HISTORIA YA NABII ISSA NA MIUJIZA YAKE - SHEIKH OTHMAN MICHAEL

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ส.ค. 2019

ความคิดเห็น • 76

  • @officialidrisadc8638
    @officialidrisadc8638 ปีที่แล้ว +2

    Mwenyezimungu atujalia sisi waisilam wote dunia na ahera inshah ALLAH

  • @officialidrisadc8638
    @officialidrisadc8638 ปีที่แล้ว

    Alahuma amin

  • @hamiduhenjewele5369
    @hamiduhenjewele5369 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @ibrahimwario3177
    @ibrahimwario3177 5 ปีที่แล้ว +4

    Masha Allah shukran kwa mafunzo mazuri Wlh shk Othman nakupenda sana kwa ajili ya Allah na naomba Allah usiku na mchana tukutane Janatul Firdos Insha Allah

  • @fatmaismail13
    @fatmaismail13 5 ปีที่แล้ว +5

    Mashallah barakallahu shekh tafadhal tunaomba darsa la kuhusu shia'a

  • @zuwenazuwena1928
    @zuwenazuwena1928 2 ปีที่แล้ว

    Hakika nafulah sana sheh

  • @osmanmohamed9652
    @osmanmohamed9652 2 ปีที่แล้ว

    May Allah protect you to eye of devil

  • @aishaaisha9094
    @aishaaisha9094 5 ปีที่แล้ว +2

    Mashaalla nakupenda kwa ajili ya mwenyenzi mungu akupe umri mrefu

  • @salamaramadhan2641
    @salamaramadhan2641 5 ปีที่แล้ว +3

    Ma shaa Allah nakupenda bure kwa kutufaidisha kwa mengi katika dini yetu

  • @maotv8884
    @maotv8884 5 ปีที่แล้ว +2

    Allahu Akbar

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 5 ปีที่แล้ว +2

    Walaykum salam warahmatullah wabarakatuh/Shukran kwaukumbusho mzuri sana Allah Ghaz'wajallah ajalye tuwe wenye kuelezwa khayri nakuyipenda nakuifanyia kazi Awadhidishie Elmu na Umli mrefu wenye khayri na na afya nzuri barka! ALLAH awadhishie ufahamu ln shaa Allah Awajalye Khusnul khatima viongozi wetu waki dini Mwenyezi Zimungu adhidi kuwalinda na vyiote viovu nyuma yenu na mbere yenu awawekee Nuru ya khayri 🤲🤲🤲🌺

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 5 ปีที่แล้ว +3

    Masha Allah sheikh Othman mawaidha mazuri sanaaa na kisa kizuri tumejifunza mambo mema lnshallah mungu akubariki emaan na furaha Ameen yarab..Ma Salam

  • @ramadhanihatibu1714
    @ramadhanihatibu1714 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah

  • @yusrakombo5123
    @yusrakombo5123 5 ปีที่แล้ว +4

    ASAALAM ALAYKUM warahmatullah wabarakatuh yaaani kaka angu simu, iko video zako maaana nnnakupenda sanna kwa ajili ya Allah mpaka nnajiuliza ulisomaje mambo yooote haya wakati unasema wewe kwa ulitokea kwenye mkiristo ,sasa ulikuwa miaka.mingapi mpaka ukawa ivi mashaaallah ukahifadhi Qur-an tukufu yooote kwa kweli Alhamdulillah

  • @salumkirumi5527
    @salumkirumi5527 2 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @salmakundi2717
    @salmakundi2717 2 ปีที่แล้ว

    MashaaAllah MashaaAllah MashaaAllah

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah mashaallah mashaallah tabaraka llahu shukran wajazaka llahu heri Allahu akbar kabira shukran shehe wetu Lakin hii miujiza ni ya kweli mm nilipatwa na kisa mm mwenyewe nikajishangaa nilikua na mimba miezi tisa nikalala saa nane usiku nikahisi vibaya nikasoma ayatul kursi basi baada ya hapo nikazimia nilipoamka nilijua nimelala usiku na kuamka usubuhi kumbe nililala siku nne ambayo ni jumamosi usiku nikaamka juma nne saa nane mchana ya subhana Allah alhamdhulilah daktari akaja akaniletea mtoto namuliza daktari mtoto wanani daktari akanijibu kwani mtoto wako yuko wapi fatuma nikapiga tumbo kofi kwa nguvu nikahisi maumivi makali sana kuangalia tumbo niko na bendeji nikashtuka namuliza mamaangu kwani vp anijibu chukua mtoto ni stori ndefu ntakuelezea ukipowa nikajibu sawa mama nikachukua mtoto alhamdhulilah nilifanyiwa oppression kumbe presha ilinipanda usiku nikazimia nakuamka baada ya siku nne Allahu akbar nashukuru mwanangu yupo mzima sahii ana miaka 16 alhamdhulilah kumbuka visa vya mitume singano za kale nivyakuzingatia sana kwani ni ukweli kutoka kwa mwenye zimungu subhana wataala shukran

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 2 ปีที่แล้ว

    MASHALLAH.ALLAH.AKULIPE.KILA.LA KHERI

  • @zubedatatu7852
    @zubedatatu7852 3 ปีที่แล้ว

    Subhana Allah

  • @shafiiboragamashafiigama7869
    @shafiiboragamashafiigama7869 2 ปีที่แล้ว

    Vizur

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman9807 4 ปีที่แล้ว

    Maashaallah Allah akujaalie umri mref inshallah

  • @fatmamombasa3430
    @fatmamombasa3430 5 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah ya shekh Allah akupe umri mrefu akuzidishie umri tawiil uzidi kutupa ilmu

    • @aliidrisahmad5797
      @aliidrisahmad5797 3 ปีที่แล้ว

      aleyhi Alhamdulillahi Shekh Othman Micha

  • @muhimpundunourah8021
    @muhimpundunourah8021 4 ปีที่แล้ว +1

    mansha allah

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah shukuran

  • @nasrauwimana2559
    @nasrauwimana2559 4 ปีที่แล้ว

    Ma in sha a Allah sheikh othma Mungu aku jaliye akulinde apa dunia ni na watu wabaya akujaliye pepu yake in sha a Allah

  • @neemafelister9584
    @neemafelister9584 2 ปีที่แล้ว

    ISA MASIAH NDIYE NJIA KWERI NA UZIMA WA MILELE AMINA

  • @kajoakother6041
    @kajoakother6041 4 ปีที่แล้ว

    mungu akupandishe daraja zaidi yahapo uripo

  • @kajoakother6041
    @kajoakother6041 4 ปีที่แล้ว

    mashallaa ustazi nakupenda kwajiri aallaa

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 3 ปีที่แล้ว

    MashaAllah hadithi nzur sana

  • @karistkanuti2747
    @karistkanuti2747 4 ปีที่แล้ว +3

    Nakupenda Sheikh kwa ajili ya Allah,Mimi n Muslim,mgen ktk uislam naomben mniunganishe ktk magroup y Wasap y uislam,nijifunze kuhusu Allah

  • @abdallahmustapha7125
    @abdallahmustapha7125 5 ปีที่แล้ว +2

    noma sana thank you jajalal

  • @asedtembo4742
    @asedtembo4742 5 ปีที่แล้ว +1

    Shukran kwa darsa lenye tauhid

    • @nooras6404
      @nooras6404 5 ปีที่แล้ว

      Asante shekhe kwa darsa

  • @saidindagijimana524
    @saidindagijimana524 4 ปีที่แล้ว

    Mashalla allah bark shekh wetu tunakupenda

  • @ashuramihayo2576
    @ashuramihayo2576 4 ปีที่แล้ว

    Mashllaah Mungu akuzishie heri

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 5 ปีที่แล้ว +4

    Alhamdulillahi RabilaAlamina shukran🌹 DARSA nzuri sana 🤝 🤝 🤝

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft 4 ปีที่แล้ว

    Maasha allah sheikh wetu

  • @kimnajim8724
    @kimnajim8724 5 ปีที่แล้ว +1

    Manshaallah ila inshaallah 2naomba mwendelezo wake pia make 2kopa1 sana

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 5 ปีที่แล้ว +1

    JAZAKA ALLAH KHAYRAA SHEKH OTHUMANI

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 ปีที่แล้ว +1

    Allah akulipe pepo

  • @officialidrisadc8638
    @officialidrisadc8638 ปีที่แล้ว

    Asalamwalk waykumsalam waramatuhla wabarakatuh

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu5658 4 ปีที่แล้ว

    Alla akuripe kila rakheri,

  • @Zainab-gs4mz
    @Zainab-gs4mz 2 ปีที่แล้ว

    😄😄💖 mashallah

  • @musalumbi8490
    @musalumbi8490 2 ปีที่แล้ว

    Assalamu alaykum Sheikh Uthman. Sheikh mko na darsa za Quran, Lugha na masomo ya dini kwa ujumla. Natamani sana kusoma kupitia mkono wako inshaa Allah. Mimi nko Kenya.

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 5 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah shukran Sheikh wetu kwa Nasaa nzur🌹

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 ปีที่แล้ว +1

    Kurogwa sitatizo tatizo kua yeye karoga hilo ndo tatizo ila wenzetu wako kuzalilisha tu bila kufikiria

  • @muhimpundunourah8021
    @muhimpundunourah8021 4 ปีที่แล้ว

    mwenyezimungu anauwezo kwaukweli

  • @aliidrisahmad5797
    @aliidrisahmad5797 3 ปีที่แล้ว

    Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh

  • @omarimasanga
    @omarimasanga 4 ปีที่แล้ว

    Shekhe ungesema tu aluchojibu Ukasha kwa maswahaba wenzie

  • @aliidrisahmadhuvavaruu4918
    @aliidrisahmadhuvavaruu4918 3 ปีที่แล้ว

    Assalam aleykum warahmatullahi

  • @khamisoothman5294
    @khamisoothman5294 3 ปีที่แล้ว

    Yaani bin adamu ni hatari hata hapa kwenye video watu wamegawika makundi kuna wale wame dislike video 28 .... Hawa nao mahasidi wenye roho chafu. Allah atuepushe nao mahasidi na husda zao

  • @omarimasanga
    @omarimasanga 4 ปีที่แล้ว

    Allah akuzidishie

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 5 ปีที่แล้ว +3

    Haya ni masomo yaliyo sahaulika ktk jamii yetu ya kiislaam kuna watu hawakuwahi kuskia hicho kisa cha issa kwanzia wazaliwe

  • @kakulekagheni516
    @kakulekagheni516 4 ปีที่แล้ว

    Nashukuru kwa somo lako lakini kwa nini uifanye salute of satan?
    Mimi ni Guy toka Goma DRC

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 ปีที่แล้ว

    😂😂

  • @muhimpundunourah8021
    @muhimpundunourah8021 4 ปีที่แล้ว

    kwa nini haikuwa dini wa uwislam tuu duniani basi uwislam uwemo aina nyingi za dini ila zote ziwe source ya islam?nakwanini haikuwa wakristu tuuuu duniani?nathani sisi sote mungu ni moja,hata iwe kwa jina la yesu au mwislam,Allah atatizama matendo yetu

    • @ababukarlinus9355
      @ababukarlinus9355 ปีที่แล้ว

      Hicho kitu hakipo ndugu yangu dini ni Moja tu ni uislamu na Mungu ni Mmoja tu. Allah s.w.t ukifa si muislamu motoni milele kama huamini subili ufe ndiyo utajua utatamani kuludi duniani nafasi hiyo hutoipata. Kama wajinga wanavyosema nani alikwenda akaludi akatwambia ya huko. Huko ukienda huludi .

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft 4 ปีที่แล้ว

    Maasha allah sheikh wetu

  • @suleimanmwamtunza7311
    @suleimanmwamtunza7311 4 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @sadahaluna1768
    @sadahaluna1768 5 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah