Asalaaam aleykum, Allhamudillilah mm ni shuhuda kupitia kufanya dhakari na kufanya ibada wallah nilikuwa na ugumu wa maisha na madeni ambayo nilikuwa sijui nalipa je illa Allah amenipa pesa sikutegemea nilipata milioni 11 ofisini nikaweza kulipa madeni ndugu zangu waislam tufanye ibada Allah ana jibu, sheikh Othmani Allah akubariki kupitia kusikiliza nimejifunza na nikafanya nanimefanikiwa, na nina miaka miwili toka nimeingia kwenye uislam toka nilivyoslim nafurahia uislam
Mashaa Allah Mashaa Allah, nina mtihani wa madeni makubwa kama huo ila bado wakati wangu wa kufanikiwa haujafika japo nazingatia sn mafundisho ya Sheikh na nafanya vyote anavyoelekeza nasubir majibu kutoka Kwa Allah in shaa Allah
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh shukran Shukran sheikh wetu mwenyezi mungu akupe umri mrefu na afya njema naomba uniombee izo dua please niko South Africa sheikh wangu❤
astaghfirullah al adzim wa atubu ilaih subhana wa bihamdihi subhanallahil adzim Laa ilaaha ill-Allaah wahdahu laa shareeka lah, lahu’l-mulk wa lahu’l-hamd yuhyi wa yumeet wa huwa ‘ala kulli shay’in qadeer allahumma innaka afuwwun karimun tuhibbul afwa fa'fu anni la ilaha anta subhanaka inni kuntu minaz-zalimin Adejubu ya allah subhanallahi walhamdulillahi wala ilaha illallah wallahu akbar wa la hawla wala quwwata illa billah, subhana wa bihamdihi subhanallahil adzim
Assalam Alleykum Shukran sana Shekh wangu Leo nimempata faida kubwa sana japo Mimi huwa nakufuatilia sana na natumia Dua nyingi unazo tufundisha ila Leo umetoka fursayakuja kuhudhuria kwenye Dua kwangu Mimi ni Fursa naitaji niudhurie Dua hii naomba ratiba Yako siku na saa nipate kuhudhuria Inshallah natumia utanijibu
Sheikh mimi si mwislam ila mkristo tena kutoka Burundi, wallah mafunzo yako yananikosha, nakuombea dua Jalali akupe maisha marefu tuendelee kufaidi uhondo wako inshallah.
Assalam walaykum..Ahsante sana shekh wangu pedwa..Kuna ile uradi wa kurudisha mume ambae ilikua amekimbia wallahi kama nakuona vile maajabu yake ni siku 3 tu ...Allah akuzidishie uzima na afya njema ila pia uupate mwisho mwema❤nakupenda kwa ajili ya ALLAH. ❤
Nakukubali sana shekh othman nilikuja kwako nipo hoi dhufu l hali nikakesha na wewe nikajifunza namna ya swala za usiku ..Allah akulipe kheri Wewe pamoja nasi
Asalaam alykum warahamatllaa kwanza nimshukuru allaah kunpa pumzi pl sina maoni zaidi yakuanza kuwaombea wazazi wake shekhe na yeye pya tatu sijasoma najitahid ila namuomba aniombe hata kadua kdg tu allaah amlpa
Asalam aleykum warahma tullahi wabarakatu vp hl yk sheikh wallahi nimetizama hii Leo mm wallahi nataka sn sn kufanya hizi adhakar ntajitahidi lkn umesema niombee na mm mungu watoto wangu hawataki kuswali kila nnavo waambia haswali naamini haya matatizo nlonayo ni mngu hajaitizama nyumba yangu kwa jicho la rehma ramadhani hatuitambui ikiingia na ikitoka saumu ya aina zote nyumba yangu watu wateta wapigana hakuna raha ndani ya nyumba yangu nakuomba sheikh niombee hawa watoto wamlekee mola wao huyo baba yao ndio usiseme hataki ht kuswali nakuomba sheikh
Nakubaliana nawe kakangu alikufa wakati wa kiangazi ila la kushangaza wakati jeneza latolewa ndani ya nyumba kulinyesha mvua kiasi yani ardhi ikawa baridi kiasi, watu walishangaa sana,ila yeye pia alikua mcha Mungu mashallah Mungu amueke pema palipo wema
Asalaam aleykum shekhe, pia mimi ninatatizo kila ninalofanya sifanikiwi kabisa pia ninamadeni sana na sijui nitayalipaje, hivyo shekhe wangu naomba unifanyie dua wewe mwenyewe ili niondokane na hii adha ya madeni pia nifanikiwe kila nilifanyalo. ASANTE
Assalaamu waalaykum, Sasa kama hiko kitabu cha WASILATU SHAFII hauna na pia hiyo Swalati Mnnalia hauijuwi nikifanya bila hizo Hili DUA litakuwa LIMESHIBA, Majibu Tafadhali.
Asalaaam aleykum, Allhamudillilah mm ni shuhuda kupitia kufanya dhakari na kufanya ibada wallah nilikuwa na ugumu wa maisha na madeni ambayo nilikuwa sijui nalipa je illa Allah amenipa pesa sikutegemea nilipata milioni 11 ofisini nikaweza kulipa madeni ndugu zangu waislam tufanye ibada Allah ana jibu, sheikh Othmani Allah akubariki kupitia kusikiliza nimejifunza na nikafanya nanimefanikiwa, na nina miaka miwili toka nimeingia kwenye uislam toka nilivyoslim nafurahia uislam
❤❤❤❤❤❤❤❤ Masha'Allah Baraka'Allah Khair
Maashallah Maashallah Maashallah hayo unayosema ni kweli ibada ndio kila kitu,Allahsw auzidishie mardufu udumu ktk uislam in shaa Allah
Mashaa Allah Mashaa Allah, nina mtihani wa madeni makubwa kama huo ila bado wakati wangu wa kufanikiwa haujafika japo nazingatia sn mafundisho ya Sheikh na nafanya vyote anavyoelekeza nasubir majibu kutoka Kwa Allah in shaa Allah
Haya Mimi piya
Mashaallah
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh shukran Shukran sheikh wetu mwenyezi mungu akupe umri mrefu na afya njema naomba uniombee izo dua please niko South Africa sheikh wangu❤
Kwasababu dua zingine sizijui sheikh wetu
astaghfirullah al adzim wa atubu ilaih
subhana wa bihamdihi subhanallahil adzim
Laa ilaaha ill-Allaah wahdahu laa shareeka lah, lahu’l-mulk wa lahu’l-hamd yuhyi wa yumeet wa huwa ‘ala kulli shay’in qadeer
allahumma innaka afuwwun karimun tuhibbul afwa fa'fu anni
la ilaha anta subhanaka inni kuntu minaz-zalimin
Adejubu ya allah
subhanallahi walhamdulillahi wala ilaha illallah wallahu akbar wa la hawla wala quwwata illa billah, subhana wa bihamdihi subhanallahil adzim
Mashaallah
Allah (s.w) akuhifadhi pamoja na ummah wote wa kiislam inshaallah
Amiin
Sheikh niko mbali lkn nafurahika na siwezi siku kupita Bila kusikiliza mawaidha yako jazakka Allah kheri
Assalam Alleykum Shukran sana Shekh wangu Leo nimempata faida kubwa sana japo Mimi huwa nakufuatilia sana na natumia Dua nyingi unazo tufundisha ila Leo umetoka fursayakuja kuhudhuria kwenye Dua kwangu Mimi ni Fursa naitaji niudhurie Dua hii naomba ratiba Yako siku na saa nipate kuhudhuria Inshallah natumia utanijibu
Hua naenda mara nyingi hafanya jumapili na jumatano
Sheikh mimi si mwislam ila mkristo tena kutoka Burundi, wallah mafunzo yako yananikosha, nakuombea dua Jalali akupe maisha marefu tuendelee kufaidi uhondo wako inshallah.
Samahani ingia uislam
Masha Allah Allah akuongee mazuri meng. Utujuze
Jazakhallah khair Sheikh
Assalam walaykum..Ahsante sana shekh wangu pedwa..Kuna ile uradi wa kurudisha mume ambae ilikua amekimbia wallahi kama nakuona vile maajabu yake ni siku 3 tu ...Allah akuzidishie uzima na afya njema ila pia uupate mwisho mwema❤nakupenda kwa ajili ya ALLAH. ❤
Allah mjalie pepo shekh na sis atukutanishe na Mtime wetu Mohammad S.A.W
Lailaha ilallah wahdahuu la sharika lahu lahulmulk walahul hamd yuhyii wayumitu wahuwa hayu la yumitu biyadihil khayra wahuwa aa’la kulishayin kadiir
Mmungu akubarik sheikh wetu. Tumo Kujtahidi
Allaha atufanyie wepes inshallah
Asante shekh kwa ukumbusho mung akupe umri mrefu aamin
Allah s.w akulipeni kila la kheir sheikh Othuman,ila wengine bado lugha inaleta utata
Allah akupe kilalaheri sheikh wetu❤
Allah akuzidishiye. Elimu
Shukran sheikh Allah akulipe kila lakheri
Shukran jazzakallahul kheir Shekhe wetu,Allah akujaze kila la kher In Sha Allah 🤲
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh. Sheikh niombee hta mm nko Hoi taabani.Kusema kweli.Madeni maisha mangumu.
Mungu atakutilia wepesi kila kwenye uzito ..ishaallh yatakwish
Inshallah Allah atatufanyia wepes ktk kila gumu tunalopitia🙏
Allah akubarik shekh wangu akupe maish marefu na akutimizie kila hitaj la moyo wako kwa kutupa elimu
Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes
Allah akubarik shekh maneno matam
Allah akubariki shekh
Maashaallah Allah Akufanyie wepec niombee na Mimi shehe wangu
Allah akupe urmi mrefu .uzidi kuelimisha watu .mana anayetumiya ushauri wako kama utwambiyayo .na imani anafanikisha
Nakukubali sana shekh othman nilikuja kwako nipo hoi dhufu l hali nikakesha na wewe nikajifunza namna ya swala za usiku ..Allah akulipe kheri Wewe pamoja nasi
Asalaam alykum warahamatllaa kwanza nimshukuru allaah kunpa pumzi pl sina maoni zaidi yakuanza kuwaombea wazazi wake shekhe na yeye pya tatu sijasoma najitahid ila namuomba aniombe hata kadua kdg tu allaah amlpa
Alhamdulillah yaan shekhe nimejifunza mambo mengi sana
Jazzakallahu khaira Allaah akupe umri mrefu afya tele utujuze mengi
Mashaallah jazakka Allah kheri
Jazaka Allah kher sheikh wetu 😊
Asalam aleykum, shukran shekhe wang , naomba dua nina mitihan shekhe
Allah atujalie wepesi inshaa Allah
Allah akuhifadh na kila lenye sharri kwako
shukran sana sheikh
Jazakallah khayra!
Asalam aalayku
Allohumma innaka 'afuwwun kariim tuhibbul 'afwa fa'fu 'annaa yaa kariim.
Shekh wangu mm kwa mdomo wangu mzito nikifanikiwa kuzimaliza zote ulizo sema labda nikeshe😢
Allah akibarh
Shukran sheikh wetu Allah akulipe kwa malipo yake
Tunashkr Sheikh
Asalam lakm sheikwetu naomba iniombee dua na matatizo na hapa nilipo ninamtihani sana naomba dua zako insha Allah
Maashaallwah Allwaakuzidishie
Assalam alaykum ww, namushukuru muweza na kutupa sheikh anaetupenda kama wewe
Masha Allah ❤❤❤
Assalamu alykumu naminimuisilamu kutoka congo namina ombaileduwa
Asalam aleykum warahma tullahi wabarakatu vp hl yk sheikh wallahi nimetizama hii Leo mm wallahi nataka sn sn kufanya hizi adhakar ntajitahidi lkn umesema niombee na mm mungu watoto wangu hawataki kuswali kila nnavo waambia haswali naamini haya matatizo nlonayo ni mngu hajaitizama nyumba yangu kwa jicho la rehma ramadhani hatuitambui ikiingia na ikitoka saumu ya aina zote nyumba yangu watu wateta wapigana hakuna raha ndani ya nyumba yangu nakuomba sheikh niombee hawa watoto wamlekee mola wao huyo baba yao ndio usiseme hataki ht kuswali nakuomba sheikh
Shukran
Mashalla
Shekh dua hiz unaweza kusoma ktk miez yoyote maana mm ndio kwanza nimekusikiliza leo shekh wangu
Ndio unaweza
Hujachelewa anza ndugu yangu
Takbiii..r
It's very true what he said is very true😊😊😊
Assalam alaikum ww shekhe tuna omba dua samahani nisaindie
Asalam alaykum shekhe niombe dua nifungue akili yangu na mambo yangu yawemepes
Asalawalaykum shukran❤❤
Aslm alkm plz nisaidie kuandika hii dua
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Basi mi huwa na anza kuswali salat haja kwanza alaf ndo naanza adhkar kumbe nakosea!ntabadilisha inshallah
Mi mwenyewe nilikua nasli kama ww inshaallah nitabadilisha inshaallah
Nakubaliana nawe kakangu alikufa wakati wa kiangazi ila la kushangaza wakati jeneza latolewa ndani ya nyumba kulinyesha mvua kiasi yani ardhi ikawa baridi kiasi, watu walishangaa sana,ila yeye pia alikua mcha Mungu mashallah Mungu amueke pema palipo wema
@@angle3600
Amiin
Ni kweli jamani tusipuuze
Msaada wa hiyo sura ya mwisho mwisho ya Afia inaitwaje
Assalam alaykum shekh ,,shekhe naomba msaada wako mtu ambae nampenda hayuko tayar nimuoe asaivi anadai anadai anataka aendelee kusoma vyuo nami ninawasiwas anaweza akashawishiwa huko akaniacha nifanyaje
🙏🙏🙏
Sheikh hii nyumba nko inanifanya kwa kweli nipata ugumu a kufanya ibada.
Salat nnaria bado sijaijua
Asalaaam aleykum cheh unawez ukayitumia kwatatiz la madeni
Kwa kiswahili shee pls ❤❤❤
Hata kama umesengenya
Shekh auna vitabu
Nikweli Mimi Huwa napenda sana kusoma Ayaatulkudsi hata nikiota ndoto mbaya najikuta naisoma usingizini
Sheikh wangu napenda niwe rafiki wa Alaa nifanye nini?
Sheyki niombee hiyo dua afadhali natoka Kenya
Mungu atakubariki
Asalaam aleykum shekhe, pia mimi ninatatizo kila ninalofanya sifanikiwi kabisa pia ninamadeni sana na sijui nitayalipaje, hivyo shekhe wangu naomba unifanyie dua wewe mwenyewe ili niondokane na hii adha ya madeni pia nifanikiwe kila nilifanyalo. ASANTE
Shehee naomba uniombee dua nina mitiani ya ridhiki
Salaam,shekh unaweza kuwafanyia watoto wako hata kama wakubwa wapo shule ya msingi?au wewe mwenyewe ukajifanyia?
Mimi ninashida kubwa.kuna mda nasoma koroan nikasikia kizunguzungu kichwani,siku ingine nikaisoma nisisikiye shida ile.sasa nifanye nini sheikh ?
Shekhe muubin ndo nn mbona mm c iijui hiyo mubinn nianze kujiombea na mm
Mubin iko kwenye suratul yasin
Mubiin iko ktk surat yasin unapoendelea kusoma yaasin utazikuta ziko 7
Utanisaidiaje ?.
Shekhe nilikuwa nauliza hayo ni mafundisho ya mtume s a w ,kwel?
Uislam haujaacha kitu ni maisha mazima ya mwanadam ondoa shaka
Sheikh.natamani.izo.dua.lakini.ni.garama..gani.napenda..sana.mimi.naitwa.Fatuma.zuberi.kutoka.songea
Salma shaban abubakar naomba uniombee shekhe nifunguke akili nikumbuke Quruan niweze kuyafanya mema
Ivi Burundi hicho kitab kipo
Laila ila hata asbuna ka ikuntu dhwalmin
Assalaamu waalaykum,
Sasa kama hiko kitabu cha WASILATU SHAFII hauna na pia hiyo Swalati Mnnalia hauijuwi nikifanya bila hizo Hili DUA litakuwa LIMESHIBA,
Majibu Tafadhali.
Wasilatu Shafii ipo hapa hapa You tube
Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes
Allah akubarik shekh maneno matam
🙏🙏🙏
Alhamdulilahi basi Mimi napenda snakusoma Ayaatulkudsi
Hatakama nipo usingizini naota ndoto mbaya basi inakuja Atomatkal kichwani