Eti msikiti wa kitwarika! Subhana Allah, Allah anasema! انالمساجدلله فللاتدع مع الله احدا Masheikh Muogopeni Allah hii dunia ni njia tu tunaenda mbele ya Allah yatawekwa wazi yote kwa Allah!
عربى - التفسير الميسر : وأن المساجد لعبادة الله وحده، فلا تعبدوا فيها غيره، وأخلصوا له الدعاء والعبادة فيها؛ فإن المساجد لم تُبْنَ إلا ليُعبَدَ اللهُ وحده فيها، دون من سواه، وفي هذا وجوب تنزيه المساجد من كل ما يشوب الإخلاص لله، ومتابعة رسوله محمد صلى الله عليه وسلم.
Hio aya inaanza kusema. MSIKITI NI WA ALLAH SW WALA USIOMBE MUNGU MWENGINE PAMOJA NA ALLAH SW. AU ULIFKIRI INAKQTAZWA KUOMBA MTU HAPO?. MAWAHABI VILAZA 😂😂😂
Hiyo Aya waitumia kumkufurisha muislam mwenzio na Hali iyo Aya yawazungumzia wanafiki huoni kuwa umeitumia mahala sipo mm naona kuna mambo mumeyaficha kwenye vifua vyenu na Allah amekwisha sema katika aya zake " Na yakakusanywa yaliomo vifuani". Ikumbukeni sana hii siku msije mkajuta
Na je walio mfukuza sheikh Mohammed bachu wame Jenga ule wa kwao na kumfukuza sheikh asifanye da'awah ni msikiti aina gani brother, Tena eti huyu sheikh ni mtu wa Sunnah subhana Allah
Wewe ustadh nenda kalale tafadhali , fundisha ilmu ya matwari na kupiga zumari msikitini maulidi na hitima na kupiga ramli na . Wacha chuki zako mbovu za kikafiri kwa mwalimu wetu na shekhe wetu Muhammad Nassor bachu Allah amuhifadh.
ALHAMDULILLAAAH WATU WATWARIKA HAWAFAI KUWA HATA WAFANYA USAFI MSIKITINI UKIPATA UWEZO WA KUMTOA MTWARIQA KTK UIMAMU NI KHERI KUBWA IMEFANYA WEWE SABABU HAO NI WAPOTOSHAJI SIO WAONGOZAJI HONGERA SH BACHU LAMU SASA YAENDA PATA MSIKITI YA SUNNA ALHAMDULILLAAAH RABIL ALAMIIN
Mtu akimaliza kuujenga msikiti huo sio mskiti wake bali ni Nyumba ya Allah. Na waislam hupaswa kuutumia kwa ibada. Sasa mwenye chuki na hasad za kuwa alijenga fulani kwa kuwa yeye ana msimamo fulani hao watajipoteza. Kauli ni kumuabudu mola mpka mauti mmoja wenu yamkute huku ibada hakuziacha.
Vip wengelimruhusu akafanya hiyo dawaa msikitini je muhammad angejenga huo msikiti mwengine lkn wameyanzaa wao kuwagawa waislam kwa kuwazuia kuinga ktk msikiti acha watu wajengee mwengine ambao watafanya harakat zao za dawa
Mawahabi wamekua kama wakiristo kwamba kila mtaa wenye msikiti kuwe na kanisa sasa wao moja ya mikakati yao ni kila penye msikiti wa Ahlu sunna kuwe na masjidu dhiraar
acheni dhihaka na maneno ya Allah (Quran) chuki za kibinafsi zisipelekee uchochezi wa kuwafitini watu kwa kiwango hiki, tumcheni Allah (S.W). Kwa wenye akili wataelewa fitna ilipo, Allah atuongoze kwenye haki na kuifwata sunnah ya mtume wake (S.A.W)
Kwani sheikh haki na batir vinakaa pamoja siku zote? Watu wengi huswali ktk miskiti yenu kwa shida ikiwa hakuna mskiti wa kisunna karibu ndio twaswali ktk misikiti ya kibidaa
Nyinyi wa Kenya subirini kidoogo baada ya miaka kadhaa mutakuja kumfahamu huyo Muhammed Bachu ni nani maana hamujamjua bado. Fitna na migogoro ndio kazi anayolipwa kwayo hiyokamahamujuwi.
Hao mawa habi hupita na kusema watu wasi some vitabu vilivyo andikwa Tanga na lamu haya nime yasikia Kwa masikio yangu baada ya swala ya magharibi tuna hupita vijijini wakijuwa ufaham wao ni mdago huku wakigawa nyama baxawadi mbali
kweli kabisa masufi ni wavivu wakusoma hata Iko clip ya Sufi mwenzao shekh mziwanda kutoka tz akiwasisitiza masufi wenzake wasome dini wapunguze kuimba nahatakama watasema wamesoma lakini hawawezi fanana na watu wa Sunnah ASLI mia kubwa ya usomi wao ni mashairi marefu. Dua nyingi ambazo hazikuthibiti kaswida nyingi trics/Hila nyingi katika SoMo la nahwi. visa vingi vya urongo kama vile makarama kutishatisha watu na majini kuwafata matajiri mbalimbali husun WA Jami ya ki Asia eti kuwaombea biashara zao na kula sanaaaa bas. hakuna tawheed. hakuna Sunnah hakuna kuhifadhi Kur an. huu utafiti wangu nasema aslimia kubwa tena kubwa sana sikusema wote WALLAHU A ALAM
Tanzania nzima wamejaa washirikina endeni huko mukawaongoze Hao waislam washirikina Watu wamekita kwaushirikina ..huko siu Kuna mashekhe nawacha amungu kuanzia zamani
Mohammadi bachu Mungu ampe nguvu kubwa katika. Daawa
Allwah amlinde sheikh Muhammad na wanafiki kama hawa wasiojielewa.
Eti msikiti wa kitwarika! Subhana Allah, Allah anasema! انالمساجدلله فللاتدع مع الله احدا Masheikh Muogopeni Allah hii dunia ni njia tu tunaenda mbele ya Allah yatawekwa wazi yote kwa Allah!
Shukran kwa ukumbusho
Lakini unapoandika aya za Quran hakiki vzr uwandishi wa maneno ya Allah.
Allah akubariki
Watu wa Shanga maisha yao wanaishi kwa udugu na amani, lakini s
asa fitna ishaingia, inshaAllAH mungu atawastiri ndugu zetu wa shanga
A
عربى - التفسير الميسر : وأن المساجد لعبادة الله وحده، فلا تعبدوا فيها غيره، وأخلصوا له الدعاء والعبادة فيها؛ فإن المساجد لم تُبْنَ إلا ليُعبَدَ اللهُ وحده فيها، دون من سواه، وفي هذا وجوب تنزيه المساجد من كل ما يشوب الإخلاص لله، ومتابعة رسوله محمد صلى الله عليه وسلم.
Hio aya inaanza kusema. MSIKITI NI WA ALLAH SW WALA USIOMBE MUNGU MWENGINE PAMOJA NA ALLAH SW. AU ULIFKIRI INAKQTAZWA KUOMBA MTU HAPO?. MAWAHABI VILAZA 😂😂😂
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh haomuwe munaangalia uwongowao
Hiyo Aya waitumia kumkufurisha muislam mwenzio na Hali iyo Aya yawazungumzia wanafiki huoni kuwa umeitumia mahala sipo mm naona kuna mambo mumeyaficha kwenye vifua vyenu na Allah amekwisha sema katika aya zake " Na yakakusanywa yaliomo vifuani". Ikumbukeni sana hii siku msije mkajuta
Waislamu ni ndugu ummah mmoja ni kama mwili mmoja kwahivyo tupendane tuhurumiane tuwe sote pamoja
InshaAllah kupitia huo mskiti Allah ataleta nuru ya sunna na hizo shirki zenu zitaondoka
Kabisaaa
Hamna hekma ya eneza Imani yenu mnavuruga jamii na kuleta chuki mawahabi
Bacho songa mbele
Jama😅 mashekhe wengn ni mutihan 2 mbele ya mungu mutakuja kuzalilika san
Unajenga unabomoa shikamana na waislam katika njia ya Allah
Hii inaonyesha dawa imewaingia vzr sana
Mashaa Allah kwa nasaha nzur yaa ustadhy zid ya fitna zinazo endelea kwa ulimwengu wa sas
Jazakalkahu lkheir Sheikh
Pole sana sheikh wangu, wenye msikiti wao hawataki dawa nihio tu kuepusha shari. Kujenga msikiti mwengine MASHALLAH.
Shekhe bachu hawawatuwamaneno utawaweza kwasababu aya walahadidhî hawajui
Kazi mnayo!
Kama mlikua mnaswali eid moja siku moja mjue sasa mtaswali eid siku mbili tofauti.
Ustadh huna hoja ya msingi, mlikuwa msimzuwie kutowa dawa, sasa Acha dawa ije kwa njia nyengine, huwezi kuzuwia maneno ya Mungu....
Subhanallah
Em shekh toa kufru sita zinazofanywa katika miskiti ya masalafi
Na je walio mfukuza sheikh Mohammed bachu wame Jenga ule wa kwao na kumfukuza sheikh asifanye da'awah ni msikiti aina gani brother, Tena eti huyu sheikh ni mtu wa Sunnah subhana Allah
shekh Muhammad bachu usirudi nyuma hawa watu wa twarika hawawezi izima nguvu ya Allah
Wewe ustadh nenda kalale tafadhali , fundisha ilmu ya matwari na kupiga zumari msikitini maulidi na hitima na kupiga ramli na . Wacha chuki zako mbovu za kikafiri kwa mwalimu wetu na shekhe wetu Muhammad Nassor bachu Allah amuhifadh.
Si ajabu ukisema ni mwanafunzi wake sababu mwafanana
Masheikh wa kisuf akili ndo tatizo mnamisimamo ya kitetea matamanio ya nafsi zao
Bado hamuwezi tafautisha kati ya chumvi na sukari hata kwa macho au kuonja. Haki na batil kawmwe havifanani. M Bachu Allah akuhifadhi.
Bachu anaelimu mbembelezi afunze sunna ya RasulAllah
ALHAMDULILLAAAH WATU WATWARIKA HAWAFAI KUWA HATA WAFANYA USAFI MSIKITINI
UKIPATA UWEZO WA KUMTOA MTWARIQA KTK UIMAMU NI KHERI KUBWA IMEFANYA WEWE
SABABU HAO NI WAPOTOSHAJI SIO WAONGOZAJI
HONGERA SH BACHU LAMU SASA YAENDA PATA MSIKITI YA SUNNA ALHAMDULILLAAAH RABIL ALAMIIN
Bi Idhin Allah msikiti wa Sunna utajengwa na watu wa Maulid mtadhalilika hapa duniani na kesho akhera
Swali. Je ni ipi hukmu y mwnye kuswali kwenye huo msikiti w Ustadh. Bachu?
Bachu Allah akulipe khery
Masha Allah wazushi mko na shida sana
Hata mtumepiaalimbuwa agawanya watu haikuanza kwa sheikh muhammad bachu Allah amuhifadhi
Huyu shaikh ni mkuweli
We xhekh ni mchochezi huna elimu unamponda bachu yupo kwenye haki
Yaani masheikh wote hawajui wao ndio wajuzi,ukijikweza mungu atakushusha
Mimi nitatoka ushahidi mbele ya Allah yakua Watu wakiwahabi niwatu wafitna...nishawahi kuwaona mawahabi wawasaliti waislam wenzao kwaserikali ili waislam Hao wafungwe ..mawahabi niwatu wafitna Shetani Amewaingia kwanafci zao kufitinisha waislam.....
Kumbe ishu ilikua nin au umeichukua habari jujuu kama mafadiqi hebu niambie tatizo la wao kupelekana mahakamani kufungwa
Muogope Allaah achana na unafiqi.bidah ni mrango wa moto@@saidimkwinzu9106
Kazi kuabudu makaburi, lazima muambie ukweli...
Hongera sheikhe umesema ukweli
Mtu akimaliza kuujenga msikiti huo sio mskiti wake bali ni Nyumba ya Allah. Na waislam hupaswa kuutumia kwa ibada. Sasa mwenye chuki na hasad za kuwa alijenga fulani kwa kuwa yeye ana msimamo fulani hao watajipoteza. Kauli ni kumuabudu mola mpka mauti mmoja wenu yamkute huku ibada hakuziacha.
Ndugu anglia unacho kihadharisha utaenda kulipwa kwa kuzuia kuenea haki chuki zutakuingiza katika ghadhab za Allah kuwa makin ndugu yangu.
Pigeni kelele tu mkiti utanengwa huu ni utangulizi tu zitajengwa misikiti zaki sunni kweli kweli inshallah
Bachu ni mfitinishaji sanaa
Nyinyi watu wakenya mnamlea huyo huku Tanzania huyo kazuiliwa kusema walakutoa mawaidha yake ya kufitinisha watu mzuilieni huto
Bidakweli
nenda ww kazuwiye
Hayoni yakwenu
Kama wewe ulivokua fitna
kwa hio bachu anajenga mskiti wa makafiri, ndio mtume alivyo tufundisha
hujasema kweli ww mtowa posti hii umefeli unatafuta kujibiwa ili upate kiki
Vip wengelimruhusu akafanya hiyo dawaa msikitini je muhammad angejenga huo msikiti mwengine lkn wameyanzaa wao kuwagawa waislam kwa kuwazuia kuinga ktk msikiti acha watu wajengee mwengine ambao watafanya harakat zao za dawa
Mawahabi wamekua kama wakiristo kwamba kila mtaa wenye msikiti kuwe na kanisa sasa wao moja ya mikakati yao ni kila penye msikiti wa Ahlu sunna kuwe na masjidu dhiraar
Ata bado kazi kumuandama kijana ambae ameamuamua kusema kwanza leteni ushahidi wapi wanyama walipeana tarifa ndipo mje na fitina
😅😅 yeah
kwanza wajibu majib
1- wapi wanyama waliongea
2- wapi kuimba ktk micbaa
Kweli huyo ni mfitinishaji ana wagawa waisilam Kwa msilahi ya wakatorck mpuuzi sana
Na ulichokifundisha hakieleweki ilatu nichuki apo ndoo umeeleweka
Ukiongea ongea kama mwanamme, usilegeze sauti
Mashekh nanyie kama wasanii siku hizo tangu muwe mitandao hamna makongamano ya pamoja kuchanuwana na kukosoan nyingi kwa waislam muje na lengo moja
Kwani jmani msikiti ni kanisa,?
Jamani muogopeni Allah acha kugawa waislamu
Bachu hajielewi kama anajielewa angepambana barabara namjadala na Sheikh Said
Nyinyi ndio mwawagawanya watu kwasababu hanpendi haki isitumie aya kupotoa watu
Kichwa cha habari tu kinaonesha upumbavu wenu na akili ndogo kuna msikiti wa fitna dunian??? Kichwani hauko sawa
Haahaa cheki hili jinga
MASHAALLAH
Masufi ni makafiri tu kama makafiri wengine sio jipya
watu wa twarika kazi munayo munazuia dini ya Allah isitangazwe
Watu bachu wot ni wapuuzi sanaa
Mashaallah
acheni dhihaka na maneno ya Allah (Quran) chuki za kibinafsi zisipelekee uchochezi wa kuwafitini watu kwa kiwango hiki, tumcheni Allah (S.W). Kwa wenye akili wataelewa fitna ilipo, Allah atuongoze kwenye haki na kuifwata sunnah ya mtume wake (S.A.W)
Wewe mtuwakitwarika kwakuzungumza bila aya walahadidhi ndomnajua Nahao manenoyako bilahadidhi wala aya hayatusumbuisisi
Kwani sheikh haki na batir vinakaa pamoja siku zote? Watu wengi huswali ktk miskiti yenu kwa shida ikiwa hakuna mskiti wa kisunna karibu ndio twaswali ktk misikiti ya kibidaa
Munadhihirisha aibu zenu jisitirini madheikh wa shanga
we sheikh acha fitina na choyo sjui hata waongea nini hapo
Please tusitafute view kwa kutumia dini msikiti niwamungu uwe niwamwatwari au uwe siwanwatwari please view zitafutwe kwa njia nyingine
Sikiliza video upate ufahamu
@@ramiyawetutvkitu gan chenye faida hapo Ata kisikilizwe
Wewe unasema yakwako hausemi yawana zuoni
Watu maulidi wanakazi
Kwani mushampa Uraia wa Kenya huyo Bachu huko?
Hahaaa watu wa bidaaa mnna kazi sana,hamna hojja mtaenndelea hivyoo hivyoo hhuku dawwa ikiendelea kupamba
KWELI UJINGA NI MZIGO.
NGUVU NYINGI PUMBA TUPU.
Tukaneni sana lakini mjue sku moja mtaulizwa kuhusu hizo kauli zenu
Mungu Mmoja
Dini Moja
Mtume Mmoja
Kitabu kimoja
Kwanini madhehebi?
Hakuna miskiti ya kuyagawa wa2
Nyinyi wa Kenya subirini kidoogo baada ya miaka kadhaa mutakuja kumfahamu huyo Muhammed Bachu ni nani maana hamujamjua bado.
Fitna na migogoro ndio kazi anayolipwa kwayo hiyokamahamujuwi.
Unaogopa waumini hawato ingia kwa misikitu ya maulidi
Nyote waislamu kaeni muelewane
Sasa inacho kuchoma ni kujenguwa miskiti
Bora uwitwe madjid faraun bachu
Hao mawa habi hupita na kusema watu wasi some vitabu vilivyo andikwa Tanga na lamu haya nime yasikia Kwa masikio yangu baada ya swala ya magharibi tuna hupita vijijini wakijuwa ufaham wao ni mdago huku wakigawa nyama baxawadi mbali
Wee kaendelee kusomma maulidi,suala la elimu achia wenginne,
msikiti suna kisimani hauvunjwi hilo lifahamu
ilikua sawa matwarika kusoma kwa mashia
Kiufupi hamutaki sunnah mwataka uzushi😅😅waabudu makaburi wana shida sana😂
Bachu nimtu wafitna Atadhaliloka nafitna zake
masajid za sunna hazina bid'a
Ukweli wa buchu unauma
Sasa wanamtengenezea
Ajali
We wa shekh wa
Inaonekana Bado huna ilmu
Leohukuanza na Aya
maana umegundua umetafsr kwa uelewa wako
b Ndio maasuf mlivyooo ,
Wavivu kusoma!
kweli kabisa masufi ni wavivu wakusoma hata Iko clip ya Sufi mwenzao shekh mziwanda kutoka tz akiwasisitiza masufi wenzake wasome dini wapunguze kuimba
nahatakama watasema wamesoma lakini hawawezi fanana na watu wa Sunnah ASLI mia kubwa ya usomi wao ni mashairi marefu. Dua nyingi ambazo hazikuthibiti kaswida nyingi trics/Hila nyingi katika SoMo la nahwi. visa vingi vya urongo kama vile makarama kutishatisha watu na majini kuwafata matajiri mbalimbali husun WA Jami ya ki Asia eti kuwaombea biashara zao na kula sanaaaa bas. hakuna tawheed. hakuna Sunnah hakuna kuhifadhi Kur an. huu utafiti wangu nasema aslimia kubwa tena kubwa sana sikusema wote WALLAHU A ALAM
Lol kila kizazi kina uzushi😅😅😅😅😅
Mulimdhania vibaya yy angejenga akaenda sio mkaazi wahapo kwenu
Tanzania nzima wamejaa washirikina endeni huko mukawaongoze Hao waislam washirikina Watu wamekita kwaushirikina ..huko siu Kuna mashekhe nawacha amungu kuanzia zamani
Masjdid thwirar.msikiti wa madhara.ipo eleweni Quraan.
Nd maana yake kulekeza spika kule kule ili muwache kupotosha w2
Bachu anajenga misikiti ya kuinuwa Tawhidi Juu nakuondoa ushirikina na wasio kuekewa neno la tawhidi
Swalihina msikitini wenu
Uko Karibu Sanna
Na msikiti Wa mashia mbona
Hukuutaja ama nyinyi Na mashia niwamoja
Umepanik baba na msikiti utajengwa
Acheni fitina nyie duh hii hatari sana Allah anawaona
Jenga Bachu,wewe hawakuwezi wanakuogopa,wacha wapige kelele piga kazi
Hana adabu wao ndio watu wa sunna wengine hawana sunna,anadanganya watu wasiojielewa