAAANA MWAMBA
Dah kumbe shabik mandaz😅😅
Kiba Big up
nimesikiliza hadi mwisho sijaona alipo zungumzia mambo ya simba au yanga ila waandishi wa bongo khaa 😂😂😅
Nyie ni wasenge kwann mnahusisha yanga na viroja vyenu nikipande gani alikiba alichoizungumzia yanga?
Ndumila kuwili 😂😂😮Ogmore ndiyo hiyo
Sijasikia akisema kurudi yanga
Bado Haji kurudi alikotoka
Aloandika Caption n mas...ge
Yow
Unamjua simba mnyama
Broo haoo niwanafki wishing uwezavyo
KIBA TUNAKUTEGEMEA SIMBA DAY. WEWENIMWAMBA
Hata km mnataka viewers sio ushenz huo
Mnyama mnyama anaumwa anaupiga 😅😅
Poa kaka karibu ila kiba naomba namba yako
Yaani kiba ujanja wote huo ulikuwa upande ule😢
Karibu sana nyumbani mwana mpotevu. Kule hapakuwa sehemu sahihi ugali na sukari ndio zao.
Wamesha kushauli sasa usimponde chibu maana utakosa wateja wa kusikiliza radio yenu
Hamuna k2 hapo amefuata ela2 😂😂😂😂😂😂
Acheni uongo wapi kasema amerud yanga?
Ila media zingine ni zakisenge wap wameongelea yanga hiv mtakuja kukua lin
Wajinga kumbe na ww umeona
Anafosi yanga day lazima aimbe yeye kama alivyoimba Simba Ili mradi tu sifa ziwe upande wake katika timu zote mbili
Sawa
Kb anajielewa sana
Kule ulikuwa umeenda kujaribu naona umerudi nyumbani kumenoga
Leo umeulizwa swali umejibu point mnah ulikuwa ni mtu wa mjungu tu
Nikitema unashibaaa,bwana mdogoooo. Bwana mdogox2
K/njaro,napanda miye, bwana mdogooo, Bwana mdogooox2
Siku akili zikikuludia kalibu tena Simba
Kilichopo kwenye headline na content ya kwenye video haviendani kabisa channel ya hovyo hii
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ivi ameongelea wapi kuhusu kurudi yanga Fala nyinyi
Atuwataki kaama chama wewe bakiki uko uko uwaimbia na jimbo lako la mnyama anampinzani akawa wa 3 uko 😅usitutie nuksi
😂😂😂😂
Niandike Tanzania the best Kwan mm mwiz😂😂
Waandishi bana mnafeli xana kwahiyo ili muziki wa bongo ukue ni lazima uchezwe na wasanii wa nje kiba hamtomuweza kamwe
Msenge ww hauelewek xhabik gan choko Kama ww mchicha miba
Nyie wanahabari mnakewewa kila siku kuhusu habari zenu mbovu mnazo riport Sasa angaliena Sana
Nimependa unavyojibu maswali ya waandishi kwa kutulia, busara na umakini
Mbona sjaskia anaposema ameridi yanga
Hata Mimi sijasikia
kiba sio poa kaka nikweli kuna kunsnchi saa3 usiku nchi nyingine kweupe
Ninavyomjua kiba anamsimamo xana hawez kurud utopolo
Wewe wasema,kiba nimyanga yanga Toka makuzi yake Ila kwakua wewe upo ukolokoloni ndio unamsemea king
Pumbav nyie ndo maana hamfiki mbali jinga kabisa
Pumbav ndo maana hamuendelei 😠
mtoa post bhana ulicho andika na mahojiano yako na king ni vitu viwili tofauti wapi ameongea kua anarudi yanga kisa mwamba walusaka
Kila la eri Kiba kurudi yanga na Mondi tunamkatibisha kurud nyumban kwake Simba kama jina lake simba Dangote.
Yes ❤❤
Sijasikia mbona akisema kurud yanga😢
Acheni uzwazwa
Simba wabovu Sanaa 😂😂
Usirud yanga kiba cmba kumenoga baki huku huku
Kumenogeshwa na nn
❤
Shabik mandazi
shida akina ashura chuchu akili zao hakina akili , mtu anaongelea kazi wanawaza kurudi yanga
Yaani kichwa cha habari na kilichoongelewa havifanani....hamna weledi.....
😂😂 yan nimeikalili hi media nikiiona siiangalii maana ni waongo wakubwa wamenimalizia mb zang
Hi nimupya
Mamluki hao
Ondoka kwani wewe nani unatoa mchango wako kwenye simba
Ukuwahi kuwa Simba wewe
Xavi mtupu
Sijaona aliposema kurudi yanga mwaandishi kumanyoko zako
😂😂😂 yan yanaboa balaa nataman hata nilipwe fidia
Kiki huna jemgine
utoopolo wote ni washamba sana hata club yao wanaindesha kiuni kitapeli
Ujinga tu ulichoandika ni sawa na alichozungumz?
Mjinga ww ulieangalia👊
Yanga bingwa adi 230😁
Umetisha kiba wewe kiwango ulicho fikia mwanangu ni kikubwa sana sana ujui kifupi umefika mbali sana kimaendelo na upendo misifa.ninacho kushauri kama mama Yako..kama ulivyo sema hapo ni nyumbani jitaidi usiwe na kinyongo na mtu yoyote baba samee yote hili mungu aachilie baraka kwako..pambana na kazi Yako mwanangu Mimi mwenyewe nakupenda mwanangu Kwa maneno ya hekima na busara Kwa kibu mungu akubariki na kukufungulia milango ktk kazi.
Usijari watu wanasema nini..jari kesho mungu atanipa nini..tutayashindia hayo yote.
😮😮umesikia wapi