Huu ndio ukweli uliojificha kuhusu TUNDA LA KATIKATI na DHAMBI YA ASILI... Fr. Rwechungura afichua.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 มิ.ย. 2024
  • Neno La Mungu

ความคิดเห็น • 118

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 วันที่ผ่านมา +1

    Ahsante sana Baba Padre. Milele Amina.

  • @elizabethchangala5312
    @elizabethchangala5312 13 วันที่ผ่านมา +6

    Hakika baba dhambi ya asili ni kutokutii na kuwa na kiburi. Hakika Mungu ATUSAIDIE KATIKA hili Baba. Barikiwa Sana kwa chakula Bora Cha ROHO

  • @damasmasengo1701
    @damasmasengo1701 14 วันที่ผ่านมา +6

    Hongera baba kwa tafakari iliyotukuka kwa nguvu ya Mwenyezi Mungu.

  • @Josephinelatin
    @Josephinelatin วันที่ผ่านมา

    Asante sana pd kwa mafundisho manzuri sana mungu akubariki mno sana🎉

  • @emanuelwilliam8834
    @emanuelwilliam8834 14 วันที่ผ่านมา +5

    Ahsante baba kwa tafakari nzuri

  • @paulina.baynit7970
    @paulina.baynit7970 14 วันที่ผ่านมา +23

    Asante sana Pd. kwa mafundisho mazuri sana sana, Mungu akubariki mno, nimeisikiliza zaidi ya mara tatu na bado nina hamu ya kusikiliza, ni mahubiri yenye tija na niya wakati uliopo na tunaishi nayo kila siku. Ubarikiwe sana 💯👏🙏.

    • @philibertmpinzile.6090
      @philibertmpinzile.6090 12 วันที่ผ่านมา +1

      Umesikiliza Mara tatu bila kuelewa pole Dana , maswali yako Sasa yako wapi? Kama kweli umeelewa

    • @samsonnyuha1648
      @samsonnyuha1648 11 วันที่ผ่านมา +1

      Mungu akubariki PD. KWA MAFUNDISHO MAZURI YA KINA, NAOMBA TUFUNDISHE DHAMBI YA YUDA ALIYEMSALITI YESU KRISTU KWA KUMBUSU AKAPOKEA VIPANDE 30 VYA FEDHA. ATASAMEHEWA. NA JE,. PILATO KWA KITENDO CHA KUNAWA MIKONO YAKE KWA MAJI BIRIKANI HATAPATIKANA NA HATIA YA KUMWAGIKA DAMU YAKE YESU KRISTU ???

    • @simonwaiyaki8449
      @simonwaiyaki8449 11 วันที่ผ่านมา

      Good explanation & teaching, keap it up Amen.

    • @marcelboy8325
      @marcelboy8325 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@philibertmpinzile.6090p0pqQmmmok

  • @user-eh3xp1ve1q
    @user-eh3xp1ve1q 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mahubiri mazuri sana

  • @GoodloveShayo
    @GoodloveShayo 13 วันที่ผ่านมา +4

    Asante baba ,kwa mahubiri mazuri sana yamenifungua.

  • @arnoldatuya178
    @arnoldatuya178 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Thank brother for a good word for the evening about the truth on Tundra lakatikati

  • @juliuschande3399
    @juliuschande3399 12 วันที่ผ่านมา +5

    Nimekuelewa Sana father na ni kweli kabisa kiburi ndio dhambi ya asiri iliyofanywa na wazazi wetu wa kwanza...hapa umetema madini ya gharama kubwa sana,, asante mzee.

  • @staminacastory5322
    @staminacastory5322 3 วันที่ผ่านมา

    Baba ubarikiwe kwa mafundisho mazuri najua yatanijenga kiimani

  • @user-jo6zg6xg3v
    @user-jo6zg6xg3v 2 วันที่ผ่านมา

    Asante baba kwa mafundisho adili

  • @NikolausSungula-s2v
    @NikolausSungula-s2v 2 วันที่ผ่านมา

    Asante baba paroko majivuno na libido noma

  • @user-lk1wu8cs5c
    @user-lk1wu8cs5c 2 วันที่ผ่านมา

    Asante kwa mafundisho.

  • @mjwaushuka500
    @mjwaushuka500 11 วันที่ผ่านมา +1

    asante sanana na mungu akubaliki sana .nimeelewa sana.

  • @ReginaKulwa-zp7wp
    @ReginaKulwa-zp7wp 11 วันที่ผ่านมา +1

    MUNGU Mwenyezi, akubariki baba.

  • @anisiakazaula7895
    @anisiakazaula7895 6 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu. Nimebarikiwa Sana.

  • @PascalineKahambu-bp5hm
    @PascalineKahambu-bp5hm 8 วันที่ผ่านมา

    Shukrani sana mtumishi wa Bwana kwa mafundisho y'a busara!

  • @SarahKapella-rm2of
    @SarahKapella-rm2of 14 วันที่ผ่านมา +3

    Asante Sana baba padri Kwa mafundisho yako mazuri. Na Mimi umenisaidia Sana. Ubarikiwe .

  • @user-nq1gv6zd3e
    @user-nq1gv6zd3e 9 วันที่ผ่านมา

    Asante baba kwakunifungua macho tunda la katikati barikiwa sana farthar

  • @bhoken.nyantahe847
    @bhoken.nyantahe847 12 วันที่ผ่านมา +2

    Amina

  • @genevievesunday
    @genevievesunday 11 วันที่ผ่านมา +1

    Hiyo kweli mtumishi wa Mungu

  • @peterochola2770
    @peterochola2770 7 วันที่ผ่านมา +2

    Dhambi ya asili haiondolewi Kwa kupakwa mafuta.Inaondolewa Kwa kutubu na kubatizwa Kwa maji mengi Kwa jina lake yesu kristo.Acts 2:38.PADIRI ASIDANGANYE WATU.

  • @leahkiwugha2329
    @leahkiwugha2329 6 วันที่ผ่านมา

    Padri Asante kea mahubiri

  • @damasmasengo1701
    @damasmasengo1701 14 วันที่ผ่านมา +3

    Paroko uko vizuri sana lakini tuletee na fr kulwa naye atupe nondo

  • @DanielRorbet
    @DanielRorbet 10 วันที่ผ่านมา

    Amina paroko tumependa sana mahubili yako

  • @mungholomakalanga8958
    @mungholomakalanga8958 12 วันที่ผ่านมา +1

    Amina sana baba ❤

  • @DominicLeopold
    @DominicLeopold 12 วันที่ผ่านมา +1

    Amina baba

  • @frankbinomutonzi9127
    @frankbinomutonzi9127 13 วันที่ผ่านมา +3

    Asante sana ancle.mahubiri mazuri mno naamini waamini wa Tabora wanakufaidi mno mungu akuimarishe sana

  • @malikikijogoo5407
    @malikikijogoo5407 11 วันที่ผ่านมา

    Asant bab kwa mahubili mazuri sana

  • @mosesamulabu8438
    @mosesamulabu8438 วันที่ผ่านมา

    Asante padre kwa mafunzo mazuri.Mwanyezi Mungu akupe neema unapoendelea kufanya kazi yake

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 12 วันที่ผ่านมา

    Amina baba ubarikiwe sana padre

  • @HinohiatHidoCo
    @HinohiatHidoCo 11 วันที่ผ่านมา

    Asante baba Paroko kwa mahubiri.

  • @deusbarnabas9060
    @deusbarnabas9060 11 วันที่ผ่านมา

    Nimekuelewa pd.Faustin Rwechungula.

  • @julianasuleman219
    @julianasuleman219 8 วันที่ผ่านมา

    Amen Amen

  • @imeldakapinga1869
    @imeldakapinga1869 14 วันที่ผ่านมา +1

    🙏🤝

  • @ExploreMaasai
    @ExploreMaasai 11 วันที่ผ่านมา +1

    .. ulikuwa mti halisi kwaanjili Hawa alikula akiwa peeke yake alafu baadaye akampelekea mumewe naye akala.Nyoka alitumiwa na shetani lakini nyoka hakulaniwa ni shatani.

  • @user-cx3io7pv5k
    @user-cx3io7pv5k 14 วันที่ผ่านมา +2

    Napongeza mahubiri ya padre

  • @FadhilaHaki
    @FadhilaHaki 14 วันที่ผ่านมา +1

    Nilikua nakuja kwenye chanel kuangalia Kama kipindi kimerudi

  • @malindimasinde4830
    @malindimasinde4830 11 วันที่ผ่านมา

    Padre, ongea vzr. Ninyi, mmetuficha vitu vingi sana. Na siku ya mwisho, pia mtakuja kujibu kwa Mungu. Sasa, mti wa katikati niup.? Maana yake, nyoka aliwaonyesha namna ya kufanya ngono, kabla Mungu mwenyewe, hajawapa ruhusa.

    • @ngugimundia6306
      @ngugimundia6306 10 วันที่ผ่านมา

      Ngono mungu alikua amewapa idhini...soma baibilia vizuri..endene mkazaane muongezeke...muijaze dunia...sasa acha mawazo ya kimwili...sikiza fundisho.

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@ngugimundia6306Hiyo ni baada ya kula tunda walipokua wanafukuzwa bustanini. Hilo tunda kama ni tunda linaitwaje? Je sasa hivi linalika au ukilila ni dhambi?

  • @eliatobiasi6346
    @eliatobiasi6346 11 วันที่ผ่านมา

    Amennnnnn

  • @philibertmpinzile.6090
    @philibertmpinzile.6090 12 วันที่ผ่านมา

    Kwa Nini Kwa hatua ya awali walifunika kiuno na so kudunika sehemu zingine za mwili wao Kama macho yanayotizama na kuweza kutengeneza aibu au kufunika kichwa kilichofikiri kutenda yasiyostahili au kufunga miguu iliyowaaxhanisha adamu na Eva na kujikuta Eva Yuko na nyoka na kuongea n nyoka muda ambao adamu hakuwepo ktk masungumzo hayo,hakuwepo Kwa Nini na hero Kila sehemu Basi alitakiwa kuwa Naye adamu.

  • @taiwemaamin319
    @taiwemaamin319 10 วันที่ผ่านมา +1

    Padri Uwe unajifunza vizuri kuile ambacho unataka kuongea umetumaliziya muda bila lakuongea ulilopaswa kuongea ubufikiriya ulicho weka kama kichwa cha mazungumuzo waeleze watu nyoka ninani mwanamuke ninani soma ufunuo 12 _1 ninyoka Gani huyo nakeanini hamuwaelezi watu kuhusu huyonyoka yaani shetani mwenyewe

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 10 วันที่ผ่านมา

    TunaombaAndikoDhambi.yaAsili

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
    @Mahershalalhashbazi-kf6xi 11 วันที่ผ่านมา

    Hizo ishara za vidole unazozifanya zinaashiria nini baba paroko?

  • @philibertmpinzile.6090
    @philibertmpinzile.6090 12 วันที่ผ่านมา

    Hawa aliumbwa kumusaidia adamu ktk Hali zote, makosa yake ni kumshirikisha ndoa shetani badala ya adamu ,Mungu alikasirika kwani haukuwa kusudio lake. Adamu na Hawa walitenda kosa gani ?sio kiburi kutokumtii Mungu kwa sababu kwa kula like tunda shetani aliwambia watakujajua mema na mabaya ni kweli shetani hakuwadanganya ulikuwa ni ukweli.sasa awali kwa Nini Mungu awafiche ukweli na kuishia kuzuia tu wasile tunda.kwa sababu Mungu hakuwakuwambia ukweli Hadi waliambiwa ukweli na shetani yaani aliwaficha ukweli ndivyo hivyo hats sisi tumefichwa uwazi na ukweli japo inadhihirisha wazi ktk maisha yetu hasa pale tunaposhiriki tendon la ndoa na uzito wetu was matamanio katika kushiriki tendohilo yaani mpaka hivileo naapa yeyote binadamu muda anashiriki tendon la ndoa huwa anafikiri hakuna binadamu mwenzake anaona ,pia ukiwa ktk kilele Cha ndoa unakiri binafsi liwalo naliwe lakini utamu huu lazima niupate yaani tunda ni tamu na vilevile Mungu hatuoni Mimi ni mwenza wangu au Basi liwalo na liwe Kama anatuona Basi aamue lake lakini Mimi na huyu msichana nimemtafuta muda mrefu siwezi kumuacha Tena Basi unamlala

    • @feliciankabasa8995
      @feliciankabasa8995 11 วันที่ผ่านมา

      Hakuna ulicho ongea zaidi ya kiitetea zinaa tu,okoka ndg.dunia hii imejaa vitu vya kila aina na huwrzi kuvimaliza

  • @StevenMsome-xc5zw
    @StevenMsome-xc5zw 9 วันที่ผ่านมา

    Muhubiri unatumia uongo; uliza walimu walio karibu na Mungu wakujulishe

    • @leoteryezekiel9745
      @leoteryezekiel9745 8 วันที่ผ่านมา

      Wewe unaelewaje juu ya neno hilo kwa kadri ulivyo fundishwa na huy unaye amini anajua ukweli wake?

  • @user-mr3fn1hc2y
    @user-mr3fn1hc2y 11 วันที่ผ่านมา

    Unikumbuke Kwa misa Takatifu.

  • @joelndoole4023
    @joelndoole4023 2 วันที่ผ่านมา

    Ah ah ah mutumishi wa Mungu,1.kwanini Mungu basi kamupa mwanamuke malipizi utazaa kwa uchungu? kuliko kusema estomac itakua nauma?ao meno?wakali unakula .2.Na tamaa yako itakuwa naelekea mume wako kunafasi tamaa yake ilielekeaka mbele?

  • @philibertmpinzile.6090
    @philibertmpinzile.6090 12 วันที่ผ่านมา +1

    Kufunika kiuno inamaana kuwa sehemu Ile imeguswa au has been involved with a certain reaction of chich up to now we say it was still it is unknown!!! Not unknown reaction Bali ni sex was involved ndo maana wakaona Sasa sehemu hiyo inastahili kufunika ili kujaribu kumficha Mungu asije just maana Kwa upeo wao walihisi hatokujatambua.

  • @alexntahiraja2974
    @alexntahiraja2974 10 วันที่ผ่านมา

    Kanisa la Katholic lilibadilisha siku ya sabato wakaifanya jumapili kuwa siku ya sabato.

  • @johnwachira4911
    @johnwachira4911 10 วันที่ผ่านมา +1

    Kwanini hamtoboi mambo ya tundra ya Adam na Awa , mwanzo nyoka haikuwa inatabaa ilikuwa mnyama nadir alikuwa wa kwanza kulala na mwanamke huyo wa Adam nadiye akamza kaini , nadiye akaonyesha Adam vile walivanya na nyoka, mana Adam alikuwa amewa nguvu ya kunena , kama angevuata maneno ya Mungu angesema! Mwanamke apate mimba angepata kwa kunenewa na Adam,

  • @DavisIssangya-kc3rm
    @DavisIssangya-kc3rm 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mmmmmmh muongo wewe

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 12 วันที่ผ่านมา

      Usimtukane msomi wewe...hawa ndiyo wanaoibeba dunia kwa Elimu ..

    • @esterpastory8918
      @esterpastory8918 7 วันที่ผ่านมา

      Ww unaeujua ukwel kwann usifundishe fyuuuu

    • @DavisIssangya-kc3rm
      @DavisIssangya-kc3rm 5 วันที่ผ่านมา

      Kama mpaka leo hujui ukweli pole sana soma maandiko usiwe mvivu

  • @kusemmanuel2211
    @kusemmanuel2211 11 วันที่ผ่านมา

    Mimi nikipata nawakati nitawazunguzia dhambi ya hasili ; na mutaona kwamba padiri hafayi hata kidogo, ila walijiita wakristo bali ni mashetani.

    • @georgenyasudi4060
      @georgenyasudi4060 11 วันที่ผ่านมา

      Mkristu wa kweli hashutumu, wala ahukumu wala hatumii maneno ya kimatusi. Mkristu wa kweli pia hajioni bora kuliko mwengine, hana kiburi wala majivuno. Mkristu wa kweli ni mpole wa roho na hutoa mafunzo kwa hekima akiongozwa na Roho Mtakatifu. Hakuna mashindano kwa mambo ya kihoro. Mwisho wa safari yetu hapa duniani kinachobakia ni hukumu yake Mwenyezi Mungu na hakuna popote pale katika Biblia tutakapoulizwa ni jinsi gani tulivyo shindana na kujifanya wataalamu zaidi kuliko wengine katika mambo ya Biblia. Je, ina maana gani kujifanya kuijua Biblia zaidi hali huyatimizi mafunzo yake, ina maana gani?

  • @CrispusKadenge
    @CrispusKadenge 12 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa mtumishi tuambie..tunda ni lipi sasa..mbona hujafunguka

    • @pendaelmingangikiluzu
      @pendaelmingangikiluzu 12 วันที่ผ่านมา

      Tunda ni kiburi mimi nilivyo elewa kuvunja makubaliano kutofuata maelekezo

  • @oswardrupiah5510
    @oswardrupiah5510 12 วันที่ผ่านมา +1

    Hatuna dhambi ya asili (Kwa mujibu wa Padri) YESU aliiondoa msalabani, tulichonacho sasa ni asili ya dhambi coz tumetokana na wazazi waliotenda dhambi adam na eva.
    hatubebi tena mzigo wa dhambi ya asili bali asili ya dhambi ndio inatuvuta kila siku kutenda dhambi, kupitia Yesu na nguvu ya msalaba tunabadilishwa kila siku kuelekea utakatifu

    • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
      @Mahershalalhashbazi-kf6xi 11 วันที่ผ่านมา

      Unajieelewa unachoeleza ?
      Hakuna dhambi ya asili ila una asili ya dhambi ndo nini maana yake?
      Unaelewa maana ya ondoleo la dhambi? Au BIBLIA yako ni 2000 bible?

    • @christianpila187
      @christianpila187 10 วันที่ผ่านมา +1

      pole

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 9 วันที่ผ่านมา

      Mwenye kosa huadhibiwa na hua inatosha. Kutokana na hadithi hiyo Nyoka Hawa na Adam walitenda kosa dhambi asili wakaadhibiwa na Mungu mwenyewe iweje Yesu tena atumike? Kuhusu madhambi kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe na si Yesu

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 9 วันที่ผ่านมา

      Yesu hahusiki na dhambi ya asili kwani Mungu alishawaadhibu na bado tuko kwenye adhabu hadi kila mtu anapokufa. Ni kuchanganya tu mambo ya waandishi hata hilo tunda ni tunda la mti gani? Unaweza kuamini wapi iwe katikati katika bustani kubwa.

    • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
      @Mahershalalhashbazi-kf6xi 9 วันที่ผ่านมา

      @@hashimchaoga9566
      Hashim ni Kiarabu kwa kiswahili inamaanisha "mtoto wa mbwa".
      Nakushauri badili Hilo jina,then soma vitabu kwa kuelewa si kwa kukariri au ushabiki utapona

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 10 วันที่ผ่านมา

    MUNGU AWEZI KUMLAANI MYAMA HII SIO KWELI ...ETI NYOKA AKAMDANGANYA HAWA...HATA MANENO AYAINGII AKILINI....HATA HUYU POPE WA SASA AMEYAPINGA SANA HAYO MANENO MPAKA AKASEMA BIBLIA INATAKIWA IANDIKWE UPYA... AKASEMA POPE HAIWEZEKANI MTU AKADANGANYWA NA NYOKA

  • @ThomasGai-kz5cu
    @ThomasGai-kz5cu 11 วันที่ผ่านมา

    Kwa nn kwanza tu walijitambua wako uchi na kwa nn Mungu alitoa adhabu ya kuzaa kwa uchungu na mwanamke kuwa na hamu ya mumewe?

    • @joelndoole4023
      @joelndoole4023 2 วันที่ผ่านมา

      Na mimi nimeuliza hivo anatakiwa kupana majibu tena ajibu na maandiko.

  • @kusemmanuel2211
    @kusemmanuel2211 11 วันที่ผ่านมา

    Baba hajuwi dhambi ya hasili kwakuwa ,mwanzo 3 inazungumzia watoto wa wili; uzao wa nyoka na uzao wa mwanamuke, nitaweka uhadui katikati ya uzao wako nyoka n'aurait wa mwanamuke; swali sasa, uzao wanyoka ulitokea wapi? Na uzao wa mwanamuke ulitokea wapi? Sasa akijibu ili atakuwa muhubiri kweli

    • @dottomalugu8620
      @dottomalugu8620 11 วันที่ผ่านมา

      Bwana Yesu Akubarik ndg Yangu

  • @imaniinayoishi728
    @imaniinayoishi728 11 วันที่ผ่านมา

    Nyinyi kazi ya kufundisha mwachini Roho Mtakatifu wa ufunuo si blabla hizi,😢 Zambi ya uzinzi ndiyo iliyofanywa hapo edeni Nyoka alikuwa ni mtu asiye na nafsi kama wewe , na alimshawishi Eva kufanya ngono na Kisha Eva kumshawishi Adam kufanya Tena ndiyo maana mtoto wa kwanza wa shetani ni kaini.

  • @sungesonji4412
    @sungesonji4412 14 วันที่ผ่านมา +2

    Tunda ni nini Padri? Mpaka hapo hatujaelewa maana ya tunda!
    Habari za tunda hapa zahusiana na ujuzi wa mema na mabaya wala sio uzao. Kwa nini imebadilika gafla na kulinganishwa na uzao? Maana Biblia inasema "nami nitaweka uadui kati yako (nyoka) na huyo mwanamke (Hawa) na kati ya uzao wako na uzao wake" Je, nyoka ana uzao au alizaa? Uzao wake ni upi au gani? na uzao wa mwanamke sio (uzao wa Adamu hapa) ni uzao upi au gani? Tunataka kuelewa neno la Mungu mwalimu tusaidie

    • @mustaphamasobe8343
      @mustaphamasobe8343 13 วันที่ผ่านมา

      Wacha Mungu vs waasi

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 12 วันที่ผ่านมา

      wewe uzao wa nyoka ni ishara ya shetani,mwovu soma BIBLIA VIZURI UZAO WA NYOKA NI SHETANI.

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 12 วันที่ผ่านมา

      NA HILI ZAIDI MTAFAKARI SANA MUNGU NA UWEZA WAKE ULIO NA UUMBAJI,KABLA YA HAPO JIULIZE KWANINI ALIUMBA MTU AMBAYE AKITENDA KITU FULANI ANABADILIKA STATE?,HIYO SASA NI MUNGU KWA KUWA ALITUUMBA KWA MAPENZI YAKE NDIYO MAANA HIPO HIVYO NA NI AKILI ZAKE NA UNAPOHOJI USIHOJI KWA HISIA ZA KIMWILI(MFANO RAIS ANAFANYAJE KAZI) UKIDHANI WEWE UNAHAKI YA KUWA ULIVYO NA UNA MAMLAKA JUU YAKO YEYE ALIYEKUUMBA ANA HAKI NA MAMLAKA KUKUTAKA UISHI ATAKAVYO NA IKIZINGATIWA WEWE NI MALI YAKE VIWANGO VYAKO(DURABILITY) ANAJUA YEYE ALIYE KUTENGENEZA, ,NA HOJI ZAIDI KWANINI WEWE NI MWANADAMU,NA UPO HIVYO,ULITOKA WAPI NA LINI UTAKUFA?KAMA HUJUI BASI UJUE KUNA MUNGU TENA ANAISHI NA ANAUWEZO KULIKO UONAVYO WEWE.NDIYO MAANA MALA NYINGI ANATUITA WATOTO WADOGO.

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 12 วันที่ผ่านมา

      SO UZAO WA NYOKA ULIKUJA BAADA YA KUTOKUTII,KITENDO CHA KUJUA KUWA WAPO UCHI HAPO-STATE ILIBADILIKA .SASA MWILI ULIYO WA SHETANI (WENYE KIBURI)NDIPO UNAJITOKEZA.

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 12 วันที่ผ่านมา

      ZAIDI ZINGATIA TUNA VIONJO NA TABIA ZA KIMUNGU KWA KUWA ALITUUMBA KWA SULA NA MFANO WAKE........

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 12 วันที่ผ่านมา

    Kwa maana hiyo Adam na Eva wali zini

  • @philibertmpinzile.6090
    @philibertmpinzile.6090 12 วันที่ผ่านมา

    In front of God hii ni dhambi Kwa kuwa Kwa Mara ya Kwanza Eva alisex ni upande ambao haukuwa targeted na Mungu, kwani Mungu alimuumba Eva ili sex ampe adamu kuanzia mwanzo mpaka mwisho was maisha Yao Kama msaidizi wake, badala ya hili wazo la Mungu huyu Hawa alianza kumshirikisha shetani. Tokea happy ndio maana tunasisitiza Kama mnaweza wanandoa mtafungishwa ndoa jitahidi msishiriki tendo la ndoa Hadi muumbewe na mchungaji Kwanza maana kumtangulia shetani hamtaweza ila jitahidi.kama mtashiriki kukutana kimwili kabla ya kuombewa ili kuwa ndoa sio ndoa Tena Bali mumekamilisha ndoa.

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 11 วันที่ผ่านมา

    Awakutenda dhambi ya usinzi..hapana. someni Biblia mtaelewa. Mbona yapo wazi.

    • @dottomalugu8620
      @dottomalugu8620 11 วันที่ผ่านมา

      Nitafute. Nikueleweshe

    • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
      @Mahershalalhashbazi-kf6xi 11 วันที่ผ่านมา

      ​​@@dottomalugu8620Elewasha hapa hapa kama mafundisho yako ni ya nuruni;kama ni giza kajifundishie gizani huko

  • @philibertmpinzile.6090
    @philibertmpinzile.6090 12 วันที่ผ่านมา

    Kufunika kiuno si kuwa wao ni wajinga hapana Kuna kitu kimeguswa ndani ya palipoguswa, na judgement au hukumu ya Mungu kwa tamko lake kutoka la Kwanza kabisa lilihusu swala la uzazi jiulize kwani hukumu ya Mungu haikuhusu mifumo mingine ya mwili?maana mwili was binadamu una mifumo mingi lakini aliacha yote Mungu bila aibu alianza na mfumo was uzazi na mahusiano yanayouzunguka mfumo huu, na haukuwa kutoa baraka Bali kulaani yanni vizazi tuliofuatia lazima laana hiyo tuivae au ituvae au tuwe nayo kufupi ndiyo inaitwa laana ya asili au dhambi ya asili.

  • @GASTOLUOGA
    @GASTOLUOGA 12 วันที่ผ่านมา +1

    Semeni ukweli nanyinyi waumini mmefumbwamacho msiende na biblia Mungu awasaidie kimbieni apo akunadini yakweli

    • @patriciatiti6078
      @patriciatiti6078 10 วันที่ผ่านมา

      ila samahani,na iyo iliosomwa Mathayo sio biblia kweli?

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 10 วันที่ผ่านมา

      HawaWanapendaKusomewaMaandiko.EtiDhambiYaAsili..nasyoNyoka

  • @user-jo6zg6xg3v
    @user-jo6zg6xg3v 2 วันที่ผ่านมา

    Asante baba kwa mafundisho adili

  • @jacobignas5352
    @jacobignas5352 6 วันที่ผ่านมา

    Mahubiri mazuri sana

  • @jacobignas5352
    @jacobignas5352 6 วันที่ผ่านมา

    Mahubiri mazuri sana