UNAKWAMA WAPI? PR. DAVID MMBAGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2023

ความคิดเห็น • 59

  • @zipporahmoraa6071
    @zipporahmoraa6071 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki sana sababu nyote kwakweli umeyafunza nikama yananilenga ila naomba BABA wa Mbinguni anifungue macho ili nikajue penye nilikwama ,ninuke na nishike amri zake Mungu awe nawe na akuongenzee zaidi 🙏🙏🙏🙏

  • @susanomwenga8882
    @susanomwenga8882 9 หลายเดือนก่อน +4

    Amen pastor mmbaga may God bless you everytime i watch your sermon I'm so much blessed 🙏

    • @user-gs1ld5vd6e
      @user-gs1ld5vd6e 8 หลายเดือนก่อน

      Ahsante kwa mafundisho mazuri pastor nimepokea

  • @theophilekahenga3344
    @theophilekahenga3344 8 หลายเดือนก่อน +1

    Amen ❤

  • @slamafamily5720
    @slamafamily5720 9 หลายเดือนก่อน

    Amen pastor barikiwa sana waaah umenitowa mahali 😄 nitaomba popote kimoyomoyo Asante sana kwaufahamu

  • @neemastima636
    @neemastima636 9 หลายเดือนก่อน

    Asante Mungu kwa Baraka ya mtumishi wako hyu

  • @upendoloondokalembekela7748
    @upendoloondokalembekela7748 9 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana mtumishi, mimi nayafanyia kazi popote naomba ,na Mungu anajitwalia utukufu.

  • @hildakazi
    @hildakazi 9 หลายเดือนก่อน

    Nabarikiwa na masomo haya Mungu azidi kukutumia mtumishi wa Mungu pr Mbaga

  • @rahabumorro4148
    @rahabumorro4148 9 หลายเดือนก่อน

    Asante Yesu kwa mtumishi huyu ninabarikiwa mno

  • @RamadhanMwinyimvua-ry8yp
    @RamadhanMwinyimvua-ry8yp 8 หลายเดือนก่อน

    Yaan mchungaji nabarikiwa Sana na mafundisho mazuri haya.

  • @josianeniyonkuru5796
    @josianeniyonkuru5796 9 หลายเดือนก่อน

    Amen.hakika nimebalikiwa na hili somo.Mungu azidi kukutumia na akujaze roho mtakatifu

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 9 หลายเดือนก่อน

    Imeze hata kama ni chunu.
    Napenda sana mahubiri yako baba. Kwetu Congo wanapenda sana akwavi.

  • @tinakabyemela3593
    @tinakabyemela3593 9 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mtumishi mahubiri yako yana nguvu ya ajabu

  • @jackschannel6556
    @jackschannel6556 9 หลายเดือนก่อน +2

    Nikweli ksbisa, vyakula vya kwetu afrika viko na ladha tamu saana. Mimi hapa German, nakula tu lakini havina ladha kapisa na tena viko gali.

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 9 หลายเดือนก่อน

    Asante Mungu Asante pastor Mbaga

  • @MildredShinali
    @MildredShinali 9 หลายเดือนก่อน

    Ameeen ahsante Kwa neno unatujenga kimani sana ubarikiwe

  • @geraldmwangira.4978
    @geraldmwangira.4978 9 หลายเดือนก่อน

    Amen ubarikiwe Pastor.

  • @Mallaba_M.B.L.N
    @Mallaba_M.B.L.N 9 หลายเดือนก่อน

    Amina, tunabarikiwa Pr.

  • @user-pm8hz3wy3n
    @user-pm8hz3wy3n 9 หลายเดือนก่อน

    Asante Kwaneno mtumishi wamungu ubalikiwe

  • @dianarobert7953
    @dianarobert7953 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana Pr.

  • @user-sf8ux6xs3z
    @user-sf8ux6xs3z 9 หลายเดือนก่อน

    Aise ninabalikiwa sana na mafundishoyako

  • @johnmduma7689
    @johnmduma7689 9 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa mtumishi wa mungu

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 9 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana kwa mafundisho yenye baraka

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 9 หลายเดือนก่อน

    Hata mimi nataka kufunga na wewe kwa neema ya Mungu

  • @faithkwamboka9196
    @faithkwamboka9196 8 หลายเดือนก่อน

    Ameen

  • @tracysally-im7fw
    @tracysally-im7fw 9 หลายเดือนก่อน +2

    Unatusaidia kiroho na hata kimwili, Mungu akubariki,Tuchangamshe akili

  • @verynicemkaro7116
    @verynicemkaro7116 9 หลายเดือนก่อน

    Napenda sana kuwa Tanzania sio Siri vyakula vyetu ni vizuri sana

  • @jonathanisaboke6897
    @jonathanisaboke6897 9 หลายเดือนก่อน

    Amen 🙏

  • @SaitotiHinyura
    @SaitotiHinyura 9 หลายเดือนก่อน

    Asante sana, Nabarikiwa nikiwa ZANZIBAR Unguja.

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo3052 9 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 9 หลายเดือนก่อน

    Naomba na mimi kufunguliwa macho na Mungu.

  • @calebmakori
    @calebmakori 9 หลายเดือนก่อน

    amen

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 9 หลายเดือนก่อน

    That's truly, pineapple 🍍 ya hapa America is not the good like our Africa pineapple

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig 9 หลายเดือนก่อน

    AMINA

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 9 หลายเดือนก่อน

    Hata ukifunga na dunia nzima kila siku, Mungu atakupa nguvu kila dakika na seconde.

  • @billclintononyimbo_officia
    @billclintononyimbo_officia 9 หลายเดือนก่อน +1

    Blessings 🙏

  • @AnnaWanchoke
    @AnnaWanchoke 8 หลายเดือนก่อน

    Nitafanyaje ikiwa nimesahau nadhiri yangu

  • @SaitotiHinyura
    @SaitotiHinyura 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nimejifunza mengi ambayo kuanzia leo yatanisaidia Maishani.
    Kumbe maombi yenye kuambatana na Nadhiri inayotoka moyoni hujibiwa haraka.
    Lakini kumbe siyo Kila maombi ni ya kufunga na mengine lazima ufunge.

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 9 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa

  • @gracelyimo6256
    @gracelyimo6256 7 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana pastor kwa somo zuri
    Kuna uwekezaji,kuna kukombolewa,kuna kuona fursa pia kuna roho wa Mungu katika hili🙏

  • @user-bx5nc8ge6r
    @user-bx5nc8ge6r 9 หลายเดือนก่อน

    🤔🙏

  • @EdsonFanuel
    @EdsonFanuel 8 หลายเดือนก่อน

    Kuna dada yangu anaumwa mukono mumuombee

  • @EdsonFanuel
    @EdsonFanuel 8 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji ubalikiwe

  • @susanomwenga8882
    @susanomwenga8882 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli pastor mmbaga mungu ujibu haraka sana maombi yanadhili I've been praying for two years wakati niliweka agano namungu hakika alijibu maombi yangu haraka sana

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  9 หลายเดือนก่อน

      Amen

    • @JOSHUANGIMBA-fj9oc
      @JOSHUANGIMBA-fj9oc 9 หลายเดือนก่อน +1

      Amen we need to change our god is faithful and truly be blessed pr

  • @hortensiaprotas9226
    @hortensiaprotas9226 9 หลายเดือนก่อน

    Kwahi much. Nifueje nadhiri zangu ? Mañana sijatekeleza

  • @jamesmwakitalima
    @jamesmwakitalima 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji unachoongea ni kweli kua vijana wana degree lakini hawana ziada ya walichokifanya.
    Ila zaidi sana sehemu ambapo tunakwama ni serikali yetu kutotuwekea mazingira ya biashara au wazo la kila kijana...mf. hicho ulichosema vijana wapo ila hivyo vijiti ukitaka wewe uweze kuvitengeneza utapewa masharti ambayo hakuna yeyote anaweza mwishowe unaondoka nlumenyongonyea.nchi yetu ni ina viongozi wa hovyo

  • @trendingnowkviewshoursago
    @trendingnowkviewshoursago 9 หลายเดือนก่อน

    Hello pastor kulingana na kile umefunza mbona nahisi kana kwamba sisi waafrica ndio Wana wa Israeli wa kiukweli, na tumefunzwa kujichukia kiasi kwamba tumekosa kuona ili jambo kwa muda mrefu

  • @hortensiaprotas9226
    @hortensiaprotas9226 9 หลายเดือนก่อน

    Ntafunguaje nadhiri zangu ?

  • @ramabwenge798
    @ramabwenge798 9 หลายเดือนก่อน

    Nafikiri title wametaka andika "unakwama" kuliko "Unakwana"
    Thanks

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 9 หลายเดือนก่อน

    Kwani maawaziri wetu huwa wanajibugi tuna hekta ngapi

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 9 หลายเดือนก่อน

    Imeze hata kama ni chungu.

  • @user-pl4he5cp1j
    @user-pl4he5cp1j 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi mwanasaboto hatukungua coke

  • @slamafamily5720
    @slamafamily5720 9 หลายเดือนก่อน

    Pastor naomba number yako ya what's up tafadhali