Mungu akubariki sana sababu nyote kwakweli umeyafunza nikama yananilenga ila naomba BABA wa Mbinguni anifungue macho ili nikajue penye nilikwama ,ninuke na nishike amri zake Mungu awe nawe na akuongenzee zaidi 🙏🙏🙏🙏
Nimejifunza mengi ambayo kuanzia leo yatanisaidia Maishani. Kumbe maombi yenye kuambatana na Nadhiri inayotoka moyoni hujibiwa haraka. Lakini kumbe siyo Kila maombi ni ya kufunga na mengine lazima ufunge.
Ukweli pastor mmbaga mungu ujibu haraka sana maombi yanadhili I've been praying for two years wakati niliweka agano namungu hakika alijibu maombi yangu haraka sana
Mchungaji unachoongea ni kweli kua vijana wana degree lakini hawana ziada ya walichokifanya. Ila zaidi sana sehemu ambapo tunakwama ni serikali yetu kutotuwekea mazingira ya biashara au wazo la kila kijana...mf. hicho ulichosema vijana wapo ila hivyo vijiti ukitaka wewe uweze kuvitengeneza utapewa masharti ambayo hakuna yeyote anaweza mwishowe unaondoka nlumenyongonyea.nchi yetu ni ina viongozi wa hovyo
Hello pastor kulingana na kile umefunza mbona nahisi kana kwamba sisi waafrica ndio Wana wa Israeli wa kiukweli, na tumefunzwa kujichukia kiasi kwamba tumekosa kuona ili jambo kwa muda mrefu
Mungu akubariki sana sababu nyote kwakweli umeyafunza nikama yananilenga ila naomba BABA wa Mbinguni anifungue macho ili nikajue penye nilikwama ,ninuke na nishike amri zake Mungu awe nawe na akuongenzee zaidi 🙏🙏🙏🙏
Amen pastor mmbaga may God bless you everytime i watch your sermon I'm so much blessed 🙏
Ahsante kwa mafundisho mazuri pastor nimepokea
Amen ❤
Amen pastor barikiwa sana waaah umenitowa mahali 😄 nitaomba popote kimoyomoyo Asante sana kwaufahamu
Asante Mungu kwa Baraka ya mtumishi wako hyu
Barikiwa sana mtumishi, mimi nayafanyia kazi popote naomba ,na Mungu anajitwalia utukufu.
Nabarikiwa na masomo haya Mungu azidi kukutumia mtumishi wa Mungu pr Mbaga
Asante Yesu kwa mtumishi huyu ninabarikiwa mno
Yaan mchungaji nabarikiwa Sana na mafundisho mazuri haya.
Amen.hakika nimebalikiwa na hili somo.Mungu azidi kukutumia na akujaze roho mtakatifu
Imeze hata kama ni chunu.
Napenda sana mahubiri yako baba. Kwetu Congo wanapenda sana akwavi.
Ubarikiwe sana mtumishi mahubiri yako yana nguvu ya ajabu
Nikweli ksbisa, vyakula vya kwetu afrika viko na ladha tamu saana. Mimi hapa German, nakula tu lakini havina ladha kapisa na tena viko gali.
Asante Mungu Asante pastor Mbaga
Ameeen ahsante Kwa neno unatujenga kimani sana ubarikiwe
Amen ubarikiwe Pastor.
Amina, tunabarikiwa Pr.
Asante Kwaneno mtumishi wamungu ubalikiwe
Mungu akubariki sana Pr.
Aise ninabalikiwa sana na mafundishoyako
Barikiwa mtumishi wa mungu
Barikiwa sana kwa mafundisho yenye baraka
Hata mimi nataka kufunga na wewe kwa neema ya Mungu
Ameen
Unatusaidia kiroho na hata kimwili, Mungu akubariki,Tuchangamshe akili
Hakika
Napenda sana kuwa Tanzania sio Siri vyakula vyetu ni vizuri sana
Amen 🙏
Asante sana, Nabarikiwa nikiwa ZANZIBAR Unguja.
Amen
Naomba na mimi kufunguliwa macho na Mungu.
amen
That's truly, pineapple 🍍 ya hapa America is not the good like our Africa pineapple
AMINA
Hata ukifunga na dunia nzima kila siku, Mungu atakupa nguvu kila dakika na seconde.
Blessings 🙏
P
L0
Pp
Nitafanyaje ikiwa nimesahau nadhiri yangu
Nimejifunza mengi ambayo kuanzia leo yatanisaidia Maishani.
Kumbe maombi yenye kuambatana na Nadhiri inayotoka moyoni hujibiwa haraka.
Lakini kumbe siyo Kila maombi ni ya kufunga na mengine lazima ufunge.
44:40 ❤
Kweli kabisa
Barikiwa sana pastor kwa somo zuri
Kuna uwekezaji,kuna kukombolewa,kuna kuona fursa pia kuna roho wa Mungu katika hili🙏
🤔🙏
Kuna dada yangu anaumwa mukono mumuombee
Mchungaji ubalikiwe
Ukweli pastor mmbaga mungu ujibu haraka sana maombi yanadhili I've been praying for two years wakati niliweka agano namungu hakika alijibu maombi yangu haraka sana
Amen
Amen we need to change our god is faithful and truly be blessed pr
Kwahi much. Nifueje nadhiri zangu ? Mañana sijatekeleza
Mchungaji unachoongea ni kweli kua vijana wana degree lakini hawana ziada ya walichokifanya.
Ila zaidi sana sehemu ambapo tunakwama ni serikali yetu kutotuwekea mazingira ya biashara au wazo la kila kijana...mf. hicho ulichosema vijana wapo ila hivyo vijiti ukitaka wewe uweze kuvitengeneza utapewa masharti ambayo hakuna yeyote anaweza mwishowe unaondoka nlumenyongonyea.nchi yetu ni ina viongozi wa hovyo
Hello pastor kulingana na kile umefunza mbona nahisi kana kwamba sisi waafrica ndio Wana wa Israeli wa kiukweli, na tumefunzwa kujichukia kiasi kwamba tumekosa kuona ili jambo kwa muda mrefu
Ntafunguaje nadhiri zangu ?
Nafikiri title wametaka andika "unakwama" kuliko "Unakwana"
Thanks
Kwani maawaziri wetu huwa wanajibugi tuna hekta ngapi
Imeze hata kama ni chungu.
Mimi mwanasaboto hatukungua coke
Pastor naomba number yako ya what's up tafadhali