KWANINI UNAROGWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • WATU WENGI WANAJIULIZA KWANINI WANAROGWA, AU SABABU ZA KUA NA MAISHA MAGUMU, KUNA SABABU NYINGI LAKINI HII NI MOJA YA SABABU AMBAYO INASABABISHA WATU WAKUFANYIE UBAYA, BILA WEWE KUWAFANYIA UBAYA FUATILIA MAFUNDISHO HAYA KUTOKA KWA PROPHET IPM.
    KARIBU IPM TV.
    HUDUMA HII YA EMBASSY OF GOD FOR ALL NATIONS INAYOONGOZWA NA PROPHET IPM INAPATIKANA DAR ES SALAAM TANZANIA MBEZI BEACH MBUYUNI UKIFIKA ULIZIA KWA PROPHET IPM. AU PIGA SIMU
    +255 757 672 666
    +255 714 284 419

ความคิดเห็น • 31

  • @AminaAthman-g7n
    @AminaAthman-g7n 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    You have spoken very true and reality we are going through a lot may almighty protect us😢

  • @ramadhanipadon3577
    @ramadhanipadon3577 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ipm nakuelewa sana me ni muislamu ila nakufatilia sana,maneno yako yana nielimisha sana❤

  • @Shedrackwilfred
    @Shedrackwilfred 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Wakristo hawapaswi kujipamba kwa nje.
    Wanapaswa kuwa nadhifu na wasafi pekee wasiongeze Urembo wowote miilini mwao hata kusuka, kunyoa visivyo kawaida mfano denge, kujicreem, Kuongeza Ukubwa wa Makalio, kuvaa hereni, bangili, mikufu, wanja na mengineyo yanayofanywa kwa lengo la kutafuta kuonekana mzuri au Bora machoni pa watu
    1 Timotheo 2:9-10
    [9]Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
    [10]bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu

  • @cornelionfikiri2052
    @cornelionfikiri2052 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    THE PROPHET OF GOD🌍
    NITAKUPENDA MI LELE BABA❤️🇨🇩💰🙏

  • @zoladking
    @zoladking วันที่ผ่านมา +1

    Mafundisho vitendo baba 🎉🎉🎉🎉 deep sana hii blood.

  • @marcelinkamuntu
    @marcelinkamuntu วันที่ผ่านมา +2

    Uyundo ipm

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 วันที่ผ่านมา +1

    Mtihani saana

  • @EliaTish
    @EliaTish วันที่ผ่านมา +1

    Amen

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw วันที่ผ่านมา +1

    Ipm mungu akubaliki ndivyo ilivyo hasa Africa ni shida kubwa ,kote duniani lakini Africa zaidi sanaa

  • @Suzanabukuru
    @Suzanabukuru 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mara nyingine jitahidini sauti ya muziki (ala) iwe ndogo tafadhali

  • @Chunyadhahabu
    @Chunyadhahabu วันที่ผ่านมา +1

    Duuuh Ila life

  • @ChariteMathe
    @ChariteMathe 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mutihani mukubwa, mungu unatosha kwa yote.

    • @evansogutu4167
      @evansogutu4167 43 นาทีที่ผ่านมา

      Mungu with capital M

  • @mohamedkapunda6421
    @mohamedkapunda6421 วันที่ผ่านมา +1

    Baba nimekuelewa mzazi msema kweli

  • @Maiko-j3k
    @Maiko-j3k วันที่ผ่านมา +2

    Uyu mtoto atakuwa msumbufu

    • @allyalvine1864
      @allyalvine1864 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Nimecheka sana😂😂😂

  • @HangiMakina-wf8hw
    @HangiMakina-wf8hw วันที่ผ่านมา +1

    Mpaka nimesubscribe mimi

  • @SarahMbise-vt7jg
    @SarahMbise-vt7jg 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Unaeleweka ila stori nyingi sana

    • @Lameckjoh
      @Lameckjoh 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Mzee usiwe unaongea sana negative kuna watu awaelewi mpaka wafundishwe kwa stail hiyo usiwe na wivu sana jifunze

    • @allyalvine1864
      @allyalvine1864 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      ​@@Lameckjoh, kongolee 🥳 mwenzangu kwa kumjibu sahihi😊

  • @Shedrackwilfred
    @Shedrackwilfred วันที่ผ่านมา +3

    IPM HIZO RASTA SIO IMANI YA KIKRISTO, MAANISHA INJILI UNAYOIFANYA

    • @sefanianaftari6
      @sefanianaftari6 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Walokole wa siku hiz mna shida sanaa

    • @Doctorwalker3512
      @Doctorwalker3512 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe nenda kwenye mafuta usisumbue watu hukuuu 😂😂 watu wamelazwa sana

    • @ImaniMwegenya
      @ImaniMwegenya 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Acha zako Imani haipo kwenye kichwa

    • @Lameckjoh
      @Lameckjoh 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mlokole huyo muulumieni amekalili rasta

    • @Shedrackwilfred
      @Shedrackwilfred 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      @@ImaniMwegenya 1 Petro 3:3-4
      [3]Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;
      [4]bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.