Lala Amka Muda Huu Wa Usiku Kuna Siri Nzito Chukua Udhu Alafu Fanya Hivi - Sh Othman Maico

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • #QiblateinOnline
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
    FACEBOOK; www.facebook.c...
    TH-cam; / @qiblatainonline

ความคิดเห็น • 116

  • @joanthabeet8005
    @joanthabeet8005 5 หลายเดือนก่อน +43

    Asalaaam aleykum, Allhamudillilah mm ni shuhuda kupitia kufanya dhakari na kufanya ibada wallah nilikuwa na ugumu wa maisha na madeni ambayo nilikuwa sijui nalipa je illa Allah amenipa pesa sikutegemea nilipata milioni 11 ofisini nikaweza kulipa madeni ndugu zangu waislam tufanye ibada Allah ana jibu, sheikh Othmani Allah akubariki kupitia kusikiliza nimejifunza na nikafanya nanimefanikiwa, na nina miaka miwili toka nimeingia kwenye uislam toka nilivyoslim nafurahia uislam

    • @MWANAKOMBONGANGAKARISA
      @MWANAKOMBONGANGAKARISA 4 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤❤❤❤❤ Masha'Allah Baraka'Allah Khair

    • @SiriNkya-z9m
      @SiriNkya-z9m 4 หลายเดือนก่อน

      Maashallah Maashallah Maashallah hayo unayosema ni kweli ibada ndio kila kitu,Allahsw auzidishie mardufu udumu ktk uislam in shaa Allah

    • @KhairathLwoga
      @KhairathLwoga 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mashaa Allah Mashaa Allah, nina mtihani wa madeni makubwa kama huo ila bado wakati wangu wa kufanikiwa haujafika japo nazingatia sn mafundisho ya Sheikh na nafanya vyote anavyoelekeza nasubir majibu kutoka Kwa Allah in shaa Allah

    • @AdidjaKadjemba
      @AdidjaKadjemba 3 หลายเดือนก่อน

      Haya Mimi piya

    • @kasatbintalib9127
      @kasatbintalib9127 3 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah

  • @marietheresenyandwi8671
    @marietheresenyandwi8671 3 วันที่ผ่านมา

    Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh shukran Shukran sheikh wetu mwenyezi mungu akupe umri mrefu na afya njema naomba uniombee izo dua please niko South Africa sheikh wangu❤

  • @marietheresenyandwi8671
    @marietheresenyandwi8671 3 วันที่ผ่านมา

    Kwasababu dua zingine sizijui sheikh wetu

  • @KhadijahStory
    @KhadijahStory หลายเดือนก่อน +3

    astaghfirullah al adzim wa atubu ilaih
    subhana wa bihamdihi subhanallahil adzim
    Laa ilaaha ill-Allaah wahdahu laa shareeka lah, lahu’l-mulk wa lahu’l-hamd yuhyi wa yumeet wa huwa ‘ala kulli shay’in qadeer
    allahumma innaka afuwwun karimun tuhibbul afwa fa'fu anni
    la ilaha anta subhanaka inni kuntu minaz-zalimin
    Adejubu ya allah
    subhanallahi walhamdulillahi wala ilaha illallah wallahu akbar wa la hawla wala quwwata illa billah, subhana wa bihamdihi subhanallahil adzim

  • @Al-Hajj-er3fk
    @Al-Hajj-er3fk 5 หลายเดือนก่อน +7

    Allah (s.w) akuhifadhi pamoja na ummah wote wa kiislam inshaallah

  • @JinaJuma-gy1us
    @JinaJuma-gy1us 5 หลายเดือนก่อน +7

    Sheikh niko mbali lkn nafurahika na siwezi siku kupita Bila kusikiliza mawaidha yako jazakka Allah kheri

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170 5 หลายเดือนก่อน +9

    Assalam Alleykum Shukran sana Shekh wangu Leo nimempata faida kubwa sana japo Mimi huwa nakufuatilia sana na natumia Dua nyingi unazo tufundisha ila Leo umetoka fursayakuja kuhudhuria kwenye Dua kwangu Mimi ni Fursa naitaji niudhurie Dua hii naomba ratiba Yako siku na saa nipate kuhudhuria Inshallah natumia utanijibu

    • @ummysaabersaeedy8152
      @ummysaabersaeedy8152 4 หลายเดือนก่อน

      Hua naenda mara nyingi hafanya jumapili na jumatano

  • @sakiukitv
    @sakiukitv 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh mimi si mwislam ila mkristo tena kutoka Burundi, wallah mafunzo yako yananikosha, nakuombea dua Jalali akupe maisha marefu tuendelee kufaidi uhondo wako inshallah.

    • @KuluHiji
      @KuluHiji 2 หลายเดือนก่อน

      Samahani ingia uislam

  • @MaheerAbdallah-v9w
    @MaheerAbdallah-v9w หลายเดือนก่อน

    Masha Allah Allah akuongee mazuri meng. Utujuze

  • @rehemaomary3504
    @rehemaomary3504 26 วันที่ผ่านมา

    Jazakhallah khair Sheikh

  • @tuwemzee8168
    @tuwemzee8168 3 หลายเดือนก่อน +2

    Assalam walaykum..Ahsante sana shekh wangu pedwa..Kuna ile uradi wa kurudisha mume ambae ilikua amekimbia wallahi kama nakuona vile maajabu yake ni siku 3 tu ...Allah akuzidishie uzima na afya njema ila pia uupate mwisho mwema❤nakupenda kwa ajili ya ALLAH. ❤

  • @TatuRashid-d6t
    @TatuRashid-d6t 2 หลายเดือนก่อน

    Allah mjalie pepo shekh na sis atukutanishe na Mtime wetu Mohammad S.A.W

  • @Hiranur_1475
    @Hiranur_1475 5 หลายเดือนก่อน +11

    Lailaha ilallah wahdahuu la sharika lahu lahulmulk walahul hamd yuhyii wayumitu wahuwa hayu la yumitu biyadihil khayra wahuwa aa’la kulishayin kadiir

  • @maryamadam5622
    @maryamadam5622 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mmungu akubarik sheikh wetu. Tumo Kujtahidi

  • @SamAli-f6p
    @SamAli-f6p 5 หลายเดือนก่อน +3

    Allaha atufanyie wepes inshallah

  • @BakariAbdalla-l3z
    @BakariAbdalla-l3z 2 หลายเดือนก่อน

    Asante shekh kwa ukumbusho mung akupe umri mrefu aamin

  • @ZamdaAthuman
    @ZamdaAthuman 5 หลายเดือนก่อน +2

    Allah s.w akulipeni kila la kheir sheikh Othuman,ila wengine bado lugha inaleta utata

  • @AISHAUWAMAHORO-jo6gv
    @AISHAUWAMAHORO-jo6gv 5 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akupe kilalaheri sheikh wetu❤

  • @AgahozoAsmah
    @AgahozoAsmah 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akuzidishiye. Elimu

  • @RakhmanHassan-ei3kn
    @RakhmanHassan-ei3kn 5 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran sheikh Allah akulipe kila lakheri

  • @HalimaSaid-w2j
    @HalimaSaid-w2j 5 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran jazzakallahul kheir Shekhe wetu,Allah akujaze kila la kher In Sha Allah 🤲

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 5 หลายเดือนก่อน +2

    Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh. Sheikh niombee hta mm nko Hoi taabani.Kusema kweli.Madeni maisha mangumu.

    • @hamidahnassoro-12
      @hamidahnassoro-12 5 หลายเดือนก่อน +2

      Mungu atakutilia wepesi kila kwenye uzito ..ishaallh yatakwish

  • @zeyanaseif5730
    @zeyanaseif5730 4 หลายเดือนก่อน

    Inshallah Allah atatufanyia wepes ktk kila gumu tunalopitia🙏

  • @MimahYaseen
    @MimahYaseen 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akubarik shekh wangu akupe maish marefu na akutimizie kila hitaj la moyo wako kwa kutupa elimu

  • @Zulkamhaji
    @Zulkamhaji 5 หลายเดือนก่อน +2

    Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes
    Allah akubarik shekh maneno matam

  • @ZuhuraAbass
    @ZuhuraAbass 5 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akubariki shekh

  • @OmanAdam-b5t
    @OmanAdam-b5t 4 หลายเดือนก่อน

    Maashaallah Allah Akufanyie wepec niombee na Mimi shehe wangu

  • @AdidjaKadjemba
    @AdidjaKadjemba 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akupe urmi mrefu .uzidi kuelimisha watu .mana anayetumiya ushauri wako kama utwambiyayo .na imani anafanikisha

  • @ummysaabersaeedy8152
    @ummysaabersaeedy8152 4 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana shekh othman nilikuja kwako nipo hoi dhufu l hali nikakesha na wewe nikajifunza namna ya swala za usiku ..Allah akulipe kheri Wewe pamoja nasi

  • @RashidiMvungi-x3k
    @RashidiMvungi-x3k หลายเดือนก่อน

    Asalaam alykum warahamatllaa kwanza nimshukuru allaah kunpa pumzi pl sina maoni zaidi yakuanza kuwaombea wazazi wake shekhe na yeye pya tatu sijasoma najitahid ila namuomba aniombe hata kadua kdg tu allaah amlpa

  • @HAJJATHALIMASULYMAN
    @HAJJATHALIMASULYMAN 4 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah yaan shekhe nimejifunza mambo mengi sana
    Jazzakallahu khaira Allaah akupe umri mrefu afya tele utujuze mengi

  • @JinaJuma-gy1us
    @JinaJuma-gy1us 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah jazakka Allah kheri

  • @FatimeOmari
    @FatimeOmari 5 หลายเดือนก่อน +2

    Jazaka Allah kher sheikh wetu 😊

  • @MaimunaDimwe
    @MaimunaDimwe 4 หลายเดือนก่อน

    Asalam aleykum, shukran shekhe wang , naomba dua nina mitihan shekhe

  • @HalimaWilliam-w4y
    @HalimaWilliam-w4y 4 หลายเดือนก่อน

    Allah atujalie wepesi inshaa Allah

  • @RehemaHassan-rz8nh
    @RehemaHassan-rz8nh 5 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akuhifadh na kila lenye sharri kwako

  • @shabanshaban8102
    @shabanshaban8102 5 หลายเดือนก่อน +2

    shukran sana sheikh
    Jazakallah khayra!

  • @nambotokhamis7066
    @nambotokhamis7066 2 วันที่ผ่านมา

    Asalam aalayku

  • @KhairathLwoga
    @KhairathLwoga 4 หลายเดือนก่อน

    Allohumma innaka 'afuwwun kariim tuhibbul 'afwa fa'fu 'annaa yaa kariim.

  • @mwanaishakama3381
    @mwanaishakama3381 5 หลายเดือนก่อน +3

    Shekh wangu mm kwa mdomo wangu mzito nikifanikiwa kuzimaliza zote ulizo sema labda nikeshe😢

  • @FatumaAdam-xo7ye
    @FatumaAdam-xo7ye 5 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akibarh

  • @maryamabdallah7284
    @maryamabdallah7284 5 หลายเดือนก่อน

    Shukran sheikh wetu Allah akulipe kwa malipo yake

  • @SaadaSaid-d4k
    @SaadaSaid-d4k 5 หลายเดือนก่อน +2

    Tunashkr Sheikh

  • @MwanapiliAthumani-zp1bs
    @MwanapiliAthumani-zp1bs 4 หลายเดือนก่อน

    Asalam lakm sheikwetu naomba iniombee dua na matatizo na hapa nilipo ninamtihani sana naomba dua zako insha Allah

  • @YusuphuMsangi-jo9pe
    @YusuphuMsangi-jo9pe 5 หลายเดือนก่อน

    Maashaallwah Allwaakuzidishie

  • @Zouzumachini
    @Zouzumachini 3 หลายเดือนก่อน

    Assalam alaykum ww, namushukuru muweza na kutupa sheikh anaetupenda kama wewe

  • @JumaAsraj
    @JumaAsraj 4 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah ❤❤❤

  • @CadetMBUSA
    @CadetMBUSA 3 หลายเดือนก่อน

    Assalamu alykumu naminimuisilamu kutoka congo namina ombaileduwa

  • @SalmaHassan-c6x
    @SalmaHassan-c6x 3 หลายเดือนก่อน

    Asalam aleykum warahma tullahi wabarakatu vp hl yk sheikh wallahi nimetizama hii Leo mm wallahi nataka sn sn kufanya hizi adhakar ntajitahidi lkn umesema niombee na mm mungu watoto wangu hawataki kuswali kila nnavo waambia haswali naamini haya matatizo nlonayo ni mngu hajaitizama nyumba yangu kwa jicho la rehma ramadhani hatuitambui ikiingia na ikitoka saumu ya aina zote nyumba yangu watu wateta wapigana hakuna raha ndani ya nyumba yangu nakuomba sheikh niombee hawa watoto wamlekee mola wao huyo baba yao ndio usiseme hataki ht kuswali nakuomba sheikh

  • @EstellaNshimirimana-gw7wv
    @EstellaNshimirimana-gw7wv 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran

  • @neemahalima5440
    @neemahalima5440 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mashalla

  • @mwanamussa9650
    @mwanamussa9650 5 หลายเดือนก่อน +2

    Shekh dua hiz unaweza kusoma ktk miez yoyote maana mm ndio kwanza nimekusikiliza leo shekh wangu

  • @hanafibalozi5308
    @hanafibalozi5308 4 หลายเดือนก่อน

    Takbiii..r

  • @amina12aminamuhudin25
    @amina12aminamuhudin25 3 หลายเดือนก่อน

    It's very true what he said is very true😊😊😊

  • @Isimbimakarimu
    @Isimbimakarimu 5 หลายเดือนก่อน +5

    Assalam alaikum ww shekhe tuna omba dua samahani nisaindie

  • @SalmaShabani-c7j
    @SalmaShabani-c7j 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asalam alaykum shekhe niombe dua nifungue akili yangu na mambo yangu yawemepes

  • @IninahazweRahil
    @IninahazweRahil 5 หลายเดือนก่อน

    Asalawalaykum shukran❤❤

  • @ZxzxZ-f4z
    @ZxzxZ-f4z 5 หลายเดือนก่อน +3

    Aslm alkm plz nisaidie kuandika hii dua

  • @Muhammad-jy1vx
    @Muhammad-jy1vx 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @aminakassim831
    @aminakassim831 5 หลายเดือนก่อน +10

    Basi mi huwa na anza kuswali salat haja kwanza alaf ndo naanza adhkar kumbe nakosea!ntabadilisha inshallah

    • @ayshazambia6509
      @ayshazambia6509 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mi mwenyewe nilikua nasli kama ww inshaallah nitabadilisha inshaallah

    • @angle3600
      @angle3600 5 หลายเดือนก่อน +2

      Nakubaliana nawe kakangu alikufa wakati wa kiangazi ila la kushangaza wakati jeneza latolewa ndani ya nyumba kulinyesha mvua kiasi yani ardhi ikawa baridi kiasi, watu walishangaa sana,ila yeye pia alikua mcha Mungu mashallah Mungu amueke pema palipo wema

    • @SakinaSakinat-qd9rs
      @SakinaSakinat-qd9rs 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@angle3600
      Amiin

  • @Farida-mz4so
    @Farida-mz4so หลายเดือนก่อน

    Ni kweli jamani tusipuuze

  • @KhairathLwoga
    @KhairathLwoga 4 หลายเดือนก่อน

    Msaada wa hiyo sura ya mwisho mwisho ya Afia inaitwaje

  • @HusseinAlly-o6j
    @HusseinAlly-o6j 2 หลายเดือนก่อน

    Assalam alaykum shekh ,,shekhe naomba msaada wako mtu ambae nampenda hayuko tayar nimuoe asaivi anadai anadai anataka aendelee kusoma vyuo nami ninawasiwas anaweza akashawishiwa huko akaniacha nifanyaje

  • @halimasaid5121
    @halimasaid5121 5 หลายเดือนก่อน +1

    🙏🙏🙏

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh hii nyumba nko inanifanya kwa kweli nipata ugumu a kufanya ibada.

  • @hassanisindi474
    @hassanisindi474 5 หลายเดือนก่อน +3

    Salat nnaria bado sijaijua

  • @Amissaamiri
    @Amissaamiri 4 หลายเดือนก่อน

    Asalaaam aleykum cheh unawez ukayitumia kwatatiz la madeni

  • @carolinelucky9199
    @carolinelucky9199 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa kiswahili shee pls ❤❤❤

  • @ZuhuraAbass
    @ZuhuraAbass 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hata kama umesengenya

  • @MariamOmary-s9k
    @MariamOmary-s9k 3 หลายเดือนก่อน

    Shekh auna vitabu

  • @YusuphuMsangi-jo9pe
    @YusuphuMsangi-jo9pe 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nikweli Mimi Huwa napenda sana kusoma Ayaatulkudsi hata nikiota ndoto mbaya najikuta naisoma usingizini

  • @Zouzumachini
    @Zouzumachini 3 หลายเดือนก่อน

    Sheikh wangu napenda niwe rafiki wa Alaa nifanye nini?

  • @Kulkiya869
    @Kulkiya869 24 วันที่ผ่านมา +1

    Sheyki niombee hiyo dua afadhali natoka Kenya

    • @Kulkiya869
      @Kulkiya869 24 วันที่ผ่านมา

      Mungu atakubariki

  • @TATUCCM
    @TATUCCM 3 หลายเดือนก่อน

    Asalaam aleykum shekhe, pia mimi ninatatizo kila ninalofanya sifanikiwi kabisa pia ninamadeni sana na sijui nitayalipaje, hivyo shekhe wangu naomba unifanyie dua wewe mwenyewe ili niondokane na hii adha ya madeni pia nifanikiwe kila nilifanyalo. ASANTE

  • @zidinayusuphyusuph
    @zidinayusuphyusuph 3 หลายเดือนก่อน

    Shehee naomba uniombee dua nina mitiani ya ridhiki

  • @aminakassim831
    @aminakassim831 5 หลายเดือนก่อน +4

    Salaam,shekh unaweza kuwafanyia watoto wako hata kama wakubwa wapo shule ya msingi?au wewe mwenyewe ukajifanyia?

  • @NyirasafariSaudah
    @NyirasafariSaudah 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi ninashida kubwa.kuna mda nasoma koroan nikasikia kizunguzungu kichwani,siku ingine nikaisoma nisisikiye shida ile.sasa nifanye nini sheikh ?

  • @Bakia-tj2of
    @Bakia-tj2of 5 หลายเดือนก่อน +2

    Shekhe muubin ndo nn mbona mm c iijui hiyo mubinn nianze kujiombea na mm

    • @mjaweathman6519
      @mjaweathman6519 5 หลายเดือนก่อน

      Mubin iko kwenye suratul yasin

    • @SiriNkya-z9m
      @SiriNkya-z9m 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mubiin iko ktk surat yasin unapoendelea kusoma yaasin utazikuta ziko 7

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 5 หลายเดือนก่อน +1

    Utanisaidiaje ?.

  • @KheyriHassani
    @KheyriHassani 3 หลายเดือนก่อน

    Shekhe nilikuwa nauliza hayo ni mafundisho ya mtume s a w ,kwel?

    • @ramadhanimatanza9514
      @ramadhanimatanza9514 2 หลายเดือนก่อน

      Uislam haujaacha kitu ni maisha mazima ya mwanadam ondoa shaka

  • @FatumaZuberi-eb2sj
    @FatumaZuberi-eb2sj 4 หลายเดือนก่อน

    Sheikh.natamani.izo.dua.lakini.ni.garama..gani.napenda..sana.mimi.naitwa.Fatuma.zuberi.kutoka.songea

  • @SalmaShabani-c7j
    @SalmaShabani-c7j 4 หลายเดือนก่อน +1

    Salma shaban abubakar naomba uniombee shekhe nifunguke akili nikumbuke Quruan niweze kuyafanya mema

  • @LovelyCrocodile-og7uv
    @LovelyCrocodile-og7uv 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ivi Burundi hicho kitab kipo

  • @RamaTota-j6e
    @RamaTota-j6e 3 หลายเดือนก่อน

    Laila ila hata asbuna ka ikuntu dhwalmin

  • @mwalimuathumani722
    @mwalimuathumani722 5 หลายเดือนก่อน +1

    Assalaamu waalaykum,
    Sasa kama hiko kitabu cha WASILATU SHAFII hauna na pia hiyo Swalati Mnnalia hauijuwi nikifanya bila hizo Hili DUA litakuwa LIMESHIBA,
    Majibu Tafadhali.

    • @KhairathLwoga
      @KhairathLwoga 4 หลายเดือนก่อน

      Wasilatu Shafii ipo hapa hapa You tube

  • @Zulkamhaji
    @Zulkamhaji 5 หลายเดือนก่อน +2

    Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes
    Allah akubarik shekh maneno matam

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 5 หลายเดือนก่อน +2

    🙏🙏🙏

    • @YusuphuMsangi-jo9pe
      @YusuphuMsangi-jo9pe 5 หลายเดือนก่อน

      Alhamdulilahi basi Mimi napenda snakusoma Ayaatulkudsi

    • @YusuphuMsangi-jo9pe
      @YusuphuMsangi-jo9pe 5 หลายเดือนก่อน

      Hatakama nipo usingizini naota ndoto mbaya basi inakuja Atomatkal kichwani