Hakika ndugi etu abuu Nu'aym umefanya jambo bora kwa kuwajibu Hawa watu wa matamanio, wangekaliwa kimnya fitna zao zingeasi sn kwa watu wasiojua kitu katika sheria ya Allah. Allah akuhifazi ndugi etu na akujalie hirsi katika kutafuta elmu.
@@ibnsalim3 kwaiyo kwani we unatak nin kunirepoti au ,wakati apo kuna maswli nkikuliza utachoa macho tu, Ntajiee bidaa moja aliyofnya Rogo ,Napia Kama Nin khawariji Alitoka katika Twaa ya Amiri gni ,Na Amir Huyo Kapewa Baaiya Nani Au wee Umetoa Baiiya kwa hyo Amiri ?
Mashaallah khutba mzur sana kwakweli shkh abuu muawiya amefanya kazi kubwa na kwa mda mdog allah ampe ujira wake kamili katika hasaant zake na amsameh makosa yake
ALLAH AMREHEMU SHEIKH ABUU MUAAWIYA MM CKUWAHI KUMUONA WALA CKUA NIKIMJUA HAPO AWALI LKN NILIJARIBU KUMSIKILIZA NAKUMFATILIA BAADH YA DURUSU NA RUDUD ZAKE DHIDI YA BAADH YA MASHEIKH WENZAKE WA KISUNNA KAMA YY VILE NILGUNDUA ALIKUA AKIHITAJI WAKUTANE NA TOFAUTI ZAO ZIMALIZIKE BIMAANA ALIKUA AKITAKA SULUHU KWA NDUGUZE LKN UPANDE WA PILI WA MASHEIKH WENGINE HAWAKUA WAKIHITAJI HILO KWA KIPIMO CHANGU MM MAANA CKUWAHI KUONA WAKIZUNGUMZIA SUALA HILO LA SULUHU SASA UNAMTOAJE KATIKA USALAF MTU KAMA HUYO ITOSHE KUSEMA ALIKUA MTU WA SUNNA TENA MWENYE PUPA KATIKA KIFUNZA NA KUIFATA ALLAH AMSAMEHE MAKOSA YAKE NA AMREHEMU
@@mussakimwaga4645 Ahky huyu Daktur Islam ni hizby kwa msingi upi? Nifahamishe kwa hujjah na daleel. Bila Taasub na taqlid, wewe binafsi leta adila ya uhizbiyya wa Daktur Islam ndio tuelewe wazungumza kiushabiki au kwa ilmu na inswaf.
😮masikini wamemzulum sheikhe wawatu na aliwambia hao wakina Kasi mafuta yakwamba kama kwali yeye ni hizbiya wake mezani kitabu kwa kitabu ukurasa kwa ukurasa wambainishie huo uhizibia wakashindwa Leo hata kwanda kumzila nduguyao wameshindwa mtikhani sana huu usalafi huu 😢😢😢😢😢
Najua limekuuuma Ila mumedhulu na mummah nzima umedhulumiwa Kwa shuki za KASSIM mafuta yaummulkiyama atabeba dhimaaaaa kwakuwakataza waislam wasiende kuchukue elimu Kwa abuuu muwaiyaaaa@@IssaSimbilla-hw9ev
@@ABUUJAAFAR92MAA SHAA ALLAH! UNAJUA TATIZO VIJANA WENGI HAWATAKI KUSOMA......Akikosea salafy mmoja wanajumuisha masalafy wote...na wanaita kuwa ni kikundi cha kisalafy.....Dah! Inna lillahi Wainnaa ilayhi raajiuun
wallahi khutuba mzito sana hivi kweli salafi gani anae frahia kufa kwa ndugue mwislam huyu ND usalafi kweli halafu sheikhe kasema kweli baazi ya hao wanao jiita masalafi wengiwao wanaiga tu elimu hawana
Ukijua misingi ya watu wa batwri huwezi shangaa jambo dogo kama hili kisha sikiliza wanazuoni wanasema nn kifo cha mtu mzushi yyte fatilia ulamaa wanasemaje wala usinge shangaa kbs sema ugeni wa manhaji wengi hamjui misingi na wala hakuna alie furahia kwamba kafa abuu muawia ispokua muawiya kafa hizb ndio Allah amraham
@@IssaSimbilla-hw9evww unaujua uhizibiy unafuata mkumboo watu wakisema na ww uchangie hebu tupee uhizibiy wa sheikh abuu muawiyaa hivi nikuulize WANAWACHUONI na masheikh way WA wanakiri usafi wa Manhaji ya sheikh ABUU MU'AWIYA na nafasi yake na tabia zake nzuri na wana jitihada yake ktk kuieneza na kuisomesha Manhaji salafy nyy mumemuhuzbisha kwa sabb ya chuki zenu na hasad zenu juu ya Elimu yake
halafu mie nashanga kitu kimoja kwann wao wakikosea kwao ni sawa lakini watofauti Yao akikosea wanamva vikali dawatu salafi niyahaki lakini wao ND wanaipeleka vibaya atakae endanao tofauti c mwenzao sasa hii salafi gani jamani
NA HATA HUYO ABUU MUAAWIYAH MWENYEWE ALLAH AMREHEM NA AMSAMEHE MAKOSA YAKE YEYE PAMOJA NA CC . MSIMAMO WAKE ULIKUWAJE KWA SHEKH YAHYA ALHAJURI NA WAFUWASI WAKE AMBAO WAMEPEWA NISBA AU LAQAB YA HAJAAWIRA HEM TWAMBIE MSIMAMO WAKE ULIKUWAJE KWA HAWA VIUMBE HAWA ? KAMA ALIKUWA ANAWANZINGATIA NI MASALAFI SAFI SEMA ILI TUKULETEE USHAHIDI WA KUWASEMA VIBAYA KTK UHAI WAKE NA NAKAMA UNAKUBALIANA NA MIMI KWAMBA ALIKUWA AKIWASEMA VIBAYA KUWANZIA HAJURI MWENYEWE MPAKA WAFUWASI WAKE NITAKUULIZA JEE ABUU MUAAWIYAH NI MWANA WA CHUONI ? .
Sisi hatuangalii tuu kuwa Kuna WALIOMPA udhuru Hajuri tunangaliia jee anasitahiki kisheria kupewa WANAWACHUONI kumpa difaa'i Yahya Al hajuri hakuna kwke SABABU hat moja ya kupewa udhuru au kutetewa kwsabb zifuata kbl ya kumtahadharisha na KUTOLEWA ktk dairaa ya ahalu Sunnah wal jamaa Nasaha na mawaidha kwa muda mrefu sana kwa Siri lkn hakukubali kurudi ktk haki na akawa amekhiyar batwili zake ni tafauti na kadhia ya sheikh Muhammad Al imamu
Assalam alykm waarrahmatullah waabarrakatuh ikhiwani mcheni Allah Sana nyie wafuasi wa Qasim mafuta kiongozi wenu acha kufarikisha watu katika dini ya Allah na uhzibi wako mwogope Allah Sana
Alikua ana amiliana nanani ktk dawa yake wewe mxungumzaji pia hapo unawazungumza watu gn ktk manhaji Yako? Hakuna ujanja tkt batwir shekh mnaamiliana na kinanani ktk dawa yenu 😂?
Ikisha radi itakuja mvua Hamna kazi ya kufanya ila kutia fisadi na kueneza fitna katika uislamu kama alivofanya Muawiyah bin abisufyan na mwanawe yazid bin Muawiyah bin abisufyan.
Ss kwa mfano hapo mupige Raddi Gani na yote ni ya ukweli wenye wao wanafahamu na wanayakiini walioyafanya hayakuwa sahihi ndio wamenyamaza kimnyaa na wataendelea kunyamaaza kwasbb hakki pekee ndio Huwa juu batwili siku zote Huwa chini
Ipo siku mtajua, salaf inapasuka vipande.... Anayejiita salaf anaonwa sio salaf kwa mtazamo wa sheikh mwengine.... Nahuyo anayeonekana amenyooka anaonwa hafai na mwengine..... Ayan vurugu mechi tu
Allah amrehemu kipenzi chetuh abuu mua'wiyyah
Aamiin
Hakika ndugi etu abuu Nu'aym umefanya jambo bora kwa kuwajibu Hawa watu wa matamanio, wangekaliwa kimnya fitna zao zingeasi sn kwa watu wasiojua kitu katika sheria ya Allah. Allah akuhifazi ndugi etu na akujalie hirsi katika kutafuta elmu.
Fitna zao zingeasiri sn
اللهمّ من أرادنا وأراد المسلمين بسوء فأشغله بنفسه اللهم عجل بزوال باطل وأهله
Mashallah sheikh Aboud rogo naisikia Sauti yake hapa
Aboud rogo ni khawarij na mubtadi'iiyy mkubwaa
@@ibnsalim3 kwaiyo kwani we unatak nin kunirepoti au ,wakati apo kuna maswli nkikuliza utachoa macho tu, Ntajiee bidaa moja aliyofnya Rogo ,Napia Kama Nin khawariji Alitoka katika Twaa ya Amiri gni ,Na Amir Huyo Kapewa Baaiya Nani Au wee Umetoa Baiiya kwa hyo Amiri ?
Mashaallah khutba mzur sana kwakweli shkh abuu muawiya amefanya kazi kubwa na kwa mda mdog allah ampe ujira wake kamili katika hasaant zake na amsameh makosa yake
ALLAH AMREHEMU SHEIKH ABUU MUAAWIYA MM CKUWAHI KUMUONA WALA CKUA NIKIMJUA HAPO AWALI LKN NILIJARIBU KUMSIKILIZA NAKUMFATILIA BAADH YA DURUSU NA RUDUD ZAKE DHIDI YA BAADH YA MASHEIKH WENZAKE WA KISUNNA KAMA YY VILE NILGUNDUA ALIKUA AKIHITAJI WAKUTANE NA TOFAUTI ZAO ZIMALIZIKE BIMAANA ALIKUA AKITAKA SULUHU KWA NDUGUZE LKN UPANDE WA PILI WA MASHEIKH WENGINE HAWAKUA WAKIHITAJI HILO KWA KIPIMO CHANGU MM MAANA CKUWAHI KUONA WAKIZUNGUMZIA SUALA HILO LA SULUHU SASA UNAMTOAJE KATIKA USALAF MTU KAMA HUYO ITOSHE KUSEMA ALIKUA MTU WA SUNNA TENA MWENYE PUPA KATIKA KIFUNZA NA KUIFATA ALLAH AMSAMEHE MAKOSA YAKE NA AMREHEMU
Amin
Shida yake ni kuwatetea na kuwahami na kushirikiana na mahizb kama kina dr islam
Naomba utupe vipambanuzi vya uhizbiyaa au unasema mtu fulani ni hizby vp ya vipimo vya kisheria
@@mussakimwaga4645
Ahky huyu Daktur Islam ni hizby kwa msingi upi? Nifahamishe kwa hujjah na daleel.
Bila Taasub na taqlid, wewe binafsi leta adila ya uhizbiyya wa Daktur Islam ndio tuelewe wazungumza kiushabiki au kwa ilmu na inswaf.
@@dawud6065 akikupa hoja moja Tu ya msingi niambie ...hakupi katuu ...hao ni hadadaiya wazee WA ghulaat mahasidi
Mbona Maneno ya wengi ktk wazungumzaji hapa wanazungumza Maneno wanayo yazungumza Mahizbi wakibarahiyaniyyah na wanaharakati au Mlengo wenu ni mmoja?.
Haya ndio madhara ya vijana wakurupukaji kujifungafunga katika qauli za wanavyuoni ambazo hazielewi
Ss km ww unazielewa basi tuambie achaa dharau hizoo hata huikubali HAKKI hii basi leta hoja na sio MANENO ya kurushrushaa
NDugu yeetu kaassim mafuta umekosea na unakosea rekebishaa hiii dawa unaipeleka kwa misingi binaafsiii vp utakapo simamishwa mbele ya Alla
😮masikini wamemzulum sheikhe wawatu na aliwambia hao wakina Kasi mafuta yakwamba kama kwali yeye ni hizbiya wake mezani kitabu kwa kitabu ukurasa kwa ukurasa wambainishie huo uhizibia wakashindwa Leo hata kwanda kumzila nduguyao wameshindwa mtikhani sana huu usalafi huu 😢😢😢😢😢
Mche ALLAH na uwe mkwel ktkt maneno yako uiwe muislam muongo humuogopi Allah ww? Hebu ingia utube andika radd kwa shekh muawiya shekh kasim mafuta awe akhy ustete jambo qmbalo hulijui au hufatilii
Piga spna kabisa hii misarf uchwara inayochafua daawa kwa masrah ya matumbo yao
Najua limekuuuma Ila mumedhulu na mummah nzima umedhulumiwa Kwa shuki za KASSIM mafuta yaummulkiyama atabeba dhimaaaaa kwakuwakataza waislam wasiende kuchukue elimu Kwa abuuu muwaiyaaaa@@IssaSimbilla-hw9ev
MAFUTA YAMESHAMWAGIKA LIMEBAKI DEBE TUPU TUPU
Hakuna daawa apo shekh wangu
Nnachoona mie ni kasim mafuta analinda cheo chake kisijenyakuliwa
Hakuna usalafi tz ni maslah binafsi basi
Sasa hapa sheikh qaasim mafuta anaingiaje ,,mbona nyie mwapenda kumuonea sheikh mafuta ,,,waliokosea ni vijana wa masjid Omar sasa qaasim ajaje hapo.
Alafu wewe akhy sijui unania gani ,,,,eti waona sheikh qaasim mafuta analinda cheo chake ،،kwani qaasim anacheo gani jamani ,,mbali ya kuwa mlinganizi tu
Nyamaza utaumbuka
@@ABUUJAAFAR92MAA SHAA ALLAH! UNAJUA TATIZO VIJANA WENGI HAWATAKI KUSOMA......Akikosea salafy mmoja wanajumuisha masalafy wote...na wanaita kuwa ni kikundi cha kisalafy.....Dah! Inna lillahi Wainnaa ilayhi raajiuun
wallahi khutuba mzito sana hivi kweli salafi gani anae frahia kufa kwa ndugue mwislam huyu ND usalafi kweli halafu sheikhe kasema kweli baazi ya hao wanao jiita masalafi wengiwao wanaiga tu elimu hawana
Ukijua misingi ya watu wa batwri huwezi shangaa jambo dogo kama hili kisha sikiliza wanazuoni wanasema nn kifo cha mtu mzushi yyte fatilia ulamaa wanasemaje wala usinge shangaa kbs sema ugeni wa manhaji wengi hamjui misingi na wala hakuna alie furahia kwamba kafa abuu muawia ispokua muawiya kafa hizb ndio Allah amraham
@@IssaSimbilla-hw9evww unaujua uhizibiy unafuata mkumboo watu wakisema na ww uchangie hebu tupee uhizibiy wa sheikh abuu muawiyaa hivi nikuulize WANAWACHUONI na masheikh way WA wanakiri usafi wa Manhaji ya sheikh ABUU MU'AWIYA na nafasi yake na tabia zake nzuri na wana jitihada yake ktk kuieneza na kuisomesha Manhaji salafy nyy mumemuhuzbisha kwa sabb ya chuki zenu na hasad zenu juu ya Elimu yake
halafu mie nashanga kitu kimoja kwann wao wakikosea kwao ni sawa lakini watofauti Yao akikosea wanamva vikali dawatu salafi niyahaki lakini wao ND wanaipeleka vibaya atakae endanao tofauti c mwenzao sasa hii salafi gani jamani
Soma
Ww umesoma au ushabik?
NA HATA HUYO ABUU MUAAWIYAH MWENYEWE ALLAH AMREHEM NA AMSAMEHE MAKOSA YAKE YEYE PAMOJA NA CC . MSIMAMO WAKE ULIKUWAJE KWA SHEKH YAHYA ALHAJURI NA WAFUWASI WAKE AMBAO WAMEPEWA NISBA AU LAQAB YA HAJAAWIRA HEM TWAMBIE MSIMAMO WAKE ULIKUWAJE KWA HAWA VIUMBE HAWA ? KAMA ALIKUWA ANAWANZINGATIA NI MASALAFI SAFI SEMA ILI TUKULETEE USHAHIDI WA KUWASEMA VIBAYA KTK UHAI WAKE NA NAKAMA UNAKUBALIANA NA MIMI KWAMBA ALIKUWA AKIWASEMA VIBAYA KUWANZIA HAJURI MWENYEWE MPAKA WAFUWASI WAKE NITAKUULIZA JEE ABUU MUAAWIYAH NI MWANA WA CHUONI ? .
NA JEE HAKUNA WANA WACHUONI AMBAO WAO WANA MDIFAI SHEKH YAHYA ?.
Sisi hatuangalii tuu kuwa Kuna WALIOMPA udhuru Hajuri tunangaliia jee anasitahiki kisheria kupewa WANAWACHUONI kumpa difaa'i Yahya Al hajuri hakuna kwke SABABU hat moja ya kupewa udhuru au kutetewa kwsabb zifuata kbl ya kumtahadharisha na KUTOLEWA ktk dairaa ya ahalu Sunnah wal jamaa Nasaha na mawaidha kwa muda mrefu sana kwa Siri lkn hakukubali kurudi ktk haki na akawa amekhiyar batwili zake ni tafauti na kadhia ya sheikh Muhammad Al imamu
Assalam alykm waarrahmatullah waabarrakatuh ikhiwani mcheni Allah Sana nyie wafuasi wa Qasim mafuta kiongozi wenu acha kufarikisha watu katika dini ya Allah na uhzibi wako mwogope Allah Sana
Qassimu ni hizbu salaf alaf anataka ukubwaa Sana yule jamaa
Alikua ana amiliana nanani ktk dawa yake wewe mxungumzaji pia hapo unawazungumza watu gn ktk manhaji Yako? Hakuna ujanja tkt batwir shekh mnaamiliana na kinanani ktk dawa yenu 😂?
Nenda we jahil
Kwahiyo munafurahiya kufariki kwake au usalaf ndo unavokuongozeni muogopeni Allah mbona munakosautu abuu muawiya amefanya kubwalipi lakishirikana mpaka iwe hvo, xyo nyny munao tuambia tuwatii viongozi hawa wademocracy Sasa hawa naabuu muawiya nanibora kiukweli kuweni waadilifu
Ikisha radi itakuja mvua
Hamna kazi ya kufanya ila kutia fisadi na kueneza fitna katika uislamu kama alivofanya Muawiyah bin abisufyan na mwanawe yazid bin Muawiyah bin abisufyan.
Ss kwa mfano hapo mupige Raddi Gani na yote ni ya ukweli wenye wao wanafahamu na wanayakiini walioyafanya hayakuwa sahihi ndio wamenyamaza kimnyaa na wataendelea kunyamaaza kwasbb hakki pekee ndio Huwa juu batwili siku zote Huwa chini
Mbona Maneno ya wengi ktk wazungumzaji hapa wanazungumza Maneno wanayo yazungumza Mahizbi wakibarahiyaniyyah na wanaharakati au Mlengo wenu ni mmoja?.
Ipo siku mtajua, salaf inapasuka vipande.... Anayejiita salaf anaonwa sio salaf kwa mtazamo wa sheikh mwengine....
Nahuyo anayeonekana amenyooka anaonwa hafai na mwengine..... Ayan vurugu mechi tu
Mbona Maneno ya wengi ktk wazungumzaji hapa wanazungumza Maneno wanayo yazungumza Mahizbi wakibarahiyaniyyah na wanaharakati au Mlengo wenu ni mmoja?.