VITUKO VYA MTOTO ADIL BAADA YA KUKUTANISHWA NA MSANII SIR JAY WA NDO HUYO HUYO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2022
- Leo Agosti 27 2022 Mpenja Tv tunakuletea Mahojiano na Shabiki wa Yanga Adil Saad pamoja na msanii wa Bongofleva Sir Jay wakiwa Pamoja katika Studio ya Producer E Music.
.
Fungua video hii kupata uhondo wote wa Mahojiano haya. - กีฬา
Adili nakupenda. Mtoto wangu kama navyo ipenda yanga unatupa rahaa wananch mungu azidi kukubarik akupe afya njema
ENG.HERSI SAID Naomba huyu mtoto cku moja akapate chakula cha mchana na wachezaji wetu💚💛💚😘😘😘
Hongera sana kijana mwenye kipaj zaid na Mpenja TV❤❤❤❤
Inabidi akutane na wachezaji wa yanga ..ili afurahi tunampenda sana Adili💛💚💛💚💚💚
Adiri is a Genius boy haboi unapokuwa naye anajua na anaentertain huchoki kumsikiliza full talented
Nilimmiss Sana uyu mtoto anafanya vizuri sana
Mungu msaidie mwanangu chriss awe nauwezo ujasil kama adili
Daah! Huyu mtoto Ana kipaji Sana mungu amuongoze atimize ndoto zake
Mpenja Huyo Mtoto Kipaji Unatakiwa Umuendeleze...
Nampendaga uyu mtoto nyie💚💛🔰
NAMPNDA UYU MTTO💋❤❤ALLAH ANIJLIE KM UYU INSHAALLAH🙏🙏🙏PLZ MK SURE UYU YUAONAA WACHZJI WA YANGA
Tuliorudia mara 10 tujuane🤣🤣✌️✌️
inabidi sasa mpenja ifanye jitihada adil akutane na wachezaji wa yanga wakiwa wote pamoja asalimiane nao
💥🔥🔥🔥🔥fire Sana
Safi sana huyu mtt ana kipaji family mkitambue kipaji chake
Mbona dogo nimempenda sana yani damu yake ni yanga tupu safii sana tupe rahaaaaaaa💪💪💪
Huyu dogo nikimuona ana zawad nzuri sapolaiz kwangu
Nampenda Adil jmn ananitoa stress nacheka mpaka basi
Du kumbe yang tuko good business ❤❤
Mpenja hapo ulioiishia umetuacha njia panda Sana tukitaka tuone Adili alimalizaje shoo yake 🤣
adili mm nakupenda tuuu🤣🤣
Namkubali sana dogo
Interview nzima nimetabasamu
Dg yupo humble sana
Yanga mpen dogo ubaloz wa Gsm kwaza kazur ka+handsomeboy mpen jezi za watoto azitangaze
uyu dogo anajua sanaaaaaaaaaa nimeamin yanga ndo kuna watu wenye akil na wajanja
Nilimmiss sanaa adili
adil wetu sir jay wetu yanga yetuuuuuuuuuuuuuu
Nimempend bure mashallah
Big up Adili dogo janja
Namkubari sana uyo dogo
Mayele wa.mchongo Kesha timiza ndoto yake ya kukutana na mayele, hebu mpenja mkutanishe na WA hezaji wa yanga live atafarijika saaana Adili
Huyu ndo msemaji wa yanga
Wazazi wa Adil mpelekeni mtoto madrasa pia ya duniani yana mwisho japo anakipaji cha mpira kama mtangazaji.ya dini ni muhimu pia.
Umeongea point boss wng 🙏🙏🙏🙏🙏 ila dogo nomaaa sanaa
Aaaaa watu saiv wanahis hiyi dunia tutaish milel wakati tunapitaaa
Mfundisheni mtoto maadili yadini yakiislm
Mpeni muda hapo atimize furaha yake.
Nakupenda Sana Adil big up mtt
Jmn Adili muimba nini tena😄😄🙌
Waooooooo
Adil katisha💪
Adil amechangamka sana
Et mwangalie muimba kaswida ahmed ally wanathiiiiimbaaaaa
🤣 🤣 🤣 🤣
Adil ana maneno
Dogo ana penda anachokifanya
Mtoto mdgo ila kipaji
dogo yuko vizuri mno mwananchi haswaa
🙏🙏🙏🙏🙏❣️❣️❣️❣️
Adili
Oya mpenja fanyeni dogo akutane na mayele lkn wachezaj wote
ADIL ndouyouyo
Dogo anakipaj ndani yake wamzidishie elim2
Mnamharibu huyo Mtoto baadae anaweza kupoteza Mambo ya Masomo yake shuleni
Acheni Bwana
Unawaza kusoma tu pole kuna maisha nje na kusoma ndo haya
iyo ndo furaha yake acha wivu anaweza akafanikiwa kupitia ivyo ivyo unavyoona anaalibiwa
Mi naungana na wewe huyu mtoto wanamuharibu atasoma saa ngapi?
Kwa taarifa na darasani pia anawaburuza tu....
Mi naamini wazazi wake wanajua jinsi ya kumfanya ameneji masomo na anachokifanya nje ya shule
💚💛💚💛
Htr
Dogo kachangamka sana
😄😄😄
Hawa watoto ni hazina ya club yetu tunae adil na Ali kimara inafaa tuwatunze vijana Hawa pamoja na changamoto aliyonayo Ali kimara lazima vijana Hawa wawe vielelezo kwa vizazi vijavyo
Dogo anankosha sanaaaaa👍👍👍
Dogo akutane na mayele huyu mwananchi haswae
Dogo noomaa kwel
Mnapoteza muda tu apo
Chuki
Ww una lipi la muhimu umefanya
Halafu na yeye anafatilia sa sjw anapoteza nini!
Hiloooooooo akili hun
@@dativafidelis388 mimi kweli sina akili wewe je
Kaka mpenja tunaomba umpeleke huyo dogo kambini Avic akutane na wachezaji😁😁😁😁😁😁😁