Muhammad bin imaamu ni ktkt mahizbi walioiharibu da'awat ssalaf ktk nchi ya yemen kwa kushitikiana na mashia wa kihoouth na kuwasifia hata sheikh swaleh Al fawzaan amemradd Muhammad bin imaam!!
We umejuaje kama hayajui acha ta'asub masheikh wa kisalafi wako wengi msing'ng'anie waliopinda kama muhamad imam mmeenda mbali zaidi kwa sas tunaona hawa mahizibi wanaotuita majadida nyiny mko nae duh poleni saana namuomba Allah Awaongoze @@Ibnsalim3
Aach ujinga kivipi sasa ,wewe ndiwe uache ujinga kwani wajiona wewe pekee ndie unajua haya masala ,kwahio ikiwa waona kakosea kwenye mazungumzo yake ,yaweke sawa umuelimishe ,,,lkn ilmu hujatoa ili tuone wewe si mjinga ,warukia kumwita mtu mjinga ,,dalili za ushabiki tu .@Ibnsalim3
Mimi nauliza kutoa darasa au mawaidha kisha ukaonekana katika kamera hii ikoje ,maana tunaona vigogo vya kisafy huko saudia wanaonekana sisi huku Afrika hatuonekani hapa vipi naomba kufahamishwa.
Umefikisha nimesikiya allah aniongoze mm na mzungumzaji
Barakallahu fikum
Kwani hukumtaja sheikh Rabii na sheikh Ubeid si wamemtahadharisha ibn Hadiy au na hao si maulama
Hawawatu nimtihani wawa3 mnatofautiana hamufai
Muhammad bin imaamu ni ktkt mahizbi walioiharibu da'awat ssalaf ktk nchi ya yemen kwa kushitikiana na mashia wa kihoouth na kuwasifia
hata sheikh swaleh Al fawzaan amemradd Muhammad bin imaam!!
Ww acha ujinga km huyajui haya masaala ni vyema ukinyamazaa itakuwa Bora vyenginevyo utoe ushahidi uache kusikia sikia watu wasema
We umejuaje kama hayajui acha ta'asub masheikh wa kisalafi wako wengi msing'ng'anie waliopinda kama muhamad imam mmeenda mbali zaidi kwa sas tunaona hawa mahizibi wanaotuita majadida nyiny mko nae duh poleni saana namuomba Allah Awaongoze @@Ibnsalim3
Aach ujinga kivipi sasa ,wewe ndiwe uache ujinga kwani wajiona wewe pekee ndie unajua haya masala ,kwahio ikiwa waona kakosea kwenye mazungumzo yake ,yaweke sawa umuelimishe ,,,lkn ilmu hujatoa ili tuone wewe si mjinga ,warukia kumwita mtu mjinga ,,dalili za ushabiki tu .@Ibnsalim3
Baraka llah fikum
Amin
Baarakanllah fiikum ❤❤
Amin
Mimi nauliza kutoa darasa au mawaidha kisha ukaonekana katika kamera hii ikoje ,maana tunaona vigogo vya kisafy huko saudia wanaonekana sisi huku Afrika hatuonekani hapa vipi naomba kufahamishwa.
HUELEWEKI ULICHOKIONGEA MTIHAN MTUPU
Haeleweke au hutaki kumuelewa acha taasubuu akhuy
WEWE NI MTIHANI TU
Kivipi
Sema wewe ndo humuelewi kwa asbabu zenuu mujuazo nyinnyi sisi tumemuelewa vizur
@@HassanHamad-rf9tq HAYA
Lazima mmuelewe hata kama haeleweki mana mko pamoja katika dwalalah @@HassanHamad-rf9tq