Mwaikimba hakua na nyota yakupendwa,kuna mech moja yanga alicheza na zesco mashabiki wakaanza kumzomea na kumshawish mwalimu jack chamangwa amtoe na chamangwana akamtoa zesco wakapata nafas yakupanda kila mala na wakapata gol matokeo yakawa 2-1
DUA ZIMESOMWA: Sawa Kwani Dua humrejeshea al marhum uhai? Kama ni kufa, Simba ndotayari. Esha kufa, andaeni matanga watu tukae wanne wanne! Shughuli ni 8/8 Masheikh tukutane Lupaso.
Sam ww ni mchabuz bora unaongeaga kimpira nikwel simba kwa sasa ni ngen huwez ongelea timu hujaion🔥🔥🔥🔥🔥
Na ukiisha usema ukweli ondoka huko. Njoo kwa Wananchi huku maisha ni "full kiyoyozi", Brother.
Unachambua vizuri sana,ila hiya nick Yanga.sio Daresalam yanga Africans
Kila siku zinavyo songa unazidi kua improve kimaongezi uko vizuri
Asante. Sana. SAM. Simba. Nyie. Wawili. Tu. Wasema. Kweli. Yaani. Wewe. SAMI. Simba. Na. Mchomeee. Mapovu. Na. Mimi. Nasema. Hivi. Ukweli. Wenu. Utawaweka. Huru
Sam, Mchome, Miraji na Mzee Saidi ni wakweli, wanachambua mpira vizuri
Mchomee sio Simna
Sam wew ni msema ukwel cku zote japo wanakuona adui mungu ajulinde Sam kaka
Sam nakufuatilia sana nipate madini ya mpira mm ni simba ila nilianza kupenda mpira kwwnza tupo pamoja
We saam na mchome kwakweli nawakubali nyinyi niwachambuzi namnaujuampila hamuweki ushabiki mnasemaukweli wa kile mnachokiona kogolekwenu
Lkn Sam possession alikuwa nayo chiefs
Nabi bado ameonyesha taswira halisi ya chiefs ijayo
NA SIMBA HUKO MISRI ASHAPIGWA NA TELECOM TIMU DARAJA LA 3
@@stevensosipita Hilo ndo la kuvunda tena na kwa jezi hiyo ndo wameshajichulia msiba. Unajichongeaje coffin "coffin" kabla hujafa!?
Well said
Kwa kuongezea Sam mimi ni mwana michezo hasa mpira lkn naamini unachokisema maana shida ya bongo ukisema ukweli tu basi wewe ni adui wa taifa
Makini
Nakukubali sana broo Sam mpira unaujua
Upo sawa tu kaka kwakua wewe siyo mtabiri
Yan mi apa ndo sielew uyu jamaa ni simba au yanga daaa nakuelewa sana mwambaaa
Simba wanacheza gizani..inabidi uwe na macho paka kuwaona.
hawa ndo wachambuzi wa mpira hawana mambo mengi
Uyu baba nimwana michezo kamili
Sam apewe mauwa yake.
Kweli kaka
Umeongea kisport sana Mkuu🔥🙏
Yanga hatari
Nashauru tar 8, Simba itafute sabab yoyote isipeleke team uwanjan, itawagawanya tena 100%, itakua sikukuu ya wakulima na ya Yanga Duniani.
Yani yanga wapewe maua yao tu tuache unazi
Yes upo sawa kaka
Sam, unapoteza muda wako hao wanasikia je, wanaelewa? Soma Qur'an: 2:171.
Kama yeye ni Yanga sasa mnamfuatilia kwa ukweli wake?
Mwaikimba hakua na nyota yakupendwa,kuna mech moja yanga alicheza na zesco mashabiki wakaanza kumzomea na kumshawish mwalimu jack chamangwa amtoe na chamangwana akamtoa zesco wakapata nafas yakupanda kila mala na wakapata gol matokeo yakawa 2-1
DUA ZIMESOMWA:
Sawa Kwani Dua humrejeshea al marhum uhai? Kama ni kufa, Simba ndotayari. Esha kufa, andaeni matanga watu tukae wanne wanne! Shughuli ni 8/8 Masheikh tukutane Lupaso.
Kaaaaaah jamani
Nasoma coment apa
Jamaa anaongea kama chumvi nyingi...
Kaka nda timiza ahad sio mda
😅😅
Mungu akujalie kwa kulijua sok sio kama kisugu anaongea ongea tu
Wewe niyanga kilasiku tunakufatilia
Yanga kivip?anaongea ukwel hajaiona timu ya simba ikicheza. Au wewe umeona?
wewe ni mtu wa mpira