Ww huna jezi hizo ni vijora Dogo. Tukutoshe ss Simba wachezaji wte tusio wajirani ila timu yko inawahitaji wachezaji wtu. Ww kwko CHAMA NI MUHIMU KWKO AU KWENU NA KIBU WW NA WAJINGA WENZIO KTK YANGA .Bado sana sisi SIMBA ni timu tofauti na Yanga pambavu ww na viongozi wko.
Kwani Kuna makolo wanateseka wakiwa wapi Jezi nzuri sana kama una wivu jinyonge
Jezi Kali sana yanga tam sana jaman
Jezi za yanga tamu sana
Wangapi wamejuwa code yay...😂😂Rasta platinum...dangote
Injinia cckm. Yanga familiya tunamtaka ally kamwe msemaji wetu na siomanala
😂😂simba watajuta walichofanyaga kwa Morrison hii yanga ni otea mbali,😁😁😁
Jezi gan ambayo inandikwa sanda
Jaman nyie makolo sio mkubal tu kuwa jezi yet mzur
Hapo ni kick tu.. siyo kweli kibu hawez kwenda yanga kwa sasa
Yanga raha sana jaman
Yanga namba nyingine
Alikamwe unaupiga mwingi sana brother
Love yanga
Nyie hamjui raster anaetangazwa Aly kamwe ni mondi Wala sio kibu
UAAKILI SANA
Umeng'amua
Me spendag Jez ila kwa hii ntaivaa maana ni Kali sana
najikuta nanenepa laha sana yanga
Safi sana yanga!
Yanga motoooo
Yanga wanantishia
Kwa kweli waswahili tunaongoza kwa uongo duh
Mtaua simba kisaikolojia
Simba ndo walianza uchokozi sasa yanga anamaliza mbona wataomba mma
Huyo atakuwa JONATHAN SOWA
Wachezaji wa nje wametimia 12. Kwahio sio Jonathan
Labda bobu marely uyo Rasta ila Kwa kibu munajidanganya
Kamwe anajua kukera😅😅😅
Mwaka huu tunawambia simba UBWIGA UMALA
Sipati picha kama kibu akitangazwa
Kua na heshima kaka 😂😂 vijora gan
Pole sana kaka ,,ulisema hamuwezi mtaka , japo mwanzo mlimtaka , leo tena et mna mtaka . Simba haiwezi iachia mchezaji kizembe
Ka inauma katika isikuchubue acha kujielezea sana unamwambia nani sasa !
😂😂😂😂
Kabisaaa,watajutaaaa😂😂😂
DaaH 🎉
Allaah Akbar
Ili yanga anufaike ni mpaka atumie mgongo wa simba, ndio maana kila linaloongelewa na wajangwani lazma wait are simba.
Simba ni ICON ya nchi
Kumamayo wenu huwa hamuiongelei yanga
Hahahahah, daima mbele nyuma mwiko no kufra
mulikuwa wapi wakat sis tunaichagua yanga
Ali kamwe unajitaidi mpaka unawachanganya wareeee logo dudu
Ww huna jezi hizo ni vijora Dogo. Tukutoshe ss Simba wachezaji wte tusio wajirani ila timu yko inawahitaji wachezaji wtu. Ww kwko CHAMA NI MUHIMU KWKO AU KWENU NA KIBU WW NA WAJINGA WENZIO KTK YANGA .Bado sana sisi SIMBA ni timu tofauti na Yanga pambavu ww na viongozi wko.
Meza kwinini..upone😂😂😂😂😂mamae
Kwinini ya Nini mwambie ameze bom limsambaratishe😂😂😂
Naona rangi nyeupe kwenye jezi yenu nyeusi😂😂😂😂😂😂
Ipi iyo sanda???
🎉🎉🎉👍💚💚
Rasta diamond
Rara kweli jamani kuona makolo a.k.a sanda fc wanavyo umizwa na mabigwa 😂😂
Piga keleleeee kwa yanga
Udugu umala💚💛✌️
Atari sana
Rasta Kibu Denis 😂
HUYO NI JONATHAN SOWA NA SIO KIBU DENIS😂😂😂
Nakuunga mkono kaka
Anachukua nafasi ya skudu
Nahiyi langi nyeupe tena vip wakati muliwahi kukataa neno vodacomu lisiandikwe kwa langi nyekundu
Senaji niko tabola tunazipataje hizo jezi
Wee unaesema utamnunulia mkeo kitenge kumbe unampenda mkeo utamuhepusha na nguo za mazishi unaakili sana😂😂
Afisahabari gani huyu Bora atafutiwe kazi nyingine manara apewe kazi
wakupe ww itakufaa afisa uropokaji
Jamani ao wenye wapo misri waambiwe wapashe mazoezi ya maana maana kunamitambo na pia Kuna litimu kazi yake ni kupiga TU wasipashie mikono.
Bl 2.7 utopolo hamna hiyo hela nia yao ni kujaza uwanja hapo mnapigwa tu
Kaka Ali talatibu watakuloga
Kibu denga ila yanga mungu anawaona😂😂
Umeenda kanisani Leo bahati nzuri umetengenezewa vijora na vitenge.zakubadilisha hauna shida.
Vitenge vya waksi
Sio sanda
Sio mavumbini
Vijora ndio hanza ww nikusikie hao wenzio wote wamekubali hahah dah makolo bwan
Ni Diamond huyo msishtuke Wala nini
Jamaa kaanza kuongea kama ahmed😂
Apa akuna msemaji iiyo diyo amasa alafu unataka water waje kiwanjani kweli mmekosa ubunifu
Boya wwe
Kibu asije yanga bwana
Yanga atunashida na kibu tunawavuruga tu thimba tutamtambulisha diamond kuburudisha
Maanina
nikweli ejeuzuri sitaki kuamini
Nyeupe kwa chura vipi tena
Dha ndaaaaani ni kibu denis prospaa
Au ni jobe nin
Kwani kuna shidoo
Yanga washenzi tuu wsnaiga
Jaman me nishabiki wa yanga ila Kama kweli ni kibu Tujiandae kuzika watu jaman mashabiki wa Simba watakufa wengi
Sio kibu ni diamond
Walifurah na kuchagza kuondka kwa fey sasa watajuta 😂
Hiyo ndo maana ya kua na msemaji mtoto
Yanga bora hujengwa na Simba mbovu
Hahahahahaaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
Sababu anajua anaongea na wasio na akiri....Maana anajua mashabiki wake wanapenda propaganda
Akiri ni nini? Ulimaanisha akili?
Kuna UMBEA FC ndio wanapenda uongo na Umbea
😂😂😂😂iii yanga inasifa sana
Vijola
Ubaya ubwera waendelee kutamka
Muda si mrefu yanga itaitwa SIMBA b
Boya tu wwe njiti
Hawa yanga washamba sana. Wataishia pabaya sana hawa wajamaa. Yetu macho
Sasa unalilia nn
Kama mlivyoishia nafasi ya 3😂😂
Hiro Rasta achana naro bhana harina lolote .
Hizo jezi zinaficha uchafu, ina maana ni wachafu hao
So makolo wata juta msimu 24_2024
Makolo mwaka huu watajut kibu Denis ni mwananchi
Tuwe na subira hadi tarehe nane tutajua nani kasajili
Kwakweli yanga mmebugi Ali kamwe utoto mwingi
Heri wewe umesema
Sio utoto. Ni utani tu.
Kuwa msemaji ww
Sasa Kibu siyo mchezaji wa hivyo , kibu ni mchezaji wa kawaida sana
Hiyo jez ngoi amechemka mbaya
Wivu unakusumbua
Batiki fc
Aya bwana tunamsubir
Mbona nynyi mlikua mnamngangania kwani mlikua hamjui kwamba anagoli moja mnajitoa ufahamu kunguni nyinyi
Mchezaj anamkata nakumuuza ni matwakwa ya club ngoj nione hii movie
Usiite jezi ita hiki kijora tutampa Rasta hivi wewe ni kipofu huoni ni kijora hicho umevaa.
Roho ya malipix na Azam watakoma Bado haijaisha
Hehe jichanganyee uone
Jezi mby acha kuzipamba hio rangi y bluu na nyeupe mezitoa wapi UTOPOLO??? ukwel useme Uzi w SIMBA mkali mnoo
Nilazima Ujue Tofauti Baina Yasanda Najezi.
Kuna nembo ya TAIFA HAPO ELEWA PIMBI
Ww huna akili acheni kuishi Kwa mihemko nyie mashabiki wa bongo hebu kueni kiakili
Kwani simba rangi yake nyekundu? Vp ile rangi nyeupe simba wawapi wa blue ,simba wawa pori gani amekuwa wa mwekundu😢
Sanda cf makolo kolo
Haji manara anaitaka nafasi yake. Wewe siyo msemaji wa yanga. Magoma anasema anakuitaji
Hivyo vijora jezi
Tofautisha na sanda za Ina maana Mashabiki wa Simba na wachezajiwenu ni maiti?
Wewe dogo umekosa Cha kuongea maana wewe mwenyewe unajuwa kuwa siku yenu imekosa muvuto ndomaana unaaza kubwatuka
Mh jezi za kishamba tuu
Kama hizo sanda zenu mnazovalishwa mkiwa hai?
Bora kitenge kuliko sare ya mizim😂😂
Ni kitenge au jezi
Ni vigumu mtu alievaa sanda kutofautisha vitu😂😂😂
Mpenzi tuu ivyo vijora
Ushawishi wa kujaza uwanja Bado huja ujua ww
Hawa wandish komed
Mnatumia pesanyingi kwakukomoa afu badae mnasema mmepata hasara bl 7, kwaupumbavu wahv hv😂😂😂😂
Kwani kunasiku ushawahi kuombwa uongeze kwenye hio hasara we wa mbeaaaa nini
Mwigulu mchemba yupo
Modi huyo