Kwa kifupi niseme Salome umeupiga mwingi sana 💞💞 umeongea kwa utulivu sana na umeeleweka vyema watu wakifuata haya watakua salama sana hata wasipoendelea kuwa pamoja lakini amani inakua imetengenezwa baina yao.Irene mada muhimu sana maana ni kitu kinatesa wengi sana.Clap Clap 👏💋🥂
Salome yuko vizur sana kuna MTU mwingne anakuwa ametangaza kuachana na MTU halafu bado anakuwa anamfuatilia Mtu yule yule aliyetangaza kumuacha nini cha kufanya
Ivi mwanaume kakusaliti kimya kimya mpaka ukajua kujua na mungu kamuumbua kapata na maradhi ukimwi lakin mungu fundi mwanamke yupo salama je usaliti km huu unaweza je kuendelea kuishi na mtu km uyu ikiwa ata km ningekuwa mm ndo nimemsaliti ndo ni kapata hayo maradhi basi angeniacha jamani nishaulini mume ndo alikuwa msaliti sana tena ule usaliti wa wazi kabisa unaishi je vp na uyu mtu jamaniii mwenye ushauri nafatilia comment ata uyo dada salome km ataiona hii sms tafadhaari naomba nisaidie ata namba ya cm niweze kusaidika😭😭😭
Dada Iren Asante Kwa kipindi hiki lakini natamani nizungumze nawe inbox huenda changamoto yangu ikapata dawa mbaya zaidi namtumia WhatsApp tu utanisaidiaje?
Dada salone mimi naoma kuelewa kuna aina ya mbili za kusaliti yakwanza kuna kusaliti na kuacha su kuendelea Na kuna kuchepuka na kuzaa na muchepuko je hii nayo unaiona vipi? Tunaomba msaada Dada Aileen muombe dada Salome arudi aweze kudadavua hilo tweeze kuelewa hasa kwa wanandoa
Dada samahani mim mume wangu alinisaliti na mbaya zaidi alipata ukimwi sikuwahi kujua nilikuja kugundua nilivyokuwa mjamzito tulikwenda wote klinik kupima maginjwa yote yeye akakutwa na ukimwi je usaliti huu unaweza je kuendelea kuishi na mtu km huyu na ni baba mzuri tu kwa watot wake lakin huo ukimwi kaipata kwa kunusaliti alikuwa malaya sana tena kwa dhahili kabisa hakuna kificho ila mim nashukuru ni mzima sijaathilika ni yeye tu
Kwanza Dada kabla ya yote tafuta sadaka upeleke kanisani kama uu mkristo au msikitini kama uu mwislam ukamshukuru Mungu kwa huo muujiza aliokutendea Mungu ndio mengine yafuate.
@@happnesskitumbo5713ndugu cyo sadaka tu nilichinja adi kuku kwa kufurahia afya yangu yani nimeponea kwenye mtundu la sindano cyo kitu rahisi lakin mw/mungu aliniokoa katika janga
Mgeni wako huyu yuko vizuri kichwani, ana utulivu, ana madini, beauty with brains.Mualike tena na tena ,ana hekima sana.Hongera dada you are good 👍
Mungu kakupa kitu cha ziada yua so smart ♥️🤍
Duuh hili somo ni zuri Sana na pia ni guumuu kulielewa kama akili aijatulia na kujitambua.
Sister SALOME hongera kwa kazi nzuri unayofanya
Ilauyu dada yukovizuli sana nimemkubali sana endeleeni kumualika atupe madini
Asante sana.
Kwa kifupi niseme Salome umeupiga mwingi sana 💞💞 umeongea kwa utulivu sana na umeeleweka vyema watu wakifuata haya watakua salama sana hata wasipoendelea kuwa pamoja lakini amani inakua imetengenezwa baina yao.Irene mada muhimu sana maana ni kitu kinatesa wengi sana.Clap Clap 👏💋🥂
Salome yuko vizur sana kuna MTU mwingne anakuwa ametangaza kuachana na MTU halafu bado anakuwa anamfuatilia Mtu yule yule aliyetangaza kumuacha nini cha kufanya
My favorite counselor
Ivi mwanaume kakusaliti kimya kimya mpaka ukajua kujua na mungu kamuumbua kapata na maradhi ukimwi lakin mungu fundi mwanamke yupo salama je usaliti km huu unaweza je kuendelea kuishi na mtu km uyu ikiwa ata km ningekuwa mm ndo nimemsaliti ndo ni kapata hayo maradhi basi angeniacha jamani nishaulini mume ndo alikuwa msaliti sana tena ule usaliti wa wazi kabisa unaishi je vp na uyu mtu jamaniii mwenye ushauri nafatilia comment ata uyo dada salome km ataiona hii sms tafadhaari naomba nisaidie ata namba ya cm niweze kusaidika😭😭😭
Safi sana umefanya vizuri kumleta mdada mtaaluma wa mambo haya
Huyu dada yuko vizuri sana hakika namkubali sana,hakuna mahali nitamwona niache kumfuatilia na kumsikiliza,proud of you Dear Sister Salome👏👏👏
asante sana Neema
Your the best salome
😂😂 Salome Salome umeniponya
Asante sana. Tumrudishie Mungu sifa na utukufu
Hiki ni moja ya kipindi pendwa na bora sana
Halafu watu wanaaminishwa wazee ndio wana maarifa. Kumbe maarifa huanzia ujanani. Dada kajaa madini.
Big up Irene Salome yupo vzr sana
Asante sana
@@salomenelson711 uje tena uendelee kutupa madini mamii Kuna mengi hayaseneki jmn
Huyu dada❤❤ Salome
Da Iren Salome namuelewa vzr Sana pamoja na Mwl Kanuti Asante sana Kwa haya majembe
Nice one jamani❤
Mualike tena aludi uyo
Asante sana
Salome you have say all 👏👏👏👏
Asante
Kindly please send me his number
She is the best
Nataka kuongea nae .. mama mama mjanja sana kama mimi ..
Kwa mume kama huyo ni bora mukavunja ndoa tu ikiwa ww hukuathirika
❤❤
Asee kipindii kizurii saaana
Kindly please naomba unitumie number ya uyo mama nimevutiwa nae sana...ni mwerevu sana kama mimi...nataka kuongea nae...
Jamani kimya kimya tutaongeza ukimwi tuludi kwa mumgu
💪
Nipo Zambia nafatilia mpe hai salome
hiki kichwa hatari sana
Dada Iren Asante Kwa kipindi hiki lakini natamani nizungumze nawe inbox huenda changamoto yangu ikapata dawa mbaya zaidi namtumia WhatsApp tu utanisaidiaje?
Hollo lreni
Dada salone mimi naoma kuelewa kuna aina ya mbili za kusaliti yakwanza kuna kusaliti na kuacha su kuendelea
Na kuna kuchepuka na kuzaa na muchepuko je hii nayo unaiona vipi? Tunaomba msaada
Dada Aileen muombe dada Salome arudi aweze kudadavua hilo tweeze kuelewa hasa kwa wanandoa
Mtangazaji inaonyesha anawivu na mumewee sanaa na anawasiwasi sanaa namume wake nakuona tuu😂
😂😂😂basi sawaa
@@irenekamugishanaomba namba ya mtoa mada au yako
Dada samahani mim mume wangu alinisaliti na mbaya zaidi alipata ukimwi sikuwahi kujua nilikuja kugundua nilivyokuwa mjamzito tulikwenda wote klinik kupima maginjwa yote yeye akakutwa na ukimwi je usaliti huu unaweza je kuendelea kuishi na mtu km huyu na ni baba mzuri tu kwa watot wake lakin huo ukimwi kaipata kwa kunusaliti alikuwa malaya sana tena kwa dhahili kabisa hakuna kificho ila mim nashukuru ni mzima sijaathilika ni yeye tu
Kwanza Dada kabla ya yote tafuta sadaka upeleke kanisani kama uu mkristo au msikitini kama uu mwislam ukamshukuru Mungu kwa huo muujiza aliokutendea Mungu ndio mengine yafuate.
@@happnesskitumbo5713ndugu cyo sadaka tu nilichinja adi kuku kwa kufurahia afya yangu yani nimeponea kwenye mtundu la sindano cyo kitu rahisi lakin mw/mungu aliniokoa katika janga
Pole uvumilivu unapomza jamani tusivumilie ualiti Bora aoe Kama muislamu
❤ Dada kamgisha ulisatiwa Nini inaonekana ulifanyiwa vibaya Sana
Watanzania mtaacha lini kudhania!! Inabidi nivae uhusika ili update maudhui nayotamani uyapate!
@@irenekamugisha kwenye kipengere hicho unakipiga msumali Sana
@@irenekamugishaWasamehe bure. Hawajui unajaribu kuuvaa uhusika ili somo lieleweke kirahisi.
😂😂😂 basi sawa, tuseme ndivo ili ufurahi, yote kwa yote ahsante kwa kufuatilia #FixYou share na rafiki zako waone Jinsi nilivyopigika😂😂
Watanzania sisi sasa na assumptions 😂😂,unaweza ukawa unafanya maisha yako ukapungua ,kumbe ushakua diagnosed
Dada umetoa darsa la nguvu hapo