WANAFANYA KAFARA WANATAJIRIKA ASUBUHI WANATWAMBIA TUMUOMBE MTAKATIFU PETER

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • #ipm #live #prophet #prophetipm

ความคิดเห็น • 182

  • @godsonshoo1959
    @godsonshoo1959 10 หลายเดือนก่อน +18

    Sijawahi kusikia hili kwa yeyote, natamani ningejua haya mapema. Ubarikiwe sana

  • @vanessaganesh1278
    @vanessaganesh1278 หลายเดือนก่อน +1

    Bonjour mosali ya nzambe ngai nazali mamanya 64 ans nafandi na Congo kinshasa nzambe apambola yo ya mingiiii po na kosambela po na mboka na ngai RDC Nzambe azala nayo tango inso merci papa

  • @cornelionfikiri2052
    @cornelionfikiri2052 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    THE PROPHET OF GOD🌍
    NITAKUPENDA MI LELE BABA❤️🇨🇩💰🙏

  • @gmal-e7z
    @gmal-e7z หลายเดือนก่อน +5

    Bwana Yesu ni mwisho wa kafara za wanyama, damu yake inatosha.
    Asante.

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke 6 หลายเดือนก่อน +10

    Ee Baba, najua kwa hakika kwamba nafsi haijui itafia katika nchi gani, kwani mwanadamu ameumbwa katika ardhi, anaishi katika nchi, na anakufa katika nchi karibu nanyi. Basi rejeeni kwa Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu akurehemuni na akusameheni madhambi yenu yaliyopita.☝☝🤲🤲☝☝

  • @harryvice77
    @harryvice77 6 หลายเดือนก่อน +4

    Nakupenda sanah baba yangu naamini mungu yuko na ww

  • @RachelMwaipopo
    @RachelMwaipopo 10 หลายเดือนก่อน +11

    Kafara ilitolewa msalabani mnawapiga sadaka watoto wa Mungu nyie mnatajirika

  • @hajimnzava1972
    @hajimnzava1972 11 หลายเดือนก่อน +16

    Mimi nina uhakika vyote vinavyo fanyika upande wapili wameiga kutoka kwaMingu,wambingu nanchi,upande wapili wanaelewa sana habari yanyota,wana wamungu ukiwaambia habari yanyota mtagombana,ojamani wana wagiza niwananja kuloliko wana wanuru

    • @getrudeegervas6694
      @getrudeegervas6694 2 หลายเดือนก่อน

      Juzi nilikuona maeneo ya barabara ya Goba nikakuangalia sana maana wewe ni mpotoshaji mkubwa.... nilitamn usimame nihojiane na wewe kidg.... Weee endelea kufanya kazi ya shetani.... Yesu anarudi

  • @HéritierJoseph-t4t
    @HéritierJoseph-t4t 23 วันที่ผ่านมา

    Asante pasta kwamafundisho yenye ukonatoa

  • @annahmutune4866
    @annahmutune4866 7 หลายเดือนก่อน +3

    Amina🙏🙏🙏😮😮😮nimejifunza kitu hapa💪💪

  • @welldedoofficiel2882
    @welldedoofficiel2882 หลายเดือนก่อน

    Aksante mtumishi wa Mungu ❤

  • @Bulehi
    @Bulehi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ewe baba mtukufu, ninaapa kwa yule ninayeapa kwake, na nakuapia kwa kila kitabu alichoteremsha Mwenyezi Mungu, ikiwa ni pamoja na Taurati, Injili, Furqan, Zaburi na Qur'ani Tukufu niliyo nayo. si kulewa vileo wala mvinyo, na Mwenyezi Mungu na Malaika wakubwa ndio mashahidi bora. ☝️😭☝️⚔️🤲⚖️🤲⚔️☝️

  • @emmamoshi855
    @emmamoshi855 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ukweli mtupu barikiwa sana baba

  • @EmmanuelSmmith
    @EmmanuelSmmith หลายเดือนก่อน +2

    Mnatuchanganya. Sana

  • @sundaymushi9640
    @sundaymushi9640 2 หลายเดือนก่อน

    Aisee huyu jamaa ni kichwa sana yani haya maneno hakuna mchungaji yoyote atakaesema🤝🤝🤝🤝

  • @KIDUCHUCASHPOINT
    @KIDUCHUCASHPOINT 7 หลายเดือนก่อน

    Umetisha IPM

  • @info-w4l
    @info-w4l 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka Mm nimepanda sana bila kafara yoyote acha siasa ni uongo huo

  • @Wilsonmwijage
    @Wilsonmwijage 6 หลายเดือนก่อน +5

    Yaan hapa kama una Mungu wa kisurisuri hueleweki unaenda na Maji mafundisho ya ovyo sana hayaaa.....Hamna Mchungaji hapa

    • @JacoboNyolobi-rt6bw
      @JacoboNyolobi-rt6bw 6 หลายเดือนก่อน +2

      Hakuna ukijuacho nyamaza

    • @SalumMaduhu-h3c
      @SalumMaduhu-h3c 2 หลายเดือนก่อน

      Watu kama Hawa ndio utawakuta makanisani na familia zao kila Leo wanalia mungu nisaidie kama mitume na manabii wa mungu tena aliowapenda walitoa kafara wewe nan kwa mungu

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ulimwengu una kanuni zake na ni lazima ujiunganishe NAO ndo maana wahindi kwenye biashara zao huwa wameweka picha za BABU ZAO

  • @privatuskatabalo9617
    @privatuskatabalo9617 4 หลายเดือนก่อน +3

    Bwana YESU asifiwe. Hii clip Hujamtendea Haki Yesu. Watu wanataka kumjua YESU zaidi kuliko hayo uliyoyafafanua.Habari za YESU sio za siri hata uwaambie wakutafute wakati za shetani umezimwaga bila gharama. Walioiandaa clip wamheshimu Mungu aliye hai.La,mungu wako ni wakificho,hatakiwi kujulikana na wote.
    Kwa maneno mafupi,muda mwingi kwenye clip kapewa shetani na MUNGU aliye hai kagusiwa gusiwa tu.Unamalizia Nitafute.Binafsi naona kuna mahali mmeteleza kwenye maandalizi.
    By Waabuduo Halisi

  • @MahoroPacifiquekuro
    @MahoroPacifiquekuro 4 หลายเดือนก่อน

    Ukweli uyo Baba yangu 🙏 Barikiwa

  • @ErnestMchallo-u1i
    @ErnestMchallo-u1i หลายเดือนก่อน

    God bless you

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 6 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa mtumishi

  • @ManaseMwanjowe
    @ManaseMwanjowe 9 หลายเดือนก่อน +1

    mtumishi ukipigiwa hupokei

  • @BolasieNgongo-rh9wm
    @BolasieNgongo-rh9wm 10 หลายเดือนก่อน

    AMEN AMEN AMEN kweli

  • @amantuyininahaze7794
    @amantuyininahaze7794 17 วันที่ผ่านมา

    Qur aan 39:36
    "Mungu hamtoshi mja wake?"

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 7 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen Mtumishi

  • @collinscareen7245
    @collinscareen7245 6 หลายเดือนก่อน +4

    Work smart tu na fuata principles na Trust God in Truth n spirit unatoboa....acheni mafundisho nja nja haya

    • @sammy-b6281
      @sammy-b6281 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe ujielewa sana kaka
      Kafara nikujitoa kwakua na
      Displine dedication and
      Trust in GOD

  • @CalebKisasati
    @CalebKisasati 11 หลายเดือนก่อน +3

    Ukweli mtupu

  • @sangoramazani
    @sangoramazani 2 หลายเดือนก่อน

    unasema kweli pastor

  • @EngJosh
    @EngJosh 6 หลายเดือนก่อน +2

    Nina Damu ya YESU sihitaji kingine

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 8 หลายเดือนก่อน +3

    He NYAKATI ZA MWISHO YESU KRISTO YUKO MALANGONI TUKAE TAYARI KUMLAKI ITAKUSAIDIA NINI UKAPATA ULIMWENGU WOTE UKAUKOSA UZIMA WA MILELE BORA UINGIE MBINGUNI MASKINI KAMA RAZALO UKAKAA KIFUANI KWA IBRAHIM KULIKO KUUKOSA UZIMA WA MILELE MWENYE SIKIO NA ASIKIE SHALOOM SHALOOM

  • @peterrichard9644
    @peterrichard9644 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu aturehemu, Hivi sasa platform za social media kuna mafundisho yasio stahili yanapata sauti na umbali...serious Huyu Bwana sijamsikia akisoma Biblical Reference ya hiki anachokisema...this is Pure Whitchcraft. Ukristo wanaohubiri ni utajiri na sio kumjua Mungu wala utakatifu....Damu ya Yesu iturehemu....Hata hii tone imekaa kimtaa sana,

    • @FxL_87
      @FxL_87 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kwani wewe Huyo anajiita PROPHET humjuii mbona ukweli uko wazi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sanaaaa usemayo hata hao Manabii wanashinda kwa waganga kuchukua Chuma Ulete wanaweka Maadhabahuni

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 หลายเดือนก่อน

      Laakin mpaka MwenyeziMungu apende/atake na si Vinginevyo 🙌
      Kufanya Tiba/Maombi (Dua/Kafara na Sadaqa) za Kishirikina ni Mtihan ni Kharamu Kwa yeyote🙌
      Zama tulizonazo hakuna. Mume Wala Nabii.
      Hawa/hao Mitume ,Manabii na Mashariff wa Sasa ni Matapelin

  • @sayimichael1095
    @sayimichael1095 3 หลายเดือนก่อน +2

    Yani umeweka bayana ya upande wa giza afu vya upande wa Mungu umevificha ili anayekutafuta alipe au maana yake ni kutaka kuwachochea watu wafanye vya upande wa giza. Haiko sawa.

    • @JolieNome
      @JolieNome หลายเดือนก่อน

      mm muislam huy Ipm alikua muislam na kwa nia bado ila ameona njaa huku kwetu manake hatukubali upuuzi kwan vitabu vetu tunavijua na hakuna pesa ya kizembe tutaoa kwan huyo ni kam mm na ww hana uchungaji kaona wachungaj wengi wapo kidili ndo mana hata mfatilie kweny kuhubir kwake anaongea had kiarabu huwez kua pande zote na uongoze.huwez serve two masters at the same tym.aise huyo kaja huko kutafuta kuwapiga hao wasiotembea na roho wao wa mtakatif na kutojua huyo siyo mchungaj nd man antajirik huku waumin wake wanachechea na ziki tu.

  • @abdallahrenatus6677
    @abdallahrenatus6677 6 หลายเดือนก่อน +1

    I accept....uko sawa.

  • @MOPEBLETv657
    @MOPEBLETv657 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hapa mchungaji hamna hapa!!!

  • @LeonAshley-l6p
    @LeonAshley-l6p 20 วันที่ผ่านมา

    Kafara tena waaaah 😮😮

  • @Rockyline7386
    @Rockyline7386 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jesus is Lord.

  • @HadijaHsalehe-z4k
    @HadijaHsalehe-z4k 4 หลายเดือนก่อน +3

    Damu ya Yesu ndiyo dhabihu ya kweli..kwa imani tunaamini inaweza kubadili chochote....mambo ya kafara za kuchinja nk ni mambo ya agano la kale...tuliishatoka huko..kwa mafundisho haya wengi watakwenda kutafuta nguvu za giza...Lakini Mch IPM asinenewe mambo mabaya kwa sababu hadi kuwa Mkristo kweli kweli ni mchakato..ametoka mbali kuwa hivyo kwa yeye katika ukristo ni hatua kubwa sana,mimi nami nilikuwa upande wa mama mdogo lakini leo nimeijua kweli.

    • @deoelias841
      @deoelias841 2 หลายเดือนก่อน

      Amen kubwa ndugu...hiyo ni kweli kabisa, ninafurahi sana kwa ushauri wako lakini pia kwa ushuhuda wako mfupi kuwa ulikua upande wa pili, lakini sasa uliipata neema hii kubwa ya wokovu...🙏🙏

    • @aloyce6246
      @aloyce6246 21 วันที่ผ่านมา

      Nip nmb yko dada

  • @hellen9056
    @hellen9056 6 หลายเดือนก่อน +1

    Watakatifu wa Mungu kuweni
    Macho Ibrahim alimtoa mwanae sadaka
    Sasa na nyinyi mtaambiwa mtoe watoto sadaka kwa Mungu

    • @antoinekatembo8520
      @antoinekatembo8520 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa bi Hellen!!

    • @ayubunyota5673
      @ayubunyota5673 2 หลายเดือนก่อน

      Hakumtoa Mungu alimjaribu Imani yake..na alimchinja kondoo

  • @Chiefmaua
    @Chiefmaua 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa ipm

  • @Faithjohn-lp6lb
    @Faithjohn-lp6lb 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Damu ya YESU inaweza yote.Vyote vijazavyo ni Mali ya Mungu.Ambia watu wamwabudu Mungu aliye hai

  • @halisimedia200
    @halisimedia200 6 หลายเดือนก่อน

    Umeongea kitu sahihi sana mtumishi

  • @africancurrenciesrevolutio2462
    @africancurrenciesrevolutio2462 2 หลายเดือนก่อน

    Duh na huyu jamaa naye anawafuasi eti😂.
    YESU ATUSAIDIE

  • @JuliusKilonzo-vt7qt
    @JuliusKilonzo-vt7qt 9 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe sana

  • @bibletv9818
    @bibletv9818 5 หลายเดือนก่อน +4

    IPM ni mganga wa kienyeji, wa kawaida tu. Hapo hapana mchungaji wala mjuzi wa biblia. Yaani kafara itajirishe badala ya elimu, kipaji, juhudi katika kazi na umakini katika maisha, tuwaze kukimbizana na makafara! Akina Anthon Lusekelo wanazidi kuongezeka. Haya mnaopenda kuliwa pesa mtafuteni awapige.

    • @BGHaule
      @BGHaule 21 วันที่ผ่านมา +1

      Dunia Ina mengi tusiyoyajua,hata dini tumeletewa ingawa nguvu zake ni kweli,kila nguvu hutafutwa

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      HUJUI chochote huu ulimwengu una kanuni zake na hiyo ELIMU unayosema wewe kama kigezo cha kufanikiwa ni upumbavu TU wazungu na wachina wanatumia Siri hizo kugundua vitu na teknolojia na Kwa bahati mbaya sana NGUVU hizo za ASILI mkoloni aliwadanganya eti ni ushirikina wakati wao wanatumia wewe ukaletewa DINI feki na ELIMU feki 🚮

  • @heritier5119
    @heritier5119 10 หลายเดือนก่อน +1

    Pana watu hawaamini katila Mungu Wala shetani na wamefanikiwa bila kafara unasemaje

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 9 หลายเดือนก่อน +2

      Hao waliofanikiwa bila Mungu bila shetan wamefanikishwa na Mungu imeandikwa.yy.ndie.anaenyeshea mvua wema na waovu

    • @piusgadau6328
      @piusgadau6328 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@festinamwakipale3919safi sanaaaa

  • @ananiadamian4597
    @ananiadamian4597 8 หลายเดือนก่อน +3

    Wakristo hawatoi kafara Wana toa dhabihu

  • @JuliusKilonzo-vt7qt
    @JuliusKilonzo-vt7qt 9 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @gmal-e7z
    @gmal-e7z หลายเดือนก่อน

    Acha uchawi wewe.
    Leo hii unaongelea kafara ya wanyama?
    Je! Unadharau kazi ya Yesu Msalabani?
    Acha kupoteza nafsi ambazo Mungu alizigharimia kwa gharama kubwa.
    Pole sana.

  • @piusgadau6328
    @piusgadau6328 6 หลายเดือนก่อน +1

    mafundisho.manyonge sanaa hayo ningeshauli ufungiwe kanisa

  • @DayanaIgobeko
    @DayanaIgobeko 5 หลายเดือนก่อน

    Mmh👀

  • @tygamiles
    @tygamiles 23 วันที่ผ่านมา

    Unaeleza jinsi ya kutoa kafara pande wa pili wa shetani ..Eleza jinsi ya kutoa kafara pande wa Mungu

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko4047 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MeckyFaida
    @MeckyFaida 9 หลายเดือนก่อน

    Kweli baba

  • @CalebKisasati
    @CalebKisasati 11 หลายเดือนก่อน +4

    Hapo umesema ukweli mtupu ambao sio rahisi watumishi wengi husema.

    • @salomenachunga3590
      @salomenachunga3590 7 หลายเดือนก่อน

      Hiyo dhabihu ni kafara ya mwili wako yaani ujiue mwenyewe

  • @AwadhiAbood-ix3rc
    @AwadhiAbood-ix3rc 3 หลายเดือนก่อน

    Mie wakichwan kwangu hapendi kusikia mambo Ayo anapenda kusikia Quran na pia kufanya kisomo ndiyo ananipushi kwenye mambo yangu ila ukiongea habari za shirki hataki kusikia atanifanya niumwe kama nikipanga kwenda

    • @mamuumuu4999
      @mamuumuu4999 2 หลายเดือนก่อน

      Nafanyqje na mimi mwalimu wangu wa kichwa anionyeshe apendacho ili anifungulie mambo yangu maana hali si hali

  • @hilarylaurian7896
    @hilarylaurian7896 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ila maelezo yako mengi yame-base kwenye kafara ya giza kuliko nuru. Kwa nini uoande wa Mungu(nuru) unataka utafutwe kwa simu wakati kwenye upande wa giza umeongea vitu vingi?

  • @selinamrikaria6143
    @selinamrikaria6143 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ludi uislamu ukaendelee kuchinja mbuzi zako! Tunayo damu ya YESU aliyomwaga msalabañi kama kafara ya dunia ya ukombozi! Tena ushindwe kwa jina la YESU pepo.

  • @danstarnmshana4993
    @danstarnmshana4993 6 หลายเดือนก่อน

    Kinachoniumiza mimi ni kuwa watu hawakuelewi, ila binafsi nakuelewa mno na currently nakufwatilia mno mno! Waafrika hatutaki ukweli

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 3 หลายเดือนก่อน

    watu wengi ni maskin

  • @Greystonmwazembe
    @Greystonmwazembe 6 หลายเดือนก่อน

    Hakika

  • @Ken00003
    @Ken00003 6 หลายเดือนก่อน

    Kafara unaitoa vipi na nyama utapeleka wapi

  • @adieljoshua640
    @adieljoshua640 หลายเดือนก่อน

    Heheeeeee.........IPM. kumbe wewe mwenyewe ni mchawi na mganga kwa kuamini Kutoa kafara za kuchinja wanyama cyo Mtumishi wa Mungu wa kweli biblia inasema damu ya yesu inatosha kwasababu alitufia msalaban wote wenye dhambi

  • @heritier5119
    @heritier5119 10 หลายเดือนก่อน +2

    Upande mmoja una madhara mwingine utajiri wake hauna madhara

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani9121 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli tumechinja mbuzi mambo yanaenda

    • @mathiasabel2345
      @mathiasabel2345 7 หลายเดือนก่อน

      Nielekeze, maana hizi mambo zinachanganya

    • @CarenExavery
      @CarenExavery 6 หลายเดือนก่อน

      Tuelekeze nn Unafanya

  • @bigman3559
    @bigman3559 5 หลายเดือนก่อน

    Umenifungua kichwa

  • @azizafuraha613
    @azizafuraha613 6 หลายเดือนก่อน

    1 timothee 4:1 mafundisho ya mashetani.poteza ao ao wa umini wako.

    • @mofatunes1432
      @mofatunes1432 6 หลายเดือนก่อน

      Wewe utapata tabu sana

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini usiseme hapahapa hadi utafutwe kwenye simu? Huo nao ni wizi kama wizi mwingine.

  • @ShukranKakome
    @ShukranKakome 6 หลายเดือนก่อน

    Unachosema nikweli kabisa makafala yapo pande zote pili asilimia 95 hakuna asiekwenda Kwa mganga kwaajili ya Hilo na wengi kanisani wanafuata miujiza sio mungu.

  • @KathambiJulius
    @KathambiJulius 3 หลายเดือนก่อน

    TANZANIA inahitaji msaada wa wahubiri .this is maddness😂😂😂😂

  • @Alphonce-z3c
    @Alphonce-z3c 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mchungaji hapa umejaa ushirikina

  • @VictoryMesu
    @VictoryMesu 3 หลายเดือนก่อน

    Macho yako yanadhibitisha jinsi ulivyo kiuhalisia umefundisha ukweli kwa walio duniani lakini kwa waliomuamini Kristo imeshafanyika

  • @priscahbosire4608
    @priscahbosire4608 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kwaiyo unalinganisha uchawi na nguvu za Mungu, wewe si mchungaji Bali ni wakala tu

  • @PaulPassword-yq7gp
    @PaulPassword-yq7gp 6 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kafara kwa yesu yesu ndio kila kitu kwa neno lake yaani agano jipya sio la kale

    • @ibrahimovicsonda4892
      @ibrahimovicsonda4892 6 หลายเดือนก่อน

      Vp Range unazo ngapi?

    • @Planks-g9w
      @Planks-g9w 6 หลายเดือนก่อน

      Range sio mafanikio ya maisha

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 6 หลายเดือนก่อน

    Omba msamaha wakristo kwa haya mafundisho yako usitupotoshe

    • @jossejunior5668
      @jossejunior5668 6 หลายเดือนก่อน

      Truth itakua na yeye Anaenda😅

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 หลายเดือนก่อน

      Wilred huyo qlikuwa muislamu usimshangae ametokea huko mpaka kuwa mkristo siku hizi Biblia imekuwa biashara wajinga ndiyo waliwao wanaitumia sanaaaa hovyo huoni kila mtu anafungua kanisa na kujiita Nabii

  • @victoriamtangi3287
    @victoriamtangi3287 8 หลายเดือนก่อน +1

    Umeniumiza ubongo 😂😂😂 wewe kweli kabisaa

  • @richardmlimila5384
    @richardmlimila5384 22 วันที่ผ่านมา

    MTAYUMBISHA WATU HATA LINI. KAFARA INAYOTOSHA NI KIFO CHA YESU KRISTO MSLABANI

  • @FestusJchunya-hc3hv
    @FestusJchunya-hc3hv 2 หลายเดือนก่อน

    kwani watu wa Mungu walokole wenye biashara kubwa sheli , mabasi ,, maapatiment,, kwa jina la Yesu hawapo? na kafara kwa Mungu wa Abraham isaaka na yako ni ipi baada ya KAZI ya msalaba,, mbona agano la kale limekataza kwa habari eti Ibrahim alimtoa isaka JAMAni na hili andiko je kumbukumbu torati 18 9-14 Mungu anasemaje kuhusu kafara?

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 2 หลายเดือนก่อน

    Alianza kusifia uislamu sasa anajifunua watu wa dar mnakazi

  • @edwardbudodi4497
    @edwardbudodi4497 6 วันที่ผ่านมา

    Huuu ni ukweli kwa asilimia 98

  • @yussufmohamed5120
    @yussufmohamed5120 9 หลายเดือนก่อน

    Umeongea. Ukweli

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 10 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa Si shetani aliongeza maarifa yeye anataka kafara ya mwanadamu sio mbuzi mbuzi Ni mwanzo tu

  • @nginqKanunga
    @nginqKanunga 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli mtumishi

  • @sm.i3419
    @sm.i3419 7 หลายเดือนก่อน

    Hao waganga wangekua wakweli waisilamu KIBAO wasingekuja Kwa Mkristu Mwamposa washapita huko ikashindikana😅😅😅😅😅

  • @HadijaHsalehe-z4k
    @HadijaHsalehe-z4k 4 หลายเดือนก่อน

    Wasiwasi wangu kwa mafundisha haya wengi hata kama walikuwa hawana mpango wa kufanya kafara watajikuta wanafanya kafara hizo za giza..watu wangapi tayari watakuwa wamefanya? umewaelekeza!

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 6 หลายเดือนก่อน

    Kafara si ni agano LA kale mtumishi ?

  • @EliananJenny
    @EliananJenny 6 หลายเดือนก่อน

    Jamani ulimwengu wa Giza unashangaza😮ee Mungu tulinde

  • @johnpeterbarongo6445
    @johnpeterbarongo6445 9 หลายเดือนก่อน

    Ww Prophert wa upande gani!

    • @MahraKhan-gd7pb
      @MahraKhan-gd7pb 7 หลายเดือนก่อน

      Me mwenyewe bado simuelewi kbs mafundisho yake yapo upande gn

  • @ShukranKakome
    @ShukranKakome 6 หลายเดือนก่อน

    Unachosema ni ukweli mtupu atae bisha ni uelewa wake ni mdogo na kama anabisha awe anaomba Kwa kukesha kama ataokota fulushi la pesa .kiukweli tuache ujinga

  • @BENETHKEIHURA
    @BENETHKEIHURA 5 หลายเดือนก่อน

    Inaonekana mchungaji ulikuwa mganga make mtililiko wa madawa daar

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna siku utasema kwa sababu ibrahim alimtoa mwanae basi na wewe kamtoe mtoto wako kafara. Very soon

    • @Patrick-n2u
      @Patrick-n2u 5 หลายเดือนก่อน

      Ndugu tumia akili za kujiongeza dunia inamengi sana ya mejificha jamaa aongey uongo yote anayo Sema ni ivvyo';

  • @OswaldSalvatory
    @OswaldSalvatory 7 หลายเดือนก่อน

    Makonda

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni mganga nguli

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 5 หลายเดือนก่อน

    Nilikua natoa buku10 badal ya jero

    • @diibabatz764
      @diibabatz764 หลายเดือนก่อน

      Kanuni imasema makanisa ni ombaomba hivyo pesa inayotoka kwenye biashara haitakiwi kuipeleka kanisani kwa huwa hujaiomba ukapewa bure hakikisha unanunua kitu hata Kama n kanisani ukitoa hakikisha unarudi na bidhaa nyumbani sio unatapeliwa kizembe

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 7 หลายเดือนก่อน

    Ongea kwa uelewa na upeo wako lkn usiongee as if wewe pekee ndio unaujua kuliko wengine.

    • @piusgadau6328
      @piusgadau6328 6 หลายเดือนก่อน

      that is true muongo hajui chochote

  • @BarakaOchuchaBarakaochucha
    @BarakaOchuchaBarakaochucha 8 หลายเดือนก่อน +1

    Maneno ya kweli hayo bora kusema ukweli kuliko kuficha ficha

  • @HusnaSharifu
    @HusnaSharifu 9 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂umenistua akili

  • @bigboys016
    @bigboys016 หลายเดือนก่อน

    Njia ya giza inapewa maelezo marefu ila njia ya mungu utafutwe kwwnye simu mkuu

  • @anna19805974
    @anna19805974 7 หลายเดือนก่อน

    HIZI NI ZAMA ZA MWISHO WATU WATATUMIA MAPOTOFU KUWAPOTOSHA WATU

    • @ibrahimovicsonda4892
      @ibrahimovicsonda4892 6 หลายเดือนก่อน

      Hujaanza kutafuta hela unatafuta pesa za kula