DADA YETU AMECHANGIA SANA AZIZ KI KUBAKI KLABU YA YANGA| INASEMEKANA NI MJAMZITO, WANATEGEMEA MTOTO.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 78

  • @RisasiRisasi-uj8fk
    @RisasiRisasi-uj8fk 18 วันที่ผ่านมา +8

    Wameumbuka wachambuzi ukwala,hata huyu mzee za dani,naye kaumbuka.hongera sana Eng.umenikumbusha mbali sana,Magu aliwaumbua wazungu pia

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 19 วันที่ผ่านมา +7

    Acha Tz iitwe Bongo kuna maana kubwa sana ndani ya hilo jina...

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 19 วันที่ผ่านมา +15

    Za ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tajiri mo ameshamsaini azizi k Leo Husemi tena, punguzeni kuongea vitu ambavyo hamna uhakika.

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 19 วันที่ผ่านมา +5

      Ni tetesi tu hizo ndugu yangu 🎉🎉🎉

    • @zuberimohamed43
      @zuberimohamed43 19 วันที่ผ่านมา +4

      Hizo zandani zako labda nguo yaan chupi

    • @ezrayohana3541
      @ezrayohana3541 19 วันที่ผ่านมา +5

      Hakusema amemsaini alisema alituma offer

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 19 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@zuberimohamed43😂😂😂😂😂

    • @saltechnologiesco.ltd.2377
      @saltechnologiesco.ltd.2377 19 วันที่ผ่านมา +1

      Mkuu uwe unafuatilia vizuri kabla ya kuandika!

  • @johnmshuta5133
    @johnmshuta5133 19 วันที่ผ่านมา +4

    Momo Amna mchambuzi hapo za ndani akuna kitu 😃😃😃😃😃

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 19 วันที่ผ่านมา +4

    AZIZIKI ALISHASAINI ZAMANI YANGA CY LEO

  • @elicktilia4430
    @elicktilia4430 18 วันที่ผ่านมา +2

    Uwalisia kabisa sports yetu imekuwa yamoto blaaa nice all media📺📺📺 tz

  • @jumamchewa3246
    @jumamchewa3246 18 วันที่ผ่านมา +1

    Wakudele ulisema azizi anaenda upande wa pili ila Leo unabalikabadilika unasema SABABU ya shemelaa

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 18 วันที่ผ่านมา +1

    Ukiona mchezaj anang'ang'ania Tanzania ujue ni mchezaji wa kawaida mno,mm Aziz ki namwona sawa tu na akina mzamiru na umri alionao akienda ulaya anakuwa houseboy tu sio mchezaj mpira

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 16 วันที่ผ่านมา

    Tunajua lazima mtoke majumbani mkatafute mkate yaani msosi.punguzeni un mbea kwa kweli.kilichiniudhi mm ed ingilia maisha ya huyo binti Mara mjamzito ....nk wapi wanao enjoy umbea huu hayo ni yao

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini 19 วันที่ผ่านมา +3

    Mhuuuuu😂😂😂😂 pasi katoa mobetto

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 19 วันที่ผ่านมา +6

    Ety ana mahusiano achen uongo

    • @hijakinina1793
      @hijakinina1793 18 วันที่ผ่านมา +1

      Kama wataka nawao wapate mausiano ya kii si waseme

  • @MeshakiShija-mz5mw
    @MeshakiShija-mz5mw 17 วันที่ผ่านมา

    Wachambuzi uchwara injinia Hersi saivi anawacheki anawasogeza na anawamwaga mwaaaaa endeleeni kushadadia mipango ya klabu ya yanga mtajioona mpaka akili hamna

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 18 วันที่ผ่านมา +2

    Huyo mzee wa Kudere ndio muongo namba moja, alidanganya kuwa Mo ameshatia mzigo.

    • @hijakinina1793
      @hijakinina1793 18 วันที่ผ่านมา +1

      Kwa pesa za kurithi za mo

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 19 วันที่ผ่านมา +1

    Ila kwenye App ni ukweli mtupu mimi ni jana tu nimeishusha kisa Azizi leo anaongea 😂😂😂

  • @MeshakiShija-mz5mw
    @MeshakiShija-mz5mw 17 วันที่ผ่านมา

    Na wee Edo mpuuzi sana

  • @ElidaMsigwa-nz2ts
    @ElidaMsigwa-nz2ts 14 วันที่ผ่านมา

    Acheni kujadiri mapenzi ya watu yenu yanajdiriwa wapi

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 18 วันที่ผ่านมา

    Hivi wachambuzi wetu Ttz Nini mda mwengine huyu za ndaniii alishasema Aziz ANAONDOKA sasa imekuwaje Tena hapo eee

  • @salimusafuko8594
    @salimusafuko8594 18 วันที่ผ่านมา

    Nyie wasaf mnafeli kila mnachozungumza anaewafatilia ni mgeni labda mmechezeshwa na hersi mkaingia mkenge kuhubir Mambo msioyajua ovyoo nendeni shule

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p 19 วันที่ผ่านมา +1

    yanga baba lao

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 18 วันที่ผ่านมา

    Mafala watupu waandishi momo s ulisema mo dewji anamchukua

  • @user-eu6gl4vs1o
    @user-eu6gl4vs1o 19 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe umesema ukweli maisha matamu Tanzania siyo mwanamke

  • @danyboy571
    @danyboy571 18 วันที่ผ่านมา

    Eti dada yetu ame asisit😅😅😅😅

  • @hashimsalum7025
    @hashimsalum7025 18 วันที่ผ่านมา

    Metokeo ya uwongo na uzushi, ni aibu, hapa habari zaichezo hapa zimeisha, kilicho baki udaku.

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 19 วันที่ผ่านมา +2

    Tatizo ni kwamba Aziz sio mchaga angekua mchaga hapo angetumia akili sasa hapo Aziz ametumia mapenzi, nikwamba Aziz aliumbiwa ufukara ndani yake.

    • @erickmbuya8373
      @erickmbuya8373 19 วันที่ผ่านมา

      Wewe utakuwa ni kolo😂

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi 19 วันที่ผ่านมา

      Kolo moja la kichaga ww 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 million 35 kwa mwezi ni ndogo?

    • @RehemaDavid-f2l
      @RehemaDavid-f2l 18 วันที่ผ่านมา

      Hv ww hua unapokea hyo mil.35 kwa mwez? Kama ni hapana,ni Nani kaumbiwa ufukara kati yako na aziz ki?

    • @mwitaprotus7649
      @mwitaprotus7649 18 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤❤😊love bro ndo cha msingi apa the world 🌎

  • @ubunifulifestyle3492
    @ubunifulifestyle3492 19 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu dada atakuja kuzaa na vibwenzi

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 19 วันที่ผ่านมา +1

    Aziz k amebakia kwaajiri ya mapenzi. Mapenzi ya watanzania yamembakiza

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 18 วันที่ผ่านมา

      Hujaenda shule!

  • @JumaNassor-cj3zy
    @JumaNassor-cj3zy 18 วันที่ผ่านมา

    Ili momo kma senge SI jana kasema azizi anaenda simba

  • @AmaniMadata
    @AmaniMadata 18 วันที่ผ่านมา

    Nyie wachambuzi uchwala waongo sana

  • @Jamesmwakalile
    @Jamesmwakalile 17 วันที่ผ่านมา

    Mwache apg kazi aziZ jaman

  • @user-mq4yq6rw1w
    @user-mq4yq6rw1w 18 วันที่ผ่านมา

    Momo usiwe unaongea pumba

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 18 วันที่ผ่านมา

    Huyo wazandaaaani leo kawa mdogo kama piliton, wiki iliyopita alileta zandaaani zake kwambwembwe ile mbaya, leo hata bnguvu yakuongea kwambwembwe hana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @HafizAbdallah-n4b
    @HafizAbdallah-n4b 18 วันที่ผ่านมา

    yani ww mjinga sana kwann asingesaini simba kwani wako inje ya tanzania

  • @chrisantusnditi8670
    @chrisantusnditi8670 18 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂Ila wachambuzi wa bongo ni shida.

  • @vivanyboy9743
    @vivanyboy9743 18 วันที่ผ่านมา

    ila nyie wahun😂

  • @HadiaMohammed-ec2dn
    @HadiaMohammed-ec2dn 18 วันที่ผ่านมา

    Mna huakika mimba ya mwamba😊

  • @fotunatusiMsongole
    @fotunatusiMsongole 18 วันที่ผ่านมา

    Momo Hana kituuu kichwanii

  • @JumaSalim-bd1ff
    @JumaSalim-bd1ff 18 วันที่ผ่านมา

    Mzee w za ndani uliapa

  • @RehemaKizeru
    @RehemaKizeru 19 วันที่ผ่านมา

    Kuna watu wanafiki kama wachambuzi

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 18 วันที่ผ่านมา

    Uyu jamaa anaenyoa kiuni muongo kweli Leo unasema mapenzi mara mo, jinga kweli.

  • @azimioalbertongellangella8970
    @azimioalbertongellangella8970 18 วันที่ผ่านมา

    Eti za ndaaaaaaaani za ndaaan wapi? Uongo mtupuuu😂😂😂😂

  • @joshuajohn2668
    @joshuajohn2668 19 วันที่ผ่านมา

    Tofautisheni habari za uhakika na mizaha

  • @bashirukajembe4165
    @bashirukajembe4165 18 วันที่ผ่านมา

    Ameasst 😂😂😂😂

  • @user-hy4zb3eg1z
    @user-hy4zb3eg1z 18 วันที่ผ่านมา

    Momo ni fala sana

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc 19 วันที่ผ่านมา

    Lazima abaki ufungaji Bora umetengezwa Na viongoz😂

  • @nehemiahsamsony1085
    @nehemiahsamsony1085 18 วันที่ผ่านมา

    Momo hyo siyo sababu Acha ujinga

  • @bilalikisembe5012
    @bilalikisembe5012 18 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa muongo sana huyu

  • @user-eu6gl4vs1o
    @user-eu6gl4vs1o 19 วันที่ผ่านมา

    Acha uongo usiwe na uchuro

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 19 วันที่ผ่านมา

    Acha ujinga wewe Momo, hayo mambo binafsi ya mtu unayasema kwenye media?

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 18 วันที่ผ่านมา

    Xavi mtupu

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 19 วันที่ผ่านมา +1

    Acha uongo wewe

  • @leonardsr8994
    @leonardsr8994 19 วันที่ผ่านมา

    Kama ulitoa boko unasema tu

  • @SubiraJohn
    @SubiraJohn 18 วันที่ผ่านมา

    😅😅😅😅😅😅

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 19 วันที่ผ่านมา

    Huyu Momo anatuona wajinga sana, eti kabaki kwa sababu ya kulinda mahusiano, hiyo si sababu ya msingi! Mtu anaoa Kenya yeye anaishi Italia na maisha yanaendelea. Acha uongo, momo umezidi sasa.

    • @AbdulGermany210
      @AbdulGermany210 18 วันที่ผ่านมา

      Sio kulinda mahusiano ana mtoto tayari na huyo mdada,hivi unafuatilia kweli ndugu

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 18 วันที่ผ่านมา

      @@AbdulGermany210 Kwa hiyo kwa kuwa ana mtoto maana yake haruhusiwi kusajiliwa na timu nyingine yoyote nje ya Tanzania? Basi tutarajie ataomba kusajiliwa uraia wa Tanzania abaki kulea mtoto! Hakuna mantiki.

  • @user-hy4zb3eg1z
    @user-hy4zb3eg1z 18 วันที่ผ่านมา

    Wajinga hawa

  • @edwardmaguluko6541
    @edwardmaguluko6541 19 วันที่ผ่านมา

    HUYU RICARDO MOMO NAE SOMETIMES NI MUONGO SANA YEYE NDIO ALIYESEMA MUHINDI KAWEKA B 3 LEO ANASEMA DADA YETU

    • @yussufritzy7684
      @yussufritzy7684 19 วันที่ผ่านมา

      Chukuwa yote

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi 19 วันที่ผ่านมา

      Huyu Momo hovyo kabisa, alisema mo Salah kaweka b3 hahahahahaaaa

    • @ZachariaCharles-sq8cx
      @ZachariaCharles-sq8cx 18 วันที่ผ่านมา

      Uliisikiliza mpaka mwisho? alisema ameweka B3 ila Azizi alikua kashachelewa

  • @hijakinina1793
    @hijakinina1793 18 วันที่ผ่านมา

    Mpumbavu sana akuna za ndani wala nje