Kumaro!! Eti binti huyu alipoamua kuondoka kanisani...(ndiyo)...kaamua kuondoka nyumbani kwa Farao. Eti. Kumbe amechanganyikiwa tangu miaka hiyo....Na kuringia Kiingereza. Na dharau Kwa waamini....Eti wamezoea kuandika CV za majeneza!! Ana bahati mbaya ya kujiona. Hafai kuwa Mchungaji.Udalari Sawa.
amen nimeipenda sana semina yako dada natamani niwe karibu nawe nipate elimu zaid
Our God is not interested in education but passion and integrity.
Mungu akubariki dada kwa ushuhuda mzuri. Mungu tusaidie kujitambua na kutambua kusudi la Mungu aliloweka ndani yetu
Natafuta ajira dado niajiri kwenye kampuni yako
MANGU,
Mtumishi uko sawa
Oooohh! Yote yanawezekana nimejifunza mengi sana mbarikiwe kwa mafundisho haya!
Mungu wetu wa mbinguni awabariki watumishi law kututia moyo.
Elimu ya darasani sio inayo endesha maisha ya walio wengi. ila unapozaliwa na Riziki yako inazaliwa.
Udhubutu ni muhimu sana.
AYAAA BHANAAA 😏😏😏😏
Hakika Mungu ametupa kitu ndani ya Maisha yetu .Bora kujitambua
Dada, Mungu akubariki sana umenitia moyo sana, kwenye kazi yangu na mm IPO ck nitashuhudia uweza wa Mungu Amina.
Ushuhuda mzuri sana,Mungu akubariki
wow! Sista fridah mija have really enjoyed your testimony may our lord God bless you amina
Dada, umeniimpress sana,Mungu akubariki Sanaaaa
ASANTE SANA YESU KWA PENDO LAKO.
Nimebarikiwa sn na ushuhuda huu. Umenivusha mahali flani na kunipa ujasiri
Tunaomba mawasiliano kwajili ya usafi
AMEEEEN
Good testimony
Uchaga mtupu
Huyu mchungaji amebadili utaratibu wa mahubiri ya misingi ya kilutheri Askofu aliyemsimamisha uchungaji ni sahihi kabisa
😳😳😳
dah! nimebarikiwa sanaaa ushuhuda mzuri! barikiwa.
Israel Munuo Asante sana.Endelea Kubarikiwa Zaidi Na Sisi.
Tunaomba mawasiliano kwa jili ya usafi
P000
Mungu atusaidie..... Fungu la 10 ni mtihani sana
AMEEN
MUNGU AKUBARI SANA KWA USHUDA HUU TUNABARIKIWA
Kumaro!! Eti binti huyu alipoamua kuondoka kanisani...(ndiyo)...kaamua kuondoka nyumbani kwa Farao. Eti. Kumbe amechanganyikiwa tangu miaka hiyo....Na kuringia Kiingereza. Na dharau Kwa waamini....Eti wamezoea kuandika CV za majeneza!! Ana bahati mbaya ya kujiona. Hafai kuwa Mchungaji.Udalari Sawa.
Dada Yuko sawa ila mchungaji hapo anapotosha maana huyo dada bila elimu asingefika hapo maana mengi hapo ameyafanikisha sababu amesoma na ana elimu
Mchungaji kasema degree inamdaidia mtu kujitambua,sasa kakosea wapi?Au ndo basi tukutafuta nini umkosoe mtu hapa duniani!!!