MSANII 20% AFUFULIWA , MASHABIKI WAPAGAWA UPYA - GeorDavie TV
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Eh Mungu utarudi lini aisee huku kushachafuka
😂😂😂😂😂
,😢😢😢😢😢 hatari sana
😊😊😊
Tunao ona tunajua ndio tunakosea
Hukumu ni kazi ya Mungu Duniani site ni Mali ya Bwana ukibeba hukumu unajipimia utakavyohukumiwa
Ila ninachokipenda kwa 20% nyimbo zake hazinaga uchafu kabisa. Ni kipaji na aliyempa ni Mungu.
Ni sawa Kanisani brooo
Nyimbo pekee unazoweza sikiliza ukiwa na Wakwe zako. 20% ni 🔥🔥🔥
Christina Shusho njoo uoneee,,, madhabahu uliposujudu na kupewa mil. 10 leo watu wanacheza muziki wa kidunia😭😭😭😭
Kwamba nimatusi yanaimbwa au!
Kuna tofauti ya baa na hili kanisaa?
END TIME SIGN,JESUS IS CLOSE....REPENT TOTAL AND COME OUT FROM SIN FOR YOUR SOUL TO BE SAVED IN JESUS HOLY MIGHTY NAME.AMEN
Yesu atakaporudi atakuta dunia imechafuka sana
Watu wa tabia za asili,watu wa dunia hii wasio na roho ya Mungu.🥲
Hapo kanisani au disko...mungu awaongoze mtambue dini ya haki
Samahan ndugu kanisan tunaenda kujifunza hii mziki Kwan mbaya et haujifunzi Haina tusi acha watu wapokew Barak zao
@@JuliusMnkondo-fk9kvUkristo upotevu
Mimi najaribu kujiuliza tu maswali kadha wa kadha,Kama wewe kweli unatokana na KRISTO unapata wapi ujasiri mkuuu namna hiii wa kupiga nyimbo za kidunia madhabahuni pake
Nemo la mungu linasema mtawajua kwa matendo yaoo na pia wanamacho lakini hawaoni nawanamasikio lakini hawasikii yesu ludi tu ulichukue kanisa dunia Iko mwishoni
EFATHA
Ebu niulize hapa nikanisani au club ya mziki
Me 2 i m confused
Warumi 1:28
[28]Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
And even as they did not like to retain God in their knowledge, God gave them over to a reprobate mind, to do those things which are not convenient;
Kweli kabisa yaani hilo kundi lote hapo wamekosa maalifa Hivi hapo kuna tofauti gani na Bar au night club
Mungu wangu ishakuwa clabu sasa uwiii Mungu atusaidie jamani
Clabu hua unaambiwa uchunge Tamaa mbaya??😢
@@Boaz22wasikilize content wasiangalie wimbo unapigwa wapi
Club kivip umesikia tusi apo ni njia moja wapo ya kufundisha ni mahubiri pia 20% Hana baya yuko sahihi
Mtumishi wa Mungu hana kosa,na habagui watu,hakuna kibaya alichoimba huyo msanii,anafurahisha waumini hajaimba matusi,binadamu mbona mnamawazo potofu sana
Amosi 5:23)
This is the power of clean content ...💪💪💪💪East african's finest 🎉🎉🎉🎉
mmmmmh hapo mbona sielewii nyimbo za bongo kanisani? au sijaona vizuri
Amina baba mm namkubali sana uyu mwamba ana kipaji
Blessed
Lazima daimondi arudi kijijini mana mkali wake ana Rudi kwenyi muziki
Makanisa ya kisasa aiseee
Mungu yupo na wewe 20
Naamini kweli mlango wa kuingia uzimani kila siku unaendelea kubanwa . ...
Kama izo siku hazitafupishwa basi hakuna atakaye pona...
Mungu akisema ndio hakuna wa kupinga nyimbo zenye maadili mzuri kaka mzik wako unaishi tuko pamoja sana
Nabii fekiiiiiii,yaaani bila chengachenga yani.Atatoa hesabu ya hizi roho ambazo hanauwezo wakuziumba siku ile....REHEMA REHEMA REHEMA KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETH ALIYE HAI.AMENI
Daaah Yesu ulie HAI tusamehe sana huu ushetani kabisa...ila watu hawaoni
Shetani anaekuambia tamaa mbaya ni mzuri sana, tumia akili.
@@noelgypsumhajaelewa content😂
Yesu akusamehe, unaomba msamaha Kwa kiumbe.
Pastor yuko sawa kabisaaaa... Nyimbo za Twenty sio mbaya hata kidogo tena zinafundisha maisha na kumtegemea Mungu. Tatizo walokole mmekariri mpaka kwaya tu ndo mjue kwa sio dhambi
Hakuna wimbo wowote usiokuwa na roho nyuma yake, wimbo wowote wa kidunia hata kama una maneno mazuuri kiasi gani umembeba nani nyuma yake au roho gani ipo nyuma yake au madhabahu gani imeubeba huo wimbo, watu wangu wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa
@@emmanuelshukiah1236 unaonekana akili yako ya kufikilia ndogo
Na ile shoo ya mavazi nayo unaisemeaje?
@@lilianjoely2058 na tu mamisi tunamnengulia matako alafu anafulai
AMEN Nimepokea Imekuwa kwangu 🙏.Hii irudiwe, irudiwe Tusherehekee birthday ya Boss Daddy mara mbili kwa mwaka, Maana mambo ni 🔥Wana Ngurumo mna fujooooo!!! Sio kwa vibe hiloo🥳🥳💃😄
nakupenda sana weweni zaidiya wengine 20 pa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nabii GeorDavie kwa hii hauna tofauti na Kuhani Haruni kipindi kile ambacho musa amepanda mlimani Haruni akainua miungu ya ndama. Hii ni nini. Nabii Mkuu usipende sifa kupita kawaida. Utafikiri majini na mapepo yanacheza 😢😢😢😢😢😢 upuuzi mkubwa huu.
Nabii @GeorDavie hii unafanana na Haruni.
Kutoka 32:1-11
[1]Hata watu walipoona ya kuwa Musa amekawia kushuka katika mlima, wakakusanyana wakamwendea Haruni, wakamwambia, Haya! Katufanyizie miungu itakayokwenda mbele yetu, kwa maana Musa huyo aliyetutoa katika nchi ya Misri hatujui yaliyompata.
[2]Haruni akawaambia, Zivunjeni pete za dhahabu zilizo katika masikio ya wake zenu, na wana wenu, na binti zenu, mkaniletee.
[3]Watu wote wakazivunja pete za dhahabu zilizo katika masikio yao, wakamletea Haruni.
[4]Akaipokea mikononi mwao akaitengeneza kwa patasi, akaifanya iwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha; nao wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.
[5]Naye Haruni alipoona jambo hili, akajenga madhabahu mbele yake; Haruni akatangaza akasema, Kesho itakuwa sikukuu kwa BWANA.
[6]Wakaondoka asubuhi na mapema, wakatoa dhabihu, wakaleta sadaka za amani, watu wakaketi kula na kunywa, wakaondoka wacheze.
[7]BWANA akamwambia Musa, Haya! Shuka; kwa maana watu wako uliowatoa katika nchi ya Misri wamejiharibu nafsi zao,
[8]wamepotoka upesi kuiacha ile njia niliyowaamuru, wamejifanyizia ndama ya kuyeyusha wakaiabudu na kuitolea dhabihu, wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.
[9]Tena BWANA akamwambia Musa, Mimi nimewaona watu hawa, na tazama, ni watu wenye shingo ngumu
[10]basi sasa niache, ili hasira zangu ziwake juu yao, niwaangamize, nami nitakufanya wewe uwe taifa kuu.
[11]Musa akamsihi sana BWANA, Mungu wake, na kusema, BWANA, kwa nini hasira zako kuwaka juu ya watu wako uliowaleta kutoka nchi ya Misri kwa uweza mkuu, na kwa mkono wenye nguvu?
Amen
nabado ipo siku pombe otanywewa hapo hapo madhabauni pa ibilisi ili kieleweke
mtawajua kwa matunda yao maana machungwa mwitu hayaezi zaa divai,,, this is not church of the living God, run for your soul ooh
Mungu amuweke nabii aishi miaka mingi kwani haijawshi tokea anasaidia pia anasapoti hivyo upendo alionao najua wanamchukia Ilasizani Kama alishawahi mwambia mshilika wake ajitoe.naauze kila alicho nacho bali nabii hupambana
Elewa music ni kazi ila tatizo unaimba nini na wapi unatumia nguvu ya Nani katika huo music
AMEN
Iyi ni kanisaaa mungu weee
Kanisani tena jamaniii Yesu aliwafukuza wauzaji ktk hekalu la Mungu
😂😂😂 watu wanafuata miujiza sio Mungu aisee Mungu mnamuacha
Yesu iliokoee kanisani Lake kwa sababu milango kuzimu ipo wazi duniani....
Nuru na Giza halikai pamojaa
Dunia iko.mwishonii aiseee😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Furaha tele na kumshangilia Mungu kupitia Nabii Mkuu wetu abarikiwe saana
Alwatan 20 pa
Kama nabii mkuu ningejua karibu nae hakika ningeomba nikutane nae kwa vyovyote namkubali Sana habagui hachagui kaniletea mwana mziki wangu wa mda wote mpaka mwisho 20% nitamsubili mpaka alejee kwenye soko la mziki
Hapa hakuna kanisa Ila ni ukumbi wa starehe .Kwani mungu hawezi changamana na mambo ya kidunia hata kidogo.Haya ndiyo mambo ya nabii mkuu kusoma hamjui hata picha hamuoni kuwa anawapeleka kuzimu jamani
😄😄😄😄Hii day club inaitwaje? Duuuh!
Master kazi unayo nakuaminia kwa mistari mikiki mikali na za ukweli hivyo ndivyo hali ilivyo miyaani master hongera 🙌👏 MUNGU AKUJALIYE KIONGOZI,💪🤔🙌🙏🤙💯
Huyu mm ntasema siku zite ni nabiii wa Mungu giza' ivi vituko Sasa na miwatu imekuwa km tahira
Mh yametimia mungu alosema watakuja kama wakweli lakin two much
Nyimbo za 20%ziko nahakiri nying San ukizisikiriza ninzur Zaid nakubal San
Dah broo twenty ukowp ww Nan kakupotez hua nawazag afande sele au majan jibu sipat lkn we kipaj unacho kaka nyimbo zako Zina ishi myaka 1000
Ila hongera pia pole umepona 20%nilisikia unaumwa
Hivi hawa waumini wanaoabudu hapa wanatambua wapi wanapelekwa au ndo hivo tena?yaani kidunia zaidi halafu eti ajiita nabii wa mungu hivi kweli ndivyo mungu alivyoagiza?🤔🤔🤔
Mungu atusamehe kwa haya yanayoendelea, maana imeandikwa "msifungiwe nira na wasioami I, pana urafiki gangi kati ya nuru na giza"?(2koritho6:14)
Mbona yesu hukuwa mbaguz alikula na watoza ushuru ,kuna yule mwanamke alie lia kakamsafisha miguu kwa machoz yake ,
Usishangae wakiambiwa wanywe usaha ili waende peponi na wakanywa
Hakika Dunia iko mwishoni😢
Ndio maana tunasema vunga hii ni arusha
✓arusha my home land kuna mengi zaidi ya haya
Naomba abadilishe Jina lake la mziki,,20% ni chache mno,,aongeze iwe hata 50% hatojutia
😅......God i have seen enough come and see your people.
Mungu tuhurumie
Sijaona shida,nyimbo zake zinafunzo haswaaa🎉
Vibe LA kufa mtu kanisani duh.
Naitazamakilaziku🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaaaah😢😢😢😢
Next ni diamond😂
Eeeeeeee Yesu njooooooollll uoneki achoendeleeeeeeea
Kwa goedeav
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nampenda
😮😮😮😮watuu hawaoni au mungu wape macho Ili wajuwe ukwerii hili ni kanisaa au clubu mungu wasaidiee😮😮
Yuko sahihi Sana sana
😭😭😭 nyakati zamwisho zawezakuwa zimefika,kwani hapo sini giza na giza zimekutana
Hivi hilo ni disco aau kanisa ?
Pigia msumar😅😅
@@Aboodjan4- hii itakuwa ni Pabu
Mwakilishi wa shetani bila kuficha
Ndugu zetu watanzania wapendwa nitauliza kama paulo nani amewaroga jamani mumeanza na Roho mumalize na mwili hapa upako mnapiga disco kweli kweli woi MUNGU wahurumie kwaya ya arusha mjini ilienda wapi?? 20%ataokoka kweli kama hamhubiri YESU CHRISTO
Sio pekeyangu tu naisi sisi ote tuna ona
Kwa mwenye akili hap ndy atajua kabisa kweli uislam ndy dini ya kwel kabisa na ck zinavy zid kwenda ukwel ndy unajulikan ck zote ukwel hat mbele za mungu unapendeza na unakuw juu ukweli,kwa mwenye akili lakin ndy atagundua hilo.
wakati ahaya hayaja muinua Yesu hata kidogo. Mtu mweusi mwenye hakili hawezi kuwa muisilamu hata kidogo
Kw7bu hun akili una haki y kusem hivy,funga mpak ufe ukakutan n yes kam wenzio w kenya maan si akili huna
Watu wenye akili huelewa content inahusu nini ndiyo msingi wa kuwajenga waumini imani siyo kuwawekea mipaka tamaa mbaya huonywi msikitini ww😂
Maudhui ya nyimbo zake ni sehemu ya ibada pia
Point
Nyumba ya Mungu mnapiga nyimbo za bongofleva kweli?ata Kama ni bir🎉hii sio sawa
Hazina ujumbe mbaya lakn
@@timoliiisaya3824 ishu siyo ujumbe,Neno la Kristo linatosha kumpa mtu ufahamu
naa asiikae afahamu Roho ayambia makanisaaa
Safi Sana 😇🙏
Sio kila music ni dhambi tuelimike
Mmmmm
Mathayo 24;;28 palipo mzoga ndipo wakusanyikako tai
Hii bar iko mkoa gani
Ndugu zangu wale mnao hukumu bila kujitafakari...hv nyimbo za 20% kuna hata 1 isio na mafundisho inawezekana nabii yupo ktk mafundisho
Iko katika funding gani? Na hiyo mziki una takasa nini? Kwa wa amini?
Kaka Anajua kuiba mungu skuinue
Nabii wetu mungu ameshaga kuinua kwakuwa huna ubaguzi tutaendelea kukupenda from finland
😂 wengine hawaelewi somo na hawaamini kinachoendelea hata!!
Ndio uzuri wa nyimbo za ujumbe yeyote popote zinapigwa kama gospel zinavyopigwa bar
Nasisi tupo mbali tunakufuata kwenye Sim uwe unatutamkia Nabii
How can I join this church?
Mungu mngarishe nyote yke izdi kungaa kwan ndio kipawa ulichomp
Hivi hapo ni kanisani au kwenye ukumbi wa disco.
Angalia content za nyimbo hazichagui pa kupiga huoni vibe la waumini😂
@@sixbertmwakaluwa5665 we ni wagizani ndiyo maana unaungana na upagani huu
Uwezo unao na unaweza kaka shida n wenye nia mbaya na wewe walikupoteza kaka, ila rekodi yako haijawahi kuvunjwa hadi leo kaka
What is going on in the body of Christ
Hap club kiingilio kias gani
Hapo ni kanisan au bar
Kwa ujumbe wa tamaa mbaya unapaswa usikilizwe bar tu?😂
@@sixbertmwakaluwa5665 😂
Nirizani ni krabu duu. Tumefikia huku?
Savi sana
😅😅😅😅😅Alwatan twenty paa in the building 🏫
Ivi hawa waumini awasomagi ata biblia kusoma awajui ata picha awaoni
😢😢😢😢😢
Ee MUNGU turehemu