Masha Allah shukran kwa mafunzo mazuri Wlh shk Othman nakupenda sana kwa ajili ya Allah na naomba Allah usiku na mchana tukutane Janatul Firdos Insha Allah
Walaykum salam warahmatullah wabarakatuh/Shukran kwaukumbusho mzuri sana Allah Ghaz'wajallah ajalye tuwe wenye kuelezwa khayri nakuyipenda nakuifanyia kazi Awadhidishie Elmu na Umli mrefu wenye khayri na na afya nzuri barka! ALLAH awadhishie ufahamu ln shaa Allah Awajalye Khusnul khatima viongozi wetu waki dini Mwenyezi Zimungu adhidi kuwalinda na vyiote viovu nyuma yenu na mbere yenu awawekee Nuru ya khayri 🤲🤲🤲🌺
ASAALAM ALAYKUM warahmatullah wabarakatuh yaaani kaka angu simu, iko video zako maaana nnnakupenda sanna kwa ajili ya Allah mpaka nnajiuliza ulisomaje mambo yooote haya wakati unasema wewe kwa ulitokea kwenye mkiristo ,sasa ulikuwa miaka.mingapi mpaka ukawa ivi mashaaallah ukahifadhi Qur-an tukufu yooote kwa kweli Alhamdulillah
Mashaallah mashaallah mashaallah tabaraka llahu shukran wajazaka llahu heri Allahu akbar kabira shukran shehe wetu Lakin hii miujiza ni ya kweli mm nilipatwa na kisa mm mwenyewe nikajishangaa nilikua na mimba miezi tisa nikalala saa nane usiku nikahisi vibaya nikasoma ayatul kursi basi baada ya hapo nikazimia nilipoamka nilijua nimelala usiku na kuamka usubuhi kumbe nililala siku nne ambayo ni jumamosi usiku nikaamka juma nne saa nane mchana ya subhana Allah alhamdhulilah daktari akaja akaniletea mtoto namuliza daktari mtoto wanani daktari akanijibu kwani mtoto wako yuko wapi fatuma nikapiga tumbo kofi kwa nguvu nikahisi maumivi makali sana kuangalia tumbo niko na bendeji nikashtuka namuliza mamaangu kwani vp anijibu chukua mtoto ni stori ndefu ntakuelezea ukipowa nikajibu sawa mama nikachukua mtoto alhamdhulilah nilifanyiwa oppression kumbe presha ilinipanda usiku nikazimia nakuamka baada ya siku nne Allahu akbar nashukuru mwanangu yupo mzima sahii ana miaka 16 alhamdhulilah kumbuka visa vya mitume singano za kale nivyakuzingatia sana kwani ni ukweli kutoka kwa mwenye zimungu subhana wataala shukran
Assalamu alaykum Sheikh Uthman. Sheikh mko na darsa za Quran, Lugha na masomo ya dini kwa ujumla. Natamani sana kusoma kupitia mkono wako inshaa Allah. Mimi nko Kenya.
Yaani bin adamu ni hatari hata hapa kwenye video watu wamegawika makundi kuna wale wame dislike video 28 .... Hawa nao mahasidi wenye roho chafu. Allah atuepushe nao mahasidi na husda zao
kwa nini haikuwa dini wa uwislam tuu duniani basi uwislam uwemo aina nyingi za dini ila zote ziwe source ya islam?nakwanini haikuwa wakristu tuuuu duniani?nathani sisi sote mungu ni moja,hata iwe kwa jina la yesu au mwislam,Allah atatizama matendo yetu
Hicho kitu hakipo ndugu yangu dini ni Moja tu ni uislamu na Mungu ni Mmoja tu. Allah s.w.t ukifa si muislamu motoni milele kama huamini subili ufe ndiyo utajua utatamani kuludi duniani nafasi hiyo hutoipata. Kama wajinga wanavyosema nani alikwenda akaludi akatwambia ya huko. Huko ukienda huludi .
Mwenyezimungu atujalia sisi waisilam wote dunia na ahera inshah ALLAH
Alahuma amin
Mashallah
Masha Allah shukran kwa mafunzo mazuri Wlh shk Othman nakupenda sana kwa ajili ya Allah na naomba Allah usiku na mchana tukutane Janatul Firdos Insha Allah
Mashallah barakallahu shekh tafadhal tunaomba darsa la kuhusu shia'a
Hakika nafulah sana sheh
May Allah protect you to eye of devil
Mashaalla nakupenda kwa ajili ya mwenyenzi mungu akupe umri mrefu
Ma shaa Allah nakupenda bure kwa kutufaidisha kwa mengi katika dini yetu
Allahu Akbar
Walaykum salam warahmatullah wabarakatuh/Shukran kwaukumbusho mzuri sana Allah Ghaz'wajallah ajalye tuwe wenye kuelezwa khayri nakuyipenda nakuifanyia kazi Awadhidishie Elmu na Umli mrefu wenye khayri na na afya nzuri barka! ALLAH awadhishie ufahamu ln shaa Allah Awajalye Khusnul khatima viongozi wetu waki dini Mwenyezi Zimungu adhidi kuwalinda na vyiote viovu nyuma yenu na mbere yenu awawekee Nuru ya khayri 🤲🤲🤲🌺
Masha Allah sheikh Othman mawaidha mazuri sanaaa na kisa kizuri tumejifunza mambo mema lnshallah mungu akubariki emaan na furaha Ameen yarab..Ma Salam
Mashaallah
ASAALAM ALAYKUM warahmatullah wabarakatuh yaaani kaka angu simu, iko video zako maaana nnnakupenda sanna kwa ajili ya Allah mpaka nnajiuliza ulisomaje mambo yooote haya wakati unasema wewe kwa ulitokea kwenye mkiristo ,sasa ulikuwa miaka.mingapi mpaka ukawa ivi mashaaallah ukahifadhi Qur-an tukufu yooote kwa kweli Alhamdulillah
Yusra Kombo shukran yusra
mashallah mashaallah
Masha Allah
MashaaAllah MashaaAllah MashaaAllah
Mashaallah nice shek
Mashaallah mashaallah mashaallah tabaraka llahu shukran wajazaka llahu heri Allahu akbar kabira shukran shehe wetu Lakin hii miujiza ni ya kweli mm nilipatwa na kisa mm mwenyewe nikajishangaa nilikua na mimba miezi tisa nikalala saa nane usiku nikahisi vibaya nikasoma ayatul kursi basi baada ya hapo nikazimia nilipoamka nilijua nimelala usiku na kuamka usubuhi kumbe nililala siku nne ambayo ni jumamosi usiku nikaamka juma nne saa nane mchana ya subhana Allah alhamdhulilah daktari akaja akaniletea mtoto namuliza daktari mtoto wanani daktari akanijibu kwani mtoto wako yuko wapi fatuma nikapiga tumbo kofi kwa nguvu nikahisi maumivi makali sana kuangalia tumbo niko na bendeji nikashtuka namuliza mamaangu kwani vp anijibu chukua mtoto ni stori ndefu ntakuelezea ukipowa nikajibu sawa mama nikachukua mtoto alhamdhulilah nilifanyiwa oppression kumbe presha ilinipanda usiku nikazimia nakuamka baada ya siku nne Allahu akbar nashukuru mwanangu yupo mzima sahii ana miaka 16 alhamdhulilah kumbuka visa vya mitume singano za kale nivyakuzingatia sana kwani ni ukweli kutoka kwa mwenye zimungu subhana wataala shukran
Barakala
Allah akbar
MASHALLAH.ALLAH.AKULIPE.KILA.LA KHERI
Subhana Allah
Vizur
Maashaallah Allah akujaalie umri mref inshallah
Masha Allah ya shekh Allah akupe umri mrefu akuzidishie umri tawiil uzidi kutupa ilmu
aleyhi Alhamdulillahi Shekh Othman Micha
mansha allah
Mashallah shukuran
Ma in sha a Allah sheikh othma Mungu aku jaliye akulinde apa dunia ni na watu wabaya akujaliye pepu yake in sha a Allah
ISA MASIAH NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA
mungu akupandishe daraja zaidi yahapo uripo
mashallaa ustazi nakupenda kwajiri aallaa
MashaAllah hadithi nzur sana
Nakupenda Sheikh kwa ajili ya Allah,Mimi n Muslim,mgen ktk uislam naomben mniunganishe ktk magroup y Wasap y uislam,nijifunze kuhusu Allah
noma sana thank you jajalal
Shukran kwa darsa lenye tauhid
Asante shekhe kwa darsa
Mashalla allah bark shekh wetu tunakupenda
Mashllaah Mungu akuzishie heri
Alhamdulillahi RabilaAlamina shukran🌹 DARSA nzuri sana 🤝 🤝 🤝
Assalam alykum
52710094
Maasha allah sheikh wetu
Manshaallah ila inshaallah 2naomba mwendelezo wake pia make 2kopa1 sana
JAZAKA ALLAH KHAYRAA SHEKH OTHUMANI
Assalam alykum
52710094
Assalam alykum
52710094
Allah akulipe pepo
Mashallah kisakizuri
Asc .maashaallah Allah ukupe maisha marefu
Asalamwalk waykumsalam waramatuhla wabarakatuh
Alla akuripe kila rakheri,
😄😄💖 mashallah
Assalamu alaykum Sheikh Uthman. Sheikh mko na darsa za Quran, Lugha na masomo ya dini kwa ujumla. Natamani sana kusoma kupitia mkono wako inshaa Allah. Mimi nko Kenya.
Masha Allah shukran Sheikh wetu kwa Nasaa nzur🌹
Kurogwa sitatizo tatizo kua yeye karoga hilo ndo tatizo ila wenzetu wako kuzalilisha tu bila kufikiria
mwenyezimungu anauwezo kwaukweli
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh
Shekhe ungesema tu aluchojibu Ukasha kwa maswahaba wenzie
Assalam aleykum warahmatullahi
Yaani bin adamu ni hatari hata hapa kwenye video watu wamegawika makundi kuna wale wame dislike video 28 .... Hawa nao mahasidi wenye roho chafu. Allah atuepushe nao mahasidi na husda zao
Allah akuzidishie
Haya ni masomo yaliyo sahaulika ktk jamii yetu ya kiislaam kuna watu hawakuwahi kuskia hicho kisa cha issa kwanzia wazaliwe
Nashukuru kwa somo lako lakini kwa nini uifanye salute of satan?
Mimi ni Guy toka Goma DRC
😂😂
kwa nini haikuwa dini wa uwislam tuu duniani basi uwislam uwemo aina nyingi za dini ila zote ziwe source ya islam?nakwanini haikuwa wakristu tuuuu duniani?nathani sisi sote mungu ni moja,hata iwe kwa jina la yesu au mwislam,Allah atatizama matendo yetu
Hicho kitu hakipo ndugu yangu dini ni Moja tu ni uislamu na Mungu ni Mmoja tu. Allah s.w.t ukifa si muislamu motoni milele kama huamini subili ufe ndiyo utajua utatamani kuludi duniani nafasi hiyo hutoipata. Kama wajinga wanavyosema nani alikwenda akaludi akatwambia ya huko. Huko ukienda huludi .
Mashallah
Maasha allah sheikh wetu
Mashaallah
Shukran sana kwa ukumbusho
Mashallah