Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji kwa Njia ya Kisasa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji kwa Njia ya Kisasa @changamkiafursa
Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni rahisi sana, na kila anaye vutiwa kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji anatamani kufanya ufugaji wa kuku wa kienyeji kwa njia ya kisasa.
Ufugaji wa kuku wa kienyeji kwa njia ya kisasa hauna faida kwa sababu zifatazo:-
1. Gharama ya uendeshaji iko juu sana ukizingatia unapaswa kuwahudumia kwa kila kitu
2. Usipo walisha chakula chenye virutubisho vyote muhimu watapunguza uzalishaji na vifaranga hawata kuwa vizuri
3. Kuku wa kienyeji wakifugwa kwa njia ya kisasa wapata msongo ambao pia hupunguza uzalishaji wa mayai.
#changamkiafursa2021 #kukuwakienyeji
*OFA OFA OFA KWA WANACHANGAMKIA FURSA*
TUFUGE KUKU WA KIENYEJI ni kitabu (Pdf) cha Muongozo wa ufugaji wa kuku wa kienyeji utakao kupa mwanga wa kufuga kuku wa kienyeji kwa mafanikio kwa kukupa mbinu za namna gani ya kuzuia Magonjwa na kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi wako. Sasa pdf inapatikana kwa punguzo la 20%, jipatie nakala yako hiyo kwa kubonyeza link na fata maelekezo.
wa.me/message/XOAG2ZZZDYA6J1
Safi Sana.
Mm naomba nijue vjfaranga unawapa chakula gani?
Umenishawishi japo Nina balance ya sh.elf 50 nitaifanya Kam mtaji wa kutafut kuku japo watatu3
Hili ni kweli kabisa nimekua nikiwafungia kuku wangu matokeo wanakua polepole Sana Ila nilianza kuwafungulia mwezi uliopita Sasa nafurahi na sijutii.
Somo zuri Sana asantee
Asante sana kwa mrejesho
Nisaidiye kuku umoja uaweza kutotolesha malangapi
Mbn namba haipatikan
Poa sana
Ni mradi mzuri sana, nitajiumga nikirudi nyumbani mwezi wa kumi nitaanza ufugaji, nitahitaji maelekezo mengi, natumaini mtanielimisha zaidi.
Hapana hata wakila nn wanakuwa vizuri na wako poa
That is good
Sawaaa
Am from Kenya naomba kujiunga na whataupp yenyu
My what's app namba 0752209073
Darasa litaanza tarehe 9 mwezi wa 8
Jambo walimu mm naitwa Charme tyro SAIDI nilikuwa naomba nipete Namba ya mmoja kati ya walimu WA changamukia fursa
Mchanganyiko wa concetreit na pumba kinafaa kwa vifaranga wa kienyeji?au nikwa kuku wakubwa tu?
Danolod
Nilituma hela na majina wala hukuniunga na namba yako ilikua haipatikani Kwa siku 3. Ikabidi nirudishe muamala
Pole sana, karibu darasa la mwezi ujao
Samahani si,inawezekana nikawa wakubwa wakashinda nje na wadogo wakawa ndani maana mazingira sio rafki
Naomba namba
Mwalimu mbona unifanyii mbadala wa hili jambo sasahiv sion text za whatsap
Pole, unachangamoto gani?
Nicheki what's app 0752209073
Kaka ukowapi urikofugewa
Mimi kukuwangu wadonoana jaman adi vidonda kumaliza manyoa
Congrats 👏👏👏
Kwanini hao jogoo wako hawapigani
nd hwna wivu😂
Naomba jina ya hiyo chanjo ya tatu Kwa Moja tafadhali.
Inaitwa Tatu moja
Thanks for the teachings l wanted to start the project too
That is good
Ahsante! Ivi ni kwel kuna mahuxiano kati ya kufuga kuku na mikono ya watu? Yani kuna watu wanamkono wa kuku na wengine hawana!! Ivi ni kweli???
Salam kaka. Mimi shida yangu no ugonjwa wa ndui kwa week moja au week mbili wanashikwa naugonjwa wa ndui sijue nifanyeje?
Kama wanapata ndui wakiwa na wiki 2, wape chanjo ya ndui wakiwa na wiki 1
Pole sana pia
@@changamkiafursa asante
Pamoja
@@changamkiafursa safi sana. Nashukru. Nauliza je kama waanza ugonjwa nifanyeji?
Kwa hio kusema ukiwa na banda dogo na huna nafasi ya kuwacha wazunguke ufugaji hautaezekana?
Unawezekana, ila kwa tabu sana
Hii ndo sababu kubwa inayonikosesha mafanikio itabidi niache tu maana najitahidi sana lakini sifanikiwi kukuza vifaranga wengi
Kama unamtaji fuga chotara
Ni semina nzuri ya ufugaji
Kaka upo sahihi kabisa yaani
Vitamin gani nzuri kwa vifaranga vya kienyeji?
Chick formula inavitamin na antibiotiki
NAHITAJI mbegu hiyo nitampataje.?
Nakubari
Nimeipenda hii
Shingapi
Nice
Tunaomba namba ya simu
Namba ya simu nimetoa
Hapana sio kweli mm ndio kuku ninao funga Tena nafunga kisasa na wananilipa sana
Jamani nauliza hawa kroila (SASO)wanataka?
Bei gani na wana umri gani . Wanapatikana wapi?