Asante sana Pd. kwa mafundisho mazuri sana sana, Mungu akubariki mno, nimeisikiliza zaidi ya mara tatu na bado nina hamu ya kusikiliza, ni mahubiri yenye tija na niya wakati uliopo na tunaishi nayo kila siku. Ubarikiwe sana 💯👏🙏.
Mungu akubariki PD. KWA MAFUNDISHO MAZURI YA KINA, NAOMBA TUFUNDISHE DHAMBI YA YUDA ALIYEMSALITI YESU KRISTU KWA KUMBUSU AKAPOKEA VIPANDE 30 VYA FEDHA. ATASAMEHEWA. NA JE,. PILATO KWA KITENDO CHA KUNAWA MIKONO YAKE KWA MAJI BIRIKANI HATAPATIKANA NA HATIA YA KUMWAGIKA DAMU YAKE YESU KRISTU ???
Nimekuelewa Sana father na ni kweli kabisa kiburi ndio dhambi ya asiri iliyofanywa na wazazi wetu wa kwanza...hapa umetema madini ya gharama kubwa sana,, asante mzee.
Dhambi ya asili haiondolewi Kwa kupakwa mafuta.Inaondolewa Kwa kutubu na kubatizwa Kwa maji mengi Kwa jina lake yesu kristo.Acts 2:38.PADIRI ASIDANGANYE WATU.
.. ulikuwa mti halisi kwaanjili Hawa alikula akiwa peeke yake alafu baadaye akampelekea mumewe naye akala.Nyoka alitumiwa na shetani lakini nyoka hakulaniwa ni shatani.
Padre, ongea vzr. Ninyi, mmetuficha vitu vingi sana. Na siku ya mwisho, pia mtakuja kujibu kwa Mungu. Sasa, mti wa katikati niup.? Maana yake, nyoka aliwaonyesha namna ya kufanya ngono, kabla Mungu mwenyewe, hajawapa ruhusa.
@@ngugimundia6306Hiyo ni baada ya kula tunda walipokua wanafukuzwa bustanini. Hilo tunda kama ni tunda linaitwaje? Je sasa hivi linalika au ukilila ni dhambi?
Kwa Nini Kwa hatua ya awali walifunika kiuno na so kudunika sehemu zingine za mwili wao Kama macho yanayotizama na kuweza kutengeneza aibu au kufunika kichwa kilichofikiri kutenda yasiyostahili au kufunga miguu iliyowaaxhanisha adamu na Eva na kujikuta Eva Yuko na nyoka na kuongea n nyoka muda ambao adamu hakuwepo ktk masungumzo hayo,hakuwepo Kwa Nini na hero Kila sehemu Basi alitakiwa kuwa Naye adamu.
Padri Uwe unajifunza vizuri kuile ambacho unataka kuongea umetumaliziya muda bila lakuongea ulilopaswa kuongea ubufikiriya ulicho weka kama kichwa cha mazungumuzo waeleze watu nyoka ninani mwanamuke ninani soma ufunuo 12 _1 ninyoka Gani huyo nakeanini hamuwaelezi watu kuhusu huyonyoka yaani shetani mwenyewe
Hawa aliumbwa kumusaidia adamu ktk Hali zote, makosa yake ni kumshirikisha ndoa shetani badala ya adamu ,Mungu alikasirika kwani haukuwa kusudio lake. Adamu na Hawa walitenda kosa gani ?sio kiburi kutokumtii Mungu kwa sababu kwa kula like tunda shetani aliwambia watakujajua mema na mabaya ni kweli shetani hakuwadanganya ulikuwa ni ukweli.sasa awali kwa Nini Mungu awafiche ukweli na kuishia kuzuia tu wasile tunda.kwa sababu Mungu hakuwakuwambia ukweli Hadi waliambiwa ukweli na shetani yaani aliwaficha ukweli ndivyo hivyo hats sisi tumefichwa uwazi na ukweli japo inadhihirisha wazi ktk maisha yetu hasa pale tunaposhiriki tendon la ndoa na uzito wetu was matamanio katika kushiriki tendohilo yaani mpaka hivileo naapa yeyote binadamu muda anashiriki tendon la ndoa huwa anafikiri hakuna binadamu mwenzake anaona ,pia ukiwa ktk kilele Cha ndoa unakiri binafsi liwalo naliwe lakini utamu huu lazima niupate yaani tunda ni tamu na vilevile Mungu hatuoni Mimi ni mwenza wangu au Basi liwalo na liwe Kama anatuona Basi aamue lake lakini Mimi na huyu msichana nimemtafuta muda mrefu siwezi kumuacha Tena Basi unamlala
Kufunika kiuno inamaana kuwa sehemu Ile imeguswa au has been involved with a certain reaction of chich up to now we say it was still it is unknown!!! Not unknown reaction Bali ni sex was involved ndo maana wakaona Sasa sehemu hiyo inastahili kufunika ili kujaribu kumficha Mungu asije just maana Kwa upeo wao walihisi hatokujatambua.
Kwanini hamtoboi mambo ya tundra ya Adam na Awa , mwanzo nyoka haikuwa inatabaa ilikuwa mnyama nadir alikuwa wa kwanza kulala na mwanamke huyo wa Adam nadiye akamza kaini , nadiye akaonyesha Adam vile walivanya na nyoka, mana Adam alikuwa amewa nguvu ya kunena , kama angevuata maneno ya Mungu angesema! Mwanamke apate mimba angepata kwa kunenewa na Adam,
Mkristu wa kweli hashutumu, wala ahukumu wala hatumii maneno ya kimatusi. Mkristu wa kweli pia hajioni bora kuliko mwengine, hana kiburi wala majivuno. Mkristu wa kweli ni mpole wa roho na hutoa mafunzo kwa hekima akiongozwa na Roho Mtakatifu. Hakuna mashindano kwa mambo ya kihoro. Mwisho wa safari yetu hapa duniani kinachobakia ni hukumu yake Mwenyezi Mungu na hakuna popote pale katika Biblia tutakapoulizwa ni jinsi gani tulivyo shindana na kujifanya wataalamu zaidi kuliko wengine katika mambo ya Biblia. Je, ina maana gani kujifanya kuijua Biblia zaidi hali huyatimizi mafunzo yake, ina maana gani?
Hatuna dhambi ya asili (Kwa mujibu wa Padri) YESU aliiondoa msalabani, tulichonacho sasa ni asili ya dhambi coz tumetokana na wazazi waliotenda dhambi adam na eva. hatubebi tena mzigo wa dhambi ya asili bali asili ya dhambi ndio inatuvuta kila siku kutenda dhambi, kupitia Yesu na nguvu ya msalaba tunabadilishwa kila siku kuelekea utakatifu
Unajieelewa unachoeleza ? Hakuna dhambi ya asili ila una asili ya dhambi ndo nini maana yake? Unaelewa maana ya ondoleo la dhambi? Au BIBLIA yako ni 2000 bible?
Mwenye kosa huadhibiwa na hua inatosha. Kutokana na hadithi hiyo Nyoka Hawa na Adam walitenda kosa dhambi asili wakaadhibiwa na Mungu mwenyewe iweje Yesu tena atumike? Kuhusu madhambi kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe na si Yesu
Yesu hahusiki na dhambi ya asili kwani Mungu alishawaadhibu na bado tuko kwenye adhabu hadi kila mtu anapokufa. Ni kuchanganya tu mambo ya waandishi hata hilo tunda ni tunda la mti gani? Unaweza kuamini wapi iwe katikati katika bustani kubwa.
@@hashimchaoga9566 Hashim ni Kiarabu kwa kiswahili inamaanisha "mtoto wa mbwa". Nakushauri badili Hilo jina,then soma vitabu kwa kuelewa si kwa kukariri au ushabiki utapona
MUNGU AWEZI KUMLAANI MYAMA HII SIO KWELI ...ETI NYOKA AKAMDANGANYA HAWA...HATA MANENO AYAINGII AKILINI....HATA HUYU POPE WA SASA AMEYAPINGA SANA HAYO MANENO MPAKA AKASEMA BIBLIA INATAKIWA IANDIKWE UPYA... AKASEMA POPE HAIWEZEKANI MTU AKADANGANYWA NA NYOKA
Baba hajuwi dhambi ya hasili kwakuwa ,mwanzo 3 inazungumzia watoto wa wili; uzao wa nyoka na uzao wa mwanamuke, nitaweka uhadui katikati ya uzao wako nyoka n'aurait wa mwanamuke; swali sasa, uzao wanyoka ulitokea wapi? Na uzao wa mwanamuke ulitokea wapi? Sasa akijibu ili atakuwa muhubiri kweli
Nyinyi kazi ya kufundisha mwachini Roho Mtakatifu wa ufunuo si blabla hizi,😢 Zambi ya uzinzi ndiyo iliyofanywa hapo edeni Nyoka alikuwa ni mtu asiye na nafsi kama wewe , na alimshawishi Eva kufanya ngono na Kisha Eva kumshawishi Adam kufanya Tena ndiyo maana mtoto wa kwanza wa shetani ni kaini.
Tunda ni nini Padri? Mpaka hapo hatujaelewa maana ya tunda! Habari za tunda hapa zahusiana na ujuzi wa mema na mabaya wala sio uzao. Kwa nini imebadilika gafla na kulinganishwa na uzao? Maana Biblia inasema "nami nitaweka uadui kati yako (nyoka) na huyo mwanamke (Hawa) na kati ya uzao wako na uzao wake" Je, nyoka ana uzao au alizaa? Uzao wake ni upi au gani? na uzao wa mwanamke sio (uzao wa Adamu hapa) ni uzao upi au gani? Tunataka kuelewa neno la Mungu mwalimu tusaidie
NA HILI ZAIDI MTAFAKARI SANA MUNGU NA UWEZA WAKE ULIO NA UUMBAJI,KABLA YA HAPO JIULIZE KWANINI ALIUMBA MTU AMBAYE AKITENDA KITU FULANI ANABADILIKA STATE?,HIYO SASA NI MUNGU KWA KUWA ALITUUMBA KWA MAPENZI YAKE NDIYO MAANA HIPO HIVYO NA NI AKILI ZAKE NA UNAPOHOJI USIHOJI KWA HISIA ZA KIMWILI(MFANO RAIS ANAFANYAJE KAZI) UKIDHANI WEWE UNAHAKI YA KUWA ULIVYO NA UNA MAMLAKA JUU YAKO YEYE ALIYEKUUMBA ANA HAKI NA MAMLAKA KUKUTAKA UISHI ATAKAVYO NA IKIZINGATIWA WEWE NI MALI YAKE VIWANGO VYAKO(DURABILITY) ANAJUA YEYE ALIYE KUTENGENEZA, ,NA HOJI ZAIDI KWANINI WEWE NI MWANADAMU,NA UPO HIVYO,ULITOKA WAPI NA LINI UTAKUFA?KAMA HUJUI BASI UJUE KUNA MUNGU TENA ANAISHI NA ANAUWEZO KULIKO UONAVYO WEWE.NDIYO MAANA MALA NYINGI ANATUITA WATOTO WADOGO.
SO UZAO WA NYOKA ULIKUJA BAADA YA KUTOKUTII,KITENDO CHA KUJUA KUWA WAPO UCHI HAPO-STATE ILIBADILIKA .SASA MWILI ULIYO WA SHETANI (WENYE KIBURI)NDIPO UNAJITOKEZA.
In front of God hii ni dhambi Kwa kuwa Kwa Mara ya Kwanza Eva alisex ni upande ambao haukuwa targeted na Mungu, kwani Mungu alimuumba Eva ili sex ampe adamu kuanzia mwanzo mpaka mwisho was maisha Yao Kama msaidizi wake, badala ya hili wazo la Mungu huyu Hawa alianza kumshirikisha shetani. Tokea happy ndio maana tunasisitiza Kama mnaweza wanandoa mtafungishwa ndoa jitahidi msishiriki tendo la ndoa Hadi muumbewe na mchungaji Kwanza maana kumtangulia shetani hamtaweza ila jitahidi.kama mtashiriki kukutana kimwili kabla ya kuombewa ili kuwa ndoa sio ndoa Tena Bali mumekamilisha ndoa.
Kufunika kiuno si kuwa wao ni wajinga hapana Kuna kitu kimeguswa ndani ya palipoguswa, na judgement au hukumu ya Mungu kwa tamko lake kutoka la Kwanza kabisa lilihusu swala la uzazi jiulize kwani hukumu ya Mungu haikuhusu mifumo mingine ya mwili?maana mwili was binadamu una mifumo mingi lakini aliacha yote Mungu bila aibu alianza na mfumo was uzazi na mahusiano yanayouzunguka mfumo huu, na haukuwa kutoa baraka Bali kulaani yanni vizazi tuliofuatia lazima laana hiyo tuivae au ituvae au tuwe nayo kufupi ndiyo inaitwa laana ya asili au dhambi ya asili.
Ahsante sana Baba Padre. Milele Amina.
Hakika baba dhambi ya asili ni kutokutii na kuwa na kiburi. Hakika Mungu ATUSAIDIE KATIKA hili Baba. Barikiwa Sana kwa chakula Bora Cha ROHO
Hongera baba kwa tafakari iliyotukuka kwa nguvu ya Mwenyezi Mungu.
Asante sana pd kwa mafundisho manzuri sana mungu akubariki mno sana🎉
Ahsante baba kwa tafakari nzuri
Asante sana Pd. kwa mafundisho mazuri sana sana, Mungu akubariki mno, nimeisikiliza zaidi ya mara tatu na bado nina hamu ya kusikiliza, ni mahubiri yenye tija na niya wakati uliopo na tunaishi nayo kila siku. Ubarikiwe sana 💯👏🙏.
Umesikiliza Mara tatu bila kuelewa pole Dana , maswali yako Sasa yako wapi? Kama kweli umeelewa
Mungu akubariki PD. KWA MAFUNDISHO MAZURI YA KINA, NAOMBA TUFUNDISHE DHAMBI YA YUDA ALIYEMSALITI YESU KRISTU KWA KUMBUSU AKAPOKEA VIPANDE 30 VYA FEDHA. ATASAMEHEWA. NA JE,. PILATO KWA KITENDO CHA KUNAWA MIKONO YAKE KWA MAJI BIRIKANI HATAPATIKANA NA HATIA YA KUMWAGIKA DAMU YAKE YESU KRISTU ???
Good explanation & teaching, keap it up Amen.
@@philibertmpinzile.6090p0pqQmmmok
Mahubiri mazuri sana
Asante baba ,kwa mahubiri mazuri sana yamenifungua.
Thank brother for a good word for the evening about the truth on Tundra lakatikati
Nimekuelewa Sana father na ni kweli kabisa kiburi ndio dhambi ya asiri iliyofanywa na wazazi wetu wa kwanza...hapa umetema madini ya gharama kubwa sana,, asante mzee.
Baba ubarikiwe kwa mafundisho mazuri najua yatanijenga kiimani
Asante baba kwa mafundisho adili
Asante baba paroko majivuno na libido noma
Asante kwa mafundisho.
asante sanana na mungu akubaliki sana .nimeelewa sana.
MUNGU Mwenyezi, akubariki baba.
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu. Nimebarikiwa Sana.
Shukrani sana mtumishi wa Bwana kwa mafundisho y'a busara!
Asante Sana baba padri Kwa mafundisho yako mazuri. Na Mimi umenisaidia Sana. Ubarikiwe .
Amina
Asante baba kwakunifungua macho tunda la katikati barikiwa sana farthar
Amina
Hiyo kweli mtumishi wa Mungu
Dhambi ya asili haiondolewi Kwa kupakwa mafuta.Inaondolewa Kwa kutubu na kubatizwa Kwa maji mengi Kwa jina lake yesu kristo.Acts 2:38.PADIRI ASIDANGANYE WATU.
Padri Asante kea mahubiri
Paroko uko vizuri sana lakini tuletee na fr kulwa naye atupe nondo
Amina paroko tumependa sana mahubili yako
Amina sana baba ❤
Amina baba
Asante sana ancle.mahubiri mazuri mno naamini waamini wa Tabora wanakufaidi mno mungu akuimarishe sana
Nimefurahi
Guo ndio ukweli
Asant bab kwa mahubili mazuri sana
Asante padre kwa mafunzo mazuri.Mwanyezi Mungu akupe neema unapoendelea kufanya kazi yake
Amina baba ubarikiwe sana padre
Asante baba Paroko kwa mahubiri.
Nimekuelewa pd.Faustin Rwechungula.
Amen Amen
🙏🤝
.. ulikuwa mti halisi kwaanjili Hawa alikula akiwa peeke yake alafu baadaye akampelekea mumewe naye akala.Nyoka alitumiwa na shetani lakini nyoka hakulaniwa ni shatani.
Napongeza mahubiri ya padre
Guo ndio ukweli
Nilikua nakuja kwenye chanel kuangalia Kama kipindi kimerudi
Padre, ongea vzr. Ninyi, mmetuficha vitu vingi sana. Na siku ya mwisho, pia mtakuja kujibu kwa Mungu. Sasa, mti wa katikati niup.? Maana yake, nyoka aliwaonyesha namna ya kufanya ngono, kabla Mungu mwenyewe, hajawapa ruhusa.
Ngono mungu alikua amewapa idhini...soma baibilia vizuri..endene mkazaane muongezeke...muijaze dunia...sasa acha mawazo ya kimwili...sikiza fundisho.
@@ngugimundia6306Hiyo ni baada ya kula tunda walipokua wanafukuzwa bustanini. Hilo tunda kama ni tunda linaitwaje? Je sasa hivi linalika au ukilila ni dhambi?
Amennnnnn
Kwa Nini Kwa hatua ya awali walifunika kiuno na so kudunika sehemu zingine za mwili wao Kama macho yanayotizama na kuweza kutengeneza aibu au kufunika kichwa kilichofikiri kutenda yasiyostahili au kufunga miguu iliyowaaxhanisha adamu na Eva na kujikuta Eva Yuko na nyoka na kuongea n nyoka muda ambao adamu hakuwepo ktk masungumzo hayo,hakuwepo Kwa Nini na hero Kila sehemu Basi alitakiwa kuwa Naye adamu.
Padri Uwe unajifunza vizuri kuile ambacho unataka kuongea umetumaliziya muda bila lakuongea ulilopaswa kuongea ubufikiriya ulicho weka kama kichwa cha mazungumuzo waeleze watu nyoka ninani mwanamuke ninani soma ufunuo 12 _1 ninyoka Gani huyo nakeanini hamuwaelezi watu kuhusu huyonyoka yaani shetani mwenyewe
TunaombaAndikoDhambi.yaAsili
Hizo ishara za vidole unazozifanya zinaashiria nini baba paroko?
Hawa aliumbwa kumusaidia adamu ktk Hali zote, makosa yake ni kumshirikisha ndoa shetani badala ya adamu ,Mungu alikasirika kwani haukuwa kusudio lake. Adamu na Hawa walitenda kosa gani ?sio kiburi kutokumtii Mungu kwa sababu kwa kula like tunda shetani aliwambia watakujajua mema na mabaya ni kweli shetani hakuwadanganya ulikuwa ni ukweli.sasa awali kwa Nini Mungu awafiche ukweli na kuishia kuzuia tu wasile tunda.kwa sababu Mungu hakuwakuwambia ukweli Hadi waliambiwa ukweli na shetani yaani aliwaficha ukweli ndivyo hivyo hats sisi tumefichwa uwazi na ukweli japo inadhihirisha wazi ktk maisha yetu hasa pale tunaposhiriki tendon la ndoa na uzito wetu was matamanio katika kushiriki tendohilo yaani mpaka hivileo naapa yeyote binadamu muda anashiriki tendon la ndoa huwa anafikiri hakuna binadamu mwenzake anaona ,pia ukiwa ktk kilele Cha ndoa unakiri binafsi liwalo naliwe lakini utamu huu lazima niupate yaani tunda ni tamu na vilevile Mungu hatuoni Mimi ni mwenza wangu au Basi liwalo na liwe Kama anatuona Basi aamue lake lakini Mimi na huyu msichana nimemtafuta muda mrefu siwezi kumuacha Tena Basi unamlala
Hakuna ulicho ongea zaidi ya kiitetea zinaa tu,okoka ndg.dunia hii imejaa vitu vya kila aina na huwrzi kuvimaliza
Muhubiri unatumia uongo; uliza walimu walio karibu na Mungu wakujulishe
Wewe unaelewaje juu ya neno hilo kwa kadri ulivyo fundishwa na huy unaye amini anajua ukweli wake?
Unikumbuke Kwa misa Takatifu.
Ah ah ah mutumishi wa Mungu,1.kwanini Mungu basi kamupa mwanamuke malipizi utazaa kwa uchungu? kuliko kusema estomac itakua nauma?ao meno?wakali unakula .2.Na tamaa yako itakuwa naelekea mume wako kunafasi tamaa yake ilielekeaka mbele?
Kufunika kiuno inamaana kuwa sehemu Ile imeguswa au has been involved with a certain reaction of chich up to now we say it was still it is unknown!!! Not unknown reaction Bali ni sex was involved ndo maana wakaona Sasa sehemu hiyo inastahili kufunika ili kujaribu kumficha Mungu asije just maana Kwa upeo wao walihisi hatokujatambua.
Mithali 30:5-6
Kanisa la Katholic lilibadilisha siku ya sabato wakaifanya jumapili kuwa siku ya sabato.
Kwanini hamtoboi mambo ya tundra ya Adam na Awa , mwanzo nyoka haikuwa inatabaa ilikuwa mnyama nadir alikuwa wa kwanza kulala na mwanamke huyo wa Adam nadiye akamza kaini , nadiye akaonyesha Adam vile walivanya na nyoka, mana Adam alikuwa amewa nguvu ya kunena , kama angevuata maneno ya Mungu angesema! Mwanamke apate mimba angepata kwa kunenewa na Adam,
Àmen
25:37
Mmmmmmh muongo wewe
Usimtukane msomi wewe...hawa ndiyo wanaoibeba dunia kwa Elimu ..
Ww unaeujua ukwel kwann usifundishe fyuuuu
Kama mpaka leo hujui ukweli pole sana soma maandiko usiwe mvivu
Mimi nikipata nawakati nitawazunguzia dhambi ya hasili ; na mutaona kwamba padiri hafayi hata kidogo, ila walijiita wakristo bali ni mashetani.
Mkristu wa kweli hashutumu, wala ahukumu wala hatumii maneno ya kimatusi. Mkristu wa kweli pia hajioni bora kuliko mwengine, hana kiburi wala majivuno. Mkristu wa kweli ni mpole wa roho na hutoa mafunzo kwa hekima akiongozwa na Roho Mtakatifu. Hakuna mashindano kwa mambo ya kihoro. Mwisho wa safari yetu hapa duniani kinachobakia ni hukumu yake Mwenyezi Mungu na hakuna popote pale katika Biblia tutakapoulizwa ni jinsi gani tulivyo shindana na kujifanya wataalamu zaidi kuliko wengine katika mambo ya Biblia. Je, ina maana gani kujifanya kuijua Biblia zaidi hali huyatimizi mafunzo yake, ina maana gani?
Sasa mtumishi tuambie..tunda ni lipi sasa..mbona hujafunguka
Tunda ni kiburi mimi nilivyo elewa kuvunja makubaliano kutofuata maelekezo
Hatuna dhambi ya asili (Kwa mujibu wa Padri) YESU aliiondoa msalabani, tulichonacho sasa ni asili ya dhambi coz tumetokana na wazazi waliotenda dhambi adam na eva.
hatubebi tena mzigo wa dhambi ya asili bali asili ya dhambi ndio inatuvuta kila siku kutenda dhambi, kupitia Yesu na nguvu ya msalaba tunabadilishwa kila siku kuelekea utakatifu
Unajieelewa unachoeleza ?
Hakuna dhambi ya asili ila una asili ya dhambi ndo nini maana yake?
Unaelewa maana ya ondoleo la dhambi? Au BIBLIA yako ni 2000 bible?
pole
Mwenye kosa huadhibiwa na hua inatosha. Kutokana na hadithi hiyo Nyoka Hawa na Adam walitenda kosa dhambi asili wakaadhibiwa na Mungu mwenyewe iweje Yesu tena atumike? Kuhusu madhambi kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe na si Yesu
Yesu hahusiki na dhambi ya asili kwani Mungu alishawaadhibu na bado tuko kwenye adhabu hadi kila mtu anapokufa. Ni kuchanganya tu mambo ya waandishi hata hilo tunda ni tunda la mti gani? Unaweza kuamini wapi iwe katikati katika bustani kubwa.
@@hashimchaoga9566
Hashim ni Kiarabu kwa kiswahili inamaanisha "mtoto wa mbwa".
Nakushauri badili Hilo jina,then soma vitabu kwa kuelewa si kwa kukariri au ushabiki utapona
MUNGU AWEZI KUMLAANI MYAMA HII SIO KWELI ...ETI NYOKA AKAMDANGANYA HAWA...HATA MANENO AYAINGII AKILINI....HATA HUYU POPE WA SASA AMEYAPINGA SANA HAYO MANENO MPAKA AKASEMA BIBLIA INATAKIWA IANDIKWE UPYA... AKASEMA POPE HAIWEZEKANI MTU AKADANGANYWA NA NYOKA
Kwa nn kwanza tu walijitambua wako uchi na kwa nn Mungu alitoa adhabu ya kuzaa kwa uchungu na mwanamke kuwa na hamu ya mumewe?
Na mimi nimeuliza hivo anatakiwa kupana majibu tena ajibu na maandiko.
Baba hajuwi dhambi ya hasili kwakuwa ,mwanzo 3 inazungumzia watoto wa wili; uzao wa nyoka na uzao wa mwanamuke, nitaweka uhadui katikati ya uzao wako nyoka n'aurait wa mwanamuke; swali sasa, uzao wanyoka ulitokea wapi? Na uzao wa mwanamuke ulitokea wapi? Sasa akijibu ili atakuwa muhubiri kweli
Bwana Yesu Akubarik ndg Yangu
Nyinyi kazi ya kufundisha mwachini Roho Mtakatifu wa ufunuo si blabla hizi,😢 Zambi ya uzinzi ndiyo iliyofanywa hapo edeni Nyoka alikuwa ni mtu asiye na nafsi kama wewe , na alimshawishi Eva kufanya ngono na Kisha Eva kumshawishi Adam kufanya Tena ndiyo maana mtoto wa kwanza wa shetani ni kaini.
Tunda ni nini Padri? Mpaka hapo hatujaelewa maana ya tunda!
Habari za tunda hapa zahusiana na ujuzi wa mema na mabaya wala sio uzao. Kwa nini imebadilika gafla na kulinganishwa na uzao? Maana Biblia inasema "nami nitaweka uadui kati yako (nyoka) na huyo mwanamke (Hawa) na kati ya uzao wako na uzao wake" Je, nyoka ana uzao au alizaa? Uzao wake ni upi au gani? na uzao wa mwanamke sio (uzao wa Adamu hapa) ni uzao upi au gani? Tunataka kuelewa neno la Mungu mwalimu tusaidie
Wacha Mungu vs waasi
wewe uzao wa nyoka ni ishara ya shetani,mwovu soma BIBLIA VIZURI UZAO WA NYOKA NI SHETANI.
NA HILI ZAIDI MTAFAKARI SANA MUNGU NA UWEZA WAKE ULIO NA UUMBAJI,KABLA YA HAPO JIULIZE KWANINI ALIUMBA MTU AMBAYE AKITENDA KITU FULANI ANABADILIKA STATE?,HIYO SASA NI MUNGU KWA KUWA ALITUUMBA KWA MAPENZI YAKE NDIYO MAANA HIPO HIVYO NA NI AKILI ZAKE NA UNAPOHOJI USIHOJI KWA HISIA ZA KIMWILI(MFANO RAIS ANAFANYAJE KAZI) UKIDHANI WEWE UNAHAKI YA KUWA ULIVYO NA UNA MAMLAKA JUU YAKO YEYE ALIYEKUUMBA ANA HAKI NA MAMLAKA KUKUTAKA UISHI ATAKAVYO NA IKIZINGATIWA WEWE NI MALI YAKE VIWANGO VYAKO(DURABILITY) ANAJUA YEYE ALIYE KUTENGENEZA, ,NA HOJI ZAIDI KWANINI WEWE NI MWANADAMU,NA UPO HIVYO,ULITOKA WAPI NA LINI UTAKUFA?KAMA HUJUI BASI UJUE KUNA MUNGU TENA ANAISHI NA ANAUWEZO KULIKO UONAVYO WEWE.NDIYO MAANA MALA NYINGI ANATUITA WATOTO WADOGO.
SO UZAO WA NYOKA ULIKUJA BAADA YA KUTOKUTII,KITENDO CHA KUJUA KUWA WAPO UCHI HAPO-STATE ILIBADILIKA .SASA MWILI ULIYO WA SHETANI (WENYE KIBURI)NDIPO UNAJITOKEZA.
ZAIDI ZINGATIA TUNA VIONJO NA TABIA ZA KIMUNGU KWA KUWA ALITUUMBA KWA SULA NA MFANO WAKE........
Kwa maana hiyo Adam na Eva wali zini
No
In front of God hii ni dhambi Kwa kuwa Kwa Mara ya Kwanza Eva alisex ni upande ambao haukuwa targeted na Mungu, kwani Mungu alimuumba Eva ili sex ampe adamu kuanzia mwanzo mpaka mwisho was maisha Yao Kama msaidizi wake, badala ya hili wazo la Mungu huyu Hawa alianza kumshirikisha shetani. Tokea happy ndio maana tunasisitiza Kama mnaweza wanandoa mtafungishwa ndoa jitahidi msishiriki tendo la ndoa Hadi muumbewe na mchungaji Kwanza maana kumtangulia shetani hamtaweza ila jitahidi.kama mtashiriki kukutana kimwili kabla ya kuombewa ili kuwa ndoa sio ndoa Tena Bali mumekamilisha ndoa.
Unaogopa kwa bidiii
Awakutenda dhambi ya usinzi..hapana. someni Biblia mtaelewa. Mbona yapo wazi.
Nitafute. Nikueleweshe
@@dottomalugu8620Elewasha hapa hapa kama mafundisho yako ni ya nuruni;kama ni giza kajifundishie gizani huko
Kufunika kiuno si kuwa wao ni wajinga hapana Kuna kitu kimeguswa ndani ya palipoguswa, na judgement au hukumu ya Mungu kwa tamko lake kutoka la Kwanza kabisa lilihusu swala la uzazi jiulize kwani hukumu ya Mungu haikuhusu mifumo mingine ya mwili?maana mwili was binadamu una mifumo mingi lakini aliacha yote Mungu bila aibu alianza na mfumo was uzazi na mahusiano yanayouzunguka mfumo huu, na haukuwa kutoa baraka Bali kulaani yanni vizazi tuliofuatia lazima laana hiyo tuivae au ituvae au tuwe nayo kufupi ndiyo inaitwa laana ya asili au dhambi ya asili.
Semeni ukweli nanyinyi waumini mmefumbwamacho msiende na biblia Mungu awasaidie kimbieni apo akunadini yakweli
ila samahani,na iyo iliosomwa Mathayo sio biblia kweli?
HawaWanapendaKusomewaMaandiko.EtiDhambiYaAsili..nasyoNyoka
Asante baba kwa mafundisho adili
Mahubiri mazuri sana
Mahubiri mazuri sana