Asalam Alekum warahmatulaah wabarakatul kusema la kweli hii eli yako huwa yanipe utulivu sana huwa napenda sana kuleta dhikir sana Allah akujaze kheri inshaallah
Shekhe mimi naitwa Ismail Abdul niko bukoba kagera natamani sana kukuona natamani unifanyie dua mimi nahangaika sana najituma sana nasikiliza sana mawaidha yako lakini elim yangu ya dini ni ndongo maelekezo yako pengine nashindwa kufanya kwa sasababu ya elim ndogo shekhe nifanyie dua kwa kutumia majina yangu Allah atakulipa lakini mambo yakienda vizur nitakutafuta popote niludishe shukrani
Allah akuzidishie elmu na hekma yake na umri mrefu ili tuzidi kupata mazuri ya hekma inshallah Yarabby tujalie mapato ili tuwe watu wa kutoa zakay ,msaada kwa yatima ,kuchangia msikitini ipate kila kitu ndani na pia kwenda hijja wale tujaenda Yarabby 🤲 tujaalie mwisho wetu uwe bora 😢😢 ingawa Dunya ina mitihani allihamudulila 🤲
Assallam aleykum warahmatullahi wabarakatuh Shekh naomba nifanyie dua inshallah mm ni mkenya ila niko Saudiarabia na nina matatizo makubwa mno kutoka nyumbani kenya wabaya wanifata nikiwa huku Saudiarabia wallahi nina mitihani sana naomba dua sheikh 😔😔😔😔
Sheikh Othman samahani nakuomba unifanyie dua mambo ya kimaisha yaende sawa kwa jina naitwa chikira jafar kitojo niombee kwa Allah in shaa allah nami niweze fanikiwa sheikh
Sheikh niembee dua niko mbali nchi za kiarabu näpata mitihani kila nikija huku inshaallah nikirudi biidhini iilahi nitakutafuta unifanyie dua naitwa Jina mzaliwa na salama Allah akubarki sheik wetu
Salam alaikum Sheikh mm naitwa mwanasomo kutoka Kenya Nina matatizo Maisha magumu niliachana mume Nina watoto mume wngu mlevi said napata tabu mwanagu Nae alinusurika Na kubakwa sijui Ni Nini hiki napitia
Asalam Alekum warahmatulaah wabarakatul kusema la kweli hii eli yako huwa yanipe utulivu sana huwa napenda sana kuleta dhikir sana Allah akujaze kheri inshaallah
Shekhe mimi naitwa Ismail Abdul niko bukoba kagera natamani sana kukuona natamani unifanyie dua mimi nahangaika sana najituma sana nasikiliza sana mawaidha yako lakini elim yangu ya dini ni ndongo maelekezo yako pengine nashindwa kufanya kwa sasababu ya elim ndogo shekhe nifanyie dua kwa kutumia majina yangu Allah atakulipa lakini mambo yakienda vizur nitakutafuta popote niludishe shukrani
Chukua namba huoini hapo juu
Chukua number yake mtaongea vizuri sana ingawa kushika kwake simu sio rahisi lakini unajaribi mara kadhaa utapata
Allah akuzidishie elmu na hekma yake na umri mrefu ili tuzidi kupata mazuri ya hekma inshallah Yarabby tujalie mapato ili tuwe watu wa kutoa zakay ,msaada kwa yatima ,kuchangia msikitini ipate kila kitu ndani na pia kwenda hijja wale tujaenda Yarabby 🤲 tujaalie mwisho wetu uwe bora 😢😢 ingawa Dunya ina mitihani allihamudulila 🤲
Mashallaah allah akufanyie wepesi juu elimu unayotoa
Mashalla
Naomba Dua yako Shekhe
Naomba Dua yako Shekshe
Mashallah
Alhamdullilah
Assallam aleykum warahmatullahi wabarakatuh Shekh naomba nifanyie dua inshallah mm ni mkenya ila niko Saudiarabia na nina matatizo makubwa mno kutoka nyumbani kenya wabaya wanifata nikiwa huku Saudiarabia wallahi nina mitihani sana naomba dua sheikh 😔😔😔😔
Chukuwa number yake hapo juu umtext WhatsApp
Insha,ALLAH nafarijika khutba MashaAllah,❤
Sheikh Othman samahani nakuomba unifanyie dua mambo ya kimaisha yaende sawa kwa jina naitwa chikira jafar kitojo niombee kwa Allah in shaa allah nami niweze fanikiwa sheikh
Allah akupe afya njema shekhe Othman
Natwa Salma shaban shekhe naomba Dua zako itawale ktk maisha yangu amina
Mashaallah mashaallah mola akuhifathy
Maashsllah Allah akuhifsdhi
Sheikh niembee dua niko mbali nchi za kiarabu näpata mitihani kila nikija huku inshaallah nikirudi biidhini iilahi nitakutafuta unifanyie dua naitwa Jina mzaliwa na salama Allah akubarki sheik wetu
Shekh naomba niombee ndua maan kunamambo yananisumbuw sn shukuran
Nisamee but I really like you mashaala
🙄🙄🙄🙄
Manshaallah ❤❤❤❤
Allah akulinde shekhe, niombe mambo yangu yanakwama jina langu, Tagir Omar sumail
Amiin yarabila alamiin 🤲 yarabiraalamin
Aminaaaaah rabbil alaaminaaah
Mashallaa shehe niombe niko na mitihan ming mno
Jazakallahu Kheir Sheikh🤲🙏
Allah akudumishe katikaimani
Maashsllah
Salallahu Alaihi Wasalam ❤❤❤❤❤
Mashhallah baraka llahul-Kheyr
Let me🎉
Mashallah shekh wetu Allah akulipe ujira mwema
Maashallah
Salaam aleyku, shekhe naomba dua zako,kilaninapoishi nachukia na kilaninapofanya kazi nachukia na boss mpaka wafanyakazi wenzangu,naomba dua zako
Shukran👏
Mashaallah Allah akuhifadh 🤲
Mashaallah mashaallah mashaallah
allah akuhifadh
Shekhe wangu naomba uniombee Dua risk zangu zifunguke
yaaan mashallh
Salam alaikum Sheikh mm naitwa mwanasomo kutoka Kenya Nina matatizo Maisha magumu niliachana mume Nina watoto mume wngu mlevi said napata tabu mwanagu Nae alinusurika Na kubakwa sijui Ni Nini hiki napitia
Allah akupe subla kipenzi pia jitahid kuswari kwa wakati uamke ucku umkabidhi mwenyezi mungu matatizo Yako yataisha tu
Assalam alaikum😂
Shekhe naomba uniombe 30:30
Shekhe Nina matatizo ya ndoa naomba uniombee niolewe nikakae na mme wangu tufurahie maisha😅😅
Wakati wa kuomba ndoa omba Mungu akupe mume mwenye hofu ya Allah usisahau hyo