HAMISA MOBETTO Afunguka Nilimwambia AZIZ KI Abaki YANGA/NI WAPENZI?/Ashikwa KIGUGUMIZI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025
- _________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe TH-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Etie ndugu zanguni katika imani daah mobeto bwana uishi maisha marefu zaidi dada yangu katika imani
Tungekuwa na wadada wenye kujielewa kama hamisa tungeona mengi mfano Arusha wazungu Kila kukicha wako pale wadada wa kimeru wamebaki kushangaa tu chukueni fursa
boya sana we jamaa waache dada zetu
Hongera sana Misa ,umeweza kuonyesha njia kuwa ukimtegemea Mungu na ukafanya kazi kwa bidii kila kitu kinawezekana.
Kaz gani kujiuza au
@@McmnagoLikoko acha makasiriko ndg yangu tafuta hela ,kama virahisi ,ingia kujiuza nawe.
Kazi nzuri mobeto nakupenda❤❤❤❤
well done dada
Nampenda huyu dada jmn
Wasimcukie hamisa mobetto Kwa sababu nitajiri mwenye uwezo anapambana kingine capiri , kama amempenda mobeto azizi k mapenzi yapo Dunia nzima msiwe na wivu kama nayeye azizi k amempenda fresh mobeto mzuri sana
Ongela.sana.kipenzi.❤❤❤❤❤
Yaaah nikweli ❤ yangaa
Really hamisa
Very good hamisa mobeto
🎉🎉Viziri Sana
We thank you
Hatakama kabaki kwaajiri ya mwanamke inakuusu Nini 😂😂 ss ndo yanga bwana
Furaha ni bora kuliko pesa wangap wana hela lakin hawana furaha aziz k kachagua furaha sio hela
Bgp sana hamisa
Kwakweli huyo shemeji yetu mobeto ashukuliwe kwaku muambia azz k abaku yangaa
Aziz kabaki kwa mapenzi ya yanga na mashabiki zake
Azzi ki anapenda furah kuliko pesa ila nampongeza sana
Ni marafiki wa kawaid tuu
General or normal friends ambayo haiko na shida
I just love her
❤❤❤❤
Kyaaaaaaaaa
Yaani mahojiano yote yalilenga kwa Azizi
Tuna omba kazi dada
Waandishi wa bongo wambea sana 😂😂😂😂😂
❤😂❤
Hadi na mimi nimecheka 😂😂
Kazi kwanza mapenz baadae
Ilo gauni si ndo jenzi ya yangaaa
Acheni majungu yy kaamua kubaki hapa km ww unavyoamua kufanya yako, najua huu ni usimba na unajua uwezo wake, tusubir tar 8 dawa iwaingie
Wandishi hawawezi achamtu salama😂😂
Nimependa majibuyako kabisaa
406 subscribers 🎉🎉🎉🎉🎉🎉👏🙏...!!! Let's go!!
Mmh
Ukosahihi mobeto
Hamisa ni timu Gani anaishabikia? Tupe jibu tukutadhimini
Duuu 😮😮
Niwajulishe tuu kwamba Aziz ana project maalumu na yanga
Kubakiza kombe la africa kwa mara ya kwanza apa kwetu Tanzania
Ongeen mumalize ila kilichomubakiza ni hiyo.project
KIBETO RELATIONSHIP
Waandishi ! Ulizeni maswali ya msingi. Try to be proffessional
Huyo sio mchezaji mpira ni malaya tuuu 😂😂😂😂
Malaya kama wewe? Inaonekana munafanya wote huo umalaya ndio maana ukamjua kama yeye ni malaya mwenzio au sio?
Yaani aziz ki shetani wake kakataa hela alizopewa club kubwa kachagua kubaki hapa kwa ajili ya MWANAMKE kweli 😅.. Si angeenda huko kwenye hela nyingi akawa anatuma tiketi ya ndege kila wiki anakutana na ampendae huku pesa ndefu inaingia..
Kuna mapenzi ya timu, kuna mapenzi ya mama alafu Kuna mapenzi ya mrembo hapo so muache afuate mapenzi ya moyo wake
@@SmilingBirdwingButterfly-yq3he ini rahisi na furaha kulizungumzia hili..
Ila mimi ningependa yeyote kwenye huu mjadala avae undugu na aziz ki..
Pesa huleta mapenzi inasikitisha kuacha pesa kufuata mapenzi ambayo hata angekuwa popote angepata kwa sababu pesa ya kutosha kumsafirisha yeyote ampendae ingeongezeka mara dufu..
🤭🤭.. Anyways we think differently.. Usiku mwema 👍
Mobeto mjanja sana, kagundua akienda nje hatapata ticket atapata akina mobeto wengine 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Basi Tu Sina Hela Ila MOBETO Nakupenda Sana
❤❤❤❤❤@@rexgodwill7353
Aziz anaipenda yanga Amisa wewe unataguta kiki tu buna jipya
Ucje mbemenda tuu akashindwa kucheza
Who is she not even Beautiful she has chinese eyes.
Can you compare yourself to her?
Bring ua picture to us, so we can compare u with mobeto who is beauty 😂😂😂😂😂😂😂
I think the beauty of a lady its her heart not face I love her she such lady kila mwanaume mwenye kujitambua angetamani kua naye,
Jealous will kill you faster Josephine take care.😅
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤