Ukiona mchezaj anang'ang'ania Tanzania ujue ni mchezaji wa kawaida mno,mm Aziz ki namwona sawa tu na akina mzamiru na umri alionao akienda ulaya anakuwa houseboy tu sio mchezaj mpira
Tunajua lazima mtoke majumbani mkatafute mkate yaani msosi.punguzeni un mbea kwa kweli.kilichiniudhi mm ed ingilia maisha ya huyo binti Mara mjamzito ....nk wapi wanao enjoy umbea huu hayo ni yao
Wachambuzi uchwara injinia Hersi saivi anawacheki anawasogeza na anawamwaga mwaaaaa endeleeni kushadadia mipango ya klabu ya yanga mtajioona mpaka akili hamna
Huyo wazandaaaani leo kawa mdogo kama piliton, wiki iliyopita alileta zandaaani zake kwambwembwe ile mbaya, leo hata bnguvu yakuongea kwambwembwe hana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu Momo anatuona wajinga sana, eti kabaki kwa sababu ya kulinda mahusiano, hiyo si sababu ya msingi! Mtu anaoa Kenya yeye anaishi Italia na maisha yanaendelea. Acha uongo, momo umezidi sasa.
@@AbdulGermany210 Kwa hiyo kwa kuwa ana mtoto maana yake haruhusiwi kusajiliwa na timu nyingine yoyote nje ya Tanzania? Basi tutarajie ataomba kusajiliwa uraia wa Tanzania abaki kulea mtoto! Hakuna mantiki.
Wameumbuka wachambuzi ukwala,hata huyu mzee za dani,naye kaumbuka.hongera sana Eng.umenikumbusha mbali sana,Magu aliwaumbua wazungu pia
Acha Tz iitwe Bongo kuna maana kubwa sana ndani ya hilo jina...
Za ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tajiri mo ameshamsaini azizi k Leo Husemi tena, punguzeni kuongea vitu ambavyo hamna uhakika.
Ni tetesi tu hizo ndugu yangu 🎉🎉🎉
Hizo zandani zako labda nguo yaan chupi
Hakusema amemsaini alisema alituma offer
@@zuberimohamed43😂😂😂😂😂
Mkuu uwe unafuatilia vizuri kabla ya kuandika!
Momo Amna mchambuzi hapo za ndani akuna kitu 😃😃😃😃😃
AZIZIKI ALISHASAINI ZAMANI YANGA CY LEO
Uwalisia kabisa sports yetu imekuwa yamoto blaaa nice all media📺📺📺 tz
Wakudele ulisema azizi anaenda upande wa pili ila Leo unabalikabadilika unasema SABABU ya shemelaa
Ukiona mchezaj anang'ang'ania Tanzania ujue ni mchezaji wa kawaida mno,mm Aziz ki namwona sawa tu na akina mzamiru na umri alionao akienda ulaya anakuwa houseboy tu sio mchezaj mpira
Tunajua lazima mtoke majumbani mkatafute mkate yaani msosi.punguzeni un mbea kwa kweli.kilichiniudhi mm ed ingilia maisha ya huyo binti Mara mjamzito ....nk wapi wanao enjoy umbea huu hayo ni yao
Mhuuuuu😂😂😂😂 pasi katoa mobetto
Ety ana mahusiano achen uongo
Kama wataka nawao wapate mausiano ya kii si waseme
Wachambuzi uchwara injinia Hersi saivi anawacheki anawasogeza na anawamwaga mwaaaaa endeleeni kushadadia mipango ya klabu ya yanga mtajioona mpaka akili hamna
Huyo mzee wa Kudere ndio muongo namba moja, alidanganya kuwa Mo ameshatia mzigo.
Kwa pesa za kurithi za mo
Ila kwenye App ni ukweli mtupu mimi ni jana tu nimeishusha kisa Azizi leo anaongea 😂😂😂
Na wee Edo mpuuzi sana
Acheni kujadiri mapenzi ya watu yenu yanajdiriwa wapi
Hivi wachambuzi wetu Ttz Nini mda mwengine huyu za ndaniii alishasema Aziz ANAONDOKA sasa imekuwaje Tena hapo eee
Nyie wasaf mnafeli kila mnachozungumza anaewafatilia ni mgeni labda mmechezeshwa na hersi mkaingia mkenge kuhubir Mambo msioyajua ovyoo nendeni shule
yanga baba lao
Mafala watupu waandishi momo s ulisema mo dewji anamchukua
Wewe umesema ukweli maisha matamu Tanzania siyo mwanamke
Eti dada yetu ame asisit😅😅😅😅
Metokeo ya uwongo na uzushi, ni aibu, hapa habari zaichezo hapa zimeisha, kilicho baki udaku.
Tatizo ni kwamba Aziz sio mchaga angekua mchaga hapo angetumia akili sasa hapo Aziz ametumia mapenzi, nikwamba Aziz aliumbiwa ufukara ndani yake.
Wewe utakuwa ni kolo😂
Kolo moja la kichaga ww 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 million 35 kwa mwezi ni ndogo?
Hv ww hua unapokea hyo mil.35 kwa mwez? Kama ni hapana,ni Nani kaumbiwa ufukara kati yako na aziz ki?
❤❤❤❤😊love bro ndo cha msingi apa the world 🌎
Huyu dada atakuja kuzaa na vibwenzi
Aziz k amebakia kwaajiri ya mapenzi. Mapenzi ya watanzania yamembakiza
Hujaenda shule!
Ili momo kma senge SI jana kasema azizi anaenda simba
Nyie wachambuzi uchwala waongo sana
Mwache apg kazi aziZ jaman
Momo usiwe unaongea pumba
Huyo wazandaaaani leo kawa mdogo kama piliton, wiki iliyopita alileta zandaaani zake kwambwembwe ile mbaya, leo hata bnguvu yakuongea kwambwembwe hana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
yani ww mjinga sana kwann asingesaini simba kwani wako inje ya tanzania
😂😂😂😂Ila wachambuzi wa bongo ni shida.
ila nyie wahun😂
Mna huakika mimba ya mwamba😊
Momo Hana kituuu kichwanii
Mzee w za ndani uliapa
Kuna watu wanafiki kama wachambuzi
Uyu jamaa anaenyoa kiuni muongo kweli Leo unasema mapenzi mara mo, jinga kweli.
Eti za ndaaaaaaaani za ndaaan wapi? Uongo mtupuuu😂😂😂😂
Tofautisheni habari za uhakika na mizaha
Ameasst 😂😂😂😂
Momo ni fala sana
Lazima abaki ufungaji Bora umetengezwa Na viongoz😂
Momo hyo siyo sababu Acha ujinga
Huyu jamaa muongo sana huyu
Acha uongo usiwe na uchuro
Acha ujinga wewe Momo, hayo mambo binafsi ya mtu unayasema kwenye media?
Xavi mtupu
Acha uongo wewe
Kama ulitoa boko unasema tu
😅😅😅😅😅😅
Huyu Momo anatuona wajinga sana, eti kabaki kwa sababu ya kulinda mahusiano, hiyo si sababu ya msingi! Mtu anaoa Kenya yeye anaishi Italia na maisha yanaendelea. Acha uongo, momo umezidi sasa.
Sio kulinda mahusiano ana mtoto tayari na huyo mdada,hivi unafuatilia kweli ndugu
@@AbdulGermany210 Kwa hiyo kwa kuwa ana mtoto maana yake haruhusiwi kusajiliwa na timu nyingine yoyote nje ya Tanzania? Basi tutarajie ataomba kusajiliwa uraia wa Tanzania abaki kulea mtoto! Hakuna mantiki.
Wajinga hawa
HUYU RICARDO MOMO NAE SOMETIMES NI MUONGO SANA YEYE NDIO ALIYESEMA MUHINDI KAWEKA B 3 LEO ANASEMA DADA YETU
Chukuwa yote
Huyu Momo hovyo kabisa, alisema mo Salah kaweka b3 hahahahahaaaa
Uliisikiliza mpaka mwisho? alisema ameweka B3 ila Azizi alikua kashachelewa
Mpumbavu sana akuna za ndani wala nje