Baada ya RAIS JOHN POMBE MAGUFULI Kufariki WAZUNGU wataficha SIRI HII ili usijue UKWELI! inauma sana
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ค. 2024
- Baada ya RAIS JOHN POMBE MAGUFULI Kufariki WAZUNGU wataficha SIRI HII ili usijue UKWELI! inauma sana
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE th-cam.com/users/Tricodskills...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ tricodmedia
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricod-skills-11524157...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodskills
#RipMagufuli
#MazishiMagufuli
#Msiba
Utata wa KIFO CHA DMX Akutana na SHETANI FREEMASON wampa umaarufu Amrudia MUNGU Apoteza NAFSI YAKE
th-cam.com/video/Emw3_CdZDR8/w-d-xo.html
i realize it's kinda off topic but do anybody know a good site to watch newly released movies online?
@Jorge Lionel I would suggest FlixZone. You can find it on google :)
@Kenneth Jesiah Yup, have been watching on Flixzone for years myself :D
@Kenneth Jesiah Thank you, I went there and it seems to work :) I appreciate it!
@Jorge Lionel No problem =)
Am a kenyan and Magufuli was my Hero. R.I.P
Umezungumza fact sana, kiukweli Binafsi nitamkumbuka sana JPM katika maisha yangu, sijawahi ona kiongozi kama Huyu, Creative and Intelligent person.. Mwenyezi Mungu akaibariki Tanzania ifike mbali sana, katika kipindi hiki kigumu Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na neema atuvushe salama..
Jamani hii habari inatakiwa iwe number 1 kwenye trending news ni muhimu sana kila Mtanzania kuisikiliza...
Mimi ni munyarwanda lakini magufuli he was my president by heart true hero i'm not suprise at all bcoz he was fighting against white agendas RIP
True
Fact
Miye niko Congolese na mnampenda Magufuli ndyo Président wangu by heart
Ukweli
Siku zote chema hakidum, ila namuombea Mwenyezi Mungu amjalie pema peponi pamoja na watakatifu wake ,sote niwamwenyezi Mungu nakwake ndio marejeo
Poleni sana ndugu zangu watanzania kwa kumpoteza shujaa from kenya
Asante sana Sally Grace,maana ndiyo watatumaliza na chanjo zao. Msimamo uleule Tanzania after Magufuli.
Maraisi wazur wanoa tokea Africa hawa dumu mda mrefu wabaya ndo Wana dunda tu
Sahihi
Aki mi siyo mtz but kiswahili sio lunga yangu mungu diye ali mleta duniani tena akamchu kuwa yediyo ajuwaye tum muobe mungu am weke pazuri venye naskia story zake ika nifanya niliye lakini poleni watazania magufuli rest in peace baba wa taifa 😭😭
Asanteni majirani zetu.
Mungu airehemu roho yake mahali pema peponi alikua kiongozi mwema Bara Africa hakukua mfisadi kama awa viongozi wetu wa kenya😢😢😢
Nawasihi watanzania wng hata iweje msikubali vaccines ya aina yoyote!! Nawapenda watanzania wenzangu🙌
Sitakubali chanjo yeyote ya Corona kutoka ulaya kwa aina yoyote ile hata ni kwa kugarimu maisha yangu.
Ujumbe mzuri Sana watapata taabu Sana hawa mawakala wa ibilisi na kiongoz wao Bill gates.
Kwaheri magufuli we love u
Under
Rip rais wangu nilikupenda sana Ila mwenyezi mung alikupenda zaidi
Huyu alikuwa amejotoa kwa wananchi jamani tutamkumbuka na tutamkosa mnoo. Mungu atuinulie mwenye hofu na upendo wa nchi kama huyu baba yetu Magufuli 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Matumain yangu huend uko mbelen angewapa ujasir Marais na viongoz wengine kwa a Afrika kubadilika kuwa na ujasir kuwa na maamuz magum mbele ya iz nguruwe 😭haleluja tutaonan my Prez da❤️🇹🇿
Kweli kabisaa
Ww
💔💔💔 rest in peace Baba umefanya Mambo Makubwa Sana ya kishujaaaa
Shujaaaaa shujaaaaa
Shujaaaaa shujaaaaa juhudi zako zinaishi daima
Unaongwa kujifrahisha
IPO SIKU UKWELI UTAJULIKANA TU LET'S WAIT
Kabisa
@anna John aliondolewa
Kweli Giza na nuru havitachangamana kamwe ..palipo na uongo ukweli hujitenga😭
VIONGOZI KUMI WA AFRIKA Waliojitoa SADAKA na kuandika HISTORIA KUBWA DUNIANI hawa hapa!
th-cam.com/video/YETj6FP4kcU/w-d-xo.html
Asante kwa kazi nzuri mzee magufuli, nilikupenda lakini mungu Kaku penda Zaidi.. Msikubali chanjo ya covid wa tz fateni maneno yake
Rest in paradise baba
Am a Kenyan Damu, pure Kenyan But John POMBEY Magufuli was My Hero Though i have never met Him, I have been his follower Since the day he was Being Elected to take presidential party. MAGUFULI WAS A HERO, A HERO WHICH I CAN NEVER FORGET IN MY LIFE. REST DOCTOR JOHN POMBEY MAGUFULI. 😭😭🙏🙏
Im a Kenyan bt i loved President of Tz bcoz of the truth na kuwasaidia wanyonge, hawezi linganishwa na maprezo wengine Africa nzima, may your Soul R. I .P
SIRI NZITO Nyuma ya MAISHA YA BRUCE LEE nani ALIYE MUUA na Chimbuko la LAANA YA FAMILIA Part 1 th-cam.com/video/xTaLssx1kp8/w-d-xo.html
mungu wa wazungu hajawah kutuones huruma waafrica wako wapi mashujaaa wa africa kila anae jitokeza kubadilisha maisha yetu anafanyiwa figisu had kuuliwa
Mimi nachuma dhambi tokanisikie kafa nasa wamemuuwa jamani mtanisamehe inawezekana wengine hawapendi maendeleo
@@julihanjosephyjs6361 inauma sana kaka daah
Sijuwi Rais wainagani anatakiwa ukiwa fisadi kelele,ukiwa mkweli taabu uwongozi unakazi mmmhh watu wanaweza kufanya figisu kama vile uwanja wa ndege akitaka kujenga chato yatafanyika kweli
@@julihanjosephyjs6361 mambo meng hayatafanyika
Wazungu wamefanyaje kaka
True Legend JPM is living inside our hearts, inside the Tanzanian hearts... That's true Legend Hon. Doc JPJM
Magufuli ni shujaa wa afrika sio Tanzania hata hapa kwetu Kenya tulihuzunika Sana kumpoteza shujaa wa afrika
Tunamshukuru Mungu kwaajili ya izo siku chache alizokuwepo pamoja nasi, alitakiwa awepo ili tusishuhudie malaki ya watanzania wakifa kwa corona. Amemaliza kazi aliyokuwa ameitiwa.
Imeniuma jamani, mazuri yake, upendo, kujitoa na kututetea watanzania hakika tutamkumbuka. Shujaa wetu was kujivunia kutoka Africa. Pumzilka kwa Amani rais wetu Magufuli.
Inama na tuta endelea kuumia
Revolutionary leader in Tanzania and Africacontinent R.I.P
Pumzika kwa amani kwa mikono ya Mungu.
Kazi umeifanya Mungu umemtangaza kwa vitendo.
Tunda nzuri halikai kwenye mti. RIP my hero.... ❤️🙏
Ingekuwa Africa yote kuna PRESIDENT kama Magufuli, Africa ingekuwa Paradise. Kifo chako sio bure Mwenyezi Mungu atakilipiza. Msikubali Vaccisine au chanjo
Very true,ukweli kabisa,may he rest with angels
Definitely we lost a good man and honest president may he rest in peace I am British from UK
KAMA MUNGU ni mwenye UPENDO na mwenye NGUVU Kwanini ANAACHA TUTESEKE JIBU HILI HAPA
th-cam.com/video/oWrINN1KOvI/w-d-xo.html
RIPS shujaa magufuli jirani wetu kenya 😭😭😭👏👏🙏🙏🙏
Afadhali nife kuliko kuchanjwa korona,,,,nikikubali chanjo ina maana sina Imani na MUNGU wangu,,,,,,
Napenda sana unavyo fafanua ata ukiongeaje mi nakubali sauti iko good
Ttricod media,Asante sana
R.I.P magufuli pumzika kwa amani
Iv kumbe ndo uyu mzee alitrendi kwa kujua idadi ya samaki baharini alitisha kipindiiko dah😢
Hata sijui nielezee vipi gisi ninaumia. R.i.p Mr hero may your soul rest in peace. amen and amen
Thank you sis 🙌
Jmni kma n siri nyinyi mlijuaje ebu tuache siasa tuombe mungu amueke pema peponi
Yaani kila nikibadilisha Chanel nakutana na majonzi siwezi kuangalia TV Yangu chozi linanitoka kila nionapo sura ya rais wangu JPM it's so painful
Poleni
Wallah me hata kutazama picha naona uchungu natamani hata wasitoe picha mana msiba hauishi
I’m a Congoles but I lived in TZ, John Magufuli make me crying 😭 I loved him so so much but God decided we can’t stop him 🙆🏾♂️🙆🏾♂️🙆🏾♂️😭😭😭😭😭😭
Moyo wa huzuni nikikmbuka, akisema tufunge kwa kusali ili Corona ipishe mbali ili hali viongz wa dini ndiyo lilkuwa jukumu lao. Cha ajabu haya madhehebu maarufu Wala hayakumpongeza wazwaz.
Kila nikuanapo picha zako najikuta machozi yakinitoka😭😭😭😭
Mbele yake nyuma yetu amen
Baba umeacha watoto shujaa Na wataendelea ulipo achia Amen
May the Almighty God grant him internal Peace. Amen
Kizuri hakidumu...hii kauli inauma lakin ni kweli..Mungu atusaidie tu 😒
Yani hatuitaki hiyo michanjo yao hata moja kuingia humu nchini kwetu waache watumie wengene
Mm huwa napenda kukuckilza xana mungu akubariki na akupe umri na maishi maadui wackuone
Uko sahihi sana bro watu wanaropoka sana wanasahau kwamba wangekua ndani wasingepata huo mda wa kuropoka
Magufuli hangekaa sana maana alikua mkombozi pia wa Africa
Inauma kwakweli daah
Yaani hata ukisimulia Hayaishi mungu amrehemu nimakubwa kafanya
Kizur hakidumu
Fact
hongera baba
Magufuli was the most world thinker of ourtime
Rip
Tamaa zapesa zimetupotezea kiongozi wetu shupavu magufuli umetuuma sn uliokua awakupendi wenye ubadilifu wapesa maela wakua nayo mengi lkn hawalizik mungu tunakuomba usimamie ili na ujb
Mungu anasababu ya kuruhusu hili litokee yaani alitupa zawadi na ameichukua Tena hivyo mungu ndo mwamuzi hatuna budi kushukuru kwasababu kazi ya mungu haina makosa jina la bwana libarikiwe, moyo wangu vumilia Sana japo maumivu nimakali Kama Moto we vumilia.
Kweli kabisa
@@rosersanka1115 Inauma Sana
@@rosersanka1115 Amen
Afrika tunaliya sanaaa😭😭😭RIP mukombozi wetu
Doha inn he was r precious stone safiri salama mungu atarida watu wako
Anaetuharibia ni Lissu anatuchafua sana ebu tupe historia ya lissu
Mpaka afe
@@mushyenock6975 na hata yeye kama akifa historia yake itakuwa nzuri mpaka utashangaa
Amin bro nimekusikiliza sana nanaamin ulichokiongea najua bado atakua nassi sikuzote japo hatokua ana oonekena
Africa Africa💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
So tuseme freemason wamehusika kumaliza magufuli, pole watanzania from 🇰🇪
Asante mamii
Kabisa
Pumzika kwa Aman baba maguful
✊✊✊👍👍👏
Let us protect our Africa
Tunapaswa sisi waafrika ndio tutunze historia yake na sifa zake wazungu waandike zakwao
Fact
Viongozi wa kiafrika munapasa muige mfano wa Magufuli ili Africa iheshimike
Magufuli Baba, mbona umeondoka wakati tungali tunakuitaji mfalme wetu wa Africa? Kwanini unatuacha wachanga hivii baba? Je, tutalelewa nanani mzee wetu? Africa yote tunakulilia baba, ingelikuwa heri urudi, ao kuzaliwe mwengine basi kama wewe.
Tanzania, je!! mlishindwa kweli kumlinda Magufuli ili andumu wala amalize mda wake kweli? Yaani najiuliza maswali mengi nakosa jibu, sijuwe nitapata jibu wapi. Nilikupenda sana Mzee wangu, baba, babu, rafiki wawote, Raisi wa Tanzania, pia wa Africa yote.
Yaani..inaniuma sana.
Je, Mungu! Uko hai kweli? Mbona waliowako awandumu nawakati unasema wewe niwa jana, leo na kesho? Tupe jibu kama uko Mungu uliye haii..najibu iyo tanataka kwako ni kwamba utupe mwengine kama yeye Magufuli.
Usikufuru Mungu yupo hai na kampumzisha mtumishi wake nasi atatulinda Wala taifa halitateketea
😭😭😭😭😭
Mungu amukubuke
Wamarekani niwabaya sana
Khaaaaaa kaka nilikusubiriya kwahamuuuu
Tupo pamoja kaka upo vizuri kwenye kutuhabarisha
Twawapata pamoja sana ,
R.i.p Mweshimiwa JP Magufuli🙏.
Shukrani sanaaa
Mkenya hapa. Lala salama gwiji
Mm nljua tu kuhusu hzo cku kufanana kwa kifo bhas kuna k2 sio bure sasa tuchambulie
My hero, hakuwa Mwizi kama ma rais wengi bara la Africa.
"Aliweza, aliweza aliweza" inatumika vibaya kaka mtangazaji
Baba mkombozi wetu jembee letu umetuachia mpini tu tufanyaje 😭😭😭😭😭😭🙏
Tunasubiri maana ya namba. 17/2/2021 na 17/3/2021
Sio mbaya lazma first born wangu nitamuita Magufuri
yaarby😥😥😥😥😥😥😥
Kuna baadhi ya watu nawachukia kwa sasa sipendi hata kuwaona yaani toka rais wetu mpendwa ametutoka nimejawa na chuki ya ajabu
Watu gani tena jamani?
Magufuli anaishi nasi milele
Pumzika kwa Amani mpambanaji wetu, tutakukumbuka daima milele
😭😭😭🙏🙏🙏kweli kabisa tutamukumbu kasana apumuzike kwa amani tumepoteza sana tumekosa kidume kwakweli ni majozikilasiku nikuzidi kumuhombeya sana nasisi bimebaki tujitambuwesana tusiju kupoteya maneno yake yawe kazi kwetu na bijuku byetu tuant mbiye babauetu alitu pigani akajitowa sadaka kwetu magufuli wetu tutakukumbukasana kila tuki kumbuka tutaliya sana tumepoteza😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
Agreat son of Africa hatutapa kama magufuli
Mungu aipokee roho yake mbinguni wazungu ni kweli maadui ila wanawatumia waafirica wenzetu kuwaangamiza wezetu ila wasio na akili kama lissu nawenzake watumika. Mzungu hawezi kuuingia dani ya nchi kama hakuna mwafirika kuwaongoza ni vibaya lakini kumbukeni kwamba hata yuda iscarioti aliye msaliti yesu. Yeye alijinyonga?.je lissu na wenzake wataishiaje? Na hao mabeberu wao?
😪😪😪🤤
😪😪🇹🇿🕯️
😪😪😪😪
🇹🇿🙏
rest
Amina sana
Hilo ndo la kuomba
Hii ni world war without weapon
Wazungu walishiriki sn .hawapendi tuwe na viongozi wazuri
Mimi naumia Hadi leo Ila machozii yetu hayata Toka bulee tutalipyaa tu watanzania hasa wale wanyongee
Drop namba yako hapo chini chief
mapema tu nakubal kaka
Umesahau stendi ya mbezi
ameitaja inaitwa ya MAGUFULI
@@shalomizrael667 ok
R i p mutakatifu wetu mukomboziwetu natukipata ma rais kama hawa kumi Africa inakomboka katika mikono ya wazungu