Kamwe unaakili nyingi Sana dogo😄😄😄😄 ushauliwangu kwako washukuru Sana wazaziwako kwakukulea kwene misingi mizuri❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿 hongereni wazazi wa kamwe 🇹🇿🐦
Ila niwaambie kitu Wananchi Muda wa furaha ukiupata unapaswa ufurahi asee asikupangie mtu Huu ni Muda wetu wa furaha so asikutishe mtu Mwananchi yeyote afurahi tania yeyote cz ndo muda wetu coz furaha na huzuni ni vipindi ambavyo binadamu tunapitia so ukiwa na furaha mtu asikwambie eti usifurah cz uzuni ipo ase piga nginja nginja 🎉🎉😂😂
aziz ki pacome dube duke baleke max aucho Diara Msonda Mzize Boca Mda Chama Baka Kibabage Yaaukwasi 💛💛💚💚💛💛 Yanga inapaswa ishtakiwe kwenye mahakama za kimataifa sio siri na sina utani!
Duke abuya namkubali San like Kam unamkubali Duke abuya
Namkubali Duke Abuya
Anatoka nani?
Qqqq we@McbarakaeventsTz
@@MaxMatinde kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@@halimasawa611 Oh sawaa..
Ali kamwe unazingua fraha imekuzidi uko vizuri mwamba unajituma
Duke Abuya Nakubal Xana Ni Jembe Kweli Kweli💚🔥🔥
Yangaaaa naipenda nimefurahiii kumuona pacomee boka pia yuko fiti nifurahaa ilionjee Mungu awalinde wachezajiii wetu kwa ujumla na viongoz💚💚🖤🖤💛💛💯
Kama umemuona pacome gonga likee🎉
Kamwe unaakili nyingi Sana dogo😄😄😄😄 ushauliwangu kwako washukuru Sana wazaziwako kwakukulea kwene misingi mizuri❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿 hongereni wazazi wa kamwe 🇹🇿🐦
Ujumbe mzuri sana
I love YANGA 🔰🔰🔰🔰
Wananchiiiiiiiiii,? Wa kwanza Leo gonga like hapoo👈
Wow God bless you all the best 🎉🎉🎉🎉🎉
TUNASEMAGA WAMEKUNYUGWA HIYO STYLE
Wakwanza nipeni like zangu
Ili iweje? Toa maoni,ndo maana ya comment section! Acheni ushamba wa mitandao
Wsnanchi wote hapa like 💚💚💚
Duke abuya fundi wangu🎉🎉🎉🎉
Yangaaa yangaaaa yangaaa
Yaani pa pa pa paccomeee
Chama na dube jmn wanachek vzr jmn💚💛
Hii ya mwisho inauma sana mwananchi😂😂💚💛
Kwa hii yanga mwaka huu kuna watu watatapika Mo Energy😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 Tz hatari sijui watu wanatoaga wapi maneno eti watatapika mo energy
Anae amini diamond platnumz atakuepo agost 4 a like
Sina mengi cha muhimu dua tuu basi nipeni like 😢
Dua ndo muhimu! 🤛🤛
Yanga Bingwa 💚💪
God bless and protect our players from evils people ❤❤❤
Hawa vijana wawili ni hatareeh sana kwa kukera wanajua kukera sana 🎉🎉🎉
Edit: Tuendelee kusubscribe wananchi Daima mbele nyuma mwiko
Leo nimekuwa wa kwanza😂😂
Allaah Akbar
Yangaaaaaaaaaaaaaa
Kama unamkubali chama nipe lake zang
Hatari sana
Hiyo palapanda italiya nimeipenda sana et sanda itaingia mavumbini Ally kamwe unabalaa wewe
+255 💚💛🖤💛💙 YOUNG AFRICANS
Dah kushabikia yanga raha tupuuuuuuuuuuuuuu♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯🎉🎉🎉🎉🎉
Tupo pamoja sana
Yanga bingwa
Kny komasava ya mond dk ya 2 na sekunde 44 kuna jez ya yanga asante kamwe kutupa code tumeenda yotube
Rasta hali nyama anakula hela
anakula dangaa na mbogamboga tu
😂😂 Fala sana wewe unatafuta vita ba watu!
Mm wa 1kwahiyo
Leo me ndo wa Kwanza naombeni like zang
Kivipi unaomba like tena?
Toaaoni kuhusu vid! Ndo maana ya comment section!
Mashaallah nawapenda sn
Oyoooo 💃💃 jez za mpira
Wanahabari muko sawa kabisa wanqnch tunahabarika
Ila yanga inaraha kweri🎉🎉🎉
Duuuh!! Hii yanga noma sana
William Shemoka “the man behind the Camera”. Unaishi ndoto zako bro, long time no see you, since NIT 2016
Love yanga
Namkubali Sana duke abuya pakome aucho cham ddube zengeli kiujula naikubali Sana yang mungu awalinde wachezaji wetu
Namkubali sana pacome
Alikamwe tunakukubali unaupiga mwingi sana brother
Yanga ya moto
Beki atuongezi au ilikuwa tetes sehemu muhimu tufunge usajil mangalo
Andambwile
🔥🔥
💛💚💛💚💛💚
#Hali nyama yy anakula hela!
Kama ww mwananchi like
Mm nimwananchi kudadeki na mtaka my wetu hapo 8
Yanga
Ya rastaaa😂😂😂😂
❤❤❤❤
💛💛💛
Ngoja akae manalaulepimba
Ila niwaambie kitu Wananchi Muda wa furaha ukiupata unapaswa ufurahi asee asikupangie mtu Huu ni Muda wetu wa furaha so asikutishe mtu Mwananchi yeyote afurahi tania yeyote cz ndo muda wetu coz furaha na huzuni ni vipindi ambavyo binadamu tunapitia so ukiwa na furaha mtu asikwambie eti usifurah cz uzuni ipo ase piga nginja nginja 🎉🎉😂😂
🙏🙏🙏
Mwenyekiti wa wasemaji oyeeeeeeeeeeee
aziz ki
pacome
dube
duke
baleke
max
aucho
Diara
Msonda
Mzize
Boca
Mda
Chama
Baka
Kibabage
Yaaukwasi
💛💛💚💚💛💛
Yanga inapaswa ishtakiwe kwenye mahakama za kimataifa sio siri na sina utani!
Kwani wao hawaogopi
Brother nimeielewa hiyo sitaili ya mapiano
Mko vizuri tunawapenda sana
Yanga iongeze beki wa kati ili kuongeza ushindani na kuwapa mda wa kupumzika
Toeni maoni, dume zima unaomba like, acheni ujinga
Had lahaa
Noma sana
Nanga uyo
Namkubali pia
Wakanza leooooo😂
Good lucky
🙌🙌🙌
💚💚💚💛💛💛
❤nguvu moya
Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪🏆🏆🏆🏆🏆
Ali kamwe unakela sanaaaaaa
Bravo yanga but vip kuhusu Kennedy Musonda
Musonda yupo
Kwani hujamuona hapo?
💛
Mungu mwema saana eti Cha mwisho kinauma😂😂😂😂😂🎉🎉
Bleach limerudi
Unjanjaniiiiiii
🎉🎉🎉🎉🎉
Angekuwa manala hapa maneño yangekuwa kama mchanga
😂😂😂 ila hawa vijana
Nyie Ni viboko
Saubona mfyetu wena kunjaan
🔥🔥🔥💚💚💚💛💛💛✅🏆
Kamilllllllllll.... Kudadadeki
Kamwe mwambie Duke namtegemea 5 tare 8
Kama unamkubali alikamwe gonga nipe like
🎉
🤝🤝
Nalikubalii chama rangu
Yanga Bingwa
Ali J4 yuko wapi mbna simuon hapa
😂😂😂😂😂😂😂😂wee Ali kamwe wee unawakerrrrrrraa
Komasava yanga
Wanaandika commant ça vas acakuharibu ligha zawatu
😂😂😂😂 ila aly weee noma raha jipe mwenyewe
Mbona salamu kama ya walevi Hivi au wamelewa.
Mungu tujalie tupate ushindi mechi ya Toyota ili tukaparedike Dar apo
Kuanzia 3:06 pakomeeeee