A-Z PADRE mwanajeshi HENRY RIMISHO aweka MAZITO HADHARANI, CHUO KIKUU CHA ARDHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • #HENRYRIMISHO #ARU #MWANAHALISITV
    Mwishoni mwa wiki iliyopita kulifanyika mahafali ya 15 ya Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) jijini Dar es Salaam.Miongoni mwa wahitimu katika mahafali hayo ni Padre wa Kanisa Katoliki, Henry Rimisho alihitimu shahada ya uzamivu (PhD).
    MwanaHALISI TV limefanya mahojiano na Padre Rimisho na kuzungumzia njisi alivyopelekwa nchini Cuba, Kenya, Sudan na mavazi ya kijensi alikoyapata.
    Amegusia mchezo wa Simba na Yanga wa 11 Desemba 2021.
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
    🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

ความคิดเห็น • 275

  • @claraachok2319
    @claraachok2319 ปีที่แล้ว +10

    we really miss you here in south sudan father, i hope you are still a militray father. we are really proud for the service you did to us here in Rumbek. our president is still giving example of your service. if you were still here you would have been given a rank of major general in the military

  • @abuelolongavida7261
    @abuelolongavida7261 2 ปีที่แล้ว +17

    This is a serious man....he knows more that what he tells, big up father!!

  • @justinejackson1731
    @justinejackson1731 2 ปีที่แล้ว +3

    Dah!!!! Itoshe kusema, Mungu azidi kukubariki🙏🙏 kuna mengi natamani kuyasikia kutoka kwako, naamin kabsa yapo mengi Sana hatujayaskia na kuyafahamu kutoka kwako...stay blessed Dr.

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 ปีที่แล้ว +2

    Ongera sana Fr Rimisho, Mungu azidi kukupigania nakukubariki,hakika Mungu anakutumia kimwili na kiroho,na Barikiwa sana na utumishi wako.🙏

  • @MaaneML
    @MaaneML 2 ปีที่แล้ว +19

    Brilliant Fr. Dr Henry Rimisho. This is what is called determination and working hard. Keep it up my brother. ❤️❤️🌷🌹🌷💐💐🌺🌺🌺

  • @deodartngaiza6664
    @deodartngaiza6664 2 ปีที่แล้ว +13

    Congrats Fr Dr Rimisho for hard working you faced.

  • @shau78
    @shau78 2 ปีที่แล้ว +19

    kutokuwa na familia kulimsaidia sana Padri kwenye kazi zake nyingi na nzito alizofanya. hongera sana Padri

  • @MaaneML
    @MaaneML 2 ปีที่แล้ว +7

    As you speak you look very wise and intelligent. Brilliant mind and brain. Bravo Fr Henry Rimisho. My home brother.

  • @PoorClaresMyanga
    @PoorClaresMyanga 2 ปีที่แล้ว +5

    I was so blessed to meet this man of God.

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 ปีที่แล้ว +4

    Tyk Baba Rimisho.Hongera sana kwa kuamaliza....Mungu akulinde daima 🙏.

  • @vianemakarious6395
    @vianemakarious6395 2 ปีที่แล้ว +5

    Hongera sana father,tumia vipaji hivi kuilinda imani.

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 2 ปีที่แล้ว +5

    Hongera Sana padre unahistoria nzuri uliyopitia HATA uwezo WAKO wa NGUMU wa kikomandoo hiyo safi ..KWA kujilinda ..

  • @neemarenaida6667
    @neemarenaida6667 2 ปีที่แล้ว +14

    Very proud to have a such Priest ,God bless you fr so that preach the word of God allover the world

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 2 ปีที่แล้ว

      Huo ni upumbavu kwani yanafaida gani kwa Mungu?

    • @neemarenaida6667
      @neemarenaida6667 2 ปีที่แล้ว +2

      @@elishakayagwa9371 kwani hilo neno lako ulilosema kwamba ni upumbavu ,kwa Mungu lina faida? Food for thought!!!!

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 ปีที่แล้ว +9

    Mungu akubariki sana baba yesu akupe nguvu zote

  • @vfacilitator8398
    @vfacilitator8398 2 ปีที่แล้ว +23

    Tumuombe Padre ombi moja: Uandike Autobiography yako. Tutainunua wengi.
    Bahati nzuri, ukimtumia publisher wa kisasa utaweza kui publish kwenye lugha nyingi kwa wakati mmoja, k.m., Kiswahili, Kiingereza, Kihispaniola, Kireno, Kifaransa, n.k.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      Akiona ni Wazo jema

    • @vfacilitator8398
      @vfacilitator8398 2 ปีที่แล้ว

      @@trophywilson7211 Yule Father yuko vzuri. Haikosi ameshaisoma tayari na yuko anaifanyia kazi. Isipokuwa kwenye mashirika ya kiroho kutakuwa kuna taratibu zake ambazo itabidi azifuate na kuomba vibali kwa viongozi wake. Kwa upande wa jeshini pia mambo ya huko sio mambo ya kusimulia uraiani, labda kwa juu juu tu.

  • @josephinekabyemela9111
    @josephinekabyemela9111 ปีที่แล้ว +1

    Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa vipaji anavyotoa kwa watu wake hongera padri Remisho

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 2 ปีที่แล้ว +4

    Mwandishi hovyo kabisa! Hapo angekuwa Millard tungemfaidi sana huyu Fr

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera Sana Fr. Dr Henry Rimisho

  • @Deonfnyoni
    @Deonfnyoni 2 ปีที่แล้ว +6

    Hongera fr natamani kuwa kama ww pia nafarijika na kuwa fahari kuwa mkatoliki

    • @neemarenaida6667
      @neemarenaida6667 2 ปีที่แล้ว +2

      Safi ,ipo siku unalotamani Mungu atakujalia we amini tu

  • @fulgencendyamukama742
    @fulgencendyamukama742 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Father kwa kipaji kikubwa ulichojaliwa na Mwenyezi Mungu.

  • @egonmatwiga9102
    @egonmatwiga9102 2 ปีที่แล้ว +4

    Hongera Baba kwa bidii zako mpaka kufkia hatua hyo

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 2 ปีที่แล้ว +17

    Wanao mfananisha na regnald mengi waje

    • @SalumKanju-ik1bk
      @SalumKanju-ik1bk 5 หลายเดือนก่อน

      hahaha we mshenz kwel hahaha aisee anafanana kweli na mzee mengi

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 2 ปีที่แล้ว +13

    Hongera xana, nchi yako umeitumikia vyema. Naweza kusema ni miongoni mwa wazalendo wachache. Mungu akujalie maisha marefu.

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 2 ปีที่แล้ว

      Sema Mungu amjalie mwisho mwema,/maisha mareu yenye baraka maana anaweza kujaliwa maisha marefu ye dhiki/yasiyo na baraka.
      Aongeze CVs pia kwa kuusoma Uislamu kwania njema tu.

    • @ernestlaiza1176
      @ernestlaiza1176 ปีที่แล้ว

      @@alhaddajmohammed4768 unawashwa

  • @hamadiacha2mwambamtalika272
    @hamadiacha2mwambamtalika272 2 ปีที่แล้ว +5

    Padre nimekusikiliza kwa kina ila sijakupatia jibu we noma na TANZANIA kiboko

  • @nelsonmataba1426
    @nelsonmataba1426 2 ปีที่แล้ว +1

    He knows more than he delivers....

  • @abdulibatenga7281
    @abdulibatenga7281 2 ปีที่แล้ว +4

    Nyerere alikuwa anaanda majasusi mapema sana wakiwa wadogo

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      Aise

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 2 ปีที่แล้ว

      Sasa majajusi tunashinda nao baaada huku wakionyesha bastola zao kiunoni

    • @sabinaonline6575
      @sabinaonline6575 2 ปีที่แล้ว

      @@ChoroTesla 😀🤭

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 2 ปีที่แล้ว +7

    Angekuwa Sheikh angeambiwa Gaidi

    • @shafiijuma2980
      @shafiijuma2980 5 หลายเดือนก่อน

      hakika

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 gaidi na katambulishwa na mkuu wamajeshi?😂😂 Mnapenda kujistukia nyie😂😂😂

  • @wilbrodtungaraza6204
    @wilbrodtungaraza6204 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Sana Baba Rimisho

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 2 ปีที่แล้ว +24

    Hongera sana Dr Henry. Umekuwa mfano mzuri sana kwa TZ.
    Huyo mwandishi ana maswali ya wivu binafsi na wala hayajengi

    • @kenybenjiz7850
      @kenybenjiz7850 2 ปีที่แล้ว +2

      Mwandishi ni kanjanja
      Tanzania waandishi sahvi ni wa ovyo
      Washazoea kureport habari za umbeaumbeq

    • @edinaikunda1259
      @edinaikunda1259 2 ปีที่แล้ว

      😃😃😃wandishi makanjanja sana

    • @bensonlucas7607
      @bensonlucas7607 2 ปีที่แล้ว +1

      Siyo maswali ya wivu ni maswali mazuri sana na ndiyo yaliyotufanya tupate historia nzuri ya mpiganaji na mtumishi wa Mungu.hawa watu huwa ni muhimu sana vitani na wanatumika sana sana

  • @marthamsafiri3582
    @marthamsafiri3582 2 ปีที่แล้ว +3

    Talented &gifted Father, may God bless u 🙏

  • @usanifumaandishi7519
    @usanifumaandishi7519 2 ปีที่แล้ว +2

    Kulikuwa na maswali ya msingi sana kumuuliza huyu mwamba, Mtangazaji anauliza maswali ya kitoto tu

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm ปีที่แล้ว +1

    Irudishwe serikalini tena. Vijana wetu si wa Melalatu, wamellegea sana. Hawana uzalendo kabisa. Wako tayari kujiuza na kuuza nchi.

  • @bahatimwakasambala4666
    @bahatimwakasambala4666 2 ปีที่แล้ว +2

    Safi

  • @josephlupasha6228
    @josephlupasha6228 2 ปีที่แล้ว +7

    Wewe Mwandishi ni Mpumbavu huna ethics huyo anakuzidi Kila kitu unauliza maswali kipumbavu sana, lkn kwa vile unauliza msomi amekustahi tu.

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 11 หลายเดือนก่อน

    Safi sn mtumishi Mungu akubariki

  • @felisterkokuberwa5783
    @felisterkokuberwa5783 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana fr

  • @valeassenga2958
    @valeassenga2958 2 ปีที่แล้ว +1

    Duuu hongera sana

  • @josephpetermaganga2907
    @josephpetermaganga2907 2 ปีที่แล้ว +1

    Hatari sana hii

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 5 หลายเดือนก่อน

      Hilio ndiyo kanisa katoliki...mwenye masikio na asikie..

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 2 ปีที่แล้ว +3

    Hongereni wachaga.Prophesas👌

  • @mussaandrew2083
    @mussaandrew2083 2 ปีที่แล้ว +2

    👏🏼👏🏼

  • @MBATINOFILMS
    @MBATINOFILMS ปีที่แล้ว +1

    yes 😋😋😋

  • @filaretoskimaro3959
    @filaretoskimaro3959 2 ปีที่แล้ว +3

    Ongera sana fr.mimi karne unanikumbuka?.

    • @ahmedsultan8561
      @ahmedsultan8561 2 ปีที่แล้ว

      Km ingekua muislam angeitwa gaidi, na ingesemwa vipi mtumishi wa Mungu wapate wafunzo ya kijeshi, nakumbuka wkt wa makamba mkuu wa mkoa kuna watu walikamatwa kwa kufanya mazoezi eneo la msikiti

    • @denisharris2889
      @denisharris2889 2 ปีที่แล้ว

      @@ahmedsultan8561
      Magaidi wote hufanya Mazoezi yao nje ya taasisi kubwa kama Nchi. Hii inaonyesha Uwalakini. Ni sahihi kuhisiwa ni mipango ya ugaidi. Tafakar..

  • @kennywilliam2466
    @kennywilliam2466 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwa Huyomkatoriki kuvaa nguo za kijeshi hali yakuwa ni padre hongera ni nyingi sana na serikali imefumba macho kama haipo vile ila angekuwa shehe wangemjulisha na mbowe harafu utaskia serikali haina dini eenyi kizazi cha nyoka mungu awahurumie.

    • @drjbmsige4098
      @drjbmsige4098 2 ปีที่แล้ว

      tulia wewe ushaambiwa mafunzo ya kijeshi kapatia cuba tena akiwa na miaka 11, wewe ukiwa na miaka 11 si hata kamasi ulikuwa hujui kutoa??

    • @kennywilliam2466
      @kennywilliam2466 2 ปีที่แล้ว +1

      @@drjbmsige4098 nafurahi kuona kwamba umejibu hiyo ni uthibitisho kwamba hiyo ni pressure point na ujumbe umefika

    • @stanlaymanya687
      @stanlaymanya687 2 ปีที่แล้ว

      Kweli we jembe mikono enyewe ina sema

    • @nancychuwa4870
      @nancychuwa4870 ปีที่แล้ว

      Ni kwa sababu ya tabia zenu za kuua na ugaidi

    • @issaathumani7610
      @issaathumani7610 ปีที่แล้ว

      @@nancychuwa4870 bado na wewe ni miongoni mwa watanzania walionezeshwa sumu ya udini.

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 2 ปีที่แล้ว +3

    Hiyo sare ni jeshi la nchi gani

  • @laurentkimbatummassy8075
    @laurentkimbatummassy8075 2 ปีที่แล้ว +1

    Born in 1969, 1984 kaenda Cuba after a year of training akarudi akiwa na 12 or 13 years of age..........

  • @fadhilapretty5876
    @fadhilapretty5876 2 ปีที่แล้ว

    Jaman , mnataka kibarua cha mwandishi kiote nyasi? ??

  • @johnchuwa2888
    @johnchuwa2888 2 ปีที่แล้ว

    Naweza kupata namba yake?

  • @tumainimoshy207
    @tumainimoshy207 2 ปีที่แล้ว +3

    Kama kuna namna ameficha mambo.
    Tuambie tu Padri

  • @emmadeprincetv6133
    @emmadeprincetv6133 2 ปีที่แล้ว

    Duh uko njema aise dr...💪💪
    but hilo vazi la kenya

    • @gracejulius3966
      @gracejulius3966 2 ปีที่แล้ว

      Njoo uchukue Mali yenu

    • @renatusmatungwa6506
      @renatusmatungwa6506 2 ปีที่แล้ว

      Sio vazi tu hata padri huyo ni mkenya ni wa kwenu 😆😆

  • @mligosandrah7851
    @mligosandrah7851 2 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaji una maswali ya hovyo

    • @kenybenjiz7850
      @kenybenjiz7850 2 ปีที่แล้ว

      Sahv kuna tatizo kubwa la waandishi
      Huyo mwandishi anamuhoji padri utafikiri anamuliza maswali mondi konde au baba levo

  • @vhiedkc859
    @vhiedkc859 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwandishi hovyo hovyo sijawai ona kabisaaa

  • @bensonlucas7607
    @bensonlucas7607 2 ปีที่แล้ว

    Safari ndefu sana lakini yenye mafanikio bila kukata tamaa.

  • @lastgospel706
    @lastgospel706 2 ปีที่แล้ว +4

    MWANDISHI FOOLISH SANAAAAAAAAA AACHISSHWE KAZI MAPEMAAAAAA MNOOO

  • @visensiakagombora6260
    @visensiakagombora6260 2 ปีที่แล้ว +3

    Mtangazaji anataka mumfahamu ndio maana anauliza maswali ya kina

  • @malakimollel6044
    @malakimollel6044 2 ปีที่แล้ว

    Watu waende shule jamani..mwandishi wa habar jingajinga sana

  • @fredmbossa
    @fredmbossa 2 ปีที่แล้ว +1

    Shushushu gusa unase,,,,,,

  • @ambrosromanus9547
    @ambrosromanus9547 2 ปีที่แล้ว +6

    Catholics waache tu, yaani falsafa plus theology n.k lakini wanyenyekevu unaweza uchukulie poa!! I guess huyu Ni jasusi wetu kabisa

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 2 ปีที่แล้ว +1

      Upo sahihi kabisa.
      Walio debe tupu ndio wanapiga kelele.

  • @mimiming9591
    @mimiming9591 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza2555 2 ปีที่แล้ว

    Padri anatamani amfukuze maana anavomhoji anaona kabisa ninahojiwa na jinga

  • @kulwamwakagali24
    @kulwamwakagali24 2 ปีที่แล้ว +2

    Muandishi anataka padre rumisha akubali kusema kama yeye ni jasusi..😂😂

  • @Mwanamkesahihi01
    @Mwanamkesahihi01 2 ปีที่แล้ว +6

    Wemwandishi Huna Hekima wala Huwezi kuhoji watu wa kada fulani foolish and sheme

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 2 ปีที่แล้ว +1

      Kama anahoji mtoto yn, vitu vingi vya maana anauliza upuuzi tu.

  • @massoudsultan6149
    @massoudsultan6149 2 ปีที่แล้ว +2

    Perfect education /// sio comedy ya msukuma

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 ปีที่แล้ว

      Massoud pole sana jitahidi na wewe uwe kama msukuma unasumbuliwa na wivu aliyepewa kapewa ukitaka pambana na wewe kama msukuma

    • @carolsalvii281
      @carolsalvii281 2 ปีที่แล้ว

      Nakupongeza sana Ndg yangu kwa kuijua ngonjera ya Msukuma!
      Hamna lolote hapo kwa Msukuma, uongeaji tu sana! Mtu kuongelea suala la Msukuma sio wivu bali n ujasiri

    • @carolsalvii281
      @carolsalvii281 2 ปีที่แล้ว

      Uko sahihi kabsa Ndg yangu

  • @gidongole6143
    @gidongole6143 2 ปีที่แล้ว

    Ndugu hasila

  • @johnchuwa2888
    @johnchuwa2888 2 ปีที่แล้ว +1

    Hawo ndio wasiojulikana

  • @berthandollo3227
    @berthandollo3227 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakunaga padri mjinga bana

  • @mzazi1467
    @mzazi1467 2 ปีที่แล้ว +1

    Da mwanahlis jitafakarini asee, mwamtuma mtu akahoji akiri kubwa hivo du! Anahoji kma police du?!

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 2 ปีที่แล้ว

    Mwandishi ana maswali ya udaku tu badala ya maswali ya msingi

  • @fredmbossa
    @fredmbossa 2 ปีที่แล้ว

    Katika kazi ambazo nilikuwa nazipenda za shushushu ,,,lakini tangu nizaliwe sijuhi nafasi zake zinapatikana vipi !? Maana sijawai kuona nafasi zake zinatangazwa

    • @mackenzie8037
      @mackenzie8037 2 ปีที่แล้ว

      Umbea na usnitch unauweza?

  • @kulwamwakagali24
    @kulwamwakagali24 2 ปีที่แล้ว +1

    Mfumo wa sauti ya mwandishi haupo vizuri thus why mnaona kama anaongea kwa kibabe..

  • @berthandollo3227
    @berthandollo3227 2 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji ni ovyo

  • @ahmedmeddy6022
    @ahmedmeddy6022 ปีที่แล้ว

    Jeshi hata miaka 18 haja fika? Komando? Sijawahi kuona hapa umetupiga Padri... Kikubwa wewe ni Mtu wa mungu na msomi

  • @peterchristopher5216
    @peterchristopher5216 2 ปีที่แล้ว

    Huyu Padre anaelezea vzr kuliko mwandishi, mwandishi anauliza maswali ya kipolisi ambayo hata mimi nisiye na taaluma ya uandishi siwezi kubolonga hivyo.

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn ปีที่แล้ว +1

    Nadhani ipo haja ya kuona namna nzuri ya kutumia nomino/misamiati. Mtoto wa shule ya msingi akienda nje ya nchi kwa mwaka mzima na ktka mafunzo/chuo havitajwi kwa uwazi, si sahihi akirudi nyumbani kumwita mwanajeshi! Vyuo vyote vya kijeshi nchi za nje vinafahamika na kozi zinazoendeshwa huko zinafahamika. Na katika vyuo hivyo wanaenda watu wazima si watoto wa s/msingi. M'habari unayehoji, jitafakari upya, u'wa habari ni pamoja na kuwa mahiri wa lugha na hivyo kutumia nomino/misamisti sahihi kwa tukio unalolifanyia taarifa (coverage).

  • @deuswilbard6645
    @deuswilbard6645 ปีที่แล้ว

    Just war theory in practice

  • @mamyomar1241
    @mamyomar1241 2 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa atakuwa ana mkubwa anamlinda, kwani kunakijana kwenye miaka ya nyuma alijihusisha na mambo ya upadri akiwa jeshini na aliachishwa jeshi.

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 2 ปีที่แล้ว

    TISS

    • @ezesolo4861
      @ezesolo4861 10 หลายเดือนก่อน

      hahahahahaha

  • @istudiohimo2113
    @istudiohimo2113 2 ปีที่แล้ว

    Mwandishi umezingua

  • @sheikhabdillahmassawe5302
    @sheikhabdillahmassawe5302 2 ปีที่แล้ว +9

    Ingelikuwa ni Sheikh angeitwa Gaidi

    • @sarafinafranci8481
      @sarafinafranci8481 2 ปีที่แล้ว +6

      Mnajulika kwa ugaidi ndo maana mnajishuku, mapadre hawana hiyo sifa.

    • @gracejulius3966
      @gracejulius3966 2 ปีที่แล้ว +1

      Haifai kusema hivyo

    • @georgealoyce4849
      @georgealoyce4849 2 ปีที่แล้ว +3

      Sheikh sio kauli nzuri, masheikh ni watu wazuri na wanautu ndani yao, huwezi na hupaswi kuwafananisha na magaidi ambao hawana utu.

    • @emmanuelshayo4703
      @emmanuelshayo4703 2 ปีที่แล้ว +1

      Mngekuwa mnajua nini maana ya upendo msingeitwa hiyo

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 ปีที่แล้ว

      Sheikh wewe ungepatamafunzo kamahuyo ugetumiakwaniaovu

  • @miltonjohn1402
    @miltonjohn1402 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyu padre anamapapo ya uwongo. Siyo mwanajeshi wala nn. Mwanajeshi hawezi kuongea utumbo hivyo, wanakuwa Makini Sana.

  • @harsdonazaria2501
    @harsdonazaria2501 2 ปีที่แล้ว

    6hyl

  • @JESKAPILLI
    @JESKAPILLI ปีที่แล้ว

    Uwongo unao wewe unae andika sms isiyo faa, Kama hujasoma kaa kimya wewe

  • @yudathadeiassenga1178
    @yudathadeiassenga1178 2 ปีที่แล้ว

    Mwandishi kajifunze namna ya kufanya interview na watu wakubwa, wewe unafaa kuhoji watoto chini ya miaka 18, mtu mwenye PhD unahoji kama unamhoji mtoto eti ehe ehe ehe, hujui umachohitaji kujua, unajiulizia tu! Wewe ni wale wanaibuka na kujifanya waandishi kumbe zero kabisa! Nenda kauze nyanya acha hiyo kazi

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 2 ปีที่แล้ว +5

    Mapadre wote waige mfano wako

    • @paschalinaismail6523
      @paschalinaismail6523 2 ปีที่แล้ว

      This is by the way, not purpose of priestly vocation! So, sio priority mpaka mapadre wote waige mfano!

  • @praygodmtui1407
    @praygodmtui1407 2 ปีที่แล้ว

    Mwandishi unatakiwa urudi tena shuleni

  • @reginaldhhayuma6907
    @reginaldhhayuma6907 2 ปีที่แล้ว

    Very stupid mwandishi. Hana skills za kufanya interview. Mpaka nimeshindwa kuendelea kuangalia

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 2 ปีที่แล้ว

    Mshika mbili moja humponyoka. Sasa wewe unamtumikia nani?

    • @salomecaroly5534
      @salomecaroly5534 2 ปีที่แล้ว +1

      Kila Padre unayemuona ni msomi haswaa na ana taaluma yake sio kama hawa wachungaji wetu

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 5 หลายเดือนก่อน

      Acha wivu..

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 ปีที่แล้ว +11

    Fr Rimisho....wenye wivu wajinyonge..hyo ndo baba lao...🙏❤️🎩🎓🙏

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 2 ปีที่แล้ว +10

    Ila mwandishi hujaweza kubadilika na mazingira jitahidi kutofautisha interview zako na namna ya uwasilishwaji wa habari yenyewe.. huyu unamuhoji kama imetokea tuu umemkuta njiani ukaanza kumhoji wakati ni mtu muhimu sana!

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 2 ปีที่แล้ว +11

    This is amaizing Father🌺🌺🌺🎉

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 ปีที่แล้ว +4

    Kumbe masters na PhD jamaa amae someshwa na serikali aisee huyu sio mtu wa kawaida na ame faulu kwa kiwango cha SGR

  • @rosenjau1091
    @rosenjau1091 2 ปีที่แล้ว +6

    Mtangazaji hayupo makini kabisaa..kazi hamfai Sema kwakuwa anamuhoji padre ndiomaana anamvumilia..hongera Sana padre wetu umekuwa mfano wa kuigwa barikiwa🙏🙏

  • @abbakariissa7838
    @abbakariissa7838 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwa mtu aliyesoma ardhi architecture anamjua huyu mkulungwa vizuri. Ana CV nzito zaidi aliyoieleza. 2likuwa tunamfaidi darasani.

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 2 ปีที่แล้ว +8

    Waoo tunajifunia kuwa nawe Congratulations Rev Dr

  • @katambisimon9840
    @katambisimon9840 2 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂
    Mtangazaji anaonyeshwa thesis mbalimbali anabaki kushangaa tu,hajui kinachoendelea..
    Shule jamani..shulejamani...

  • @katambisimon9840
    @katambisimon9840 2 ปีที่แล้ว +3

    Dr Henry yuko vzr, shida ni huyo mtangazaji hajajipanga,maswali yake hayako organized,anafanya interview isinoge

  • @elvisurio4095
    @elvisurio4095 2 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana Father Herny, ila mwandishi hana weledi wakuuliza maswali. Mwanahalisi Tv waandae wandishi wenu vizuri

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 2 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana hata kama umepandikizwa kazi ya Mungu ni usalama wa raia wake pia. Nani aliyesema padre hawezi kuwa manajeshi? Mungu akubarikibsana

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 2 ปีที่แล้ว +8

    Yani maswali ya uyo mwandishi,,,ni utazani amuuliza mtuumiwa au mtoto wajirani ambaye hajawai muona katika mtaa anae ishi na kuku weke akiwa ameibiwa,,,naitaji kujua Elimu ya uyo mwandishi

  • @toma634
    @toma634 2 ปีที่แล้ว +5

    Baba hongera sana ❤️🙏🏻

  • @josephatmakuka4860
    @josephatmakuka4860 2 ปีที่แล้ว +5

    Hakika ubarikiwe sana