HAMISA MOBETTO Afunguka Nilimwambia AZIZ KI Abaki YANGA/NI WAPENZI?/Ashikwa KIGUGUMIZI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
  • _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe TH-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

ความคิดเห็น • 71

  • @filbertntibasiga8093
    @filbertntibasiga8093 หลายเดือนก่อน +10

    Tungekuwa na wadada wenye kujielewa kama hamisa tungeona mengi mfano Arusha wazungu Kila kukicha wako pale wadada wa kimeru wamebaki kushangaa tu chukueni fursa

    • @free2tree
      @free2tree หลายเดือนก่อน +2

      boya sana we jamaa waache dada zetu

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 หลายเดือนก่อน +1

    Etie ndugu zanguni katika imani daah mobeto bwana uishi maisha marefu zaidi dada yangu katika imani

  • @MuntuwimanaYona
    @MuntuwimanaYona หลายเดือนก่อน +1

    Wasimcukie hamisa mobetto Kwa sababu nitajiri mwenye uwezo anapambana kingine capiri , kama amempenda mobeto azizi k mapenzi yapo Dunia nzima msiwe na wivu kama nayeye azizi k amempenda fresh mobeto mzuri sana

  • @ObedyMollel-w8g
    @ObedyMollel-w8g หลายเดือนก่อน +2

    Very good hamisa mobeto

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzuri mobeto nakupenda❤❤❤❤

  • @SalmaShilla-c1t
    @SalmaShilla-c1t 19 วันที่ผ่านมา +1

    Nampenda huyu dada jmn

  • @user-bu9wj5pi3t
    @user-bu9wj5pi3t หลายเดือนก่อน +2

    Really hamisa

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Misa ,umeweza kuonyesha njia kuwa ukimtegemea Mungu na ukafanya kazi kwa bidii kila kitu kinawezekana.

    • @McmnagoLikoko
      @McmnagoLikoko 26 วันที่ผ่านมา

      Kaz gani kujiuza au

    • @beatricejoseph2347
      @beatricejoseph2347 26 วันที่ผ่านมา +1

      @@McmnagoLikoko acha makasiriko ndg yangu tafuta hela ,kama virahisi ,ingia kujiuza nawe.

  • @AyshaTt-zp7yu
    @AyshaTt-zp7yu หลายเดือนก่อน +2

    Ongela.sana.kipenzi.❤❤❤❤❤

  • @KelvinMwawite
    @KelvinMwawite 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kwakweli huyo shemeji yetu mobeto ashukuliwe kwaku muambia azz k abaku yangaa

  • @devotabashome1090
    @devotabashome1090 หลายเดือนก่อน +3

    Aziz kabaki kwa mapenzi ya yanga na mashabiki zake

  • @ramadhanimurid6238
    @ramadhanimurid6238 หลายเดือนก่อน +2

    Furaha ni bora kuliko pesa wangap wana hela lakin hawana furaha aziz k kachagua furaha sio hela

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi4791 หลายเดือนก่อน +2

    We thank you

  • @KelvinMwawite
    @KelvinMwawite 22 วันที่ผ่านมา +1

    Yaaah nikweli ❤ yangaa

  • @ADELADamus
    @ADELADamus หลายเดือนก่อน +2

    🎉🎉Viziri Sana

  • @rachellukosi8860
    @rachellukosi8860 หลายเดือนก่อน +3

    Hatakama kabaki kwaajiri ya mwanamke inakuusu Nini 😂😂 ss ndo yanga bwana

  • @JumaMusa-q4y
    @JumaMusa-q4y หลายเดือนก่อน +1

    Azzi ki anapenda furah kuliko pesa ila nampongeza sana

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv หลายเดือนก่อน +1

    well done dada

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 หลายเดือนก่อน +2

    Bgp sana hamisa

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg หลายเดือนก่อน +1

    Yaani mahojiano yote yalilenga kwa Azizi

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 หลายเดือนก่อน +1

    Ni marafiki wa kawaid tuu
    General or normal friends ambayo haiko na shida

  • @Mercy_Lifestyle254
    @Mercy_Lifestyle254 หลายเดือนก่อน

    I just love her

  • @HamadMussa-rf3df
    @HamadMussa-rf3df 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tuna omba kazi dada

  • @MpelwaMakolo
    @MpelwaMakolo 11 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤

  • @user-pb6mt3wx4z
    @user-pb6mt3wx4z หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤❤

  • @RukiaHaji-m8h
    @RukiaHaji-m8h 16 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤

  • @ZamyIsmaily
    @ZamyIsmaily 10 วันที่ผ่านมา

    Ilo gauni si ndo jenzi ya yangaaa

  • @NaomySamwel
    @NaomySamwel หลายเดือนก่อน +1

    Kyaaaaaaaaa

  • @anoldkapinga758
    @anoldkapinga758 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni majungu yy kaamua kubaki hapa km ww unavyoamua kufanya yako, najua huu ni usimba na unajua uwezo wake, tusubir tar 8 dawa iwaingie

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu หลายเดือนก่อน +1

    Waandishi wa bongo wambea sana 😂😂😂😂😂

  • @Mercy_Lifestyle254
    @Mercy_Lifestyle254 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤

  • @RukiaHaji-m8h
    @RukiaHaji-m8h 16 วันที่ผ่านมา

    Mmh

  • @user-un7eg3sc6d
    @user-un7eg3sc6d หลายเดือนก่อน +1

    Ukosahihi mobeto

  • @user-un7eg3sc6d
    @user-un7eg3sc6d หลายเดือนก่อน

    Nimependa majibuyako kabisaa

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 หลายเดือนก่อน

    Kazi kwanza mapenz baadae

  • @Reyy2406
    @Reyy2406 หลายเดือนก่อน

    Hadi na mimi nimecheka 😂😂

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini หลายเดือนก่อน

    Wandishi hawawezi achamtu salama😂😂

  • @johnlyimo5971
    @johnlyimo5971 หลายเดือนก่อน +2

    ❤😂❤

  • @Mrsule255
    @Mrsule255 หลายเดือนก่อน

    406 subscribers 🎉🎉🎉🎉🎉🎉👏🙏...!!! Let's go!!

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku หลายเดือนก่อน +1

    Duuu 😮😮

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka 29 วันที่ผ่านมา

    Hamisa ni timu Gani anaishabikia? Tupe jibu tukutadhimini

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 หลายเดือนก่อน

    Niwajulishe tuu kwamba Aziz ana project maalumu na yanga
    Kubakiza kombe la africa kwa mara ya kwanza apa kwetu Tanzania
    Ongeen mumalize ila kilichomubakiza ni hiyo.project

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 หลายเดือนก่อน

    KIBETO RELATIONSHIP

  • @user-bx5tv4sr9m
    @user-bx5tv4sr9m หลายเดือนก่อน

    Waandishi ! Ulizeni maswali ya msingi. Try to be proffessional

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 หลายเดือนก่อน

    Huyo sio mchezaji mpira ni malaya tuuu 😂😂😂😂

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 13 วันที่ผ่านมา

      Malaya kama wewe? Inaonekana munafanya wote huo umalaya ndio maana ukamjua kama yeye ni malaya mwenzio au sio?

  • @AziziHasani
    @AziziHasani หลายเดือนก่อน

    Ucje mbemenda tuu akashindwa kucheza

  • @georgegregory8414
    @georgegregory8414 หลายเดือนก่อน

    Aziz anaipenda yanga Amisa wewe unataguta kiki tu buna jipya

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani aziz ki shetani wake kakataa hela alizopewa club kubwa kachagua kubaki hapa kwa ajili ya MWANAMKE kweli 😅.. Si angeenda huko kwenye hela nyingi akawa anatuma tiketi ya ndege kila wiki anakutana na ampendae huku pesa ndefu inaingia..

    • @SmilingBirdwingButterfly-yq3he
      @SmilingBirdwingButterfly-yq3he หลายเดือนก่อน +4

      Kuna mapenzi ya timu, kuna mapenzi ya mama alafu Kuna mapenzi ya mrembo hapo so muache afuate mapenzi ya moyo wake

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 หลายเดือนก่อน

      @@SmilingBirdwingButterfly-yq3he ini rahisi na furaha kulizungumzia hili..
      Ila mimi ningependa yeyote kwenye huu mjadala avae undugu na aziz ki..
      Pesa huleta mapenzi inasikitisha kuacha pesa kufuata mapenzi ambayo hata angekuwa popote angepata kwa sababu pesa ya kutosha kumsafirisha yeyote ampendae ingeongezeka mara dufu..
      🤭🤭.. Anyways we think differently.. Usiku mwema 👍

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi หลายเดือนก่อน

      Mobeto mjanja sana, kagundua akienda nje hatapata ticket atapata akina mobeto wengine 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @boazygodfrey9371
      @boazygodfrey9371 หลายเดือนก่อน +1

      Basi Tu Sina Hela Ila MOBETO Nakupenda Sana

    • @MmandaNicetas
      @MmandaNicetas หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤❤​@@rexgodwill7353

  • @josephinegeen9557
    @josephinegeen9557 หลายเดือนก่อน

    Who is she not even Beautiful she has chinese eyes.

    • @samjm7330
      @samjm7330 หลายเดือนก่อน

      Can you compare yourself to her?

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi หลายเดือนก่อน

      Bring ua picture to us, so we can compare u with mobeto who is beauty 😂😂😂😂😂😂😂

    • @alexbayingana7879
      @alexbayingana7879 หลายเดือนก่อน

      I think the beauty of a lady its her heart not face I love her she such lady kila mwanaume mwenye kujitambua angetamani kua naye,

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 13 วันที่ผ่านมา

      Jealous will kill you faster Josephine take care.😅