Anauliza eti DOTTO na Baba Levo different ni nini badala ya kusema difference kwa nini asijifunze lugha fasaha ya kiingereza kama wanapenda kuchomekea kabla ya kuwa mwanahabari?
Naomba muwape eshima wandishi wahabali hao ndio wanawafanyamjulikane town unamtolea kidole we kama nani wanahakizao ☹️☹️☹️ mfano we vinywe doto tumekujuwa sababu yahao siishi bongo ila umenikela huna nidhamu
Siunajua sisi waislum jamani waacheni waislum safi waswali mnajificha kwenye uislum hata mwijaku zuchu eti mimi muilum siwezi tangaza pombe ila anavaa vichupi
Muislamu gan anavaa msalaba bwege wew
Awawez
Mtt wa kizm Kaz nakukubali sana🎉🎉
Doto magari ebu kuwa msafi nyoa nywele ndugu yangu unafuga nywele kubwa wakati kichwachako kikubwa unanyatia sana
Hahaha dotto magari ni mtu Smart sana
Dotounatisha sana
Apo maneno lazma muwe mumejipanga...kumhoji...una nunua robo wakopeshwa kilo.... utarudi Tu 😅😅😅
hahahaha🤣😚😚😚😚😚🤣😚
Dotto Hapendi wanawake😂😂😂
Anauliza eti DOTTO na Baba Levo different ni nini badala ya kusema difference kwa nini asijifunze lugha fasaha ya kiingereza kama wanapenda kuchomekea kabla ya kuwa mwanahabari?
English sio lugha yao hakun neno.
Hawamuwezi
Nirikuwa nakusapoti Sana na kukuona wa maana kumbe ukijuwi unachokifanya? Check msalaba chingoni apo... Inna lilai waina ilaa rajuna
Dotto mm napenda mambo yako lkn nauliza mbona uko na lokole na ni shoga nitakuchukia sasa
Nenda katubu kumbe huna marinda ulifirwa na juma ungejuaje
Doto magari ywasema ni mwislamu sasa msalaba wa nn jamani
Aisee watangazaji awa vituko
Dotto vip kaka
Doto pamoja sana Moçambique apa
Noto Magali aminia Rwanda kgl
Wandishi gani awa?
Naomba muwape eshima wandishi wahabali hao ndio wanawafanyamjulikane town unamtolea kidole we kama nani wanahakizao ☹️☹️☹️ mfano we vinywe doto tumekujuwa sababu yahao siishi bongo ila umenikela huna nidhamu
Umeona kk, comment bora sana
Nakwel akilzenu sawa we na giggy
Dotto kwa uislamu hupo tunakujuwa Kama mkristo mwenye misalama
New chuiiiiiioo😅😅😅
Doto magari nakukubali Sana kichwa yako ni fastaa 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Skakaaa ya arusha ni mbaya😅😅😅
Kimbunda cha pesa dotto
Ahhahahahahahahhah nimeeependaaaa dotoooo ume nichekeshaaa
Midia za on line zimekua nyingi mpk paku tafuta content wanakosa una mhoji mtu mjinga mpumbavu ana wazalilisha
Sana, hana nidhamu kabisa😢
Kkk🎉🎉🎉
Yani waandishi wetu wa habari na wenyewe wameshakuwa jangwa yani maswali wanayohoji haya mantiki
Naomba zangu...
Nilicheka😂😂
Ukiitajika utaitwa #mtoto wa mama kizimkazi#na hapa ipo mtu sio nyau asiyefaa kafaa
Huyu Dotto ana kichaa nini !!!
❤❤❤
Mm nataka mtaji tuu
Waandishi wa habari hawa wako field bado
Eti wazubaishe niitie polisi lol😂😂😂😂
Yajana sio ya leo, wamekosana, labda wamepatana na hiyo ni vizuri.
Dotto Magari😂
Huyu jamaa anamuogopa sana babalevo😂😂😂😂😂
Ngoma zipi magari acha ushoga bro watu wanatamba na tunzo 3 na single again na sijalewa
tatzo wandishi wengi elimu ya uandishi na utangaxaji ni ndogo
Pia nataka apoteee😂
Ukimuhoji Dotto uwe tayari kutukanwa
Juma anahusiana veeeepe
Acha ashobo fala umekazana mama mama ,mamaako yuleeee
Dada amekubana Sana Sana na maswwli magnum ila unapangua kimjini
Mkal san
Usipinge Simba Simba nimukali
😂😂😂 wakomeshe wambia hao
Doto muogope Mungu unaswali mtoto wa kiislam unavaaje Rosali Astaghafilullah
Halafu nimzima wakweli unasali umevaa msalaba
Mama kizimkazi na hapa ipo
🤣🤣🤣huyu chawa
Waho niwashezi kama washezi wengine
Doto anasema yeye Na Dada yake GYGY MONEY Wana akili Sawa sawa
Nyie nampenda uyu kaka nimcheshi sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Nitumie namb
Dotto punguza ukali wa maneno we unamwambiaje mwenzio skanka et mtu
Dotto chizii🙃
Huyu dada kweli kichaa inamaana hajui maana ya star? Et wewe ni msanii si unajiita star? Au elimu ya la nne D
Wewe unajua maana ya star,msanii,ilfuencer
Wewe ndo hujui kutofautisha hujui maana yake vivyo Ni vitu vitatu tofauti
@@Nas19onlinetvstar ni nyota
Doto kama deto
Leo nime😀🤣😂🥱
Doto anaota 😅😅😅 ushindane na mandanzi😅😅😅
Kaosha vyombo kwa shishi😂😂😂
Siunajua sisi waislum jamani waacheni waislum safi waswali mnajificha kwenye uislum hata mwijaku zuchu eti mimi muilum siwezi tangaza pombe ila anavaa vichupi
Huyu dada akili zake
ili tapeli linaongea sana😊
😭😭
❤️😭❤️😭❤️😭❤️
🍼😭😭 it ❤️❤️❤️😭 uy 😭 is ❤️❤️😭😭u ❤️
sasa dotto hana gari au nyumba mtamnunulia?
Toto dada kakuzidi fomra😅😅
Uyuu dotto fuzii zimekataa.
😄😄😄😄
MASWALI GNI WAANDISHI 😮
Kaogopa huyu,muoga sana😂
Hilo ni choko tu
Infuluuueeensaaa😢
Huyu Dada Hajui Kuuliza Maswali jmn 😂
Katika nta vyuuuu nimee pendaa hiio yaaa dotoo magaliii jamanioii hahaahha
Ati mwislamu na kavaa misalaba wee vipi
Wapumbavu wanauliza kwa nini dotto amevaa msalaba?kuna mtu unaweza kumpangia mtu mavaz.mbona haujamuuliza daimond kuhusu msalaba
Na apana ipo 😅
juma lokole ni bwabwa au choko lete dotto magari kaongea kiutu uzima tunajua juma sio liziki choko wa mondi mteja wa pele unga
Dotto anasema yy muislamu na huswali swala tano na huku kafaa msalaba✝️sa hayo ni mambo gani?
😂😂😂dotto hii ni rand 200 sio euro😂😂😂
Haha watangazaji wa mchongo
😂😂😂
Channel yenyewe inaitwa Shingo Tv unategemea awe na maswali timamu kweli
Sasa kaka doto wewe muislam mbona unavaa msalaba? Haifa
Uyu jamaa ajielewi kiukweli
Hahaahahhaa kaakaa mwisalam ahaahahaahah msalaba kifuani hahaahaha😂😂😂😂😂😂
we binti maswli yko hta shule hyajaenda
😂😂😂😂😂😂😂😂
We chukua wasanii wote unaowajua diamond platnumz pekee atajaza
Mda wake ushaisha
Doto nakufatlia sn na nataka nwe mteja wako wa mara kwa mara lkn uclete mashoga kwny ofc yako
huyu demu mwandishi changudoa anakutaka doto chizi huyo anavuta bangi demu huyo na juma lokole nae choko wote
Doto kibokooo🤣🤣🤣🤣
Hana hata kauli nzr.simuoni kama msemaji wala simuoni kama chawa upuuuzi mtupu. Eti mwandishi unakunywa K. Vant.ujinga tuuuuuu
Unaswali huku umevaa msalaba muogope mungu wewe
Wapuuzi wanakazana na maswali ya upuuzi.
Anasema yeye ni muslamu na amevaa msalaba
No content,,
Appreciate ni nyingi 🤣🤣