MSANII 20% WA BONGO FLEVA AFUFULIWA KISANAA NA NABII MKUU - GeorDavie TV
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Siku hizi watu wanafuata miujiza hawafuati maandiko,hapo wanamuabudu huyo jamaa aisee Mungu awaonyeshe njia
Mbona ajapewa ela
Nuru na giza katu havikai pamoja, lazima kimoja kiondoke. Ndege wafananao huruka pamoja... Pasi na shaka mmeshajipatia thawabu yenu.
2 wakorintho 6:14Msiambatane na watu wasioamini. Je, wema na uovu vyapatana kweli? Mwanga na giza vyawezaje kukaa pamoja?
YESU njooo huku uone
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wengine wanaenda kumuomba Nabii pesa tu
Tutayaona mengi
Ndio kiukweli tulisikia mengi mashabiki wako ndio kwanza tunakuona siamini pole sana bro.20%
Mungu akubariki
Ok wazima
Mkuu wa kuzimu huyu SI nabii wa mungu, mkono wa bwana uwe juu yake! Kanisa linashangilia upumbavu kanisani Kila siku ushetani mtupu
Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua
Siku za mwisho mengi yatainuka na bado
Waganga hawana chochote mbere ya Baba Nabii Mkuu GeorDavie Balozi wa Amani. Najua umefunguriwa Sana. Kama nilivyo funguriwa
Birthday yake ni leo
Nabii wa mchongooo hyo si bongo fleva
Jamaa anajua safi sana
Nawakubali sana
Yuko sahihi sana
Tutaona mengi Sana mwaka huu 😢😂 ukitaka mkwanja tu andaa wimbo hata wa hovyo nenda kwa nabii unarud na milion moja
😅😅😅😅😅
Kisongo Wereeeeeeeh
20% hiyo nayo Kari sana
Kazi ipo 🤔🤭🤭
Dah,,,kak safii sana
Uuuuuwiiii
Baba yangu GeorDavie Balozi wa Amani Nabii Mkuu Mungu Akubariki sana. Burundi Capital politic Gitega.
NJAAA
Duuuuuu subirini tutaona mengi kwa uyo mzee na atadhihirika tuu
2 wakorintho 6:14 Msiambatane na watu wasioamini. Je, wema na uovu vyapatana kweli? Mwanga na giza vyawezaje kukaa pamoja?
Sava Sana baba
Twende kazi 😂😂😂
NawaambiagA hapo hakuna Mungu hapo ni Disco
Kumbuka katiba inakataza kukashifu au kudharau imani ya mwenzako
@@farajashaban1073 na ufahamu biblia inasema Mungu hafanyi kazi na wapumbavu
Kweli kabisa sio kanisa ni disco
Hivi mazuzu Tz watakuja kuisha kweli?
Unaweza kuwa wewe ndio zuzu, maana hata kichaa uwaona watu wazima kua vichaa, wale wanaenda Kwa waganga na bar hao sio mazuzu, Yani Mtu aende church awe zuzu ndugu pole, umekosa heshima
Hivi hapo mnamfuata YESU au mwadadam sijaelewa?
@@HellenEmmanuel-mz5bv MUNGU ndani ya Mtu uwezi ona MUNGU posipo Mtu.
Yaani hatari sana ndugu.
Wajinga hawaishi
Yaani majitu yametekwa Hata hayajitambui.
Mwe
By AMO.G (AMOS THE GREAT)
Nimeipenda
Sasa wimbo gan huo jmn khaaa 😂😂😂
🙏🙏
We ni nabii wa wapi ????? Wa mchongo??
Kanisan km studio au feista duuu
😂 asante Studio😅
Huyu ni twenty percent? Au?
Huyu nabii yupo poa kwani anawapa vya lohoni na vyamwili wengi hula vya washilika
Hapa mbinguni ni ngumu kuingia, Sasa nipango lawanyang'anyi Eee MUNGU tusaidie
Tutaona mengi Sana hakuna nabii apo
20 parcent
Hajapewa hata mia??? 😂😂😂😂😂 Rodi rodi rodi
Du
Duuuuuuh Hili nalo ni kanisa?
😂😂 tunahitaji neema
😂😂😂😂h
Hawa ndo kina makenzi..
🤣🤣🤣🤣🙌🙌
🙏🙏
Hv wewe unayejichukulia utukufu wa Mungu,tangulini nuru na Giza vikaaa pamoja kwann unapeleka watu kuzimu,unauwa watu Kuna masaa na madk Kuna kusaga meno watu msikie huyu Ni shetani mkubwa watumishi wameimba hmsikii
Kwa kweli huku ndani Ni ushetani unaendeleaje tu kwenye hili wanaloita Ni madhabahu ya Mungu
Kanisa lenye Ibada za kishetani