⚒️RADDI KWA VIJANA WA MASJID OMAR, UST.ABUU NU'AYM AKRAM حفظه الله تعالى

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 71

  • @AishaAbdala-o6b
    @AishaAbdala-o6b 23 วันที่ผ่านมา

    Allah amrehemu kipenzi chetuh abuu mua'wiyyah

  • @IssaKabelwa-zs2ct
    @IssaKabelwa-zs2ct 22 วันที่ผ่านมา

    Aamiin

  • @ShabanHassan-td3lx
    @ShabanHassan-td3lx 27 วันที่ผ่านมา +2

    Hakika ndugi etu abuu Nu'aym umefanya jambo bora kwa kuwajibu Hawa watu wa matamanio, wangekaliwa kimnya fitna zao zingeasi sn kwa watu wasiojua kitu katika sheria ya Allah. Allah akuhifazi ndugi etu na akujalie hirsi katika kutafuta elmu.

  • @alirajab7101
    @alirajab7101 29 วันที่ผ่านมา

    اللهمّ من أرادنا وأراد المسلمين بسوء فأشغله بنفسه اللهم عجل بزوال باطل وأهله

  • @AbAlhuraas
    @AbAlhuraas 27 วันที่ผ่านมา

    Mashallah sheikh Aboud rogo naisikia Sauti yake hapa

    • @ibnsalim3
      @ibnsalim3  26 วันที่ผ่านมา

      Aboud rogo ni khawarij na mubtadi'iiyy mkubwaa

    • @AbAlhuraas
      @AbAlhuraas 25 วันที่ผ่านมา

      @@ibnsalim3 kwaiyo kwani we unatak nin kunirepoti au ,wakati apo kuna maswli nkikuliza utachoa macho tu, Ntajiee bidaa moja aliyofnya Rogo ,Napia Kama Nin khawariji Alitoka katika Twaa ya Amiri gni ,Na Amir Huyo Kapewa Baaiya Nani Au wee Umetoa Baiiya kwa hyo Amiri ?

  • @ali-c5c9i
    @ali-c5c9i 29 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah khutba mzur sana kwakweli shkh abuu muawiya amefanya kazi kubwa na kwa mda mdog allah ampe ujira wake kamili katika hasaant zake na amsameh makosa yake

  • @ahmedseif-cu4ex
    @ahmedseif-cu4ex 29 วันที่ผ่านมา +4

    ALLAH AMREHEMU SHEIKH ABUU MUAAWIYA MM CKUWAHI KUMUONA WALA CKUA NIKIMJUA HAPO AWALI LKN NILIJARIBU KUMSIKILIZA NAKUMFATILIA BAADH YA DURUSU NA RUDUD ZAKE DHIDI YA BAADH YA MASHEIKH WENZAKE WA KISUNNA KAMA YY VILE NILGUNDUA ALIKUA AKIHITAJI WAKUTANE NA TOFAUTI ZAO ZIMALIZIKE BIMAANA ALIKUA AKITAKA SULUHU KWA NDUGUZE LKN UPANDE WA PILI WA MASHEIKH WENGINE HAWAKUA WAKIHITAJI HILO KWA KIPIMO CHANGU MM MAANA CKUWAHI KUONA WAKIZUNGUMZIA SUALA HILO LA SULUHU SASA UNAMTOAJE KATIKA USALAF MTU KAMA HUYO ITOSHE KUSEMA ALIKUA MTU WA SUNNA TENA MWENYE PUPA KATIKA KIFUNZA NA KUIFATA ALLAH AMSAMEHE MAKOSA YAKE NA AMREHEMU

    • @ibnsalim3
      @ibnsalim3  28 วันที่ผ่านมา

      Amin

    • @mussakimwaga4645
      @mussakimwaga4645 28 วันที่ผ่านมา

      Shida yake ni kuwatetea na kuwahami na kushirikiana na mahizb kama kina dr islam

    • @ibnsalim3
      @ibnsalim3  28 วันที่ผ่านมา +1

      Naomba utupe vipambanuzi vya uhizbiyaa au unasema mtu fulani ni hizby vp ya vipimo vya kisheria

    • @dawud6065
      @dawud6065 28 วันที่ผ่านมา +1

      ​​​​@@mussakimwaga4645
      Ahky huyu Daktur Islam ni hizby kwa msingi upi? Nifahamishe kwa hujjah na daleel.
      Bila Taasub na taqlid, wewe binafsi leta adila ya uhizbiyya wa Daktur Islam ndio tuelewe wazungumza kiushabiki au kwa ilmu na inswaf.

    • @MohamedSalim-cm9ih
      @MohamedSalim-cm9ih 28 วันที่ผ่านมา

      ​@@dawud6065 akikupa hoja moja Tu ya msingi niambie ...hakupi katuu ...hao ni hadadaiya wazee WA ghulaat mahasidi

  • @SwafaNabahan
    @SwafaNabahan 25 วันที่ผ่านมา

    Mbona Maneno ya wengi ktk wazungumzaji hapa wanazungumza Maneno wanayo yazungumza Mahizbi wakibarahiyaniyyah na wanaharakati au Mlengo wenu ni mmoja?.

  • @babanusayba3600
    @babanusayba3600 24 วันที่ผ่านมา

    Haya ndio madhara ya vijana wakurupukaji kujifungafunga katika qauli za wanavyuoni ambazo hazielewi

    • @ibnsalim3
      @ibnsalim3  23 วันที่ผ่านมา

      Ss km ww unazielewa basi tuambie achaa dharau hizoo hata huikubali HAKKI hii basi leta hoja na sio MANENO ya kurushrushaa

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k 28 วันที่ผ่านมา +1

    NDugu yeetu kaassim mafuta umekosea na unakosea rekebishaa hiii dawa unaipeleka kwa misingi binaafsiii vp utakapo simamishwa mbele ya Alla

  • @abdurashidinasorodini
    @abdurashidinasorodini 29 วันที่ผ่านมา

    😮masikini wamemzulum sheikhe wawatu na aliwambia hao wakina Kasi mafuta yakwamba kama kwali yeye ni hizbiya wake mezani kitabu kwa kitabu ukurasa kwa ukurasa wambainishie huo uhizibia wakashindwa Leo hata kwanda kumzila nduguyao wameshindwa mtikhani sana huu usalafi huu 😢😢😢😢😢

    • @IssaSimbilla-hw9ev
      @IssaSimbilla-hw9ev 28 วันที่ผ่านมา

      Mche ALLAH na uwe mkwel ktkt maneno yako uiwe muislam muongo humuogopi Allah ww? Hebu ingia utube andika radd kwa shekh muawiya shekh kasim mafuta awe akhy ustete jambo qmbalo hulijui au hufatilii

    • @abusalmadangaadam708
      @abusalmadangaadam708 27 วันที่ผ่านมา

      Piga spna kabisa hii misarf uchwara inayochafua daawa kwa masrah ya matumbo yao

    • @auroxenterprises8003
      @auroxenterprises8003 25 วันที่ผ่านมา

      Najua limekuuuma Ila mumedhulu na mummah nzima umedhulumiwa Kwa shuki za KASSIM mafuta yaummulkiyama atabeba dhimaaaaa kwakuwakataza waislam wasiende kuchukue elimu Kwa abuuu muwaiyaaaa@@IssaSimbilla-hw9ev

  • @user-mu9nl3vv4b
    @user-mu9nl3vv4b 24 วันที่ผ่านมา

    MAFUTA YAMESHAMWAGIKA LIMEBAKI DEBE TUPU TUPU

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 28 วันที่ผ่านมา

    Hakuna daawa apo shekh wangu
    Nnachoona mie ni kasim mafuta analinda cheo chake kisijenyakuliwa
    Hakuna usalafi tz ni maslah binafsi basi

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 28 วันที่ผ่านมา

      Sasa hapa sheikh qaasim mafuta anaingiaje ,,mbona nyie mwapenda kumuonea sheikh mafuta ,,,waliokosea ni vijana wa masjid Omar sasa qaasim ajaje hapo.

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 28 วันที่ผ่านมา

      Alafu wewe akhy sijui unania gani ,,,,eti waona sheikh qaasim mafuta analinda cheo chake ،،kwani qaasim anacheo gani jamani ,,mbali ya kuwa mlinganizi tu

    • @mussamsuya8595
      @mussamsuya8595 28 วันที่ผ่านมา

      Nyamaza utaumbuka

    • @ABUUBAAZNYUNGU
      @ABUUBAAZNYUNGU 28 วันที่ผ่านมา

      ​@@ABUUJAAFAR92MAA SHAA ALLAH! UNAJUA TATIZO VIJANA WENGI HAWATAKI KUSOMA......Akikosea salafy mmoja wanajumuisha masalafy wote...na wanaita kuwa ni kikundi cha kisalafy.....Dah! Inna lillahi Wainnaa ilayhi raajiuun

  • @abdurashidinasorodini
    @abdurashidinasorodini 29 วันที่ผ่านมา +1

    wallahi khutuba mzito sana hivi kweli salafi gani anae frahia kufa kwa ndugue mwislam huyu ND usalafi kweli halafu sheikhe kasema kweli baazi ya hao wanao jiita masalafi wengiwao wanaiga tu elimu hawana

    • @IssaSimbilla-hw9ev
      @IssaSimbilla-hw9ev 28 วันที่ผ่านมา

      Ukijua misingi ya watu wa batwri huwezi shangaa jambo dogo kama hili kisha sikiliza wanazuoni wanasema nn kifo cha mtu mzushi yyte fatilia ulamaa wanasemaje wala usinge shangaa kbs sema ugeni wa manhaji wengi hamjui misingi na wala hakuna alie furahia kwamba kafa abuu muawia ispokua muawiya kafa hizb ndio Allah amraham

    • @ibnsalim3
      @ibnsalim3  25 วันที่ผ่านมา

      ​@@IssaSimbilla-hw9evww unaujua uhizibiy unafuata mkumboo watu wakisema na ww uchangie hebu tupee uhizibiy wa sheikh abuu muawiyaa hivi nikuulize WANAWACHUONI na masheikh way WA wanakiri usafi wa Manhaji ya sheikh ABUU MU'AWIYA na nafasi yake na tabia zake nzuri na wana jitihada yake ktk kuieneza na kuisomesha Manhaji salafy nyy mumemuhuzbisha kwa sabb ya chuki zenu na hasad zenu juu ya Elimu yake

  • @abdurashidinasorodini
    @abdurashidinasorodini 29 วันที่ผ่านมา +1

    halafu mie nashanga kitu kimoja kwann wao wakikosea kwao ni sawa lakini watofauti Yao akikosea wanamva vikali dawatu salafi niyahaki lakini wao ND wanaipeleka vibaya atakae endanao tofauti c mwenzao sasa hii salafi gani jamani

  • @user-dp8xb3vj6g
    @user-dp8xb3vj6g 28 วันที่ผ่านมา

    NA HATA HUYO ABUU MUAAWIYAH MWENYEWE ALLAH AMREHEM NA AMSAMEHE MAKOSA YAKE YEYE PAMOJA NA CC . MSIMAMO WAKE ULIKUWAJE KWA SHEKH YAHYA ALHAJURI NA WAFUWASI WAKE AMBAO WAMEPEWA NISBA AU LAQAB YA HAJAAWIRA HEM TWAMBIE MSIMAMO WAKE ULIKUWAJE KWA HAWA VIUMBE HAWA ? KAMA ALIKUWA ANAWANZINGATIA NI MASALAFI SAFI SEMA ILI TUKULETEE USHAHIDI WA KUWASEMA VIBAYA KTK UHAI WAKE NA NAKAMA UNAKUBALIANA NA MIMI KWAMBA ALIKUWA AKIWASEMA VIBAYA KUWANZIA HAJURI MWENYEWE MPAKA WAFUWASI WAKE NITAKUULIZA JEE ABUU MUAAWIYAH NI MWANA WA CHUONI ? .

    • @user-dp8xb3vj6g
      @user-dp8xb3vj6g 28 วันที่ผ่านมา

      NA JEE HAKUNA WANA WACHUONI AMBAO WAO WANA MDIFAI SHEKH YAHYA ?.

    • @ibnsalim3
      @ibnsalim3  9 วันที่ผ่านมา

      Sisi hatuangalii tuu kuwa Kuna WALIOMPA udhuru Hajuri tunangaliia jee anasitahiki kisheria kupewa WANAWACHUONI kumpa difaa'i Yahya Al hajuri hakuna kwke SABABU hat moja ya kupewa udhuru au kutetewa kwsabb zifuata kbl ya kumtahadharisha na KUTOLEWA ktk dairaa ya ahalu Sunnah wal jamaa Nasaha na mawaidha kwa muda mrefu sana kwa Siri lkn hakukubali kurudi ktk haki na akawa amekhiyar batwili zake ni tafauti na kadhia ya sheikh Muhammad Al imamu

  • @AbduliiKareemZubeirii
    @AbduliiKareemZubeirii 28 วันที่ผ่านมา

    Assalam alykm waarrahmatullah waabarrakatuh ikhiwani mcheni Allah Sana nyie wafuasi wa Qasim mafuta kiongozi wenu acha kufarikisha watu katika dini ya Allah na uhzibi wako mwogope Allah Sana

  • @HassanHamad-rf9tq
    @HassanHamad-rf9tq 28 วันที่ผ่านมา

    Qassimu ni hizbu salaf alaf anataka ukubwaa Sana yule jamaa

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9ev 28 วันที่ผ่านมา

    Alikua ana amiliana nanani ktk dawa yake wewe mxungumzaji pia hapo unawazungumza watu gn ktk manhaji Yako? Hakuna ujanja tkt batwir shekh mnaamiliana na kinanani ktk dawa yenu 😂?

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 28 วันที่ผ่านมา

      Nenda we jahil

    • @user-kq7mp8qz9e
      @user-kq7mp8qz9e 28 วันที่ผ่านมา

      Kwahiyo munafurahiya kufariki kwake au usalaf ndo unavokuongozeni muogopeni Allah mbona munakosautu abuu muawiya amefanya kubwalipi lakishirikana mpaka iwe hvo, xyo nyny munao tuambia tuwatii viongozi hawa wademocracy Sasa hawa naabuu muawiya nanibora kiukweli kuweni waadilifu

  • @SaidIssa-tq3yv
    @SaidIssa-tq3yv 19 วันที่ผ่านมา +1

    Ikisha radi itakuja mvua
    Hamna kazi ya kufanya ila kutia fisadi na kueneza fitna katika uislamu kama alivofanya Muawiyah bin abisufyan na mwanawe yazid bin Muawiyah bin abisufyan.

    • @ibnsalim3
      @ibnsalim3  18 วันที่ผ่านมา

      Ss kwa mfano hapo mupige Raddi Gani na yote ni ya ukweli wenye wao wanafahamu na wanayakiini walioyafanya hayakuwa sahihi ndio wamenyamaza kimnyaa na wataendelea kunyamaaza kwasbb hakki pekee ndio Huwa juu batwili siku zote Huwa chini

  • @SwafaNabahan
    @SwafaNabahan 25 วันที่ผ่านมา

    Mbona Maneno ya wengi ktk wazungumzaji hapa wanazungumza Maneno wanayo yazungumza Mahizbi wakibarahiyaniyyah na wanaharakati au Mlengo wenu ni mmoja?.

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 26 วันที่ผ่านมา

    Ipo siku mtajua, salaf inapasuka vipande.... Anayejiita salaf anaonwa sio salaf kwa mtazamo wa sheikh mwengine....
    Nahuyo anayeonekana amenyooka anaonwa hafai na mwengine..... Ayan vurugu mechi tu

  • @SwafaNabahan
    @SwafaNabahan 25 วันที่ผ่านมา

    Mbona Maneno ya wengi ktk wazungumzaji hapa wanazungumza Maneno wanayo yazungumza Mahizbi wakibarahiyaniyyah na wanaharakati au Mlengo wenu ni mmoja?.