NAMNA YA KUTAFSIRI NA KUOMBEA NDOTO, NA CHRISTOPHER MWAKASEGE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 21

  • @BlandinaMganga
    @BlandinaMganga 5 หลายเดือนก่อน

    Ahsante Bwana Yesu kwa damu yako
    Ee Mungu nirehemu kwa kuzembea juu ya kufanyia kazi ndoto zote ulizonijulisha amen
    Nainyunyiza damu ta Yesu ya agano jipya ikazuie hilo pigo lililoachiliwa kwangu kwa njia ya ndoto katika jina la Yesu amen

  • @HabibaIssa-r3d
    @HabibaIssa-r3d หลายเดือนก่อน

    Bwana yesu asifiwe mtumishi mm nimeota nimeludi kijijini kwetu njiani nimekuta kunawatu wanaubili neno la mungu nami nikaenda nikaanza kuubilii

  • @Neema-wy4mh
    @Neema-wy4mh 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu nirehemu nisamehe kwa kuwa umesema NA mimi mara nyingi siku daka. Damu ya Yesu ininenee mema indoe kila kilicho achiliwa NA adui. NA kama ni ww Mungu wangu pia nirehemu kwa. Damu yako. Yesu

  • @neemakusuhibwa347
    @neemakusuhibwa347 5 หลายเดือนก่อน

    Nashukuru Mungu nimeota ninatoka mafuta meupe mwilini mengi niliona miguuni na funza warefu na mwisho funza weupe wale mabongo mkono wangu wa kulia walitoka nilipominya walitoka nikashituka .Asante nimeelewa mtumishi.

  • @florencemackenzi8255
    @florencemackenzi8255 3 หลายเดือนก่อน

    Ameeen nimenarikiwa sn

  • @ndaloliepraygod9273
    @ndaloliepraygod9273 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki mtumishi kutupa tafsri,niliota nimeota wadudu kwenye moyo

  • @faithringo9196
    @faithringo9196 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @CarolineNgamilaga-ps4xu
    @CarolineNgamilaga-ps4xu 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nimepata kitu kikubwa sana leo naamini yakua Mungu yupamoja nasi na atatupa Amani yake❤

  • @EsauNyemba
    @EsauNyemba 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde
    ww na familia yako akutuze na azidi kukutumia

  • @AnnaRaphael-s7u
    @AnnaRaphael-s7u หลายเดือนก่อน

    Yaani niliposikiza mafundisho yako uwezi amini kila ninachoomba hicho hicho kinatokea niliomba kazi nikapata nikikaa napigiwa simu njoo huku kuna kazi kisa nilifungua mifumo ya kazi yaani mungu wako anatisha

  • @AginessKasiani
    @AginessKasiani 28 วันที่ผ่านมา

    Shalom mwalimu nimekuwa nikiota ndoto nyingingi ila kunandondoto nimeiiota kama mala tatu nikiponea chupuchupu kudondoka chooni sielewi kwann

  • @TaipastorSendegeya
    @TaipastorSendegeya หลายเดือนก่อน

    Mimi Mchungaji hua ninaota ndoto nikiendesha gari lakini kila ninapoota ndoto hiyo naona sijamudu kuendesha gari, either mguu uwe mfupi kufika kwenye break, au niwe mfupi nisione mbele ninakoenda, ama nishindwe kuongoza gari vizuri liende mtaroni, ama mlimani lirudi nyuma, au chochote kile kitakuwa kikwazo ilradi tu nionekane sijalimudu kuliendesha hilo gari. Na ndoto hii imekua ikijirudiarudia ni mika yapata 10 sasa lazima kila baada ya miazi au miaka kadhaa ijirudie.
    NB: Tukiachana na ndoto, kiuhalisia nje ya ndoto
    nafahamu vizuri sana kuendesha gari.

  • @PauliniSabasi
    @PauliniSabasi 2 หลายเดือนก่อน

    Bwan yesu asifiwe mtumishi mim niliot nimepanda juu alafu nimeshindwa kushuka nikashuka nikiw ninaruka kutok juu hadi chin naomba unitafsirie hii ndoto inanisumbua mara kwa mara

  • @dottomujule9592
    @dottomujule9592 4 หลายเดือนก่อน +4

    Shalom mwalimu mimi nimeota ndoto nikaona nyoka mweusi ndani ya nyumba yangu lakini ghafla yule nyoka nikamuona kwenye mlango akiwa anaondoka lakini akawa anamfuata Mme wangu kwenye mguu wake alipokung'uta mguu yule nyoka akadondoka nje mlangoni ,Kisha nikaona Tena mme wangu amepata ajali ameumia mguu wa kushoto na kichwa chake kilionekana kuumia sana naomba unisaidie nn nifanye

    • @happnesskitumbo5713
      @happnesskitumbo5713 3 หลายเดือนก่อน +1

      Omba Mungu kataa roho ya ajali ambayo amikusudia kuileta kwenye familia yako hasa kwa mume wako.

  • @Pricka-q2k
    @Pricka-q2k 4 หลายเดือนก่อน

    Amina bb yangu

  • @cleopandanshau
    @cleopandanshau 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ameni

  • @neygod21
    @neygod21 หลายเดือนก่อน

    Na jee ukiota vunza wanakudondokea kutoka juu ya mti

  • @JoelleChirhalabwa
    @JoelleChirhalabwa 2 หลายเดือนก่อน

    Naota Niko vijijini Mara Niko shuleni jama muniombeye

  • @QwinimyQwinimy
    @QwinimyQwinimy 4 หลายเดือนก่อน

    Mi naota nipo na wanafunzi wenzangu nilosoma nao shule ya msingi katika mazingira tofauti na shule lakini katika hao ambao nipo nao hapa kunamwingine anatokea mwishoni mwa ndoto nimeota hivyo mala kazaa Zaid hata ya mala4 na huyu wa mwisho ni yuleyule habadiriki hii inamaana gani?

    • @anethkaale2158
      @anethkaale2158 2 หลายเดือนก่อน

      Omba sana kataa roho ya kurudishwa nyuma.