RC Chalamila awacharukia wamachinga, ataka waache mihemko, "Sijaja hapa kuchekeana"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amekerwa na mgomo na maandamano yaliyofanywa na wafanyabishara wadogo wa Soko la Simu2000 Julai 8, akisema kitendo hicho ni uhaini.
    Amewataka kuacha migomo na mihemko ya kisiasa wanapotafuta maslahi yao.
    Mzizi wa kauli yake hiyo ni mizozo iliyoibuliwa na wafanyabiashara hao, wakipinga uamuzi wa Manispaa ya Ubungo kukabidhi eneo la soko hilo kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart).
    Chalamila ametoa kauli hiyo leo, Jumamosi Julai 13, 2024 alipozungumza na wafanyabiashara hao katika soko la Simu2000.
    Sambamba na hilo, Chalamila amekemea hatua iliyofikiwa na wafanyabiashara hao ya kumfukuza Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko siku ya maandamano hayo.
    Amesisitiza iwapo wafanyabiashara hao wataleta mihemko, itakuwa vigumu kwao kubaki sokoni hapo.

ความคิดเห็น • 50

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 6 หลายเดือนก่อน +3

    Msema kweli Mpenzi wa Mungu, tunapenda nidhamu , Pole saana Mhe Mkuu wa Mkoa, ila kuwa na Subra kwa Wananchi wako tumetofautiana shule, uelewa , kipato , hekma na busara, Ukiwa Mkuu waeza tamka lolote ila kazi unawapa wenzako kwenye kamati ya Ulinzi na Usalama

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 6 หลายเดือนก่อน +1

    Chalamila ogea kwa busara haya ni maisha tu mkuu

  • @ramadhanikibalabala9518
    @ramadhanikibalabala9518 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mkuu

  • @CotridaKigwile-d6p
    @CotridaKigwile-d6p 6 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wa dar bila kupaza saut awasikii Pole sana mh.kuongoza wa2 wazima kaz kubwa sana

  • @SamsonBarazingiza
    @SamsonBarazingiza 6 หลายเดือนก่อน +1

    Acha kutisha watu wewr

  • @GeorgeSikazwe-mm7nn
    @GeorgeSikazwe-mm7nn 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kutishiatishia t watu we mungu bhna..vinamwisho

  • @ChrisMwambeje
    @ChrisMwambeje 6 หลายเดือนก่อน +2

    Acha kutisha Watu,cheo ni dhamana,muda wowote hiko cheo kinaondoka,si vyema kwa kuwa ni mkuu wa mkoa utishe Watu,kama mkuu wako wa wilaya akidhi au ameenda tofaut asiambiwe?

  • @dizzosukariyaoSukariyao
    @dizzosukariyaoSukariyao 6 หลายเดือนก่อน +2

    Chadema Peoples power😅😅😅😅 ondoka na hawo vijanaaaa😂😂

  • @EmanuelNicholaus-of1qg
    @EmanuelNicholaus-of1qg 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kutisha watu tena

  • @tisamokebulemasubugu6222
    @tisamokebulemasubugu6222 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sidhani kama vitisho ni sehemi ya kutatuwa matatizo watu wanataka kujuwa mitaji walito weka hapo sokoni kwa kuhakikishiwa hilo ni eneo la soko lakini leo vitisho hivi nini manake

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 6 หลายเดือนก่อน +1

    kama kweli walimgomea mkuu wa wilaya kuzungumza nao wamekosea

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 6 หลายเดือนก่อน +1

    SAF SANA HII DAR UKILEGEA WABONGO WANAWEZA KUKUSHIKA JICHON SOMETIME NA WE UNESHA UKALI WAKO ILI MAMBO YAENDE LA SIVYO YANAWEZA KUTOKEA KAMA YALE YA KENYA

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ivi uyu jamaa iko sawa kweli

  • @edwinlyimo5611
    @edwinlyimo5611 6 หลายเดือนก่อน +1

    mkuu acha watu waongee,acha kuwatisha wape maiki waseme,kuna siku hata hayo magereza na hao polisi havita weza kukusaidia,mioyo ya wtu inamajonzi,waelimishe taratibu,hata ww ukisikia kuna mtu anataka kuharibu kazi yako utaumia,watu hapo wanafamilia,madeni benk na kazi ndio hiyo,acha hasira wape elimu

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 6 หลายเดือนก่อน +5

    Tatua matatizo ya watu,..acha kuwatishia watu!..hata we ni mwanadam ipo siku utaachia huo uongoz wako,..usitishie watu na povu lako

    • @rtxwalker
      @rtxwalker 6 หลายเดือนก่อน

      Usisem t toa ushauri afanye nini

    • @rtxwalker
      @rtxwalker 6 หลายเดือนก่อน

      Lazm mud mwngn ukiw kiongz uwe dictator au ww unatk aman ivunjik but sheria ishasem Ardh yote n ya serekali na pia serekali inawezo kuchukua ardhi yeyot ikiwa ardhi inatakiwa kwa maslahi ya Umma kama vile ujenzi wa barabara, hospital n.k

    • @meryshekoloa961
      @meryshekoloa961 6 หลายเดือนก่อน

      Hahahaha 😅😅😅😅 hapana sio kwa vitisho hivi

  • @AndrewShiratu
    @AndrewShiratu 6 หลายเดือนก่อน +2

    Nahitaji frem ya duka hapo kariako.fukuza kabisa nipate frem

  • @esuthoby7865
    @esuthoby7865 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mh.acha kuongea kwa kuwatisha wananchi, wanahaki ya kuzungumza pia kuwakilisha hoja zao.Hivyo vitisho si vizuri kwa wananchi ,na kweli leo umukuja na mihemko.Public ni nani?

  • @ElikaNdelwa
    @ElikaNdelwa 6 หลายเดือนก่อน

    Ndio hao mlio wapa elimi mkawafundisha Moja ongez Moja na wakaenda chuo wameludi mtaani hamujawapa kazi ni watoto wawakulima wamekuwa Kwa nguvu ya mungu alafu mtu unaongea utumbo ukiludi apo unaandikia ulikuwa na ziala unapewa posho na ela ya mafuta hadi lini mtawanyanyasa

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb 6 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu jamaa akili hana

  • @oscar-pc6fz
    @oscar-pc6fz 5 หลายเดือนก่อน

    Unazani hapo kuna haki za watanzania,Dc yeye nani mbele ya watanzania wote,hitimisha hamna shida.

  • @fidurashidi5781
    @fidurashidi5781 6 หลายเดือนก่อน +1

    Siasa ni uchumi

  • @CarlosHizza
    @CarlosHizza 3 หลายเดือนก่อน

    Kuna kauli zinanichanganya,unaposema "muwe na adabu,mnaniletea mambo ya kisiasa hapa"anamaana hajui nini maana ya siasa au amesahau kuwa yeye pia ni Kiongozi mwenye cheo kinachotokana na Siasa siyo mwajiriwa kwa taaluma aliyosomea yeye ni mteuliwa na aliyemteua ni Kiongozi Mwanasiasa aliyechaguliwa kuwa Rais kupitia chama cha Siasa tena ni M/kiti wa Taifa wa Chama husika.Nafikiri kunaulazima wa kuwapa semina Viongozi wateuliwa waelewe kuwa hawawezi kujitoa kwenye Siasa.Kama tafsiri ya Siasa ni utapeli,unafiki au ni ulaghai wao pia wamo wasijitoe.

  • @HappyAgilityPuppy-lg8wg
    @HappyAgilityPuppy-lg8wg 6 หลายเดือนก่อน +1

    sema hili jambo litaleta ukakas kutpkana na kuwafokea watu

  • @amotvtz1302
    @amotvtz1302 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio wew zuzu

  • @ElikaNdelwa
    @ElikaNdelwa 6 หลายเดือนก่อน

    Usizarahu watualiyekupa cheo wew amempa machinga hao watu Hawa saminiwi kila mtu anawafanya daraja ungekuwa wew machinga sijui ungekuwa nahaligani watu kama nyie kwa magagufuri mlikuwa na hari ngumu saivi

  • @oscar-pc6fz
    @oscar-pc6fz 5 หลายเดือนก่อน

    Nao watanzania kimia eti mnamwogopa yeye mbona anamiemko na siasa.

  • @ConstanciaShangali
    @ConstanciaShangali 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wanyooshe hao.. Another Ze Jembe at work.🏋️‍♀️

  • @LumumbaFarhani
    @LumumbaFarhani 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hii sasa ndio inavyotakiwa kwa wasiojua mipaka yao

  • @teteelius9600
    @teteelius9600 6 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢😢😢

  • @Moses-s2x
    @Moses-s2x 6 หลายเดือนก่อน

    Aibu ndio viongozi wetu

  • @MussaNsekela
    @MussaNsekela 6 หลายเดือนก่อน

    Hivi Tanzania machinga anachukuliwaje, kwa nn wasikae wakajadiriana kuliko kutishana na kufokea watu

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 6 หลายเดือนก่อน

    Shida nini tena CHALAMILA WANGU.

  • @InnocentJohn-l5y
    @InnocentJohn-l5y 6 หลายเดือนก่อน +1

    Shangingi unalotembelea nikodi zetu alafu unatutukana katiba mpya ije hawa watu wakuteuliwa hapana tunaitaji watu wakuchaguliwa sio hawa

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 6 หลายเดือนก่อน

      ulio wachagua wamekusaidia nini ?

  • @dizzosukariyaoSukariyao
    @dizzosukariyaoSukariyao 6 หลายเดือนก่อน

    Wamalize mda wao wafunge virago

  • @rizikiminga3010
    @rizikiminga3010 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona kama anatumia ubabe uyu Rc😂

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 6 หลายเดือนก่อน

    Daaaaa😂😂😂😂

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 6 หลายเดือนก่อน

    Acha maneno mengi,..kwanini hujawataarfu mapema

  • @HappyAgilityPuppy-lg8wg
    @HappyAgilityPuppy-lg8wg 6 หลายเดือนก่อน

    tumetulizwa 😅

  • @Muhammedually
    @Muhammedually 6 หลายเดือนก่อน

    RC mkiwachekea hao ipo siku watawapanda kichwani,kaza mhe.

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 6 หลายเดือนก่อน

      Mazingira hufundisha zaidi.

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 6 หลายเดือนก่อน

    Kuna nn tena?

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa4252 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwehu atakuja kimbia hizo mic muacheni ajing'ang'afue tu

  • @YonaMayenja
    @YonaMayenja 6 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 6 หลายเดือนก่อน

    Acha kufanya mambo kibabe,..shrikisha wafanya biashara wanaohusika

  • @silverman6930
    @silverman6930 6 หลายเดือนก่อน

    Tumia busara kenge wewe … this guy is drunk … when your mouth doesn’t coordinate with your brain …..